Тёмный

Dakika 26 za Waziri Mkuu Majaliwa akijibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wabunge 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 1,9 тыс.
50% 1

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itafanya mapitio ya sheria na kanuni zinazohusiana adhabu dhidi ya makosa ya unyanyasaji wa kijinsia, lengo likiwa ni kukomesha vitendo hivyo nchini.
Majaliwa ameyasema hayo leo Aprili 18, 2024 wakati akijibu swali la papo kwa papo la Mbunge wa Viti Maalum, Tunza Malapo.
Tunza amesema matukio ya unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto, wanawake na makundi mengine yamekithiri.

Опубликовано:

 

13 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
Далее
GENIUS FOOD HACKS 🍰 #shorts
00:36
Просмотров 16 млн
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Просмотров 18 млн
WAZIRI MKUU APANGUA MASWALI KONKI YA WABUNGE BUNGENI
28:16
Majaliwa Amekiwasha Mwanza | Atumbua Wawili
15:23
Просмотров 7 тыс.