#MCELIUD Dakika 28 za Vichekesho na Story za Kuvunja mbavu kutoka kwa Mchekeshaji MC Eliud Samweli akiwa mkoani Iringa kwenye hafla ya ugawaji tuzo wa Usiku wa UoI-SO Awards 2024.
Kwa mara ya kwanza uoi mnapata views 2k kwenye Post Moja🙏🙏hii inamaana itawabidi muandae content pendwa ili mpate views wakuzidi.Honestly I'm proud of what your doing n I wish hii digital platform iwe kubwa zaidi among other universities coz you can do it.I ONCE being the student there.