Eliudi ana kipaji kizuri sana ukweli ni kwamba anaweza pia akakaza katika ibada akaenda mbinguni maana hata lugha yake ni nzuri hata mtoto anaweza kumsikiliza ana lugha njema sana ❤❤❤❤Mungu ampe mwisho mwema amina
Huyu jamaa hata kabla ya kuwa mshindi wa pili ,alipita kule Mbeya kwa kura ,maana walitakiwa wapite wawili Mungu alivyofundi sasa daah huyu ndio anavuma sana ,lakini pia aliyestahili kushinda ni Leornado kwa wakati ule sema Eliud kadiri siku zinavyozidi kwenda na style yake ya uchekeshaji ndivyo anavuozidi kuwa wa moto.
Ziko baraka znapatkana ktk ndoa,,, huezjua huenda mafankio yako yanawezatokea baada ya kuish naee,,,, najambo zuri sana pale mkiwa pamoja ktk kushrkiana maadam tuu mkinia mamoja. Jtaid usmpoteze huyo bibie cz inaonyesha ni mwanamke bora sana kwako Eliud.... Much love wa kumyitu❤️❤️
Maaa big Brother Kila dakika Kila sekunde Kila siku anaongea about life lahapa dar big Brother tunajifunza mengi kwako na unatusanua Mengi nakupigia soon ngoja tuongee vzr na Hom Boy V van boy