Тёмный

Dakika 47 za moto hoja ya Mdee bungeni, mnyukano mkali watokea 

Mwananchi Digital
Подписаться 983 тыс.
Просмотров 75 тыс.
50% 1

Hoja ya Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee aliyetaka Bunge lijadili utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara kwa EPC+F imechangamsha mjadala wakati Bunge likiwa limeketi kama kamati kujadili mafungu ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024/25.
Mjadala huo umejiri leo Mei 30, 2024 jioni huku Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson akimbananisha Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba afafanue utekelezaji wa EPC+F huku Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akichuana vikali na Waziri wa Uchukkuzi ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa wakishukiana kwenye mjadala huo.

Опубликовано:

 

29 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 226   
@manethmwiyanja7654
@manethmwiyanja7654 Месяц назад
Mwigulu Janja langu sana tiuwasiliane ukimaliza hoja ya mdee
@George-jz3jg
@George-jz3jg Месяц назад
Mwigulu wewe ni tatizo sana kwenye serikali hii
@bibyansimplis3791
@bibyansimplis3791 28 дней назад
Dada umenifurahisha kumuunga Kokono halima ktk hoja hii, umefafaninua vizuri swali la Halima Mdee, aksante
@abdulhakimjuma9112
@abdulhakimjuma9112 Месяц назад
Wasanii tu hawa wote wako kwenye maskani hawana bunge mijizi, milaghai tu
@leoncesarwat8878
@leoncesarwat8878 Месяц назад
Mwiguru kajaa upepo safi ajae... Mzee wa Esther express tz
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob Месяц назад
😂huyu Mbunge aliyeko karibu na Mwigulu anashangilia michango yote, Hana baya na upande wowote. Safi sana 😂😂
@fortunatamfinanga287
@fortunatamfinanga287 Месяц назад
😅
@user-ec1pe9yy2h
@user-ec1pe9yy2h 26 дней назад
Mdee Good
@josephlugala3182
@josephlugala3182 Месяц назад
Namchukia sana mwigulu ,,anatoa majibu kama nchi hiii ni ya babaake
@geey7893
@geey7893 Месяц назад
Ameshatununua huyu
@costamalanda-rj4hg
@costamalanda-rj4hg Месяц назад
Halima mdee,Ester bulaya na Ester matiko nawakubali sana
@geophureysamsoni5033
@geophureysamsoni5033 Месяц назад
Sipika unatuchanya mbona unawai kukata ya harima hapo tunakuwa na wasiwasi watazamaji
@wta_Tanzania
@wta_Tanzania 20 дней назад
Mdee na mpina ndo tuliobaki nao kwenye hili Bunge tukufu
@HassanMchomvu
@HassanMchomvu Месяц назад
@tulia ackson anaakili sana
@FrancoMbilinyi
@FrancoMbilinyi Месяц назад
Anajua kuchezesha shilingi sanaaa huyoo
@tresphorymvulla363
@tresphorymvulla363 27 дней назад
Spika nakukubali sana kwa kisimamia hoja ya fedha
@tresphorymvulla363
@tresphorymvulla363 27 дней назад
Nakuona mbunge wetu wa ukweli mama Jenista Mhagama.
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 Месяц назад
Wah mnatuchanganya wananchi pesa za serikali zipi na naza mh Rais ni zipi?
@ChristopherMgoli
@ChristopherMgoli Месяц назад
Wabunge siwaelewi mbona wanashangilia hovyo bila kujuwa wapo upande Gani 😢😢
@user-xe8xv6so6s
@user-xe8xv6so6s Месяц назад
Halima mdee uko vizuri Sana.
@AbdalahMtambuka-rh1dp
@AbdalahMtambuka-rh1dp Месяц назад
alima nakupenda sana kama unge kua ujaolewa ningekuoa
@bibyansimplis3791
@bibyansimplis3791 28 дней назад
Mawaziri wapigaji hao. Bakubaliano ni wakandarasi watafute hela maana yake wawe na pesa ndio wapate tender. Sasa inakuwaje mawaziri wanawatea makandarasi.
@SurprisedDrill-ky9fi
@SurprisedDrill-ky9fi Месяц назад
Muheshimiwa halima mdee ikiwa chadema hawajakupokea unda chama chako zanzibar tupo wengivtunakupendaaaa
@bibyansimplis3791
@bibyansimplis3791 28 дней назад
Mh. Kuntu uko vizuri . Hao wakandarasi hiyo ni hasara ni Yao.
@MurshidHaji
@MurshidHaji Месяц назад
Yani matatizo yote haya nchini chanzo ni mwigulu nchemba ajiuzuru tu akae mwingine kwenye nafasi hii
@barasaslaa5114
@barasaslaa5114 Месяц назад
Safiiiii sana tulia na halima mko vizuri ana you deserve to be our leaders ❤
@user-xe8xv6so6s
@user-xe8xv6so6s Месяц назад
Hali a mwanangu nakupendaga. Kwa hoja. Tu. Uko vizuri Sana. Hao wabunge wa CCM wanalindana. Ni philipo mipango tu. Ndiye aliyekuwa bora Sana. Hawa vijana wapigaji tu. Ukimsikiliza maneno yake yanaonekana yamchongo halafu selikali inakumbatia mijizi. Wakati. Kunawasomi wengi wenye. Akili. Na wenye hofu ya mungu. Lkn bado selikali inakumbatia Hao. Hao. Wanachota kwa zam😭😭
@josephkmarwa7425
@josephkmarwa7425 Месяц назад
Je .umesahau..tozo..kwani..sio..mzingo...kwa..watumia..simu..wavijijni..x😭😭😭😭😭👣👣
@obednyagani506
@obednyagani506 Месяц назад
Trabo na trati
@songeza
@songeza Месяц назад
Mdee safi sana pamoja na Tulia uko vzuri hoja hiyo wake Tena Wala isiptishwe short cut isiwepo wabunge wamebobea kimaswali inaleta mantiki. Pamechafuka pananukaa kama pananukaa vunja mkataba
@bibyansimplis3791
@bibyansimplis3791 28 дней назад
Kwani hakuna efficient person kuliko huyo Mwigilu. Naona anajibu jibu tu. Maana anawrza akaamua kubudilishwa badilishwa na wakandarasi.
@bernardowoya6671
@bernardowoya6671 Месяц назад
Bunge linapaswa kuendeshwa kwa mfumo huo wa kuisimamia serikali na kuikosoa pale inapoenda kinyume na makubaliano!
@amosdickson6318
@amosdickson6318 Месяц назад
HIVI HUKO BUNGENI MNAJUA KWAMBA HUYO MWIGULO HATUMUELEWI KABISA HUKU KITAA.
@V24hrs
@V24hrs Месяц назад
Kazi nzuri sana speker tulia na Mbunge Halima Mdee
@zat6311
@zat6311 Месяц назад
Mjadala ni mzuri hoja kwa hoja, hongereni sana. Nimependa uimara wenu.
@SimonRichard-lb3go
@SimonRichard-lb3go 29 дней назад
Hivi kwani mna kopa kwani hii nchi hakuna rasilima za kuijenga tanzani wenyewe
@OscarMgina-td6jn
@OscarMgina-td6jn Месяц назад
Mh. Spika unatenda haki ktk kulisimamia Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mungu akubariki.
@IddiErias
@IddiErias 23 дня назад
mwegurubwew ni mpigaji 2 akuna chochote unachokifanya kwenye hy sekta
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 Месяц назад
Wamama mko juu endeleeni kuwabana hawa wababa wenye kuwazarau. Kiti cha mh spika kiheshimiwe.
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Месяц назад
MIMI nawapenda wote ILA UZALENDO KWA TAIFA KWANZA.HONGERA DR.TULIA KWA KUONGOZA VEMA BUNGE LETU
@denisipimilo7450
@denisipimilo7450 Месяц назад
Mwigulu ana majina ya Zanzibar, uarabuni na Omani. Kwa hiyo kila jambo la waarabu lazima alitetee sana
@HanifaBruno-lv1qf
@HanifaBruno-lv1qf 29 дней назад
Hatumuelewi mwigulu
@deusjoseph8554
@deusjoseph8554 Месяц назад
Halima mdee anatufungua macho,, ata ile mikataba ya bandari kama tungemsikilza tusingefka hko
@IddiErias
@IddiErias 23 дня назад
Samia huyo mwiguru umemuea apo kwa kaz gani anayoifanya apo pg nyama chini mama
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Месяц назад
Kweli Tanzania hii watu wanapindisha kiswahili kilichonyoka ili wasionekane kama wamekula pesa
@geophureysamsoni5033
@geophureysamsoni5033 Месяц назад
Wewe ndio sijakusrewa kabisa kwaiyo mashimo yaenderee magari yaanguke watu waenderee kufaa mtafaidi nn sasa
@tobiasmsabila856
@tobiasmsabila856 Месяц назад
Hongora Wabunge Wetu Mnachangia Vizri lazima Hapo Ufafanuzi Utolewe.
@fortuneakankizya5336
@fortuneakankizya5336 Месяц назад
Sio wote ni halima mdee peke yake konyo
@evelina9621
@evelina9621 Месяц назад
Sipka.uko.juu.waziri.kashindwa.wanamama.juu.huyo.waziri.hana.anachojua.msaidieni
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana Месяц назад
Nampenda sana Mdee Akili sana nakunda sana Alima
@RemmySinkala
@RemmySinkala Месяц назад
Tatizo kijani TU,mchanganyiko ndyo afya
@ChipkiziRashid
@ChipkiziRashid Месяц назад
Mwegulu wew nimswahili Swahili sana kwenye serikali hii
@IddiErias
@IddiErias 23 дня назад
Alima apewe nafasi ya mwiguru ameshindwa kazi
@GOODNEWSTV-nf5qx
@GOODNEWSTV-nf5qx Месяц назад
😢😢😢😢😢 ni Huzuni sana unapomwona mheshimiwa aliyepewa dhamana na wananchi na raisi wetu akampa dhamana kubwa lakini anakosa umakini kiasi hicho kwa hela za walipa kodi.
@PauloMakandula
@PauloMakandula Месяц назад
Very nice mama
@IddiErias
@IddiErias 23 дня назад
Tataz madudu yote ya magufuli mama ameyarudisha hao ni mafisadi 2
@NtongeEmanuel
@NtongeEmanuel Месяц назад
Waziri wa fedha majibu yake hayaridhishi analipeleka pabaya taifaga,mama mwangalie sana Mwigulu anakuangusha,watanzania wameanza kuamka
@IddiErias
@IddiErias 23 дня назад
Ashungwa nae ndy walewale
@Worldunite
@Worldunite Месяц назад
Mwiglu Nchemba na Tulia Acson lzm wapambaneeee😅
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta Месяц назад
Tulia nae yupo smart kweli
@BLASTUSMAGONGO
@BLASTUSMAGONGO Месяц назад
Wekeni mezani liaze upyaaaaa hilooo
@shabanabdalatupa
@shabanabdalatupa Месяц назад
Kwa kweli Mdee si familia yangu ila namuelewaga sana tu
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 Месяц назад
Uyo mdee mbunge wa chama gani?
@etropialangai6415
@etropialangai6415 29 дней назад
Mama ungemtumbua huyu mzee bana
@geey7893
@geey7893 Месяц назад
Mwigulu ni jipu Lililooza
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt Месяц назад
Allahah ajaalie kheri yarabi na atuondolee kila fitna majungu amani itawale❤❤❤❤😂
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v Месяц назад
Tulia safisana
@AsiaDismas
@AsiaDismas Месяц назад
Umechapia mwigulu
@bibyansimplis3791
@bibyansimplis3791 28 дней назад
Sasa serikani an mkataba na mjenaji j/ makandarasi au na finencer..? NB: Hala za serikali ni za kupunguza makali ya kupanda riba?
@petertarimo5513
@petertarimo5513 Месяц назад
hakuna mtu mwingine wa kukaa kwenye hii wizara ya Fedha ?
@geey7893
@geey7893 Месяц назад
mama yenu hawezi kumtoa anajua kula naye
@dannykajumba2000
@dannykajumba2000 Месяц назад
Waelimishwe maana ya iyo secta
@okoyonene2051
@okoyonene2051 Месяц назад
Hata yesu alifundisha 😂😂😂 mwigulu kiatu hakimtoshi
@BLASTUSMAGONGO
@BLASTUSMAGONGO Месяц назад
Futeni mpango ufutwe ili kuaza upwaaaa
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v Месяц назад
Halafu mkataba walishasaini
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 Месяц назад
Binge.la.kifala.utapeli.wizi.ujinga.2025.piga.chini.wote
@AlphonceMrewa
@AlphonceMrewa Месяц назад
Hili limtu munguru halijui linachokifanya ni wizi tuu
@marckmasassi7466
@marckmasassi7466 Месяц назад
Mbona Mwiguru Anachanganya Habari Wazi
@fifo262
@fifo262 Месяц назад
Wadada zaeni mapema maana mkiwa wabunge majukumu ni makubwa sana
@user-fw4yr5bt8p
@user-fw4yr5bt8p Месяц назад
Fafanua wew sas maana hamuelewii jinsi mwiguluu anavyojotetea lakn hamtak kuelewa duuh
@IddiErias
@IddiErias 23 дня назад
Badala ya kujdili ugumu wa maisha mnatuchezea 2 akili
@SurprisedDrill-ky9fi
@SurprisedDrill-ky9fi Месяц назад
Asante mwenyekiti
@HassanOmary-cm1me
@HassanOmary-cm1me Месяц назад
Nikweli Amna bungi chanzo chamatatizo yote waliosoma Wana wanyanyasa ambayo awajasoma Sasa walewatu Wana muabudu mungu Sasa laana ina maliza taifa
@fifo262
@fifo262 Месяц назад
Huyu tulia kweli maana kawatuliza wote , hilo jina ni baraka
@user-fw4yr5bt8p
@user-fw4yr5bt8p Месяц назад
Aloo hii kazii ni ngumu mwacheni mwiguluu wetu bana mbona hivooo.
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k Месяц назад
Wabunge wengi mabwege Halima ana uwezo
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 Месяц назад
Mwiguru kiatu uricho vaa hakikutoshi na hakikufai .unaharufu ya ufisadi
@deusjoseph8554
@deusjoseph8554 Месяц назад
Bunge limejaa wizi wanavaa makoti yakuibia nch, yana tunatoa kura ili kupeleka watu wakaibue nch, Tz uhuru umezidi,, ifike hatua hawa viongoz wakikosea wafungwe,,kwannn madactari na wauguz ikitokea bahatimbaya mnawanyanganya leseni zao na kuwaweka njee ya kazi,kwann wanao hujumu fedha za nch wasifungwe na kutolewa njee?
@RemmySinkala
@RemmySinkala Месяц назад
Endeleen hivyo hivyo kutupiga maana wote mnajuana,na hukuna jipya hapo,watz ni maboya vipepeo,ikifika uchaguzi kijani tu
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 Месяц назад
Unajua wabunge wanapiga makofi siyo kwa sababu wamelewa bali wanataka kumaliza ili waondoke na posho zao
@marckmasassi7466
@marckmasassi7466 Месяц назад
Tatizo kubwa Tanzania tumekumbatia INCHI za Magharibi na KUBWA ni kujinufaisha na asilinia Kumi ndio kinacho tugharimu.
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 Месяц назад
Serikali inaenda kutafuta pesa ili impe nani? Hapo ndio tunachanganyikiwa wananchi. Pesa ya serikali na za Mh Rais.
@user-bm5ov6kx3c
@user-bm5ov6kx3c Месяц назад
🤣🤣🤣jaman nalifuatili sana bunge hili ila mbona mawe yote ni wazir wa fedha tu si atumbuliwe hili jipuu yaani kila siku ni mwiguli tu na sio kwa sifa ni kukosolewa tuu duuu
@FrancoMbilinyi
@FrancoMbilinyi Месяц назад
Na ukimaliza hoja hiyo nitakaaa paleee nikusubirii
@AsiaDismas
@AsiaDismas Месяц назад
Mpigane spana wenyewe kwawenyewe
@ChristopherMgoli
@ChristopherMgoli Месяц назад
Hongera Sana Spika wa Bunge unasimamia vyema Sana. Hongera Sana pia Halima Mdee
@RamadhaniMzamilo
@RamadhaniMzamilo Месяц назад
Kwahiyo barabara ya kiteto -nako imesha ingia mdudu😭😭😭
@user-xe8xv6so6s
@user-xe8xv6so6s Месяц назад
Ona huyu nae anamlinda mwigulu. Wanatufanya sisi hatuna akili. Ukimsikiliza vizuri. Wanatudanganya.
@DastanDominick
@DastanDominick Месяц назад
EPC+F ifutwe.
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k Месяц назад
Mwigulu anawaza Esther Luxury
@brysonbryson1735
@brysonbryson1735 Месяц назад
HALIMA UNAFA UNGEKUWA WAZIRI UNGEWANYOOSHA
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 Месяц назад
Bungeni wote wapo kimasilahi Yao wanainchi hakuna mtetezi wao Ila siku yenu inakuja namtafilisiwa wote nawambia hamtakaa namaisha haya mambo yanabadilika ipo siku inakuja
@denisipimilo7450
@denisipimilo7450 Месяц назад
Mbawala anaongoza kuhujumu uchumi wa Tanganyika. Anatumwa na samia kuibomoa tanganyika
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha Месяц назад
Huyu Mwigulu PhD yake aliipataje au kafanyiwa kama wengine wengi kiasi cha kufanya taifa kuwa chaka la upuuzi.Hakuna aliyesema F ni msaada na si finance? Mara technicalities mara syndication mara yada-yada-yada. Kweli huyu ni doktari siyo daktari. Nashauri PhD ya Mwigulu ichunguzwe, nini andiko lake, nani chair wake, nani wajumbe wa kamati yake, uhusiano wao, muda aliotumia kuisomea, kuitetea, na kuipata. Kuna tatizo hapo.
@WilliamMwamahonje
@WilliamMwamahonje Месяц назад
Kubali.umeshidwa.tu
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 Месяц назад
Sps plas ef ndio nini jamani tuelewesheni, mnatuacha mbali. Sisi wananchi tunahitaji kufahamu vizur mnayoyaongelea, ongeeni kiswahili , ili na sisi tuelewe
@denisipimilo7450
@denisipimilo7450 Месяц назад
Samia ana pesa, kwanini mnagopa riba? Samia mapihechidii woga unatoka wapi? Kopeni
@halimakihame1744
@halimakihame1744 Месяц назад
Mwigulu umeingia bungeni umekunywa hujui unacho kiongea mala unasema mala unakana hii ikoje
Далее
شربت كل الماء؟ 🤣
00:31
Просмотров 13 млн
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Просмотров 12 млн
شربت كل الماء؟ 🤣
00:31
Просмотров 13 млн