MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda leo mei 23, 2024 amezungumza na Wananchi wa Longido mkoani Arusha kwenye Mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Namanga ambapo amesikiliza na kutatua kero mbalimbali za Wananchi wa Wilaya ya Longido ikiwa ni siku yake ya Kwanza kati ya sita za kutembelea wilaya zote za Mkoa wa Arusha yenye lengo la kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
5 окт 2024