Тёмный

VURUGU BUNGENI MSUKUMA, MATIKO "JANABI AJIELEWE, ASHIKE BREKI, MAZIWA YAMELALA" POMBE KALI NI BALAA 

Uhondo TV
Подписаться 606 тыс.
Просмотров 181 тыс.
50% 1

#UhondoTV #Uhondo

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 252   
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 месяца назад
Msukuma. Allah akulinde. Maashaallah. Unajitambua sana
@bonsondavid5756
@bonsondavid5756 4 месяца назад
Msukuma we ni proffeser,madini unayoyatoa ni fire,sauti ya Magufuli ipo ndani tunaisikia big up
@abudalaabdumalik9362
@abudalaabdumalik9362 4 месяца назад
Uhakika babu
@Lighttemba
@Lighttemba 4 месяца назад
Safi sana mh. Msukuma
@shabanimataka8418
@shabanimataka8418 4 месяца назад
Allah akuzidishie
@michaelmlugu5654
@michaelmlugu5654 4 месяца назад
Msukuma Uko vizuri
@HappyKiteboarder-du9th
@HappyKiteboarder-du9th 4 месяца назад
Wewe ni Zaidi ya wabunge wote bungeni hongera sana upo vzr nchi inahitaji iwe na wakina msukuma Kama wewe mfike 100 tutafika mbaki
@jerryrugiga5157
@jerryrugiga5157 4 месяца назад
Safi sana msukuma unatuwakirisha vyema
@FelixMwacha
@FelixMwacha 4 месяца назад
Msukuma kwa hayo Mungu akubariki
@emmilianlukaye3125
@emmilianlukaye3125 4 месяца назад
Tusemee tusioweza kupaza sauti ikasikika. Mwenye Sikio na asikie ❤❤
@omaryshafii1284
@omaryshafii1284 4 месяца назад
Kiukweli wazungu wanaajenda mbaya sana kwetu tuaiposhituka tutakwisha hongera msukuma mungu azidi kukuongoza
@saramartine7330
@saramartine7330 4 месяца назад
Mm mwenyewe namuelewa sana kwakweli Mr Janaby
@MussaSeseka
@MussaSeseka 2 месяца назад
Vzr saana
@ShabbirAbdulsattar
@ShabbirAbdulsattar 4 месяца назад
Mweshimiwa msukuma hongera na pia nakupongeza lakini jee mmepitilia kwenye vioski wamepata wapi vibali vya kuuzia pombe Kali watu Huwa wanatumia kutoka asubuhi
@alexmatt9504
@alexmatt9504 4 месяца назад
Ahsante sana Msukuma kwa kumwaga upupu,TBS hakuna uthibiti kazi ni kugonga mihuri.Cha msingi hapa ni sisi wananchi/wanywaji kususia hizo pombe za kigeni, acheni ulimbukeni kwa kujigamba unakunywa pombe za kutoka nje ya nchi eti utaonekana ni mtu mwenye uwezo wakati haufahamu kilichochanganywa humo. Kunyweni pombe zinazotengenezwa humu nchini,zipo bia zetu nzuri,pombe kali zenye ubora. Na sio uongo anachosema Msukuma hizi imported liquors nyingi sio salama mtaharibu figo,maini na kusababisha impotence kwa wanaume.
@edsonsalvatory5121
@edsonsalvatory5121 4 месяца назад
Msukumu is very genius❤
@HappyKettlebell-qx7sp
@HappyKettlebell-qx7sp 2 месяца назад
Nakubali Kaká ongea
@ChimolasiniourMagawa
@ChimolasiniourMagawa 4 месяца назад
Hongera mh kasheku mtani wangu. Huwa nakukubali sana ndio wabunge ninao wataka waaina yako
@pablomuyu1670
@pablomuyu1670 4 месяца назад
Unawataka wewe kama nani ??
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 4 месяца назад
Daktari msukuma tumesha chelewa kaka ningumu Sana kwasasa
@nurulukali4291
@nurulukali4291 4 месяца назад
Safii sanaa,, unapoint babaaa😢 ,,viongozii wafanye ytafti ndani ndan huko nd kuna mambo
@benikayange2605
@benikayange2605 4 месяца назад
Daaa! kwaupande waushoga watoto wetu wanangamia kwakweli bora hatamusukuma umesema
@jafarmlawa9627
@jafarmlawa9627 4 месяца назад
Tafti ya msukuma naikubari,, sarutttti
@PascasMathew
@PascasMathew 4 месяца назад
Asnt sana ubarikiwe
@gladyssembojas5308
@gladyssembojas5308 4 месяца назад
Msukuma hoyeeee
@elishayona5887
@elishayona5887 3 месяца назад
Hapo umeingea kaka
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 4 месяца назад
Asante sana
@ramadhanabdul2297
@ramadhanabdul2297 4 месяца назад
🎉huyu ndo msomi pekeee bungeni
@LeahMkwabi
@LeahMkwabi 4 месяца назад
Wabheja sana nsukuma mwichane🎉🎉🎉love you 😍 ❤️ 💖
@RamadhanKitama
@RamadhanKitama 3 месяца назад
Onsukuma ng'wiyo jinga sana! Ahale mbehi o-mpina, nadarahile sana, ontwe gwakwe hamo gomadekile mashi, ali dogohaya genehe?
@ngosimabwai322
@ngosimabwai322 4 месяца назад
Ni kweli kaka chanjo zimezidi sanaa😢😢
@AllyAllyRamadhani
@AllyAllyRamadhani 4 месяца назад
Upo vizuri sana kweli
@johnmichael-zg6sd
@johnmichael-zg6sd 4 месяца назад
Huyu mzee n daktar kabsa
@chrismkama4889
@chrismkama4889 4 месяца назад
Kama si siansa, Bunge liombe ushahidi wa kisayansi kuhusu alichokisema janabi kiletwe tena bungeni ikibidi aje aeleze mbele ya Bunge kama waliyomkosoa hawatahaibika.Wabunge jifunzeni kunyamaza kama hamna uelewa na kile kinachozungumzwa na wataalamu waliyosoma kwa miaka mingi vyuoni na kuhitimu.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 месяца назад
Ila kwa Dr. Janabi. Anaeleweka sana anafundisha vizuri ukimsikiliza utaishi vixuri bilaya maladhi maashaallah. Janabi Allah akupe umri wenyeheri nawe❤❤
@judaspantaleo9779
@judaspantaleo9779 4 месяца назад
Ndio lkn kwa kundi frani la wenye nacho hakuna faida kwa maskini kwa maelekezo yake
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 4 месяца назад
Msukuma ameeleweka kwa wenye akili kubwa tu, mafundisho ya Dr. ni general sana na yanatia hofu hata wasio husika! Awe mahususi!
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 4 месяца назад
​@@judaspantaleo9779so kweli dada masikin hawez kosa maharage mboga za majani tena Mimi imenisaidia sanaa
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 4 месяца назад
Sanaaa
@MahmoudMohamed-gx1fk
@MahmoudMohamed-gx1fk 4 месяца назад
Dr janabi anafafanuw vzr kwa kila aina za watu na kazi zao vp waishi
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 месяца назад
Bunge limechangamkaaa fact kama hizi ndo tunazozihitajiii mtaani pagumu wakuu watu wako na hali ngumuuu😢🫶🏿
@Yerevandayizoh
@Yerevandayizoh 3 месяца назад
Umetisha
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 4 месяца назад
Wape ukweli chpsi mjini bwana,wakulima wapi na wapi
@MelkioryDigha-ry8nu
@MelkioryDigha-ry8nu 4 месяца назад
Huyu jamaa jembe sana safi dah
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 4 месяца назад
Ndio shida yetu watalamu wetu hatwatumii , wazungu hawawezi kutupenda kama munavyokuwa munazani wataraamu amukeni .
@ibrahimkasim922
@ibrahimkasim922 4 месяца назад
Unafaa kuwa waziri ❤❤
@fatmasaid9556
@fatmasaid9556 4 месяца назад
Sana ty
@DavidBundala-u1r
@DavidBundala-u1r 4 месяца назад
Musukuma uko sawa, ila Janabi naye yuko byeee na elimu ya afya, muache atufun dishe afya
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 4 месяца назад
Yaaap,maana hizo machanjo,hazifai kabisaaaa.JPM Alipima papai kama litakuwa na corona.
@MartinGao-pq3ed
@MartinGao-pq3ed 3 месяца назад
Hongera sana musukuma
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 4 месяца назад
Tanga kuna watu bora sana,waaminifu sana,hawana tamaa, wataendelea kuchaguliwa kuwa viongozi wa nchi hii, ni watu sahihi. Amen
@thinktwice7176
@thinktwice7176 4 месяца назад
Hoja yako ya mahali inakujaje hapa
@hakihaki2154
@hakihaki2154 4 месяца назад
Yanga na Zanzibar tofauti yao ndoho Sana ubinafsi 😂😂😂
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 4 месяца назад
Mwamba huyu hapaaaa❤❤❤
@Bareboy-fx9so
@Bareboy-fx9so 3 месяца назад
Nzuri ndugu
@Fatima-b4z5y
@Fatima-b4z5y 4 месяца назад
Safi.sana msukuma
@dechardavid2555
@dechardavid2555 4 месяца назад
Aisee hii nimeipendaa..
@LukaLazaro-fd1kr
@LukaLazaro-fd1kr 4 месяца назад
sukuma 1
@joshuakobe6619
@joshuakobe6619 4 месяца назад
Hajamuelewa Prf. Janabi
@Meshack-q8s
@Meshack-q8s 3 месяца назад
Nan kama uyo mbunge apo bungen hakuna wengne machawa
@MONEY_CHANNEL.
@MONEY_CHANNEL. 4 месяца назад
Prof Janabi Said it Right! If you think it is a joke, Keep ignoring it as Ignorance is expensive than Education
@flomenamvungi988
@flomenamvungi988 4 месяца назад
Mzee uyu yupo vzr
@MalikiaRecho
@MalikiaRecho 2 месяца назад
Nikweli kaka angu hili ni tatizo
@backrissmgayamgaya749
@backrissmgayamgaya749 4 месяца назад
Safiii
@jerryrugiga5157
@jerryrugiga5157 4 месяца назад
Umenigusa sana kwenye swala la chanjo na kutahiri watu
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 4 месяца назад
Hata mimi aisee huyu jamaa ni mtu na nusu
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 4 месяца назад
Ila watu kama hawa ni kama hawathaminiwi, ila huyu kaka ni lulu kweli. Ameongea mambo kontu
@selemanikazingini5566
@selemanikazingini5566 4 месяца назад
Msukuma ni msomi kweli kweli Ni afadhali ya msukuma aliyesoma informal education
@mkulimamananasi
@mkulimamananasi 4 месяца назад
Safi sana msukuma huo ndio uzalendo, nchi hii haina utafiti
@deoluma1706
@deoluma1706 4 месяца назад
Ahsante sana maukuma.hizi chanjo zimezid balaa
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 4 месяца назад
Ushazingua 😂😂
@KhadijaDaudi
@KhadijaDaudi 4 месяца назад
Maukuma tena
@KhadijaDaudi
@KhadijaDaudi 4 месяца назад
😢
@MarryMathias-g6k
@MarryMathias-g6k 6 дней назад
Msukuma baba tuongeleee uko jmn skunikikuona ntakupa zawad unaongea point jmn daaah
@matthewmichaelsylvester5612
@matthewmichaelsylvester5612 4 месяца назад
kweli kaka DR MSUKUMA
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 4 месяца назад
Naona wakevi mnakuwa wakali musuku kugusa pombe zenu.Mpaka mnamtukana,tena hizo pombe ziondolewe kabsa,hazina faida kabsa.
@aarona.midende1789
@aarona.midende1789 4 месяца назад
Namkubari Sana huyu jamaa Msukuma
@andreap.assenga8480
@andreap.assenga8480 4 месяца назад
Viwanda bubu ni vingi sbb Ya urahisi wake wa kutengeneza spirit na ladha ya chakula tu tayari pombe suala la kifo watu hawana huruma siku hizi,bora umewaeleza ukweli.
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 4 месяца назад
CCM ni janga la taifa namba moja.
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 4 месяца назад
Weee kweli au
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 4 месяца назад
MSUKUMA HONGERA SANA. HIZI CHANJO NA POMBE ZIFANYIWE TAFITI
@bennygwasa4563
@bennygwasa4563 4 месяца назад
Msukuma ana akili sanaaaa
@julyodette6945
@julyodette6945 4 месяца назад
Papai la njano nje ndani kugumu kama maisha ya mtanzania wa kawaida☹️ Hatuna vyakula vya asili masoko yamejaa matakataka tu matunda holaaa nafaka ndo usiongee mifugo huko ndo full michanjo 😭😭😭 huko mbele ni taabu tupo
@allysaidallysaid4530
@allysaidallysaid4530 4 месяца назад
mimi ningekuwa mbunge nanipo bungeni ningeomba kiti changu kiwe karibu na msukuma😂😂😂
@HenryNJohn-mm5zn
@HenryNJohn-mm5zn 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@frankkitosi732
@frankkitosi732 4 месяца назад
Sema msuma
@mejamiela7436
@mejamiela7436 4 месяца назад
Kwa magufuli cooker hazikuepo alizifuta ndo viroba na double punch hz hzo
@emmanuelsalala-xu1xj
@emmanuelsalala-xu1xj 4 месяца назад
Ni kweli kabisa lakini serikali,haichukui hatua hizo chajo ni nyingi muno
@emanuellukwaro1032
@emanuellukwaro1032 4 месяца назад
Hata mm nimekuwa na mashaka na hizi chanjo dawa ni sumu ndio maana unapewa kwa doz iweje chanjo inatolewa kwa msaragambo?
@jumarajabu5066
@jumarajabu5066 Месяц назад
Ni miaka kadhaaa sasa nakufatilia msukuma ila nimekuja kugundua ww ni zaid ya professor tukipata watu 20 kama ww tunaweza kuwa salama kila hatua tunayo piga ,mwamba nakuheshim sana natama upate uwaziri Wa kitengo mhim
@jumaigoti7541
@jumaigoti7541 4 месяца назад
Wape vidongevyao
@godfreysimoni4270
@godfreysimoni4270 4 месяца назад
Huyo ni zaidi ya pr.
@NicksoniSajilo
@NicksoniSajilo 3 месяца назад
Ww nimsema kweri wachanetu
@ghottaman2570
@ghottaman2570 4 месяца назад
Kweli mtani wangu tunakula na kunywa vitu vya hovyo sana siku izi yani magonjwa matupu
@DeborahSichone-b9c
@DeborahSichone-b9c 4 месяца назад
Kweli msukuma chanzo,na na hujo janabi hapana lazima tule tushibe na chanjo
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 4 месяца назад
😂😂😂 Msukuma oyeeeee
@arttilioemiliam2419
@arttilioemiliam2419 4 месяца назад
Changamoto sio maprofesa tu hata hapo kwako. Mmmm sijawapata kabisa. Rushwa urasimu. Vyuo shuke wanasakili maelfu ya wanafunzi kwa lisaa lakini ardhi itatembea miaka bilakupata umiliki wa ardhi. Bank hakuna mikopo kwa wanyonge... Utafuti unahitajika lakini kuwa na watunga sera hai na Serikali hai
@victorkambona2024
@victorkambona2024 День назад
Tanzania tuna watu sema tu hatuwaungi mkono
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 4 месяца назад
Musukuma na DP world oyeeeee
@MathiasMusobi-ob9cn
@MathiasMusobi-ob9cn 4 месяца назад
Yaendelee kutolewa maelezo kwa kina juu ya madhara mbalimbali ya afya
@VenaEliki
@VenaEliki 4 месяца назад
Yaan wabunge mnaacha mambo ya bima ya afya nilijua mtakataa ghalama za bima kupanda mnazungmzia kadi za watoto
@abdallahabdu8194
@abdallahabdu8194 4 месяца назад
wewe msukuma kweli , hujamuelewa prof. msikilize tena vizuri. sio ujazo wa chakula kula ubora wa chakula , na aina yake. haya asbh uji, mchana ugali ,usiku wali/ugali tena kula kwa mwaka huku unalima au zaidi lazima mwaka unafuata unapiga hodi MNH unabisha endelea . na unachokilima kipo gharani halafu NHIF imeota miguu
@yohanamkaga5230
@yohanamkaga5230 4 месяца назад
Ni mawazo Yake na wewe unaweza changia. Lengo la msukuma siyo kupingana na janabi ila anajaribu kuconect swala la chanjo, madawa vyakula na kinywaji vinavyoingizwa inchini vifanyiwe utafiti.. wewe ndo hujamuelewa msukuma
@JoshuaLaiza-ze7ge
@JoshuaLaiza-ze7ge 4 месяца назад
uuuwi na mbona Kuna sehemu zingine tunalipishwa mpaka mjamzito analipishwa kadi mtoto mfogo tunalipishwa
@babazizu1255
@babazizu1255 4 месяца назад
Msukuma mtani wangu vazi la kiisilam linakutoa kwer aisee
@anthonytido
@anthonytido 4 месяца назад
❤❤❤❤
@fridageorge2809
@fridageorge2809 4 месяца назад
Yaani sasahivi watu tunaumwa magonjwa hayaeleweki!inasikitisha sana!
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 4 месяца назад
Msukuma mbunge kula tano iyo ✊👊
@isakaandrea5056
@isakaandrea5056 4 месяца назад
Duuuu
@aaronswai3092
@aaronswai3092 4 месяца назад
Msukuma yuko sawa! Misaada ya mabeberu ni ya kuogopa kama ukoma. Mingi ina masharti nyuma ya pazia inalenga matakwa yao ya kipepo!
@aquinastera7404
@aquinastera7404 4 месяца назад
Taarifa 😅😮 Pombe 🍺 🤖 mteja 😂
@salcle9702
@salcle9702 4 месяца назад
Kuku wa kisasa na mayai ya kisasa
@alexmatt9504
@alexmatt9504 4 месяца назад
Hilo nalo ni janga,kwa sababu dawa na sindano wanazolishwa hawa broilers na kukua kwa muda mfupi lazima mlaji utapata madhara.
@Ndushikayungilo722
@Ndushikayungilo722 4 месяца назад
Hakika msukuma wewe ni mbunge wa taifa hakuna siku uliyofeli kwenye hoja za msingi, hongera kiongozi
@MwanamkuuNassoro-q3q
@MwanamkuuNassoro-q3q 4 месяца назад
Ila huyu kaka jaman yuko vzur atafka mbali jaman kumbe dunia imekwsha hyo jaman TBS tusaidien tunakwsha😭😭
@zawadisisto8188
@zawadisisto8188 4 месяца назад
Asante msukuma nakuelewa sanaa mwamba unaongea uhalisia
@officialcrayzemantz
@officialcrayzemantz 4 месяца назад
Uyu msukuma siangekua President
@jumannerajabu5288
@jumannerajabu5288 4 месяца назад
Wape msukuma😂
@happymarchiusnjungani1138
@happymarchiusnjungani1138 4 месяца назад
Hapoo chukua maua yakooo bila kificho umeongea vyema mnooo
@ElizabethFumbuka
@ElizabethFumbuka 5 дней назад
Yaani huyu janabi apimwe akili
@modrikabdallah
@modrikabdallah 4 месяца назад
Kweli msukum ata rais samia mchaane,
Далее
I Built a SECRET Lamborghini Dealership!
33:02
Просмотров 10 млн
Msukuma acharuka Bungeni #Efatha #kiboko ya wachawi
8:02