Eliudi ni comedian ambae anachekesha vitu vinavyoendelea mda huo huo hajiandai na point Wala vikalatasi , ni kipaji kutoka kwa mungu kabisa automatic, aminia sana
Waomba like sijui niwatukane kidogo maana mnakela kweli kweli kama hizo like zinafaida si bora mseme tufaidike wote na sio kukaa mnaomba like kila muda
Eliud natambua kwamba hapo upo tukio la mziki/injili ya dini Ila jitahidi unapokuwa kwenye kumbi zingine ujue kwamba mashabk waliopo ni wa dini tofauti,, hvyo toa salamu zinazogusa dini zote Mara kwa mara nimekuona ukitoa salama za kuegemea upande mmoja ilhali unakuta upo ktk kumbi yenye kuhudhuriwa na watu wa dini tofauti tofauti
Ulishawahi kuona waislam wameenda mahali wakasema Bwana Yesu asifiwe? Sisi wakristo tunajifanyaga siyo wa kirohoo yaani uonekane mzurii wewe fanya research popote Waislamu wakisimama mahali salamu yao ni moja tu sasa kwa nini sisi tusiwe na salamu moja itaka usiitike hiyo ndo salam
@@nathanielmpalila567 najua hilo ndo maana sentensi yangu ya kwanza nimerealize hilo Ila nimempa angalizo pale anapokuwa kwenye kumbi zenye kukusanya watu wa dini tofauti azingatie nilichoshauri just for his prosperity growth SANAA ni pamoja na kutambua hadhira unayoenda kuiburudisha
@@evasilaa9064 Hayo pía ni mapungufu ya hao wanaoshindwa kuaddress hilo Ila Mamá Samia, PM Majaliwa Kabudi nishasikia wakisalimia kwa salamu zote mbili
Wee nae kama utaki acha embu muache unafki hiyo aleluya inakukera nini mbona kuna anko zumo hajawahi salimia kawaida zaidi ya kislam embu acheni kujiona watakatifu mnaniboa kiukwel