Тёмный

DAKIKA 7 ZA ELIUD MLIMANI CITY 

Eliud Samwel
Подписаться 102 тыс.
Просмотров 110 тыс.
50% 1

Приколы

Опубликовано:

 

15 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 83   
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 4 месяца назад
Eliudi ni comedian ambae anachekesha vitu vinavyoendelea mda huo huo hajiandai na point Wala vikalatasi , ni kipaji kutoka kwa mungu kabisa automatic, aminia sana
@PauloFlorence
@PauloFlorence 4 месяца назад
Eliud best comedian wa mda wote....alafu hatukani wala hadhihaki, anamtanguliza Mungu. 😊
@clementbonifasi3515
@clementbonifasi3515 4 месяца назад
ila Eliud jamani. The best talented comedian. Mungu kakubariki sana Kwa hicho kipaji chako. Kufanya watu zaidi 200 wacheke si kazi ndogo. BIGUP TO U
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 4 месяца назад
Elliud is the best comedian. Nimeishi Mbeya kwahiyo nikisikia anaongea nakumbuka Mbeya Tukuyu,Kyela, Ipinda, Masoko,Ushirika, Kiwira huko.
@user-vy2fc5nc5u
@user-vy2fc5nc5u 4 месяца назад
Waomba like sijui niwatukane kidogo maana mnakela kweli kweli kama hizo like zinafaida si bora mseme tufaidike wote na sio kukaa mnaomba like kila muda
@dolveyzabdi4261
@dolveyzabdi4261 4 месяца назад
Sasa wew zinakusaidia nn😏
@barakakusa7606
@barakakusa7606 4 месяца назад
Haya chukua hizo uone kama zinafaida😅
@freystar2684
@freystar2684 4 месяца назад
Baada ya m2 kutona maon yake baada yakuona kituflan yeye anataka like😊
@agripinagaudence7744
@agripinagaudence7744 4 месяца назад
Siipendi comment ya kuomba like
@macdonaldmassawe6277
@macdonaldmassawe6277 4 месяца назад
Mi sielewagi mtu akiwa wakwanza labda kuangalia au kucomment anaomba like sasa sijui huwa wanalipwa kutokana na like nyingi 😅😅
@alonijoseph5466
@alonijoseph5466 4 месяца назад
Nimekuwa wa kwanza naomben like Zang 🔥🔥🔥
@bahatilaizer8706
@bahatilaizer8706 4 месяца назад
Jamani nimekuwa wa 9 Naombeni like Zenu kwa niaba ya Eliud samweli ❤
@MartinGaitan-nj9ef
@MartinGaitan-nj9ef 2 месяца назад
Kaka mungu aibilik Kaz ya mikono yako ❤
@simonngailo
@simonngailo 2 месяца назад
Bro eliud akika mungu kakubaliki sana na ndio maana kakupa kipaji unaiwakilisha mbeya yetu kaka
@benardmapuga4737
@benardmapuga4737 2 месяца назад
Sio mbeya yenu tu Tz nzima tunamfuatilia na kumkubali
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d 4 месяца назад
Kwenye tunasuburia lifti tunanyanyasika sana ata aturelax mda wote macho yapo kw mwenye gari 😂😂😂 ... eee mungu tuone na sisi❤
@Egon-rg6go
@Egon-rg6go 4 месяца назад
God bless you bro unajuaa sanaa
@rizspecial4669
@rizspecial4669 2 месяца назад
Ila huyu jamaa anapiga story tu hakulazimishi kucheka ila utacheka tu🔥🔥🔥😀
@tiopherysanga2934
@tiopherysanga2934 2 месяца назад
umetisha home boy mtoa lift uwe naye makini japo ana vits
@triceta1234
@triceta1234 4 месяца назад
Eliud the best🙌🙌🙌
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 4 месяца назад
Eliud ndmaan halis ya StandUp comedy
@FanyJimmy
@FanyJimmy 4 месяца назад
😂😂😂😂et mmekalili nyimbo week mbili 😀😀😀😀 ila eliiiii
@user-tv1do5fb8r
@user-tv1do5fb8r 4 месяца назад
Amen 🙏
@PASTORELIYANGILANGWA
@PASTORELIYANGILANGWA 4 месяца назад
Mko vizuri
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 4 месяца назад
Msanii anaonekana kwa mbaaaaaaali sasa sijui unataka tuone nini
@hilaryroberts7466
@hilaryroberts7466 4 месяца назад
Brother Unajua Sanaa
@neemasamwel9545
@neemasamwel9545 4 месяца назад
Uwiii nimecheka kama mwehu Eliud🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂
@LastyBonyshoka
@LastyBonyshoka 4 месяца назад
Apo Safi sana kaka
@mathiaslyimo9373
@mathiaslyimo9373 4 месяца назад
Aisee hii kiboko, nimecheka hatari 😂😂😂😂
@kikotimedia6638
@kikotimedia6638 4 месяца назад
Talented
@REBEKAHAMISI
@REBEKAHAMISI День назад
Unajuwa wakwetu
@LiboryMulunga
@LiboryMulunga 4 месяца назад
Unagusa TU hutumii nguvu
@petermsabi2830
@petermsabi2830 4 месяца назад
Eliud noma
@DianaRose-kh7sr
@DianaRose-kh7sr 2 месяца назад
❤❤
@tycoon9540
@tycoon9540 4 месяца назад
Eliud natambua kwamba hapo upo tukio la mziki/injili ya dini Ila jitahidi unapokuwa kwenye kumbi zingine ujue kwamba mashabk waliopo ni wa dini tofauti,, hvyo toa salamu zinazogusa dini zote Mara kwa mara nimekuona ukitoa salama za kuegemea upande mmoja ilhali unakuta upo ktk kumbi yenye kuhudhuriwa na watu wa dini tofauti tofauti
@nathanielmpalila567
@nathanielmpalila567 4 месяца назад
Hyo ni ibada ..iliyoambatana na praise and worship.... Kwa hyo lazima asalimie kutokana na ibada ..
@evasilaa9064
@evasilaa9064 4 месяца назад
Ulishawahi kuona waislam wameenda mahali wakasema Bwana Yesu asifiwe? Sisi wakristo tunajifanyaga siyo wa kirohoo yaani uonekane mzurii wewe fanya research popote Waislamu wakisimama mahali salamu yao ni moja tu sasa kwa nini sisi tusiwe na salamu moja itaka usiitike hiyo ndo salam
@tycoon9540
@tycoon9540 4 месяца назад
@@nathanielmpalila567 najua hilo ndo maana sentensi yangu ya kwanza nimerealize hilo Ila nimempa angalizo pale anapokuwa kwenye kumbi zenye kukusanya watu wa dini tofauti azingatie nilichoshauri just for his prosperity growth SANAA ni pamoja na kutambua hadhira unayoenda kuiburudisha
@tycoon9540
@tycoon9540 4 месяца назад
@@evasilaa9064 Hayo pía ni mapungufu ya hao wanaoshindwa kuaddress hilo Ila Mamá Samia, PM Majaliwa Kabudi nishasikia wakisalimia kwa salamu zote mbili
@anjelmoses624
@anjelmoses624 4 месяца назад
Wee nae kama utaki acha embu muache unafki hiyo aleluya inakukera nini mbona kuna anko zumo hajawahi salimia kawaida zaidi ya kislam embu acheni kujiona watakatifu mnaniboa kiukwel
@MiracleJeremia
@MiracleJeremia Месяц назад
Unajua sana kaka
@lucasbatano333
@lucasbatano333 4 месяца назад
Eliudi we ni noma
@atupelemsomba5451
@atupelemsomba5451 Месяц назад
@ed1goandshine844
@ed1goandshine844 4 месяца назад
Unajua home boy
@PASTORELIYANGILANGWA
@PASTORELIYANGILANGWA 4 месяца назад
Tunaipataje Live hiyo event???
@kelvinkaribuhe4189
@kelvinkaribuhe4189 2 месяца назад
Jamaa anajuwa
@Lizyokoye
@Lizyokoye 3 месяца назад
Kwann kibamba jaman
@tawiso_online_tv.
@tawiso_online_tv. 4 месяца назад
Eliud fungua kanisa😂😂
@WetchiKhams
@WetchiKhams 4 месяца назад
🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉
@FrankAugustino
@FrankAugustino 2 месяца назад
😅😅
@Oredi_Mweusi444
@Oredi_Mweusi444 4 месяца назад
😂😂❤❤
@patientlazaro6930
@patientlazaro6930 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅 eti G flat ama hapo kapiga flat/ out of key 😅😅😅😂😂 Kama vile kweli
@francistuntufye7941
@francistuntufye7941 4 месяца назад
😂😂😂
@Dronepilottz
@Dronepilottz 4 месяца назад
Mwagona
@user-yj5zw8yi5i
@user-yj5zw8yi5i 4 месяца назад
Ewani zimbombo
@fwalotv5625
@fwalotv5625 4 месяца назад
🎉🎉😢🎉
@neemasamwel9545
@neemasamwel9545 4 месяца назад
Ila Eliud 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@chalamilaprinciple4164
@chalamilaprinciple4164 4 месяца назад
😂😂
@user-om7pp7zo6y
@user-om7pp7zo6y 4 месяца назад
😂😂😂😂❤🎉
@Mashema_media
@Mashema_media 3 месяца назад
😅😅😅😅😅😅😅
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 4 месяца назад
Mpiga picha hajui
@NordPictures012
@NordPictures012 2 месяца назад
Wee unae jua upo wap
@giggsmsogoya4406
@giggsmsogoya4406 4 месяца назад
😂😂😂😂
@evianarafael8965
@evianarafael8965 Месяц назад
😅😅😅❤❤❤
@PatriciaJoseph-fq5nw
@PatriciaJoseph-fq5nw 4 месяца назад
Eliudii😂😂😂
@davidawet3214
@davidawet3214 3 месяца назад
😂,😂😂
@cbegram6161
@cbegram6161 3 месяца назад
Hivi mc madevu yupo wapi jamani
@gracekikula6279
@gracekikula6279 6 дней назад
Hata mimi natamani kujua aisee!yuko vizuri sana madevu
@user-zj3ev9eu9w
@user-zj3ev9eu9w 3 месяца назад
.
@shadrackadam4506
@shadrackadam4506 4 месяца назад
😂😂😂😂 hahahaha
@floramallema8555
@floramallema8555 4 месяца назад
😅😅😅😅😅🎉❤
@Dady-B
@Dady-B 4 месяца назад
😅kaka 😂😂😂😂
@tiopherysanga2934
@tiopherysanga2934 2 месяца назад
leo umegundua akina samuel wote nishort
@naperiantv7297
@naperiantv7297 4 месяца назад
😂😂
@georgedionizi4574
@georgedionizi4574 3 месяца назад
😂😂😂
@user-dj2vm7lb6x
@user-dj2vm7lb6x 4 месяца назад
😂😂
@JumaKassim-ig1bw
@JumaKassim-ig1bw 3 месяца назад
😂😂😂
Далее
skibidi toilet 76 (part 2)
04:28
Просмотров 14 млн
TxDullah alivyonogesha uzinduzi wa Cheka Plus TV
5:51
Просмотров 105 тыс.
NILICHORA TATOO YA MWANAMKE, AKANIACHA, MC ELIUD
6:20
Просмотров 426 тыс.
MC ELIUD ALICHOKIFANYA KWENYE HARUSI HII UTACHEKA
17:02
Tom Daktari’s Performance in TANZANIA.
4:31
Просмотров 189 тыс.