Тёмный

ELIUD AITIKISA CHEKA TU FESTIVAL, MAMA DANGOTE HOI KWA KUCHEKA... 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 362 тыс.
50% 1

ELIUD AITIKISA CHEKA TU FESTIVAL, MAMA DANGOTE HOI KWA KUCHEKA...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

17 дек 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 129   
@siloomar7699
@siloomar7699 2 года назад
Huyu jamaaa ni Baba lao..ktk stand up commedy
@gloriamsola6067
@gloriamsola6067 Месяц назад
Unajua Eliud hiyo ni karama mungu akujalie sana hutumii nguvu mdogo wangu
@onlinemateustv1925
@onlinemateustv1925 2 года назад
Yaani huyu jamaa anapo anza kama anatania lakini anauwezo mkubwa hii ndio nasemaga kuchekesha mpaka (Msomi au mwenye hela ) Yupo vizuri sana sana anatoka juu kwani watu wa nahitaji bado yaani kunamuda unaweza toka hapo huja cheka ila ukifika njiani ukikumbuka unaanza kucheka tena
@samwelbunzali1914
@samwelbunzali1914 2 года назад
Kuna watu Wana coment bila kuskia had mwisho bongo bna: noma sanaaa...
@gradnessshitindishitindi4881
@gradnessshitindishitindi4881 2 года назад
Kaka nlkuwa nakutafuta kwa mda mrefu! Bigup kakaangu Eliud, home sweet home #mbeya# home
@002RYE
@002RYE 2 года назад
Mwanangu Sanaa...love from kenya🔥🔥🔥🔥🙌huyu ndiye mshindi wa cheka tu
@omaryathuman4755
@omaryathuman4755 2 года назад
Voice haijakaa sawa
@mwljuliuskiwovele223
@mwljuliuskiwovele223 2 года назад
Eliud ndio mtu pekee anayeweza kupangilia maneno na Mada wakati wa kuchekesha.alistahihili nafasi ya pili kwa kadiri ya wakati ule ,ila mpaka sasa Daaah sina cha kusema ni kama Aza boy vile
@j.bjacobbasubi2187
@j.bjacobbasubi2187 2 года назад
We nimkali kuwakiko🇨🇩💪🇺🇬
@barakakwanjula7634
@barakakwanjula7634 2 года назад
Yupo vizuri then watu wanamkubali
@witsonjames
@witsonjames 2 года назад
Anajua sana huyu jamaa
@dostovan5142
@dostovan5142 2 года назад
Hahaha nipe mkono😂😂😂😂😂 kwa sauti chini
@irenemassawe7102
@irenemassawe7102 2 года назад
Bro unajua sana......hongera
@jayboy9552
@jayboy9552 2 года назад
Good 👍
@ramayonline2281
@ramayonline2281 2 года назад
Eliud ameua sanaaaaa
@rukiaissa5180
@rukiaissa5180 2 года назад
Ila huyu kaka😀😀😀😀😀😀
@chybuwagwantaz8054
@chybuwagwantaz8054 2 года назад
Manina nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rangos4749
@rangos4749 2 года назад
Hii ndyo stand up comedy tunayoitaka,eliud wafundishe hao wengine, wajifunze jins ya kutengeneza na kupangilia story moja na sim vipandevipande kama watoto wadogo, we unakuta MTU ndani ya sentens mbili ameshaongea maada said ya 9, eliud wafundishe hao
@deboraezekiel784
@deboraezekiel784 2 года назад
Hahahahaha eliudi ndo noma sana
@peterfujokalogi7821
@peterfujokalogi7821 2 года назад
Hakika wewe ndo ulistahili kuwa namba 1 aiseee unajua sema basi tu
@shukranitv2971
@shukranitv2971 2 года назад
Nice sana
@augustinenjesi3215
@augustinenjesi3215 2 года назад
Jamaa anajua Sana sio siri
@happymackjacob3480
@happymackjacob3480 2 года назад
Sanaaaaaaaaa
@gerrykhantz1800
@gerrykhantz1800 2 года назад
Huyu mshikaji anajua sana
@selemanichristopher7188
@selemanichristopher7188 2 года назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@eliudkwesigabo9321
@eliudkwesigabo9321 2 года назад
💯💯
@user-dq8nw3hx7g
@user-dq8nw3hx7g 5 месяцев назад
Mi nakupndaga tu kaka eliud yan unajuwa kunifulahisha,Ila mngu akusimamie sana
@user-wf1vk5eu5q
@user-wf1vk5eu5q 6 месяцев назад
This is best😍😍😍😍😍😍😍
@idrisahassani9700
@idrisahassani9700 2 года назад
Guuuuh
@user-ub4rx9en3t
@user-ub4rx9en3t 5 месяцев назад
Noma❤❤❤
@user-gl8zm4mx6k
@user-gl8zm4mx6k 4 месяца назад
Wallah uongo dhambi eliud fundi San wa comedy sjaona more than him on my side .... Broo ni fire 🔥
@MosesMamaya
@MosesMamaya 7 месяцев назад
🎉🎉🎉❤❤❤ nakupenda buree kaka
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 2 года назад
Echoes
@user-mk3pu3fe9l
@user-mk3pu3fe9l Год назад
Congrats bro👍
@selemanichristopher7188
@selemanichristopher7188 2 года назад
Tuwakilishe man Wana mbeya
@omodesigner
@omodesigner Год назад
Wow
@ambokilekanama9715
@ambokilekanama9715 2 года назад
Daaaah mungu aendeleee kukulinda brother pia endelea kupambana upo vizuri sanaaaaaaaaaaaaaa atakae sema hujui huyo anafitina nawewe
@michaelnzunda7347
@michaelnzunda7347 2 года назад
Kuna wa2 Wana kalama,hachekeshi lkn tunacheka
@NiceBiscuit-qo4dq
@NiceBiscuit-qo4dq Год назад
ahahahahahaahahahahahahahh mung n mwem akushindie kwa kila jmb ❤
@LinaSalumu
@LinaSalumu 3 дня назад
ubalikiwe sana Mimi uwa naweka MB kwajili ya eliud
@michaelreus8974
@michaelreus8974 2 года назад
🤘🤘🤘🤘🤘🤘
@boazambokile2587
@boazambokile2587 2 года назад
🤣😂🤣🤣🤣 usiludi mbeya
@efransiafrank2560
@efransiafrank2560 5 месяцев назад
Nakupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@agripinakayumbo2365
@agripinakayumbo2365 2 года назад
Talented
@meshackwilliam5626
@meshackwilliam5626 2 года назад
🔥 🔥🔥🔥🔥
@fralex_1276
@fralex_1276 2 года назад
Nampenda xna huyu
@amashamakweta8648
@amashamakweta8648 2 года назад
Nakubali
@aishamwaipopo6137
@aishamwaipopo6137 2 года назад
Unajua sana
@jessejulius9735
@jessejulius9735 2 года назад
Hatari sana 🔥🔥🔥🔥😆😆😆 ... Greeting from Mbeya
@KoreanDramaMoviesKiswahili
@KoreanDramaMoviesKiswahili 2 года назад
🔥🔥🔥
@malickkasuga4805
@malickkasuga4805 2 года назад
Ameuaa mbeya boy
@GiftFrank-bv6ws
@GiftFrank-bv6ws 3 месяца назад
Ilovee you fanya uni aproch bas kak dhaa
@user-kh6ei4yp3v
@user-kh6ei4yp3v Год назад
💐💮🎉
@salvatorymnyambugi5877
@salvatorymnyambugi5877 2 года назад
Dogo upo poa?hongera sana
@saumuimeda5181
@saumuimeda5181 2 года назад
😂😂😂🔥🔥🔥🙌
@laurentkashebanda1139
@laurentkashebanda1139 2 года назад
Huyu jamaa htr
@cashbamzotz9319
@cashbamzotz9319 2 года назад
Oyooooo
@reginakishenyi9533
@reginakishenyi9533 2 года назад
Hahahahaha umepata kaka jaman😃
@mangapastortee3038
@mangapastortee3038 Год назад
Huyu jamaa 😃😅😅
@abrahamallen6348
@abrahamallen6348 2 года назад
unaweza mwamba ukoseii
@selemanichristopher7188
@selemanichristopher7188 2 года назад
Xana man
@happynessmathias4085
@happynessmathias4085 2 года назад
Eliudi umeua balaa broo
@user-wr6lc3jz6g
@user-wr6lc3jz6g 2 года назад
😁😁😂👏👊
@jonathanmapamba4807
@jonathanmapamba4807 2 года назад
😂😂😂😂
@rasakakaombwe
@rasakakaombwe 3 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@simba_de_leo5042
@simba_de_leo5042 2 года назад
🙌🙌🙌😁😁🤣🤣
@yordanyona1234
@yordanyona1234 2 года назад
Hahaha
@franksiwale7148
@franksiwale7148 2 года назад
Unajua
@mwljuliuskiwovele223
@mwljuliuskiwovele223 2 года назад
Hyu jamaa hatumii nguvu kubwa kuchekesha
@ntullyjanga33
@ntullyjanga33 2 года назад
Kaka ako huyo dgo muheshimu
@peterbuju5216
@peterbuju5216 2 года назад
😃😃😃😃
@RockaChiOfficial
@RockaChiOfficial 2 года назад
😂😂😂
@annamwanyelele9084
@annamwanyelele9084 2 года назад
Hahahahhaha
@saramwamita4295
@saramwamita4295 2 года назад
Hahahaahhahahha eliudiiiii
@kyelaonlinetv2
@kyelaonlinetv2 2 года назад
Home boy kabisa wewe una tukana kwamba hauna ukalibu na mond
@HaleluyaKalalu
@HaleluyaKalalu 6 месяцев назад
Jamani maana ya comedy Ni nini?
@IbrahSalum-ok7xl
@IbrahSalum-ok7xl Год назад
Hatariiiiii 😂😅
@kelkonkelkon4354
@kelkonkelkon4354 2 года назад
Big up saana
@abrahamallen6348
@abrahamallen6348 2 года назад
😂😂😂😂😂😂
@nahyyaomar7611
@nahyyaomar7611 2 года назад
Ovyoooo
@002RYE
@002RYE 2 года назад
Kojoa ulale
@boyochu1308
@boyochu1308 2 года назад
Nenda ukachekeshe wewe
@gloriamsola6067
@gloriamsola6067 Месяц назад
Roho mbaya na inavyoonekana huna maendeleo na uzidi kuwa maskini
@sevelinahinnocent6803
@sevelinahinnocent6803 Год назад
😅
@muranisalim3572
@muranisalim3572 2 года назад
😂🤣
@Onetakestudiotz
@Onetakestudiotz 2 года назад
Chiz sana
@morebeatz44
@morebeatz44 2 года назад
Dah hyu jamaa nmecheka
@geofreybenito6835
@geofreybenito6835 2 года назад
🤣🤣🙌🙌
@johnbrain3263
@johnbrain3263 2 года назад
Great storyteller comedian..
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 2 года назад
Dogo leka ubhutungulu kha!kkkkkkk
@abubakaribinaisa9812
@abubakaribinaisa9812 2 года назад
Iki kichwa hakipo saw
@massimilianoraffadali5482
@massimilianoraffadali5482 2 года назад
Wasafi wanata kuleta mfano ya mama dangote kwa sababu wanapenda wanawake wote wawe kama yeye. Mwanamke anayolala na watu wengi ni malaya kubwa. Amezaa nye ya ndoa, anaishi na mwanaume siyo mume wake, amelala na watu weeengi. Akiendelea kufanya hayo mambo atachomwa motoni, na mtoto wake pia. Msifatene mfano yao.... aibu kubwa ya Tz.
@damianjeremia3821
@damianjeremia3821 2 года назад
Kila mtu anadhambi zake wew pambana na za kwako
@Momo_96
@Momo_96 2 года назад
Naomba Nikwambie Kitu Fuata Kile Kinacho Kufaa Hayo Mengine Zidhani Kama Yanakuhusu Waachie Wao..... You Ain't In A Position To Judge!!
@massimilianoraffadali5482
@massimilianoraffadali5482 2 года назад
Kila mtu aombe msamaha kwa dhambi zake na atapata msamaha. Lkn akitangaza dhambi hawezi kupata msamaha na atachomwa motoni
@reagankhalifa1416
@reagankhalifa1416 2 года назад
Acha kuhukumu we kuma so kaz yako
@massimilianoraffadali5482
@massimilianoraffadali5482 2 года назад
Ni kazi yangu kumhukumu
@nanceaidan6622
@nanceaidan6622 Год назад
Kiingilio huwa Bei gn kwani
@azhman4815
@azhman4815 2 года назад
Anajuaa xana
@barakahtwinzi2884
@barakahtwinzi2884 2 года назад
Gwakaka ubombileee
@KleofasiNchimbi
@KleofasiNchimbi 3 месяца назад
Kaka unajua kutoa ujumbe
@estherhayeshi2301
@estherhayeshi2301 6 месяцев назад
Iki kipindi kinaonyeshwa jumangapi na sa ngapi
@dogod8002
@dogod8002 2 года назад
Fundiiii
@princearamyog5816
@princearamyog5816 2 года назад
Hhahahaah ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-uSkVq7ZgkW8.html
@mhifadhi797
@mhifadhi797 2 года назад
Baambi ni chuma
@maikonuronu738
@maikonuronu738 2 года назад
Hamn kitu apo
@lastgospel706
@lastgospel706 2 года назад
Ata mm naona kaka amna kitu ani..kawaida yani sanaaa
@theresiacostantine132
@theresiacostantine132 2 года назад
Wivu
@yasiralkindi5332
@yasiralkindi5332 2 года назад
@@lastgospel706 wivu ni noma asee
@lastgospel706
@lastgospel706 2 года назад
@@theresiacostantine132 hapana sio wivu ssbabu hajafanikiwa bado ni mtaftaji ndo anaanza kwaio nikisema namuonea wivu ntakua namkosea. Mi nimesema kutokana na hisia zangu za kupokea kazi yake kwamba mm haijanichekesha..
@lastgospel706
@lastgospel706 2 года назад
@@yasiralkindi5332 @Theresia Costantine hapana sio wivu ssbabu hajafanikiwa bado ni mtaftaji ndo anaanza kwaio nikisema namuonea wivu ntakua namkosea. Mi nimesema kutokana na hisia zangu za kupokea kazi yake kwamba mm haijanichekesha..
@usanifumaandishi7519
@usanifumaandishi7519 2 года назад
#Fatinah sehemu ya nane msimu wa pili ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-XpzTrVjSCw8.html
@paulmgoli4853
@paulmgoli4853 2 года назад
😂😂
@barakahtwinzi2884
@barakahtwinzi2884 2 года назад
Gwakaka ubombileee
Далее
Каха заблудился в горах
00:57
Просмотров 7 млн
ELIUD ALIVYOCHUANA KWENYE BATTLE EDITION
7:53
Просмотров 437 тыс.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
MC ELIUD ALICHOKIFANYA KWENYE HARUSI HII UTACHEKA
17:02
Mpoki, Mtanga, Eliudi | Mkutano wa wanakijiji
9:22
Просмотров 418 тыс.
Ах как прекрасно
0:17
Просмотров 23 млн