Mpaka leo hii sijawahi kumwelewa mtangazaji kama nilivyokuwa nakukubali yaani siwapendi clouds Ila kama utarudi ntalazimika kusikiliza/kuangalia ila ntafurahi zaidi kama utaenda wasafi yaani nadhani ntachanganyikiwa kabisa ,nakukubali sana Fety hasa sauti yako na namna unavyotangaza
Teddy Teddy Enzi hizo alikua msela balaa saivi kazaa kanenepa kawa mkubwa yaanikipindihicho huwezikuwa na katekno kabatani alafu kana memory huwezikosa Picha yahuyu dada ile ambayoamesuka vinywele flani vya mkono alafu vikaning'ing'inia kwambele
Sasa endeleen kubandika mikope kama mfagio wa matete,mikucha kama mishale,make up zinakata kona kam skuna za yondo sister alafu bwana ako anapenda vitu natural kama hivi kama fety
Fetty umejibu vzr san kwani diamond yeye nan ukizingua kwenye biashara ya mtu hata yeye anakuzingua kaeni mkijuaia mondi ameikuta clouz sawa kabra ya yeye warikuwepo wengine ..
Clauds ndo inanapata hasara ya kupunguza mashabki,,,tujiulize hivi Kuna watu wangap wanampenda rayvany,mboso,lavalava,mond...USIPOPIGA NYIMBO ZA HAWA WATU WOTE lazma mtu atatafuta channel nyingine ili asikie...tayar umepoteza fans hapo.....ndio maana wasaf wanacheza NYIMBO za maadui zao wote
Kwan nan alsema mond alkua wa kwanz Kbla ya clauz kkaa mond nae ni binadam pia anahak yake hauwez ukakubal kulaliwa milele yy aliwaekeza clauz ndio wakaanza kumletea mond ila elewa pia mondi mkubwa kwa sasa tuache unafk
*JE WAIJUA HIPAY NDO HABARI YA MJINI WEKEZA KIMTANDAO USIPITWE* JIUNGE LEO👇👇👇 chat.whatsapp.com/Diq2YXvlypQ86V2jOX66Fz * *KWANINI UHANGAIKE INGIZA PESA UKIWA HATA UMELALA*