Mtangazaji yuko vizuri sana tena ako na sauti halisi ya mtangazaji wa kiume tatizo watu wamezoea sauti zile za kutengeneza au kugeza. Huyu yuko real na anajua kuuliza maswali yaani yuko on point
unastahili kuwa maman kbsa afu jinsi una answer ni kama bile strong woman and clever one HBD cookie na maman yako kipenzi,mutangazaji unataka kujuwa mengi kuhusu kuacana kwake na Iyobo aunty siyo kama wale wakiachana na mwenziyo wanamupakazia bwana hebu muelewe she is very humble even kwakusema nakupendeya bule aunty
Anty Pambana na maisha kwa sasa kuachwa siyo ww wakwanza hata mimi mwenzio niliachwa nawatoto 3 nanilikuwa sina kazi lakini kwasasa nipo nakazi na sipo Tz nimeolewa naishi maisha ambayo sikuwahi kuishi uko nyuma funga buti mama Mungu yupo Pamoja na ww !Wastara hasumbuki
Ya hata mim nampendaga Kuna mtot wa baba yangu mdogo alikuwa anapendaga na wenyewe wamefanana sura shepu paka mambo yao hata mavazi Yao wkuvaa nguo fupi walikuwa hawajal I na wenyew wote wanaushepu
yaani kweli mumewachana duuuu mbaya sana nikosa gani kubwa lenye lilitokea mpaka kusamehana ikawa haiwezekani jamani mbona mungu sisi atusamehe kila siku lakini sisi binadamu hatuwezi
Haha amenikumbusha best yangu anavyosema au anataka kumvutia aludi best yangu alikuwa anasemaga hivyo ukiacha a na mwanaume pendeza mwenyewe a one umeoendeza
Comments mum thanks aunty Ezekiel.mungu akubarikie family yako mum.but naomba mkuwe na usiano mwema kwa Baba mtoto wako.namanisha hivyi mum kama Baba mtoto anakusaidia kulea , imagine ni Bora Mimi kama mm nimezaa na mtu hata maji kuletea watoto wake ni Ngoma.mungu aibaliki hio usiano aunty na usindisshe maombi kwa mola
Moze alikuwa na mke akamwacha kwa ajili ya aunt.Jamani wanawake wenzangu fupa lililo mshinda fisi mwanadamu haliwezi.mwenzako akinyolewa wewe tia maji.