Nimeangalia google imeniletea jina kwa kizungu ni Mustard seed na kiswahili ni haradali mana nimechukua picha nikaipeleka google ndio ikanipa jina hilo la Mustard seed au kiswahili Haradali
Hii tiba ya macho kwa kutumis zeit ya habbat soda. Wapi unapaka haya mafuta? Kwenye kope au nyusi ? Kwa sababu umesema kope lkn umeonesha nyusi. Na hii chuvi ya mawe vile vile niondoshee wacwac wapi unapaka kwenye nyusi au cope.