Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. @StraightPathDawah ni dawah popote wakati wowote.
Dadangu..nakuombea dua mwenyezi mungu akuongoze uwe muislamu..mimi pia nilikuwa mkatoliki lkini hizo sanamu hazikuwa zinaniingia akilini..nikatafuta njia ya haki
Shekh Ramadhan Mwenyeez Mungu akujaalie mwisho mwema kwa kuendelea kuutangaza uislam na kuwalingania wasikuwa waislam na Waislam tunajifunza mengi hasa mimi nimepata faida kwa kujifunza mengi na naendelea kupata faida
A.alaikum yan ustadh ramadhan Allah akupe maisha maref yenye manufaa nimeipenda sana hiii na mungu anijaalie huyo dada akisilimu umuowe mke wa pili yuko vizur sana Allah amuongoze ktk njia iliyo nyooka.
Tobaaaaaa🤤🤤🤤bonge la mungu wao, alafu wako siryas. Ikitokea tukio hapo watakimbia wa muache mungu. Mungu wakweli akikupa ufahamu wa kumfahamu yeye wa pekeyake ni kumshukuru sana.
Maashaallah baarakallah inshaallah shekh ramadhan palipo na uzima wapitie tena uwape maandiko na ushahidi wa vitabu inshaallah wataelewa tu hakki ilipo
Yaani shetani ni wa hovyo sana. Mpaka Waislam wanadhani wanamwabudu Mungu wa kweli. Dah! Ndugu zangu Waislamu mimi nawapenda na Mungu anawapenda sana. Njooni kwa Yesu mumpokee awaokoe.
8:54...I think maybe shes describing thee copric christians ... Masha Allah to this sheilh,i love watching his daawah videos especially the ones along rhe streets and suburbs.. ALLAH will reward him for his worthy cause...Watching from Toronto Canada.. Allahibarik to this daawah group.
Jasinta ni kama ana damu ya utaita pia kwa sababu ya kiswahili chake cha kukaza maneno akiongea... Allah awaongoze kwenye njia ilio ya haki na awaepushe na njia ya sheitani Allah Ummah Amiin
Hii kazi ya kulingania ni ngumu sana ndomana hata Allah alimwambia mtume wake 18:6"huenda ukaiangamiza nafsi yako kwasababu hawataki kuyaamini haya maneno",kwanini Allah alimwambia hivyo mtume,unayeenda kulingania kwanza unajua kwamba huyo mtu yupo kwenye upotofu wa dhahiri kabisa,unamlingania mpaka nayeye anaelewa kwamba yupo kwenye upotofu,lakini sasa hataki kusilimu,nawewe hamu yako asilimu lakini hataki kusilimu nahana sababu yeyote,na mwenyezi mungu humuwekea moyo flan mwenye kulingania,ukimulingania mtu akadhihilikiwa na ukweli lakini hataki kusilimu huwaga inauma sana tena sana mpaka wakati mwingine huwaga inauma mpaka unapata hasira,kwahio tusione uvivu kumuombea dua ndugu yetu Ramadan kuria hata kwa sekunde tatu tu.
Ssa wale wakiristo wanayoyaona mavazi ya kiisilam/kujistiri si llte si chchte….Ssa watulize akili zao na watafakkar kwann mzungu kila akiwachongea sanamu la Marry anachonga akiwa na mavazi ya stara/hijabu na hawamchongi na kimini, jeans au kanzu fupi na kichwa wazi???