Тёмный

DAWAH KATIKA KANISA LIITWALO MSIKITI || THE SMALLEST CATHOLIC CHURCH IN THE WORLD 

Straight Path Dawah
Подписаться 69 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. ‪@StraightPathDawah‬ ni dawah popote wakati wowote.

Опубликовано:

 

19 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 278   
@Hi_20206
@Hi_20206 Год назад
Dadangu..nakuombea dua mwenyezi mungu akuongoze uwe muislamu..mimi pia nilikuwa mkatoliki lkini hizo sanamu hazikuwa zinaniingia akilini..nikatafuta njia ya haki
@khadijanajma2676
@khadijanajma2676 Год назад
Jenipher namesake now a muslim alhamdulillah
@Hi_20206
@Hi_20206 Год назад
@@khadijanajma2676 thank u namesake..my islam name is maryam alhamdulillah🥰🥰
@sheemaryam
@sheemaryam Год назад
​@@Hi_20206 haija daaa kumbe uko huku nmekuzoea kwa salim😅😅😅 ata ungeitwa jannah yaendana na jenipher😊
@Hi_20206
@Hi_20206 Год назад
@@sheemaryam niko huku dadangu..sikujua hilo jina jannah..ni jina tamu sana wallahi..nikijaliwa mtoto msichana nitamuita jannah inshallah
@sheemaryam
@sheemaryam Год назад
@@Hi_20206 in sha Allah jannah na firdous yamaanina kitu moja
@abrahmanifarouckissa5662
@abrahmanifarouckissa5662 Год назад
Sheh wangu ukija zanzibar tutafutane mimi nakupenda sana kwa ajili ya allah
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي Год назад
Shekh Ramadhan Mwenyeez Mungu akujaalie mwisho mwema kwa kuendelea kuutangaza uislam na kuwalingania wasikuwa waislam na Waislam tunajifunza mengi hasa mimi nimepata faida kwa kujifunza mengi na naendelea kupata faida
@HassanJaphari-rx7jy
@HassanJaphari-rx7jy Год назад
MashaAllah sheikh wetu Ramadhan tunakupenda Sana watanzania. Nakuimbea Kwa Allah akujaze kheri na akujaalie afya njema siku zote za uhai wako. Ameen
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Год назад
Aamin thuma Aamin 🤲
@Aminedanisman76799
@Aminedanisman76799 Год назад
Subhanallah.Allah awaongoze wote walio potea na awaoneshe njia ya haki
@husseinkhamisi9972
@husseinkhamisi9972 Год назад
Allah akupe afiya na umri mrefu akupe firdaus.
@rizikiali328
@rizikiali328 Год назад
Subhannallah Allah awaongoze hawa watu sheikh Ramadhan Allah akuhifadhi akupe umri mrefu uweze kutuelimisha
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Год назад
Ameen🤲
@rizikiali328
@rizikiali328 Год назад
Mungu amuongoze dadangu ampe hidaya
@AssdfAssd-g3y
@AssdfAssd-g3y 5 месяцев назад
Amiin
@elishapeter2720
@elishapeter2720 Год назад
Nimecheka kama mzuri mwenyez MUNGU awaonyeshe njia
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Год назад
😅
@UMMYYFATMA
@UMMYYFATMA Год назад
MASHA ALLAH... MASHA ALLAH....TABAARAKALLAH...🤲☝️🙏❤️
@omaryally3489
@omaryally3489 Год назад
Shekh ramadhan Allah akupe mwisho mwema inshallah
@umazimwambezi8092
@umazimwambezi8092 Год назад
Subhana Allah kanisani kuitwa msikiti
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Год назад
Eti maria mtakatifu mama wa mungu hivi jamani duh mtiani jaman Allah awaongoze wawe din ya khaki
@kijakaparare2074
@kijakaparare2074 Год назад
Allah awape wepesi wapate kujua dini yakweli na yahaki kiukweli uwezi ukaiabudu sana Nimtihani sana
@alyumar4657
@alyumar4657 Год назад
A.alaikum yan ustadh ramadhan Allah akupe maisha maref yenye manufaa nimeipenda sana hiii na mungu anijaalie huyo dada akisilimu umuowe mke wa pili yuko vizur sana Allah amuongoze ktk njia iliyo nyooka.
@muhamedibrahim8931
@muhamedibrahim8931 Год назад
Shekh ramadhan naomba mfike garisa siku moja i.a huku tunawahitaji kutusaidia hii kazi yaa dawah .Mwenyezi Mungu atawalipa janah firdowz i.a
@TijaraAbdallah
@TijaraAbdallah Год назад
MashaaAllah♥️♥️♥️Allah awalainishe mioyo yao waijue haijue haki.
@rahmasoliman489
@rahmasoliman489 Год назад
Mungu awaonyeshe njia iliyo kuwa ya haki
@NathanielNathan-m4o
@NathanielNathan-m4o Год назад
Mimi ndio njia na kweli na uzima.Mtu haji Kwa baba ila kwangu.John 14:6
@bentybenty2343
@bentybenty2343 Год назад
SUBHANALLAH Alhamdulillah ALLAHU AKBAR.. Alhamdulillah kwa neemah ya UISLAM 🤲🤲🤲.Shukran sheikh Ramadhan ALLAH akuhifadh ❤❤
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Год назад
Tobaaaaaa🤤🤤🤤bonge la mungu wao, alafu wako siryas. Ikitokea tukio hapo watakimbia wa muache mungu. Mungu wakweli akikupa ufahamu wa kumfahamu yeye wa pekeyake ni kumshukuru sana.
@hamzamwaya463
@hamzamwaya463 Год назад
Sana
@moddyfirrem6475
@moddyfirrem6475 Год назад
Ramadhan my brother Mungu akuhifadhi in sha Allah 🤲
@habibasalim3092
@habibasalim3092 Год назад
Aamiin,,akhii ukiomba du'a sema Aamiin,
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 Год назад
Yani nahisi kulia wallah kaka Rama unafanya kaxi kubwa sana mungu akulipe kila la kheri watanzania twakupenda sanaaaaaaaaaa
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Год назад
@habibasalim3092
@habibasalim3092 Год назад
Kweli
@HUSTLERS085
@HUSTLERS085 Год назад
You made my day happy sheikh ramadan kuria bin kaguo
@SaidiJuma-nr6ww
@SaidiJuma-nr6ww Год назад
Sheikh wetu mungu akulinde,,pia uwe ukipitia mpaka sehemu za kwale, kinango , mtumwa
@aminarama1633
@aminarama1633 Год назад
Allah akupe maisha marefu shehk wetu ,uzidi kulingania dini ya Allah ambayo ni uislam
@ammarrashid8805
@ammarrashid8805 Год назад
Allah akuongoze kwa kila hatua ila nna hamu sana ya kukutana na ww sheikh
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Год назад
Allah atufanyie wepesi
@husseindiaby5097
@husseindiaby5097 Год назад
Hata mimi pia ninampenda sana huyu sheikh
@ashrafissa778
@ashrafissa778 Год назад
Mashallah Ramadhan Allah akupe mwesho mwema 😊
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah Год назад
Allahuma ameen 🤲
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
Subuhanallah. Wanaabudu misanamu Allahu Akibar. Mtihani Allhamdulillah kujikuta muislam ni mapenzi ya Allah kunichagua kwahurumawake🤲
@kweindalasongea9237
@kweindalasongea9237 Год назад
ALLAH AWAONGOE WOTE WALIOPOTEA KWA JUHUDI UIFANYAYO AL-AKHY RAMADHANI🤲
@hashim.22kamal27
@hashim.22kamal27 Год назад
Mungu.akupe.umuri.
@hanifahkhamiss8485
@hanifahkhamiss8485 11 месяцев назад
Nimempenda huyu mama hana shida wallah Allah amuongoe
@user-yx2go6tn5u
@user-yx2go6tn5u Год назад
Masha Allah natamani kaziyako mwalim ramadhani
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 Год назад
Maashaallah baarakallah inshaallah shekh ramadhan palipo na uzima wapitie tena uwape maandiko na ushahidi wa vitabu inshaallah wataelewa tu hakki ilipo
@adanabdi5249
@adanabdi5249 Год назад
Safi
@zakiaanwar677
@zakiaanwar677 Год назад
Shukran jazakala kher Allah akuhifadhi ustadh wetu
@Abdifataxow
@Abdifataxow Год назад
MashAllah kazi nzuri sana sheikh wangu
@EmmmaTembo
@EmmmaTembo Год назад
Hio imeenda
@RamadanPaul
@RamadanPaul 11 месяцев назад
😂😂 au sio
@alimau7939
@alimau7939 Год назад
Huyo dada ni mchangamfu kweli tunamuombea kwa Allah ampe uongofu
@aburaasmedia3682
@aburaasmedia3682 Год назад
MashaAllah
@tawfiqsaid4918
@tawfiqsaid4918 Год назад
Sheikh Ramadhani unafanya kazi kubwa sana Allah akulipe kheri hapa duniani na kesho akhera.
@rashidwalwanda1991
@rashidwalwanda1991 Год назад
Maashallah❤
@zohramariga6678
@zohramariga6678 Год назад
Asalamu alekumu warahama tulahi wabarakatu mashala kazinzuri Allah awaogoze njia iliob Sawa masanamutena mm marayakwanza kuyaona
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Год назад
Allah awaongoze hawa wadada waifwate haki ni innocent nimewahurumia.
@salimiddi7583
@salimiddi7583 Год назад
MASHAALLAH sheikh Ramandhan
@thepresidenttobe5481
@thepresidenttobe5481 Год назад
Yaani shetani ni wa hovyo sana. Mpaka Waislam wanadhani wanamwabudu Mungu wa kweli. Dah! Ndugu zangu Waislamu mimi nawapenda na Mungu anawapenda sana. Njooni kwa Yesu mumpokee awaokoe.
@MengiRashidy
@MengiRashidy 11 месяцев назад
Atuokoe na nini sasa
@batulialmass8914
@batulialmass8914 10 месяцев назад
Mimi nambie atuokoe nini kwa sababu ni bina Adam km mimi ila ni nabii wa mwenzi mungu
@daidibrahimadam482
@daidibrahimadam482 4 месяца назад
Tuko na Yesu already kawa sababu ni ndugu yetu muislamu. Paulo ndiye mwanzilishi wa ukristo
@mamawamoya3344
@mamawamoya3344 Год назад
Ma sha Allah
@alijabal5323
@alijabal5323 Год назад
Jazaaka allahu kheira aljazaa.
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv Год назад
Maa shaa ALLAH 💚💚💚
@hanifahkhan3610
@hanifahkhan3610 Год назад
Subhanaallah
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
Wajina maashaallah
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Год назад
Dah 😢wanaomba mawe walio ya chonga wenyewe. Allah awaongoze watoke ktk hii shirki.
@fatmamansour2764
@fatmamansour2764 Год назад
Mashaallah M mugu akuzidishi upendo na Imani kuitangaza dini ya Allah in shaa Allah akuhifadh na kila mazito
@MsafiriGau
@MsafiriGau Год назад
Walah mashekh mnafanya Kaz kubwa Sana,Allah awape afya njema na awajalie mwisho mwema nyie na vizaz vyenu
@Jingajinga64
@Jingajinga64 Год назад
Assalamu Alaykum akhil aziz Ramadhan. Allah hifadhik .
@user-yx2go6tn5u
@user-yx2go6tn5u Год назад
Masha Allah Allah akuhifadhi insha Allah
@mustafarashid2484
@mustafarashid2484 Год назад
Mashallah Sheikh wetu Allah akujalie kheir inshallah
@hamisijm8437
@hamisijm8437 Год назад
Anna Anajaribu hau Anakataa kusema Ukweli
@samxx411
@samxx411 Год назад
Nimependa sheikh ulivyofahamisha kuhusu ibrahim
@Leo-xc1nh
@Leo-xc1nh 7 месяцев назад
Katoric nihatari sana mim nirikua uko huyo mam Allah amujarie ajue haki inshallah
@azizashiundu5778
@azizashiundu5778 Год назад
Subhanaallah 😢
@raiyaaaraiyaa6054
@raiyaaaraiyaa6054 Год назад
Subhana Allah, Allah awape ufahamu
@MussaMohamedMohamed
@MussaMohamedMohamed Год назад
Shekh wangu Allah akupe akujaalie,kila la kheiry katka kazi hii ya manabii na mitume kwani najua changamoti ni nyingi,,Allah okuongezee HEKMA
@mwanamtotosaid702
@mwanamtotosaid702 Год назад
Masha Allah 🥰
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj Год назад
Subha 'Allah
@malikdodo5190
@malikdodo5190 Год назад
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
@issakawaya8315
@issakawaya8315 Год назад
AllAh akuzidishie hekima na elimu
@qhatramohamed7006
@qhatramohamed7006 Год назад
Mashaa-Allah ustadh ramadhan Allah akuhifadhi
@AlmasVunde
@AlmasVunde Год назад
Maashala mwenyeezi mungu amfanyie wepesi asilim awe mwislam
@dogandmachete
@dogandmachete Год назад
Masha Allah hapo ndo nyumbani.
@zainababdulrahmankarisa6273
waaah ALLAH atustiri hya ni maajabu
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 8 месяцев назад
Ma sha Allah tabaraka Allah mwalim n wenzako Allah amfanyie wepesi kueneza dini ya Allah
@LabiloWabikongo
@LabiloWabikongo Год назад
mashallah shekhe mungu akubarik kwa kaz nzur ishallah
@kingsdaughter2040
@kingsdaughter2040 Год назад
Yesu sio dini
@kingsdaughter2040
@kingsdaughter2040 Год назад
Mwanadada ajua haki mwana wa Ibrahim kwa imani
@SulejumaJuma
@SulejumaJuma 9 месяцев назад
Inshaallah Mungu akujalie uwe mwislamu dada
@leahmwai4293
@leahmwai4293 Год назад
Maa shaa Allah.Sheikh your Messages are a blessing to many.
@mwangimuhammad-sx9hb
@mwangimuhammad-sx9hb Год назад
Huyo sanamu wa asili ya kizungu anatisha😂
@oopsm3574
@oopsm3574 Год назад
Atakujia usiku.
@fatmaali6780
@fatmaali6780 Год назад
MashaAllah Allah barik
@a.rahman7679
@a.rahman7679 Год назад
Masanamu nayo subhanaAllah.😮
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Год назад
Allah akupe pepo la juuu,, Ramadhan
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 Год назад
Masha Allah Ustaz Kuria
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 Год назад
Nmestuka kuskia Maria Mama wa mungu
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 11 месяцев назад
Mama wa Mungu kwa sababu alimzaa Yesu Kristu ambaye ni Mungu Mwana mkombozi wetu
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 11 месяцев назад
@@Carolina-sm5zt yesu sio mungu Wala Maria sio mama wa mungu tupe andko linalosema Maria alimzaa mungu
@beyondsavanna6028
@beyondsavanna6028 Год назад
Rabana atinah fidunia hasaha walafkhirati hasana wakinah azabar nar
@oromiyaajittu7188
@oromiyaajittu7188 Год назад
Mashallah❤ Ustaz Allah akurahisishe mambo yako
@remigimtenga7608
@remigimtenga7608 Год назад
Safi sana Sheikh Ramadhan umefanya vizuri. Kiboko yako ni Ndacha.
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 Год назад
Inshaallah ndacha atasilimu
@seifissa9705
@seifissa9705 Год назад
Shekhe Ramadhani Mwenyezi mungu akujaliee kila la kheri
@SaidMgeni
@SaidMgeni 11 месяцев назад
MashaAllah TabarakahAllah In shaa Allah kila mtu aongozwe Katika njia ya Haki
@malikdodo5190
@malikdodo5190 Год назад
Dada mlatini ni mkali sana😂😂😂
@Ihsankeizer
@Ihsankeizer 9 месяцев назад
8:54...I think maybe shes describing thee copric christians ... Masha Allah to this sheilh,i love watching his daawah videos especially the ones along rhe streets and suburbs.. ALLAH will reward him for his worthy cause...Watching from Toronto Canada.. Allahibarik to this daawah group.
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 Год назад
Jasinta ni kama ana damu ya utaita pia kwa sababu ya kiswahili chake cha kukaza maneno akiongea... Allah awaongoze kwenye njia ilio ya haki na awaepushe na njia ya sheitani Allah Ummah Amiin
@habibasalim3092
@habibasalim3092 Год назад
Ramadan kuguo Allaah akuhifadhi akupe umri mrefu ufanye kazi ya dawa
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 Год назад
Natamani sku moja umutembelee zumard na umhoji
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Год назад
😁😁😁😁😁Kabisa, zumaridi anakuambia alishaaenda mbinguni na akazungumza na mungu. Najiuliza watu wanadanganywa mchana kweupe na wanakubali.
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Год назад
@@myunaniniahmad6463😂😂😂😂
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ally_tz96
@ally_tz96 Год назад
😂😂😂
@Abdoulyousouf
@Abdoulyousouf 4 месяца назад
Umewaza mbali sana😂😂😂😂
@buseinasuleiman1335
@buseinasuleiman1335 Год назад
Mash shaa Allah SHK May reward abandon Ameen
@mosaidi2633
@mosaidi2633 11 месяцев назад
Mama mtaratibu sana mashallah
@Zainab_salat
@Zainab_salat Год назад
Masanamu ya nn? Jamani wanakufuru
@mohamedwali1793
@mohamedwali1793 11 месяцев назад
Mashalah Sheikh Ramadani Tell her she will wear like Mariya
@MaliganyaWilson-ef3pk
@MaliganyaWilson-ef3pk Год назад
Hii kazi ya kulingania ni ngumu sana ndomana hata Allah alimwambia mtume wake 18:6"huenda ukaiangamiza nafsi yako kwasababu hawataki kuyaamini haya maneno",kwanini Allah alimwambia hivyo mtume,unayeenda kulingania kwanza unajua kwamba huyo mtu yupo kwenye upotofu wa dhahiri kabisa,unamlingania mpaka nayeye anaelewa kwamba yupo kwenye upotofu,lakini sasa hataki kusilimu,nawewe hamu yako asilimu lakini hataki kusilimu nahana sababu yeyote,na mwenyezi mungu humuwekea moyo flan mwenye kulingania,ukimulingania mtu akadhihilikiwa na ukweli lakini hataki kusilimu huwaga inauma sana tena sana mpaka wakati mwingine huwaga inauma mpaka unapata hasira,kwahio tusione uvivu kumuombea dua ndugu yetu Ramadan kuria hata kwa sekunde tatu tu.
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 Год назад
Khaaaaa subhanallah
@SalumAndallah
@SalumAndallah 11 месяцев назад
Allah Akujaalie kher ktk kupigania Dini ya haki
@user-jj6sd8me9k
@user-jj6sd8me9k 4 месяца назад
Mtihani
@wanjinjorosjunior1621
@wanjinjorosjunior1621 Год назад
Am a Christian but what catholic do is against na word of God (bible)
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo Год назад
Allahu-akbar
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Год назад
Ssa wale wakiristo wanayoyaona mavazi ya kiisilam/kujistiri si llte si chchte….Ssa watulize akili zao na watafakkar kwann mzungu kila akiwachongea sanamu la Marry anachonga akiwa na mavazi ya stara/hijabu na hawamchongi na kimini, jeans au kanzu fupi na kichwa wazi???
Далее
PASTOR ATAFUNA MANENO BAADA YA KULEMEWA NA HOJA
1:40:26
Как мы играем в игры 😂
00:20
Просмотров 1,4 млн
⚡ #RodrygoGoes ✖️ #Mbappé ⚽ #UCL
00:11
Просмотров 741 тыс.
KUNDI LA WAKRISTO LASILIMU BAADA YA MAZISHI YA MZEE DAUD
2:04:03
BIBLIA YAFUNDISHA MSIKITI NI NYUMBA YA MWENYEZI MUNGU
1:17:09
WAKRISTO Vs WAISLAMU - LIVE  YESU WA TONGARENI - KENIA
2:18:42
WAKRISTO WAZIDI KUSILIMU BAADA YA KUGUNDUA UKWELI
1:01:22
Как мы играем в игры 😂
00:20
Просмотров 1,4 млн