Тёмный

DEREVA MWANAMKE WA BASI ALIYEPATA AJALI NA KUKATIKA MKONO ASIMULIA ALICHOKIONA "NILIZIMA LISILIPUKE" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 483 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 916   
@ngubwene
@ngubwene 2 года назад
Dada Halima ... Pole kwa yote nimefurahi kwa jinsi ulivyo na Imani na Mwenyezi Mungu. Na Mungu akuinue zaidi ktk viwango vya juu
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 года назад
Aamin kwasote
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo 2 года назад
Amen
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 года назад
Pole sana dada yetu, Mungu ni mwema atakupa uponyaji wa haraka.
@jimmyjigar1468
@jimmyjigar1468 2 года назад
Pole sana Dada kila jambo linamakusudi yake.namuomba Rais wetu mama Samia amteuwe awe mbuge akasimamie haki za madeleva huyu anajua mengi kuhusu madeleva.mama Samia 🔥
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 2 года назад
Pole sana Wajina wangu Utapoa kwa Uwezo wake Allah wewe ni mwanamje Jasiri Allah Akitie nguvu zaidi
@upendolema9809
@upendolema9809 2 года назад
Jamaaaani 🙆.......Mungu akutie nguvu,maisha yaendelee
@delekalxon7221
@delekalxon7221 2 года назад
Am sure it wasn’t easy to disclose that you loose your arm I can only imagine how it feels when you look back yr past pictures.your a phenomenal woman we pray for you 🙏🙏🙏
@christianmkude1746
@christianmkude1746 2 года назад
Pole sana dada halima
@ummimohamed2148
@ummimohamed2148 2 года назад
Mashallah mashallah kwa kua na imani sana na Allah na nimefurahi kuona umeshika kamba ya Allah hakuna kukata tamaa nakuombea dua uzidi kua na afya njema upone na urudi km zaman na ufurahie maisha km. Mwanzo ameen pole sana sana
@ladyt1471
@ladyt1471 2 года назад
Get well soon mamy kumbe wewe Yanga hongera sana tuko pamoja team ya wananchi
@pudensiamhina6478
@pudensiamhina6478 2 года назад
Kumbe wa Masasi mwenzangu, pole sana sana na hongera kwa ujasiri wako uliojaliwa na Mungu. Nakutakia uponyaji wa haraka kutoka kwa Mungu.
@noelbryson7840
@noelbryson7840 2 года назад
Pole sana dada yangu. Nimesikitishwa sana na ajali yako. Nikiangalia unavyoongea najifunza mambo mengi sana. Wewe ni jasiri, wewe ni Shujaa, wewe ni mshindi,. Umekatika mkono ukiwa unapambana. Usife moyo, kaza mwendo songa mbele dada yangu..
@amanisaid9863
@amanisaid9863 2 года назад
Pole sana dada yangu Mungu mkubwa utapona,,naakuombea sanaaa
@Mussajohn99
@Mussajohn99 2 года назад
Amen
@selemanimrope903
@selemanimrope903 2 года назад
Pole sana Dada Mola akufanyie wepesi kwa tatizo lililokupata ama kwa hakika wewe ni jasiri na umemuweka Mungu mbele kwa kila jambo ni mfano wa kuigwa
@barakayindi5170
@barakayindi5170 2 года назад
Super woman
@fauziakarama8581
@fauziakarama8581 2 года назад
Subhannallah 🙆‍♀️, Allah akulinde kwa kila hali amiin,
@jacksonwilson5772
@jacksonwilson5772 2 года назад
Nimependa sana the way alivyo huyu dada. Mungu akusaidie sana
@nurujonas7878
@nurujonas7878 2 года назад
nimeumia kama mim dah dada yangu mpenzi mungu akutie nguvu nakupenda
@nurujonas7878
@nurujonas7878 2 года назад
pole sana mpenzi
@nurujonas7878
@nurujonas7878 2 года назад
usijikatie tamaa mungu anakusudi kubwa dada kipenzi
@jumaabdallah6061
@jumaabdallah6061 2 года назад
Pole sana Allah atakufanyia wepec utapona tu
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Год назад
Mbali na hivyo ni pisi KALI sana!
@silverymugendimunyera5717
@silverymugendimunyera5717 2 года назад
Huyu dada ana shukrani sana Mwenyezi Mungu amsaidie
@kedyjohn1848
@kedyjohn1848 2 года назад
Pole sana Big mama, champion lady ... You'll triumph as always. I like the optimistic mind she got. She's golden 💪🏾
@beatricemassawe3829
@beatricemassawe3829 2 года назад
We yet you’re
@beatricemassawe3829
@beatricemassawe3829 2 года назад
U
@beatricemassawe3829
@beatricemassawe3829 2 года назад
Uu
@beatricemassawe3829
@beatricemassawe3829 2 года назад
Yu
@beatricemassawe3829
@beatricemassawe3829 2 года назад
Yuy
@mkilimamoses2311
@mkilimamoses2311 2 года назад
"Mtu ukishazaliwa kitabu chako kimeshaandikwa".Ni kauli yenye ujasiri nakujiamini toka kwa dada Halima.pole sana na Mungu akutie nguvu kwani mlango mmoja unapofungwa ujue wa pili unafunguka.Maisha yataenda tu dada yangu.
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
Pole Saana Mpambanaji Wetu, M/Mungu Akufanyie Wepesi Inshallah 🙏🙏🙏
@restitutorcharles4253
@restitutorcharles4253 2 года назад
Nimejikuta 😭😭😭 jmn!Mungu wa mbinguni akutunze na akubariki dada pamoja na familia yako
@sweetie8861
@sweetie8861 2 года назад
Inshallah utapoa my dear,nakupenda mnoooo
@saitawilson7307
@saitawilson7307 2 года назад
Asante Sana boss wa halima kwa ushirikiano mzuri na dereva wetu kipenzi..!.🙏.. Asante kwa serikali yangu pia kakika hamlali ...👍🙏🙏
@salummpango5250
@salummpango5250 Год назад
Mungu ni mwema akuponye na urudi kwenye mapambano!
@mwanashaathman1694
@mwanashaathman1694 2 года назад
Mashaallah,Dada halima May Allah give you the strength as you pass this test from Him.Remember Him always .Ya Shaffih greetings from Mombasa Binti Shee Mbwana
@maulidikhamisi9745
@maulidikhamisi9745 2 года назад
hi
@mariangoi1913
@mariangoi1913 2 года назад
Pole sana madame,hakika wewe ni dereva makini mungu akuponye urudi kwenye kazi yako
@pudensiamhina6478
@pudensiamhina6478 2 года назад
Polisi Ruvuma mmeniliza kwa furaha sana, asanteni sana, Mungu awainue zaidi. Nimewapenda kutokana na maelezo ya huyu dada.
@ahmedsoudathman5088
@ahmedsoudathman5088 2 года назад
ماشاء الله قدر وفعل Mungu atakupa njia ilo bora zaidi
@wamugimohammed3848
@wamugimohammed3848 2 года назад
Asalam Alaykum ! Pole sana Dadangu na wengine wote ! Yote ni kushukuru Alahamdulilah
@edwardouma1630
@edwardouma1630 2 года назад
Am a Tanzanian form Nairobi Kenya wishing my sister Halima quickly recovery and may God be with him all ways 🙏
@japhetjoachim9925
@japhetjoachim9925 2 года назад
Madam madam...get well soon i wish I could see you....one day....Mungu akujaalie afya njema....I real love you....am inspired.......tusikate tamaa
@ayshamadege7981
@ayshamadege7981 2 года назад
Mwenyezi mungu azidi kukupa imani Inshaallah utapona na utatimiza kila jambo lako... tunakuombea mpambanaji mwenzetu 🙏❤❤❤
@popiya2368
@popiya2368 2 года назад
Pole sana habibty Allah akufanyie wepesi
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 года назад
Yohana 16: 23 Tena siku ile hamtaniuliza neno lo lote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu. 24 Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu. *MAOMBI NDIO NJIA YETU YA KULETA NGUVU ZA ROHO WA MUNGU KATIKA ULIMWENGU WETU! MUNGU ANAFURAHIA KUJIBU MAOMBI YETU, HALELUYA!!!*
@aronpaul2331
@aronpaul2331 2 года назад
Ameeen kwa jina la yesuuu 🙏🙏🙏
@sweetluc2660
@sweetluc2660 2 года назад
Pole Sana Dada angu pia hongera kwa ujasili na Mungu akupe matumaini zaidi Imani yako ni kubwa sana
@wamugimohammed3848
@wamugimohammed3848 2 года назад
Asalam Alaykum ! Mdogo wangu Dua zetu ziwe dawa kwako na wengine Amin Amin , Nawatakia Shifa ya haraka Amin Amin
@maxmilian2511
@maxmilian2511 2 года назад
Mungu kaufunga mlango mmoja akufungulie milango mia moja yenye kheri na wewe.Pole sana dada halima! Ila SUPER FEO COMPANY you are the best kwa mnavyompa matumaini huyu dada! Mungu awalipe kwa hilo!!👍
@abdulwahababdulkadir9965
@abdulwahababdulkadir9965 2 года назад
Duh pole sana dadaa,na kwa hakika sisi kama kamati ya watu wenye hamasa juu ya maisha ya wapambanaji,tunakuomba usihofu tuko pamoja nawe,na nimeskia apo kua uko na single natamani sana kama utanipa nafasi hiyo nitalea ww na watoto wote
@chahenza
@chahenza 2 года назад
Pole Sana dada Halima. Niliona interview yako Cloud FM. Wewe ni jasiri... Ole wako ndoto yako ya rubani imeangamia... Majaliwa kwa maisha
@naelttz1974
@naelttz1974 2 года назад
I wish angepata teuzi chap. Ni mpambanaji sana huyu mama 💪💪
@salhaayubu6027
@salhaayubu6027 2 года назад
Mashaallah dada umepambana siku zote napenda kaz zako unavojituma Allah akufanyie wepes inshaallah utakuwa sawa usjal
@mohammedalishamis9405
@mohammedalishamis9405 2 года назад
Pole Sana In shaa Allah Mola atakufanyia wepesii katika kipindi hiki cha mtihani
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 2 года назад
Very courageous super woman .Allah akuhifadhi akujaze subra
@rashidramadhan7708
@rashidramadhan7708 2 года назад
Pole sana dada yetu Mungu wetu huwa anajibu maombi yetu usichoke ama tusichoke kumuomba mana yeye ndiye
@mariamuomari6054
@mariamuomari6054 2 года назад
Nimejikuta nabubujikwa na machozi ,nikakaribu kuvaa viatu vyake aisee mungu ampe mwanga
@laylapagae6324
@laylapagae6324 2 года назад
Amiin
@merinaenos6710
@merinaenos6710 2 года назад
Ameen
@jaymadeleka4670
@jaymadeleka4670 2 года назад
Changamoto yoyote inayokupata kwenye maisha, kama haiondoi uhai wako, basi itakufanya uwe imara zaidi. Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone kabisa na akufungulie kheri zaidi upate mazuri makubwa zaidi kwako na familia yako. 🙏🏾
@salamakombo3257
@salamakombo3257 2 года назад
Masikini ana furaha wala huzuni hana Allah akupe furaha daima yaani inaonekana unamuabudu mungu mnoo
@teychriss3248
@teychriss3248 2 года назад
Anaumia Moyoni!!
@happinesspaschal4037
@happinesspaschal4037 2 года назад
Allah akupe siha njema inshallah pole kwa mtihani uliokukuta mwwnyezi Mungu akupe furaha siku zote wala asikupungukie
@estermshabaha6920
@estermshabaha6920 2 года назад
Halima nakupenda dereva mwenzio hapa Mungu atunusuru na njia pole mpendwa wangu Mimi gloria
@mofatv5565
@mofatv5565 2 года назад
Oh jamani pole dada Mungu akufanyie wepesi usijali kila jaribu lina mlango wa kutokea ipo njia yenye faraja kwako oh jamani😔😔❤❤
@alexmatt9504
@alexmatt9504 2 года назад
Dada pole sana kwa huo mkasa,tumuombe Mwenyezi Mungu akusimamie ufanikiwe upone vizuri na uendelee na maisha.
@uuuuiiii3917
@uuuuiiii3917 2 года назад
Allah atakufanyiwa wepesi insha'Allah nakazin utarudi keamauezi yamungu nahyo boss wako Allah atamlipia kwakweli insha'Allah pole sana dada🙏🇴🇲
@raziaidd2392
@raziaidd2392 2 года назад
Pole Sana dadangu kwa kweli nikushukuru mungu Alhamdulilah maana ndo alivopanga.Allah akupe shuffah ya haraka in shaa Allah
@sia8418
@sia8418 2 года назад
Despite na yote huu moyo wa kujali wengine ulionao🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@shanii01
@shanii01 2 года назад
Pole sana dada yetu Allah akufanyei sahali. Pongezi sana kwa kazi yako. Your really superwoman. Salam kutoka kwenya
@abubakarimhina400
@abubakarimhina400 2 года назад
Pole sana dada, kiukweli nimeumia sana kwa ajali ulio pata licha ya yote M/mungu ni mwema nakuombea kheri mungu akupe uzima urudi kwenye kazi zako.....nikiangalia crip zako za tik tok siamini kilicho tokea....Pole sana C*
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 года назад
Sasa ataweza kuendesha gari
@abubakarimhina400
@abubakarimhina400 2 года назад
@@maloomaalmnsj5111 Hata weza tena kuendesha gari, mana ule mkono bandia upo tuu kama fashion.
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 года назад
@@abubakarimhina400 aha nimekuelewa brother
@zenamanyota2618
@zenamanyota2618 2 года назад
Pole Sana dada halima tunakuomnea duwaaa mwenyezi mungu akifanyie wepesi mm
@erikalutevele8362
@erikalutevele8362 2 года назад
Pole sana dada yangu mzuri Mungu ni mwema pamoja na yote lakini bado utabaki kuwa mpambanaji
@seemanishekiao
@seemanishekiao 2 года назад
Poleni sana. Allah akupeni Subra na ajalie mpone haraka. Ameen
@mchusna6468
@mchusna6468 2 года назад
Pole Sana shosti nimekumbuka siku ile ulipowatia moyo wanawake wafanye kazi dahalima pole my Sana tupo Pamoja😘
@pioustrevol3468
@pioustrevol3468 2 года назад
Duuuh Pole Sana Auntie Mungu ameziona jitihada zako Yeye ndo anajua atakuweka wap
@khamisyahya7703
@khamisyahya7703 2 года назад
Pole Sana Dada'angu Pole Sana Suka mwenzangu ila nimependa Sana kwa kuyapokea matokeo kwa kujiamini zaidi...... ALLAH atakufakufanyia wepesi katika hili, Insha Allah 🙏.
@tusajigwemathias9185
@tusajigwemathias9185 2 года назад
Pole kipenzi pole dada angu Mungu alieruhusu haya ana sababu na wewe! Mungu ni mkubwa mkubwa sana
@aminaabdallahisa6827
@aminaabdallahisa6827 2 года назад
Kweli kabisa kikubwa Allah azidi kumjaalia rehema zake
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 года назад
MMungu atakufanyia wepesi pole sana halima napenda ulivojotupa kwa allah atakufungulia rizki kwa wepesi inshaallah
@mzazi1467
@mzazi1467 2 года назад
Ayo uko vizuri saana kucover story Safi saana asee....
@user-pn6bj7uz2p
@user-pn6bj7uz2p 10 месяцев назад
Poresana dadaau siku ambayo umepata hajari turipishana mbugan seluu nikiwa nimepaki gari urinipigia honi mwenyezimungu akurinde❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@thadeynyenza4948
@thadeynyenza4948 2 года назад
Mungu ni mkubwa kuliko changamoto unazopitia! Bado Mungu yuko na wewe! Imani yako itakutunza.
@saidali8338
@saidali8338 2 года назад
Pole sana mrembo MWENYEZI MUNGU akubariki sana na upone haraka,
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 2 года назад
Namsifu kwa ujasiri wake wa kukatika mkono muda ule ule akapata akili ya kuzima gari ili isilipuke,big up sana mama nna imani mazuri mbele yanakuja zaid kwako,huo ni mtihani tu kutoka kwa ALLAH uliandikwa kabla hujazaliwa.
@salamakombo3257
@salamakombo3257 2 года назад
Kumbe alizima gari masikini hodari Allah akutangulie dada love Allah ampe kila lenye heri
@shamiraabdallah3158
@shamiraabdallah3158 2 года назад
Pole sana nimeumia sana
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 года назад
AMIIIN
@atcakalinga4684
@atcakalinga4684 2 года назад
Dada halima anaiman sana nimempenda bure
@nancyg8664
@nancyg8664 2 года назад
Yan dah
@anterianmohamed3213
@anterianmohamed3213 2 года назад
Pole sana mama ALLAH akutie wepesi upone INSHA ALLAH
@SamaBabySamaBaby
@SamaBabySamaBaby 2 года назад
Nakupenda mama angu😢😢 sijawah comment RU-vid leo acha tu niandike ♥️♥️umenigusa sanaaa na umeniudhunisha nanimejifunza vingi momy 😘🥰🥰 wew ni shujaaa💪💪💪💪🔥 utaki kuruhusu uzuni nakupenda 😘😘mungu akuonyeshee njiaaa sahihi kila jambo lina sababu I love u ♥️♥️♥️
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
Ameen 🙏🙏🙏
@mcback4384
@mcback4384 2 года назад
Sio udhuni ni uzuni
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 года назад
@@mcback4384 Na Ww Pia Umeacha Herufi Moja Ni Huzuni Co Uzuni
@Deonfnyoni
@Deonfnyoni 2 года назад
Pole sana dereva mwenzangu dada Halima roho wa Mungu akuponye na akutie nguvu hakika utapona Mungu akubariki sana
@marryg4235
@marryg4235 2 года назад
Pole Dada ,mungu akuponye kwa haraka,
@esthermliga4875
@esthermliga4875 2 года назад
Dada hongera san kwa ujasiri huo, umeumia lakin bado unapambana kuokoa roho za watu!! Mungu azid kukutetea ktk matibabu
@lilianalmas5911
@lilianalmas5911 2 года назад
Pole sana malikia wa nguvu mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone haraka inshallah 🙏🙏
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 2 года назад
Pole sana dada mungu atakuponya tu kwa imani na majeruhi wote wapone haraka
@kuluthumujarafi1100
@kuluthumujarafi1100 2 года назад
Pole Sana mungu atakujaalia neema nyingine ♥️♥️
@fatmaabdi8813
@fatmaabdi8813 2 года назад
Pole sana Allah akujalie upone haraka❤️
@makondorshimora5017
@makondorshimora5017 2 года назад
Mwanamke jasiri......, ulipigania roho za Watanzania zaidi ya 50, hukujali maumivu yako 😭, kwa kitendo cha kuzima injini bado ni Mungu alikupa neema ya huruma ya kwamba bado una jukumu la kuokoa roho za walioko nyuma yako 😭, dada wewe ni shujaa kweli kweli, mwanamke shupavu 💪🏻, ulijitoa kufa kwa ajili ya wengi 😭😭😭😭ni mwanamke wa mfano...., Niseme tu imani yako na unyenyekevu kwa Mola vitakuvusha na kukufikisha mbali. A SUPER WOMAN, GOD WILL PROTECT YOU FOREVER AND EVER ..... You’re blessing momma 🙏🏼🙏🏼
@denismabubu291
@denismabubu291 2 года назад
Pole sana dada mimi nimeumia sana mungu nimwema tunakuombea upone haraka
@mwanahamisimwasema5607
@mwanahamisimwasema5607 2 года назад
Pole San dear 😘 mungu mkubwa atazidi kukusimamia kwa Kila atuwa unayo pitia 🙏
@rogerioathumani9084
@rogerioathumani9084 2 года назад
Mungu akujalie inshallah dada angu wewe nishujaa mkubwa sana unafaa kuwa malikia wanguvu
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 года назад
pole sana
@ericklaura7511
@ericklaura7511 2 года назад
Wishing her a very quickly recovering.🙏🙏
@allanuslwena8585
@allanuslwena8585 2 года назад
Mungu awe nawe daima,uweze kupona na kutimiza ndoto zako. Pole sana.
@harymo-by8gh
@harymo-by8gh 2 года назад
pole sana mama mpambanaji mungu akusaidie upone haraka 👏👏👏
@alhajjngoliomahmud6657
@alhajjngoliomahmud6657 2 года назад
Mashaallah tabaraka rahman Mwenyezi Mungu akujaliye zaidi na akufanyiye wepesi kwa maisha kwa kila jambo inshaallah bieznillah
@evaristmrope
@evaristmrope 2 года назад
Pole sana madam Halima mwenyezi MUNGU ni mkubwa na hajawahi kushindwa
@halimatego9495
@halimatego9495 2 года назад
Pole sana wajina mungu akufanyie wepesi upone haraka ulemavu si kushindwa
@vickydan2869
@vickydan2869 2 года назад
Jamani pole sana dada hujafa hujaumbika maskin umebaki na mkono mmoja najiskia vibaya sana kuhusu hili tumshukuru mungu kwakila jambo
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 года назад
pole sana sister Halima ni juzi 2 ulikuwa cloudmedia niliangalia intaves yote yako lkn sema Alhamdulillah kwa kila jambo ALLAH yu pamoja nawe AMIN 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 2 года назад
Pole sana dada yangu. Wewe ni mwanamke jasiri na mfano wa kuigwa.
@judithmkate2882
@judithmkate2882 2 года назад
Polesan dahalima Mteja Wangu wadagaa we jasir sana nakupenda bure
@stelamwakatulile2455
@stelamwakatulile2455 2 года назад
Pole kipenzi changu mungu akufanyie wepesi na wote mlio pata majelaa
@mariamhamad4171
@mariamhamad4171 2 года назад
Polesana dadayangu Allah atakupa shifaa utapona ,ila badomaarifa nimengi unaweza kuwekewa mkonowa bandia nautaendelea nashuulizako za utaftajirizqi ,inaskitisha lakini yoteyamungu mshkurumungu kwakilajambo
@ashamanlung1425
@ashamanlung1425 2 года назад
Pole sana, your so strong dada, I like your passion. Bado una nafasi ya kupambana mamy
@kagokapuruka4873
@kagokapuruka4873 2 года назад
Pole sana mwananche mungu akupe moyo mkuu nimajaributu yatapita utaendelea kufanya kaz zako
@andersonmichael2399
@andersonmichael2399 2 года назад
Pole sana dada. Mungu ayasimamie maisha yako.
@pantherking_tz
@pantherking_tz 2 года назад
She's a superwoman indeed ❤️
@hichayasin7244
@hichayasin7244 2 года назад
INSHALAH BINAADAMU KABLA HUJAFA HUJAUMBIKA INSHALAH MUOMBE MUNGU MDOGO WANGU YAPO MAISHA MENGINE ULIOANDALIWA NA MUNGU,
@ziadakisanga1011
@ziadakisanga1011 2 года назад
Pole sana Allah akupe shifaa
@user-yc4fe3qt4q
@user-yc4fe3qt4q 2 года назад
Pole dada mungu atakuponya uinuke uendelee na kazi yk
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 2 года назад
Pole,daima mungu hakosei
@rechaelvenance6351
@rechaelvenance6351 2 года назад
Pole sana dada Ila mwenyezi Mungu ni mwema
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 2 года назад
Pole Sana mdogo wangu! Umeumia ukiwa kwenye majukumu na Allah bado amekutunza tunamshukuru kwa Hilo! Mungu akuponye urudi ktk hali yako ya zamani na uzidishe Sana Sala ndyo ngao yako!
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 2 года назад
Pole sana dada. Mola mkubwa utapona ishallah🙏
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 2 года назад
God bless her 🙏
@laylapagae6324
@laylapagae6324 2 года назад
Amiin
@saitawilson7307
@saitawilson7307 2 года назад
Amina .
@rugijofrey3685
@rugijofrey3685 Год назад
Pole sana ccta Mungu akupe moyo wa uvumilivu
@omaryngitu2443
@omaryngitu2443 2 года назад
Pole sana,nilipata kukuona ukihojiwa clouds fm miezi michache iliyopita,kilikuwa kipindi kizuri sana,wewe ni mfano wa kuigwa
@jacob9benny
@jacob9benny 2 года назад
ooohh...!!! jinsi moyo unavyofeel juu yako maneno hayatosh kueleza. mwenyezi muweza na mpanga wa yote aendelee kubaki naww dada etu kipenz. tnakupenda dada halima.
Далее
iPhone 16 - презентация Apple 2024
01:00
Просмотров 55 тыс.
▼ЮТУБ ВСЁ, Я НА ЗАВОД 🚧⛔
30:49
Просмотров 519 тыс.
iPhone 16 - презентация Apple 2024
01:00
Просмотров 55 тыс.