Sasa hapo kwenye raha tumwachie mwenye raha yake yeey ndyo anajua kwamba anafaa kupata raha au hafai, swala ni sisi je? Tumejifunza kipi kuhusu hili tukioo? Ndy kitu cha kuangalia wewe mambo ya raha achana nayoooo
mama you're very strong mama..Allah akupe nguvu..ila hapo ndoa ilikuwa na changamoto nyingi..kuchukua roho ya mtu sio sawa ila hapa palikuwa na tatizo kubwa lilipaswa kutatuliwa mapema
Huyu Mama anaujasiri sana...Mungu ni Mkuu sana .hakuna kitu kinauma kama Mzazi kumzika mtoto wake😥😥😭😭😭😭😭Nyie INAUMA Sana...Mola Akufute mchanga wa Usoni Mpenz..Ulale salama🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Siku yako ikifika hauna ujanja tumuombe mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema 🙏 wadada turidhike na kina bakari kichwa wetu🥴 matajiri siku zote maamuzi magumu kwao kitu Cha kawaida Sana. Riziki za kulazimisha matokeo yake ni mabaya.
Roho mbaya haina tajiri wala maskini wanaokatwa mikono huko vijijini waume zao nao ni matajiri? Tena maskini ndio wana hasira nyingi za umaskini stress zimewajaa sana. Hawa walikuwa na matatizo mengi ambayo hakuna anaweza kuyajua.
@@stellamsangi4281 🤗🤗 nafikiri utakuwa ujanielewa nilicho maanisha hapo haijasemwa roho mbaya Ila ni ujasiri. Sasa kwenye ujasiri na roho mbaya ni Mambo mawili tofauti!! Kama ujawahi kupitia changamoto za hao wanao itwa matajiri. Nilicho kiandika uwezi kukielewa. kabisaaa
@@elizabethpeter8456 nazijua zote za matajiri na maskini pia. Hiki kitu ni kipana sana its about been poor or rich dear hapo ndipo tunapokosea na hii inasababisha shida kutoisha. Haya ni makuzi, depression, anger management, watu wanatembea lakini wana misongo ya mawazo ya kila aina na hawajui nani wakuongea nae so wanapoguswa kidogo tu hasira inapanda mpaka kupita kiwango. Kwa kitaalam huyo mwanaume tunamuweka kwenye kundi la watu waliokuwa na msongo mwitu na hawakupata tiba kwa wakati sahihi na huenda ni sababu hata yeye hakuwa anajijua kuwa ni mgonjwa. Hiki kitu ni kipana sana na chanzo huanzia toka utotoni ndio maana tunashauri wazazi kuwa makini sana na jinsi wanavyowalea watoto wao pia kuwa na muda wa kuongea na watoto kujua changamoto wanazopitia mashuleni, kwa marafiki zao na mengineyo. Hicho alichoganya huyo kaka ni matokeo ya vitu vingi vilivyokuwa vimejaa ndani yake. Tatizo ni kwamba watu wanaangalia tatizo ki wepesi sana kuliko lilivyo.
Sababu za ovyo ovyo tu,tatizo hatupendi Mungu asimamie mambo yetu duniani hata haya ya ndoa.Hakuna legitimacy ya kumuua binadam mwenzako kwa sbb yoyote.
Kutokujiamini ndio sababu watoto wetu wa kiume na baadhi ya watoto wetu wakike wanaua wenza wao, hakuna kingine huyu kaka atakuwa alikuwa anagubu sasa kumuua ndio suluhu.
Pole Kwa wafiwa. Hata mke akukosee vipi kuua hapana, tutafute njia salama kusuluhisha migogoro yetu. Mwisho, tuweni waaminifu kwenye ndoa, upendo utawale na kuheshimiana, pia kujaliana, tamaa za dunia tuziepuka ili tusije ingia kwenye matatizo.
Mtume Muhammadصلله عليه وسلم Amewahusia sana wazazi wa watoto wa kike kwamba.`` Wakiridhishwa na Tabia na Dini ya mwanaume basi wamuozeshe'' Sasa wazazi wetu leo wanatizama sana wanaume wenye pesa na hili ni tatizo kubwa sanaa
@@gerrymroki509 Point yangu ni kwamba Wazazi wa Mwanamke hawakutizama kigezo cha dini,, Laiti wangetizama kigezo cha Dini ungesikia Swalher kapewa Talaka moja au 3... YAANI Namaanisha nwanaume mwenye Dini aisngempiga risasi bali angemwacha kwa wema kama wameshindwana
kwani wivu mpaka uoe ata bira kuoa Kama nakupenda arafu unareta mambo ya mazanga razim nikutangurize2 japokua njia moja hakuna mwanaume anaependa kuzarauliwa
Ukimwambia mtu acha hasira, basi yafaa uache kwanza mambo yanayomsababishia hasira! Ndoa zimekuwa changamoto hasa pale wanandoa wenyewe wanapoingia kwenye ndoa kabla hawajaumaliza ujana, mke mheshimu mumeo, mume mpende mkeo, kuwe na hofu ya Mungu kwa wanandoa, kama mmeshindwana basi gawaneni ustaarabu kila mtu ashike njia yake, japo Ni ngumu maana shetani kapiga kambi na anachochea vita, Mungu ampokee dada wa watu.
Umeandika vizuri sana Mr James,dada hakuwa na heshima kwa mumewe hata kidogo, huwezi kumwambia mumeo eti acha nilale weweeeee lazima mfike pabaya,lkn mwanaume mwenzetu amefanya kitu kibaya sana,hakufakari kuhusu watakao hangaika kwa kukosa wazazi duniani.S
Ata Dada awe na tabia mbaya huwezi muua si uachane nae basi, sasa ataoa wangapi mana aso hili ana lile, mwanamme uwe mstahamilivu kama huwezi bora usioe ndo mnaua hivyo
Pole sana mama wa marehemu, nafikiri kuna shida katika jamii zetu na malezi kwa ujumla. Mabinti wanatak financial freedom, vijana wanataka wake wenye kujitambua. Poleni sana
Kwa maelezo ya mama tunapata fundisho kuwa wivu Ni sumu inayoweza kukumaliza wewe mwenyewe! Lakini pia tunapata fundisho kuwa mapenzi Ni kuaminiana, kusikilizana, kuoneana huruma na kujaliana! Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi Amina!
Sijafurahia alichokifanya huyu jamaa ila sasa ndoa nyingi zina changamoto, Wanawake kwa wanaume wana take their marriage for granted, pia maisha yamekosa uhalisia, wanawake walio kwenye ndoa wanajirahisisha wanapenda ulaini na miserereko wanaume pia wanapenda kila mrembo anayepita mbele na kuona huo ni umwamba ...ndoa zimekuwa one sided sana kuna anayeumia siku zote. Wanawake mlioolewa jitulizeni maana hali sio nzuri na inauma sana unapojua kuna mtu anakumegea kisela. Pia mwanamke kama hakuna sababu ya msingi kaa nyumbani. Ila kikubwa kwenye ndoa ni uaminifu tu.
Allah akupe kaul thabeet Swalha,aameen.. Dah! Inauma sana wallah! Mwenyew unahangaika kujitafutia rizki,halafu mtu anakukatisha maisha hivi hivi yani. 😭
Unaua halafu unaishi kama digidigi si ujinga huo! Kabla hujaua ulikuwa unaishi kwa wasiwasi wa wivu, sasa umeua unaishi kwa wasiwasi wa kwenda kunyongwa, sasa umetatua nini?
@@mathewdeus9978 mbona unaongea kama vile simu ulininunulia wewe? Nina miaka 50, mke na watoto, hiyo ndo unaita bado ni mtoto? Jifunze kumheshimu mwenzako hata kama wazo lake hukubaliani nalo.
Duuuh! Inaumiza sana pole sana mama kwa kuondolewa uhai, binadamu wenzangu ususani wanaume au wanawake tumuogope mungu jamani tuwe na hali ya imani ya kiroho ktk kujali uhai wa kila kiumbe, tusihukumu tusija tukahukumiwa maana siku zaja
Nd mana nawakubali sn wa Afghanistan kwakuwazuwia wanawake kufanya kz nje na kwake !!!!wanawake wameumbwa km ubavu! Wamepinda pinda!! Mda mwingi wanawake wanatakiwa kuusiwa mema!! Mwanaume lzm uwe na wivu kwa mkeo tena sn ! Ni wivu ni sunna na hatoingia peponi mwanaume ambae hana wivu! Nd mana mtume muhammad s a w amesema tuoe wanawake wenye dini! Kwasababu ukiwa na wivu alf ukamuoa mwanamke hana dini bs tambueni kuna hatari kubwa itakuja kutokezea !!
Pole sana mama,ndio maana mimi husema if marriage doesn’t work quit.long distance needs trust iko na challenges mingi sana maana huyu amekufa juu ya insecurities issues.ooh God
Mwanamke akimueshimu mme, mme automatically atampenda. Wanawake wa siku hizi wanakosa heshima umetoka kazini kwako umefikia kwenu na unajua umeolewa kwanini usienda kwako. Nabado mwanaume anakupigia sim hupokei unamtia hasira mtu. Lakini sisi wanaume nao tuwe na huruma hata kama mwenzako kakuuzi mkanye kwa hekima akili na kwa upole jitahidi kumjua mwenzako ni wa aina gani. Tuishi na wake zetu kwa akili ....
Umeongea Vyema Mkuu ila Hapo kiukweli mdada amejisababishia Kwa kumtia Hasira Jamaa ww huwez toka Kwenye mishe zako ukafikia Kwenu wakat umeolewa halaf mbaya zaidi hupokei sm unadhid kumuudhi tu, na kwa uzuri huo akajua kabisa Huko uliko kuwa umetoka Kumegwa upo hoi na bado unaendelea Kumegwa
Nyie wawili akili zenu ni sawa na uyo jamaa the fact is wanaume muache unyanyasaji hamtuoi ili tuwe watumwa kwenu kwaiyo mtu huna haki ya kuwasalimia wazee wako
@@fatmatwalib8179 Kusalmia haukatazwi lakini iwe kiutaritibu sio kwa unavyojisikia weewe kumbuka umeolewa ili ukamtumikie mmeo na ukiolewa wewe hauna amri tena juu ya mwili wako yaan mwanaum ndiyo anakua mmliki wa mwili wako uelewe hilo au haujui maana ya Mwili mmoja??
Poleni Sana Sana inalilah wainailahragiun 😭😭😭,Ila kwanamna alivyosema mama was marehemu inaonekana hawo hawakua na amani ya mahusiano,ni Bora inapofikia hapo watu waachane tuuuuu
Ule msemo wa haki sawa kwa wote madhala yake ndo haya wanawake wengine wanatumia vibaya ndoa ina miaka mitano kaa nyumban tulia kwa mumeo uone changamoto za ndoa ziko vipi na kama una kazi fanya ila kuwa na heshima kwa mumeo kuna wakati tunaweza laumu wanaume ila ukweli wanawake wengine huwa wanataka kuwa wababe kwa waumezao sio vizuri polen sana wanafamily wote
watu wanaongea2 rakini ki2 ambayo hukijui usiseme sana mana wanawake nao wasiku is niwashenzi sana hasa kwenye mahusiano mtu anakusalit arafu ww unajua kabx kwamba hili jambo lipo kweri unamuuriza mtu anakujibu kunya hata mm sitaweza Moyo uwo sina mm
Wanao jua maumivu ya mapenzi naombeni like zenu. Mshikaji kama namwona ambavyo hakupata usingizi mke wake hapokei simu dah inauma hasikwambie mtu bia tamu
Mimi situmi lawama kwa jama Mimi nililipa mali yote zikiwa zimebaki Siku 114 kufunga ndoa mwanamke akatoa mimba akisingizia wazazi wake kwamba wamemwambia atoe nilipo funga ndoa ndani ya Siku 30 niligundua anawanaume 6 ndani yake yupo Ndugu yangu sasa ukiwa na roho ya kipepo unatwanga lisasi 7000
Huenda kweli mke alikuwa na jeuri ,na mume anaonekana mwenye hasira na wivu mkali mno ,lakini kutoa roho ya mtu sio sawa ,huwezi kumuua mkeo kwa wivu ,kama imethibit umechoka kuvumilia ni bora umpe talaka inatosha
Wanawake wanatia hasira mm nilikuwa na mtu tuliahidiana kuoana na ilikuwa ukimaliza 4m 6 tuoane kamaliza na kunichenjia nakuhudumia kote mbaya zaidi mm nikimpigia sm anasema Yuko busy kumbe ako na mtu kwingine sema tu Sina bastola
Hii inaonyesha Hawa wanandoa walikuwa na mzozano wa mda lkn pia mume alikuwa na wivu na hakumuamin mkewe.hii ni tatizo kubwa jaman polen wafiwa Mungu awape faraja
Kwa namna alivyosema bi mkubwa inaonesha kwamba mwanaume alikua na wivu mkali sana kwa mkewe, na mkewe alikua bado hajawa tayari kwa ndoa. Inaonekana wazi hakua mkweli hata kwa mama yake. Pia hata kama alikua hajachepuka upo nje ya nyumba kwa nini unapigiwa na mumeo simu hupokei? Unamjaza maswali mengi na hisia mbaya kichwani, hilo linatemgeneza hasira mwanaume. Kingine huenda majibu hayakua mazuri waliokutana face to face, ila maamuzi ya mwanaume ni wazi kwa sasa anayajutia sana. Wanawake wana changamoto sana, ila huona wapo sahihi. Mungu atujalie akili kuishi na wanawake hasa wale wasiokua tayari kuolewa wakaolewa
Ndugu hata siku moja usitetee ukatili kwa kuuwekea sababu eti kwa nini hakupokea simu, acha kabisa kuweka sababu, huyu Mwanaume ni katili na mnyanyasaji na ni mgonjwa wa akili
tatizo kubwa wa tz wengi sana tuna maisha ya kuigiza,wengi wapo kwenye ndoa huku wana tamaa ya kuwa na wapenzi wengine,unaweza kuta dada mzuri kweli kaolewa ila hawezi acha wapenzi wengine,na hata kumjibu mumewe vibaya akiomuona hana thamani maana anajua pa kwenda ukimuacha.Na wanaume michepuko kibao,na ku over love,mtu mmoja amewahi sema ndoa ni a couple of best forgivers.watu hawawezi samehe na kuachilia,maisha ya duniani sio matamu kama wengi tunavyojidanganya.
Awww ndoa zina sili nyingi mno usijaji watu mpak huwe uko mwanamke ambaye anampenda Mume wke atakama anakitu atavumilia ukimwona anatoka ujue kuna tatizo kubwa arafu atujui ukweli wapo wanaume wanawivu kam ugonjwa atakama unamtu wamezaliwa ivyo yan mwanaume anayepiga mkimbie siku ni kifo
@@allthingdranabeauty noo! let us be practical tusiiishi kwa kufuata hisia na mihemko,wote walikuwa na makosa,hao nimeisoma na kufuatilia kwa karibu,me taaluma yangu ni ya kumsoma binadamu,movie zinawadanganya sana,mnadhani maisha ya ndoa ni that too superficial?why ur husband calls you hupokei?mara 35?why should you shoot ur wife?mbona hukufanya hivyo last year unafanya leo?THINK AND NOT SINK
Kuna haja ya serikali kuweka mafunzo ya ndoa kwa kila channel ya TV kwa lazima japo siku moja kwa wiki. Sio mnaweka kampeni za choo kizuri mnasahau jambo hili. Vianamke vya siku hizi hasa vinavyotumia mitandao sana havina adabu kabisa, vinawaza kudanga ndo alternative. Alafu kuna nyimbo nazo zizuiliwe hasa singeli sababu zinapotosha jamii. Mfano nyimbo kuachana shilingi ngapi. Yani shetwan ametulia plan kona mbalimbali
Polen sana ndugu jamaa na marafiki,,shida ni kwamba wanaume wengi wanashindwa kutambuah kuwa kumfuatilia sana mwanamke ni kuanza kujenga chuki,,,muamin mpende akikosea muelekeze sio kujichukulia maamuzi mkononi
Mama ungemkalisha chini mwanao ukamwambia haiwezekani anapuuza cmu za mumewe hapokei na wewe humkanyi hata unge mfukuza aende kwa mumewe hasira ni mbaya unaweza kuua bila kukusudia. Mtu katoka kazini ana stress akija nyumbani mke hayuko na akipiga cmu haipokewi anazidi kuwa na stress.
Mwanàmke Yuko kwenye ndoa, uondoke nyumbani, usafiri kwenda mkoa mwingine, ukafanye kazi Hadi usiku wa manane, utoke huko, badala ya kwenda nyumbani kwa mmeo, unaenda Kwa mama yako kwanzà, ulale, alafu asubui ndio uende Kwa mmeo! Inaingia akilini kweli?
Jmn msiwe wepesi wa kununua au kumiliki silaha za moto. Iwe kwa namna yoyote ile, nikimaanisha nia nzuri au mbaya kwa sababu ukishakua na silaha shetani (roho ya mauaji) haitaacha kukuandama akili ya kuua itakua inakuandama kila siku japo unaweza usielewe lkn ndivyo inavyokua. Wanaomiliki wanaweza kunielewa kwa urahisi, hata paka unaemfuga mwenyewe siku akidokoa samaki akili inayokuja fasta ni hivi huyu paka hajui naweza mshoot moja tu chali, like jokes lakin ndicho kinachokua kwenye akil zao
Mapenzi ya siku hizi siyo Kama ya zamani. Siku hikuhizi mahusiano yamebadilika sana digital inaharibu vijana na mahusiano ya watu wengi unadhani Kama siyo mitandao sangapi angepigwa risasi hizo
Kitu kingine nilicho jifunza ktk tukio hili ni kuepuka kuishi na mwanamke jilani na mazingira ya kwao.ukichunguza kwa makini utagundua huyu dada alikua akai au kushinda nyumbani kwake muda mwingi .
Hapa nachokiona ni dharau au kutokujali maswala mazima ya ndoa. Au yawezekana kauli zilizotumika kwenye majibizano ni kali. R.I.P Lakini huyu mama mtu nae hata chozi hamna ... Mkavu kama marehem sio mwanae duh 😱