Simply this man compared with diamond platinumz... and harmonize use the chance to insult him in his new hit song....... the man trying to make things clear.... Apologizing platinumz....... Karibu Tanzania
Even if he knew man he was doing business so business is business and he wanted money and he got it lol 😂 I know some of y’all would’ve done the same thing. Money is money
Kweli kabisa. Naamin hivo lakin hawa wana o sema asinge kuwa. Mond asingekua hapo mungu angekuwa kamfungulia milango kwa namna nyingine watu achen ushamba wa kuabudu sanam washamba nyie
Wamtoa rangi aliye kupa hela, huo ni ushamba. Pia harmonize kamtoa aliyemtoa mbali, huo ushamba Pia. Kweli Dunia haina huruma. Tz mna mambo😂😂😂😂 All the way from Kenya 254 ❤️😜
Pole sanaa pacha mondi ipo siku riziki itasimama tuu#hawajakukata miguu usikate tamaa ndio mwanzo kwenye game #kosa sio kosa ila kuregelea kosa ndio kosa#ni hayo tuu #usistresike kama ipo riziki itasimama mda wake ukifika
@@daudelias297 ulishuhudia.? Muongeage ya ukweli. Mtachomwaَ midomo yenu dunia. Isiwahadaishe. Kesho mkaenda jyta maisha. Ya dunia yana mwisho. Tena mafupi sana ko ukiongea. Uwe umeshuhudia. Ikiwa huyo kaka hajawah kutana na mond. Hizo hela alipewaje.?
Sasa huyu ni kunguru, sasa unajitia kiki za kishenzi, lazima uwelewe wimbo, harmonise alikuita cos alitaka kukusaindia wewe, hili halijui kuongea kupayuka tu, kama unathani diamond atakusaindia utalia maskini, pesa ulipewa zikiisha utalia umaskini tena
Ww punda mwenzako ana kiki ww unayo mbwa ww pambana na hali yako ww unakiki gan unasura ya babu yako ambaye hajawahi kua star kwenda mjinga ww ongea cha maana fuck u small rabbish
Harmonize Amekosea Sana Maana Huo Sio Uungwana Atambue Kwamba Amekua Na Diamond Kwa Mfa Mrefu Lakin Nampongeza Diamond Kwakua Harudishi Mtu Akimkosea Mungu Ndo Anajua
Kabisa. Akili hazifanyi kaz. Mtu umepewa hela huko kwa mond tangu ajitokeze kujifananisha nan alimtafuta yan anachelewa kasha pata kufahamika yeye apige mishe zingine tu asahau kuchukuliwa na mond kwanza mshamba 2 anaongea kiha 3.hajui hata kuimba sasa mond atampeleka wap uyo mkosa hakili wa mwisho huyu
Konde Boi n ushamba kumuongelea vibaya Diamond kwa nyimbo yako, umesahau aliko kutoa Diamond , acha Diamond ajipe raha kipost kwake n raha kwako n ushamba,#HUO NI WIVU