Hermano mio tu eres uno de los pocos Tanzanos que sabes la insencia de un pais ,culto,educado y patriotico, dios que te vendiga .LA LUCHA CONTINUA,......... HASTA LA VICTORIA SIMPREM.......
Unahusudu kitu gani mtu alihujumu demokrasia kwa kiwango cha lami 2020. WTZ sijui tuko je? Mtu kwa sababu ya uchawa tu alishindwa kabisa kusimama upande wa haki unahusudu sio kweli ina malengo yako!
Balozi Hamphrey Polepole uko vizuri, cha msingi simama na kuwaunganisha Watanzania na uwaze kujenga Timu ya mawazo yako.Tukiwapata watu wengi wa HEKIMA yako, watanzania watajenga IMANI kwa mlengo wa Kijamaa. Usitumie nguvu kueleweka,tengeneza mtandao wa watu wenye uzalendo wenye misimamo wasiogeuka kama walivyokuwa watendaji wa Dr.Magufuli ili usibaki pekeyako
Mimi naishi marekani nimeidhi Tazn Miaka20 polepola makonda majaliwa saidieni mama siyo utawala wale utaanguka sababu kina wana CCM wanawinda utawala wa Samia mm ni mkongomani mm ni mkongomani kutoka Congo 205
Yaani Mkuu, nakupa sana maua yako. Kuna umuhimu wa kukusikiliza mara kwa mara. Huwa unatoa elimu kwa kiasi kikubwa sana. Mungu wa mbinguni akubariki sana
Polepole nenda polepole kuwakabili polepole hao "Wahuni" maana polepole watakuundia zengwe ili kukutoa relini polepole !!! Asante kwa kutupatia soko la Alizeti, Pia tunaomba soko la mchele
Tatizo kubwa la watangazaji wengi ni kutokuwa na saikologia na wankuwa tu na maswali waliyo yaandaa hivyo wanaishia tu kufikiria Nini watasema badala ya kusikilizi ili waelewe Nini wanatakiwa kusema😢😢
Bro Polepole,plz ukisoma comment hii ya kwangu basi itilie maanani,MIMI NA SISI TULIO KAMA WEWE TUNAKUPENDA SANA, TUMAINI LETU HAPA NIKUKUONA UPO PALE AMBAPO MWAMBA WETU WALIUHUJUMU. SISI TULIO SOMA HUKO QUBA BASI TUMEELEWANA, TUNAKUPENDA SANA ELEWA HIVO BRO
15th December 2043 DIPLOMASIA AZAM Niwaombe tafadhari mfikishieni huyo mjamaa yeye ni sentesi tatu pamoja na hyo ya Quba RAIS WANGU wa WAJAMAA DINI YANGU itaitwa AFRIKA SISI HATUTARUDI NYUMA
Mtu yeyote alieshabikia wizi wa kura 2020 hafai. Huyu alisimamie uenguaji wa wapinzani tena akifurahia sana. Kiongozi mzuri lazima awe mpenda haki. Hafai.
Huyu ni mpuuzi bora wamempeleka Cuba akaone ujamaa ulivo mzuri na maendeleo ulio yaleta Cuba, wa Cuba wenyewe wanakimbilia Marekani, Uongozi wa Cuba wa kiimla na hawa ndio walitamani kuona Tz, wakaiba kura zote uchaguzi 2020
Yani siku ukiunga mkono swala la bandali iwechini ya waalabu, staangalia Tena habalizako Yani saivi wendo watanzania wengi wanasubili tamko lako nawanategemea usiunge mkono nakuomba sana mana wewe ndie laisi ujae
Tanzania inataka watuakini wanadipromasiwa kama Mhe. Balozi H.POLPOLE. NAKUOMBEA SANA NIKIAMINI IPO SIKU UTATUDAIDIA WATANZANIA HAPA TULIPO. Tanzania Sasa KISIASA TUNAONA kama tupo njia PANDA..
Polepole n mmoja tu dunia nzima na hatobadilika Nasemaje: wamtumainio bwana n Kama mlima sayuni hawatatikisika watakaa milele. #kataawahuni na mambo yao.
Wako mabolozi wachache sana waiofanya kazi kama hii… tunamazao mengi lakini Hakuna masoko… na mabolozi wanakula kuku tu huko n’nje! Vitunguu ni shida duniani lakini vinaozea wakulima…
hizo countries haziitwi karibe🤐bali zinaitwa Caribbean, na huenda Cuba na Guyana hazimo katika Caribbean Islands kama Finland ilivyokua haimo katika Scandinavia Countries ok.thanks
Kama wewe ni majamaa huwezi kukubali kuuza Bandari kati ya makampuni aliyoyacha Mwalimu Nyerere. Potea mbali kwani Cuba imeathirika nini mbona bado inaendelea vizuri.