Тёмный

EXCLUSIVE NA KISHIMBA:SIRI YA UTAJIRI WANGU/ WATOTO WAFUNDISHWE KUTAFUTA HELA/SIJAWARITHISHA WANANGU 

Dar24 Media
Подписаться 733 тыс.
Просмотров 110 тыс.
50% 1

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 145   
@Ohhvio
@Ohhvio Год назад
Best interview 👌 Kuanzia Mwandishi hadi Interviewer! Ni Elimu Kubwa Sana hii Hongereni Dar24media
@nkondokubini7618
@nkondokubini7618 Год назад
Uko vizuri brother katika kuuliza Maswali umenifurahisha utafika mbali
@amaningalla9420
@amaningalla9420 Год назад
Mh. Kishimba nakusaluti,upo vizuri sana with your critical thinking,unaona maisha katika uhalisia wake.Ahsante
@josephzenda3827
@josephzenda3827 Год назад
Hayati Rais John Joseph Pombe Magufuli amewafungua wananchi swala la kufikiri,kujaji na kuunda hoja.Mungu amuweke mahala pema peponi Amina
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Год назад
Wewe mwandishi uko vizuri Sana utafika mbali Sana big up.
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Год назад
Shule aliyosoma Prof kishimba ameisoma sehemu tofauti na amelipia gharama kubwa sana kuliko elimu ya kawaida.
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343
Jamaa alikuwaga radio station mbeya, nimetoka school likizo nikafungulia radio, sikujua kuwa ni radio ya mkoani mpk kipindi kilipoisha. Its good ni hatua kubwa, anatakiwa aende hatua kubwa zaidi, mosi uelewa, kujua kwenda na mabadiliko, kipawa na consistency Hongera sana
@3107young
@3107young Год назад
Uyu mbunge ni baraka kwa serikari kama haya mawazo yangefuatiliwa kiundani tungefika mbali sana kama Tanzania 👏👏
@praymbasha6309
@praymbasha6309 Год назад
Mzee kishimb💥💥💥anafikilia Sana na anaongea vitu vizuli Sana na vyakweli kiuhalisia
@LucasLagos-dq4mh
@LucasLagos-dq4mh Год назад
Hongela sana mh kwehekima nauerewa waasili mungu akubaliki sana
@amourmtungo623
@amourmtungo623 Год назад
🤔Kila swali ni hekima na kila jawabu ni elimu. Asante kwa udadisi ufafanuzi na habari nzuri za kutuamsha tusijisahau
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 Год назад
Hongera Sana Prof.
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 Год назад
Safi sana mwandishi wa habar unauliza maswali ya msingi mno,pia umenyooka na unajiamini
@mohamedmichael6400
@mohamedmichael6400 2 месяца назад
Nimekubari sana kiongozi
@MajulaKabuche
@MajulaKabuche Год назад
Mungu azidi kukubariki Mzee kishimba...unaongea ukweli mchungu ambao Sisi wa Afrika wengi atutaki kukubari
@praygodmbisse-cc1tx
@praygodmbisse-cc1tx Год назад
Professor tuko pamoja the change should start with us to change our country system
@israelgershom4198
@israelgershom4198 Год назад
Huhuuu Yani uyu ndobaba anajua vingi wazazi wengine wapo kimya tui
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro Год назад
Hizo ndio channel za kuangalia Sasa!,Hongera Sana🙏
@saadyusuph6554
@saadyusuph6554 Год назад
Mzee Yuko sawa kabisa
@homeofvideos8893
@homeofvideos8893 Год назад
"Sio waoga kwasababu hajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 7 месяцев назад
Upo sawa
@LeonardPondamali
@LeonardPondamali 9 месяцев назад
Mh mm nakuelewa sana hongera endelea kutufungua
@amosenock9635
@amosenock9635 Год назад
Kazi nzuri kaka Lambet
@kelvinkissanga4075
@kelvinkissanga4075 Год назад
Huyu mzee tuangalie bhana tumpe uraisi itakuwa nchi ya tofauti sana😅
@salehmohammedsaleh7015
@salehmohammedsaleh7015 Год назад
Tumpee waziri mkuu🎉🎉🎉🎉🎉
@johnminja2025
@johnminja2025 Год назад
Big up sana Mzee Kishimba. Nakumbuka tulivyokupokea Harare ukafungua kiwanda Ginery na ukarudi nyumbani kugombea ubunge. Wewe ni jembe.
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 Год назад
Huyu Mzee nashauri Tasisi za Elimu ya Juu wampe Honorary Doctorate!
@GoodluckMkenda
@GoodluckMkenda 5 месяцев назад
mheshiwa kishimba big up
@samuelmajule54
@samuelmajule54 Год назад
Nampongeza sanaaa mzee Kishimba unastahili kupongezwa na mwanahabari pia nakukubali kipindi kimefana weledi umeshiba God bless you all, big up sanaaa
@LucianSanga-q8j
@LucianSanga-q8j 7 месяцев назад
Kishimba yuko vizuri sana Tusomeshe wajue kutafuta fedha hiyo namba moja
@yunusmsanguka2313
@yunusmsanguka2313 10 месяцев назад
Huyu mzee yupo sahihi sana,wengi wetu tumewachia watoto kwa kuamini elimu zao wamewadondosha sana wazee wao
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 Год назад
hongera saaana moja wa matajiri wakubwa wazawa waliobakia ,baada ya Kufariki Dr.Reginald Mengi.
@MtuSafi
@MtuSafi Год назад
Anamiliki nini huyu mzee?
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 Год назад
@@MtuSafi isikilze vizuri hii Crip Kuna vingi walivyovitaja
@MujuniKamugisha
@MujuniKamugisha 10 месяцев назад
​@@MtuSafidar free market
@MujuniKamugisha
@MujuniKamugisha 10 месяцев назад
​@@MtuSafireal estate na migodi ya dhahabu
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 3 месяца назад
Huyu mbunge nimempenda sana sana
@obadiamtawa1279
@obadiamtawa1279 8 месяцев назад
hongera sana mzee kishimba
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Год назад
Hiyo mifumo iliwekwa kunyonya waafrica hapo ni mahesabu wacoloni wanafanya Leo ufaramsa eti bado kuna pesa unapata kutoka Africa Hilo ni wizi WA mifumo.
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Год назад
Apa interview imekamilkaa
@homeofvideos8893
@homeofvideos8893 Год назад
"Ambao hawajasoma sio waoga kuchukua hatua kwasababu hawajui madhara saa nyingine kutokujua madhara ni faida pia". Quote imenyooka sana
@DianaDaud-b1f
@DianaDaud-b1f Год назад
Aise bro umeongea bonge la point ya sirini ama rohoni
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 Год назад
Kaka wewe ni Mtangazaji Bora sana,Nakuomba siku Moja nikuone kwenye Chombo kikubwa Cha Utangazaji kama BBC,VOA,DW ,TBC,AZAM and so on.
@PhilibetaMahundi
@PhilibetaMahundi Год назад
Nakukubali sana Mzee wangu kishimba
@noahfilimoni4703
@noahfilimoni4703 Год назад
Ili uwe tbc uwe CCM
@hamisihassankengejr4375
@hamisihassankengejr4375 Год назад
Wewe unataka aondoke Nyumbani
@sautikuu212
@sautikuu212 Год назад
Hapo ondoa TBC na AZAM
@alphadreammedia
@alphadreammedia Год назад
@@sautikuu212 tbc na AZAM???😂😂😂
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 Год назад
Tunaomba interview NYINGINE Mr.Lambert
@mbonabuchabucha9657
@mbonabuchabucha9657 Год назад
Daaah!!! Drs 7 kichwa sanaaa! Tunajifinza sana kupitia wewe
@richardibrahim5609
@richardibrahim5609 Год назад
Jamaaa ana akili sana💪💪💪💪🔥🔥🔥
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi Год назад
Mzee Kishimba anamiliki Imalaseko, Dar Free Market lkn anasema sio tajiri , Imagine hzo ni baadhi tu ya biashara zake, huyu mzee ni genius ndio maana anajitambua kuliko wasomi.
@luganosimon4111
@luganosimon4111 Год назад
Mzee wangu nakuelewa sana na best mbunge kwa ssa
@MtuSafi
@MtuSafi Год назад
wee darFree Market ni yake lile jengo?
@MtuSafi
@MtuSafi Год назад
imalaseko ni nini sifaham
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 Год назад
@@MtuSafi Imalaseko ilikuwa supermarket mwanza, Arusha na Dar
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 Год назад
MH. Kishimba kasema ukweli Wahindi Hawasomeshi watoto waajiliwe watoto wao wakiwa shule akija likizo nyumbani hufunzwa biashara na elimu ya kujitegemea sisi tunawasomesha waajiliwe.
@40kstore
@40kstore 8 месяцев назад
Mzee yuko humble sana 😅
@jumakauli
@jumakauli Год назад
Sijambo. Hamjambo? TUWAFUNDISHE WATOTO WETU KULA SAMAKI NA KUVUA SAMAKI. (Tuwafundishe watoto wetu kutumia vitu na kuunda vitu). Tuwafundishe watoto wetu kwa maneno na vitendo kuanzia wanapokuwa shuleni hadi vyuoni.
@davsylivester7701
@davsylivester7701 Год назад
🙏👏👏
@NuhuDunia
@NuhuDunia 6 месяцев назад
Hilo ni somo mh kishimba
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Год назад
Changamoto saut ipo chin sanaa
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Год назад
Nashukulu sasa MH kishimba kama serikali ingeweza kuwa na watu wenye akili hiyo ingeweza kubadili miji na kuwa kama dunia zingine hiyo idea wanazo wazungu kuna Aina tatu za mijego
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 Год назад
Mheshimiwa.Kishimbaa anafaa apewe PhD ya heshima #huyu mzee n mtu na nusu
@amosmahona433
@amosmahona433 Год назад
Mtangazaji uko vizuri ila sauti mliibana sana
@christinesulle5051
@christinesulle5051 Год назад
Mzee yupo vizuri tunahitaji kufikiria sana mfano mdogo tuu ni kwa nn watoto wa darasa la kwanza wasisome kiingereza la kwanza ?maana hii itasaidia waalimu na watoto kuelewa mapema kwa nn watoto wanaanza darasa la tatu?
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 Год назад
Kiingereza kiliondolewa si miaka Mungu baada ya kuona mtoto wa Drs la kwanza anapewa masomo mengi hivyo anashindwa kuyamudu na Sasa kinarejeshwa tena
@kassimibrahim4776
@kassimibrahim4776 Год назад
Mtu na nusu......mzee kishimba huwa sikosi kusikiliza interview zako
@DianaDaud-b1f
@DianaDaud-b1f Год назад
Genius
@hamisitajiri8666
@hamisitajiri8666 Год назад
Yuko vizuri kuliko wasomi wengi
@petrojames1145
@petrojames1145 Год назад
Hongera sana
@petrojames1145
@petrojames1145 Год назад
MTOTO AFUNDISHWE KUTAFUTA PESA AKIWA MDOGO. SERIKALI NA WAZAZI WANAPATA SHIDA NA WATOTO WASOMI 😂
@ummahmed3354
@ummahmed3354 Год назад
Shule ya wizi concept is simply a Cybersecurity education in Ethical Hacking training...wizi wa digital unahitaji mafunzo mkabala wa kujua ili uweze kuuzuia... Professor Kishimba is 💯 correct
@edisonmaliva1719
@edisonmaliva1719 Год назад
Sema nini umesahau kumuuliza profesa mtazamo wake juu ya mambo ya huko bandarini. Bt the rest is good.
@hammy7664
@hammy7664 Год назад
Nakuona unazidi kukuwa , Lambet
@jameskileo955
@jameskileo955 Год назад
Brother mtangazaji Hongera unefanya Interview ya Nguvu mno hawa ndiyo watu unaonatakiwa kuwa nao na siii Hao Wasomii wa Vyeti kama Yule mzee uliyemuita Msomi kuliko Yeyote Tz Maisha halis na Ya Mafanikio Hayaelezeki ndiyo maana mzee amesema Hakuna kitabu cha Biashara...
@nyanchokachacha9954
@nyanchokachacha9954 Год назад
Unajua kuhoji na Umetulia sana.
@sabinahobe3478
@sabinahobe3478 Год назад
Hivi huyu mtangazaji hii online tv ni ya kwake? Mbona kama nilishamsikia times fm?
@mozesisembe1882
@mozesisembe1882 3 месяца назад
Mwandishi unajua kuhoji safisana
@YusuphJilala-it9bo
@YusuphJilala-it9bo Год назад
Sureeeeeee
@erickartist4557
@erickartist4557 Год назад
Nchi iendelee kumsikiliza huyu Jamaa kwa ukaribu sana ANA MADINI YA THAMANI KTK UBONGO WAKE!!
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 Год назад
namkubali sana huyu mzee kishimba
@eliezerwamungu4614
@eliezerwamungu4614 Год назад
Huy mzee namkubali saan kwa haya majibu
@EmmanuelBukumbi
@EmmanuelBukumbi Год назад
My favorite
@masoudymichael
@masoudymichael Год назад
Huyu ndiyo mpeni uprofesa siyo taletale
@Ramaah28
@Ramaah28 Год назад
Natamani kuonana siju moja na uyu mzee ana madinii sana
@benardmwinuka6948
@benardmwinuka6948 Год назад
Confusion
@African511
@African511 Год назад
Watu wenye maadili kama hawa wanachukuliwa poa poa tu,wapumbufu ndiyo wanasikilizwa.
@robertmalindi8427
@robertmalindi8427 Год назад
kishimba hiyo ni machine
@mubarakmohammed7311
@mubarakmohammed7311 Год назад
Kwa upeo mzuri wa mzee huyu, natamani atupie macho sana Mahakama zetu pia ili aweze kutusaidia, maana kuna madudu mengi yanayopelekea haki kutopatikana. Mola akupe kila la kheir mzee Kishimba.
@richardibrahim5609
@richardibrahim5609 Год назад
Jamaa yuko vzur sana
@edibilalfakisadi1491
@edibilalfakisadi1491 Год назад
Kwakweli huyu mzeee namkubali Sana na uwezo wake wakufikili na kuleta hoja zinazo gusa jamii moja kwa moja
@mohamedykisuda6401
@mohamedykisuda6401 Год назад
Huyu Mzee anatosha kabisa kuitwa Professor zaidi ya ma professor wa darasani
@josephokumu9666
@josephokumu9666 Год назад
​@@mohamedykisuda6401hy
@masungajp1
@masungajp1 Год назад
Nakubaliana na Kishimba. Japan ilikuwa kiboko kwa mafia. Polisi ilibidi ijiingize Kwenye umafia na kufanikiwa kupunguza. So Kishimba is Genius. Tumtumie ndugu yetu HUYU.
@FrancisRM-ex8vf
@FrancisRM-ex8vf Месяц назад
Darasa la saba lina siri kubwa sana😂😂😂
@MARTINMLINGWA
@MARTINMLINGWA Год назад
Baba huyu ni mwalimu mzuri wa kuelimisha jamii kuhusu uchumi
@TheresiaNgaa
@TheresiaNgaa 8 месяцев назад
Huyu mtangazaji huwa namkubali sana
@bensonsalum6297
@bensonsalum6297 Год назад
Hongera sana tumepata Elimu ya uhalisia
@mussachambazi3463
@mussachambazi3463 7 месяцев назад
Broken people act rich And rich act broken😢..
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Год назад
Uyu mzee akilikubwa nasapoti sana mawazoyake big up
@jamalijamali347
@jamalijamali347 Год назад
My role model mzee anajua mfumo wa maisha huyu akiongea huwa naacha mambo yote namsikiliza
@fidelismyovela2834
@fidelismyovela2834 Год назад
Anawaza sana
@ummahmed3354
@ummahmed3354 Год назад
Shule ni upotofu tu kama hujui lengo hasa la elimu na hupati ...na kama hupati elimu yenye ubora wa ukweli...watu wanaofundishwa biashara utotoni na wazazi wao au fani nyingine za ujuzi...hutokea kuwa na mafanikio katika kutumia ujuzi huo Kim kimaisha kuliko watu waliokwenda Shule au wenye vyeti fulani...majority of our legacy education system of colonialism is nothing but brainwashing. ..you only get to learn a little. Here in the USA...majority of famous successful entrepreneurs who made big impact not only in business but also in life in general, were dropouts from college such as Bill Gates, Steve Jobs , Mark Zuckerberg etc... Mzee Kishimba yupo sahihi nami namkubali kabisa....elimu aliyokuwa nayo ni zaidi ya Phd...na wengi wenye vertical vya Phd ni viiyo tu. wengine wananunua na kukariri theories only we need to change the whole education system to revive every sector of our country's economy...
@EnockaHaruni-et5cn
@EnockaHaruni-et5cn 9 месяцев назад
❤❤
@geeva99
@geeva99 Год назад
Hapo kwenye watoto mzee kapotea, watoto wa matajiri wanapata shida sana za kuwa na pressure kuwa wawe watu flani alafu kiongozi wa familia akiwa na mindset ngumu hapo inakuwa hell tu, awasikilize hao watoto wanampango gani awasupport ni simple sana hakuna mtu mtupu kichwani, nawalio fanikiwa ni wengi sana, mzee inabidi a study zaidi jamii za walio fanikiwa asiishi sana kwenye kichwa chake ufalme wa kiti kimoja sio ufalme is a matter of time tu
@samuelmajule54
@samuelmajule54 Год назад
Swala la watoto si mchezo ndugu unaweza ku train mtoto lkn kila ukimtizama vision yake haiendani na business zako kabisa ni kum-support tu aendelee na mambo yake
@geeva99
@geeva99 Год назад
@@samuelmajule54 kabisa, wazee wengi wana penda kulisisha talent zao, ilo ni kosa kubwa sana alafu linahatarisha economy ya generations kama utalisisha watu aina ya mambo yako na talent zako wakati wao sio mambo yao maanake iyo wealth lazima ije kufa then inarudi square one, na ndo mataifa yaliyofanikiwa from family level na jamii kwa ujuma wanatuzidi hapo
@AbduAmstafa-od6vf
@AbduAmstafa-od6vf Год назад
Uyo mzee amnakit anamaendeleo yoyot kwenye jimbo lak barabar zimeoza kilakona
@marwaisack374
@marwaisack374 7 месяцев назад
Kazi ya mbunge ikiwa ni kutengeneza Barabara na kazi ya serikali inakuwa ni ipi?.
@salehmohammedsaleh7015
@salehmohammedsaleh7015 Год назад
Mimi nashauri kama mtamzania huyu Mzee kishimba awe waziri mkuu wa Tanzania anachokiongea ni mdaa wa sasa Nina maada Anaenda na mdaaa
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 Год назад
Kumbe Darasa la Saba wako wengi na sio Msukuma tuu
@perfectmassawe4758
@perfectmassawe4758 Год назад
Baba una mawazo ya ajabu....pale bungeni pangefaa angalau robo ya Wabunge wawe wa aina hii
@janmsekela
@janmsekela Год назад
Ndg. Lamert, wewe ni miongoni mwa ‘journalists’ wazuri, lakini unahitaji kuongeza ufahamu wa eneo husika ili uulize maswali bora zaidi. Pili, usijisahau sana hata ukadhani unayemhoji ni wa rika lako. Muhimu utunze urasmi. Mh. Kishimba ni Mbunge, na pia ana umri wa baba yako. Kuna wakati unamtamka bila itifaki anayostahili - siyo sawa kwa wewe kudharau itifaki, na kudhani sasa ‘unalingana’ na Mh. Kishimba! Katika interviews zako zote, kutokujali itifaki muda wote ni udhaifu wako mkubwa.
@AlexKAudax
@AlexKAudax Год назад
The man
@AbduAmstafa-od6vf
@AbduAmstafa-od6vf Год назад
Tatizo mnaokomemt weng sio wakazi wakahama uyo mzee utajir niwakwak nafamilia yake atuletei maendeleo khm barabar Kila Kona mbovu
@fatmarashid3137
@fatmarashid3137 Год назад
Sie tunapenda mawazo yake acha hizo
@michaelshija3601
@michaelshija3601 Год назад
Kahama tuko vizuri Meh. Kishimba simama hivyohivyo dunia imeona umuhimu wako. Hoja zako ni ukombozi WA mwafrika.
@farajamwakifuna303
@farajamwakifuna303 7 месяцев назад
Umekaa unafikiri utaletewa mkononi Hilo sahau piga kazi hakuna atakayekupa maendeleo yako binafsi mpaka unaingia vumbini
@farajamwakifuna303
@farajamwakifuna303 7 месяцев назад
I wish siku hata tukapata kuona anachoona kwa ukubwa zaidi huyu baba anachozungumza….
@michaeldoroleo4864
@michaeldoroleo4864 5 месяцев назад
Nimeanza kuamini wasukuma wana kitu,kama taifa tuache kuwachukulia poa na kuwatania ushamba,kumbe sisi ndio hatujui😂
@kevinmary7129
@kevinmary7129 9 месяцев назад
Amesoma amejiendeleza huko Zimbambwe ana degree ya biashara na uchumi
@maduuikangira9864
@maduuikangira9864 Год назад
Mitaani tunatumia kombi yetu ya pmk unaijua hiyo siyo elimu ya wazungu
@emmanuelpius5479
@emmanuelpius5479 Год назад
Nimejifunza
@jameskileo955
@jameskileo955 Год назад
Mzee Kishimba ni Hazina adhim mno ktk Taifa Letu haswa kwa vijana MUNGU akupe Maisha marefu baba
@sportsnyahanga5504
@sportsnyahanga5504 Год назад
Imalaseko ulifunga Nairobi kwa nini?
@jamokitili
@jamokitili 7 месяцев назад
Tuko kwenye confusion
@erickartist4557
@erickartist4557 Год назад
Hii ni mbwa yenye akili nyingi sana.. akili alizonazo maprofesa wa university hawana
@bakarisamaki5711
@bakarisamaki5711 Год назад
Daah nimetaka kulia aisee. Ni mtu ambae hajawa brain-washed na yupo katika taifa zinq ambalo limeoshwa akili..:😢
Далее
Слушали бы такое на повторе?
01:00