Тёмный
No video :(

Mazungumzo na Balozi Humphrey Polepole - Sehemu I | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S20 

The Chanzo
Подписаться 69 тыс.
Просмотров 58 тыс.
50% 1

Katika kipindi hiki cha Jenerali Exclusive on The Chanzo, Jenerali Ulimwengu amezungumza na Balozi Humphrey Polepole ambaye kwa sasa ni Balozi wa Tanzania nchini Cuba. Mazungumzo haya yameangazia masuala mbalimbali mtambuka
mengi ikiwemo kukua kwa kiswahili, fursa mpya na mabadiliko katika jamii.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Опубликовано:

 

24 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 223   
@BravidaOslo
@BravidaOslo 7 месяцев назад
Nimependa sana ulivyo zungumza kuhusu Cuba na dawa.na mimi nakuunga mkono katika hilo. Yaani nikipata pesa tu nije Cuba kufanya ungalizi wa mwili wote. Balozi wetu Mungu akupe maisha marefu na inshallah miaka ya mbele uwe Rais wa tanzania.hii duwa yangu ya kila siku.najuwa utaleta furusa na maendeleo kwa wananchi na mifumo mizuri ya miundo mbinu
@leonardmushi6128
@leonardmushi6128 8 месяцев назад
Tungepata mabalozi wa aina hii ya Polepole tungepiga hatua kubwa sana kama taifa. Babalozi wengi wa Tanzania hawana mchango wowote kwa taifa, ni hasara na wanatia aibu. Hongera sana Humphrey Polepole
@victorjeremiah246
@victorjeremiah246 8 месяцев назад
Raisi mtarajiwa ajaye Mungu wetu amfungulie mlango mpana. Barikiwa Pole pole.
@azhadsoud1433
@azhadsoud1433 7 месяцев назад
Good luck Hamfrey good conversation,watching from Budapest Hungary 🇭🇺
@user-tj7oe5ni9n
@user-tj7oe5ni9n 7 месяцев назад
Hongera sana Humphrey polepole kweli wewe jembe unawajali watanzania wenzako . Asante sana Kwa kutujali watanzania. Mungu aendelee kukutunza ili uendelee kumtoa huduma zaidi Kwa watanzania. . Unaona mbali. Mungu akubariki baba.
@robertgeofrey4118
@robertgeofrey4118 7 месяцев назад
Mungu Awabariki Sana Jenerali Ulimwengu na Humphrey Pole pole Nyinyi ni tunu ya Taifa 🇹🇿
@beddaathanas3150
@beddaathanas3150 8 месяцев назад
He's a good leader always honorable polepole.God blessing you always
@michaelemmanuel7142
@michaelemmanuel7142 8 месяцев назад
Thanks Jenerali for bringing up Amb. Polepole to your program, his political stance set aside!! He knows his stuff given the short terms he has served to both Malawi and Cuba!! Small as it is Malawi are so advanced in agri business and aquatic farms (fish caging - MALIDECO!!
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 7 месяцев назад
Mungu akuweke kaka tunategemea ujee kulionhoza taifa hili ambalo linaliwa kwasasa na WAHUNI ❤❤❤
@dicksonkunambi8615
@dicksonkunambi8615 8 месяцев назад
Safiii sana.....tunaomba hizi fursa zilizopo Cuba, tuzinyakue kwa haraka sana na kuondoa urasimu kuwezesha madawa ya bei nafuu yaweze kutufikia Watanzania
@afronur1354
@afronur1354 8 месяцев назад
One of the best interviews ‘ Hongera Generali na Hongera saana Mh Pole pole nchi inahitaji saaana watu wenye maono yako i hope Rais na wengine waliojuu yako watathamini na kuzingatia mchango wako . God bless you
@charlesmuangirwa3240
@charlesmuangirwa3240 8 месяцев назад
Asante Balozi H. Polepole na G. Ulimwengu. Ya kujifunza kutoka Tanzania, kuhusu fedha 1. Ushirika (japokuwa umedhohofishwa na benki za biashara) Ya kujifunza kutoka Cuba 1. Afya kwa wote 2. Elimu kwa wote 3. Kukabiliana na ubeberu wa Marekani.
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 8 месяцев назад
Balozi Polepole , Mungu azidi kukulinda baadae uju kuwa Rais wetu.
@knight6757
@knight6757 8 месяцев назад
👀🤔
@ibrahimsaad617
@ibrahimsaad617 8 месяцев назад
Wewe unastahiki kuwa Raisi wa nchi hii polepole
@uzimameditv8148
@uzimameditv8148 7 месяцев назад
Mungu wa Mbinguni utupe mtu huyu kwa manufaa ya watanzania wote Ameen.
@solutionprovider7155
@solutionprovider7155 8 месяцев назад
Hawa ndio aina ya watu ambao tunawahitaji tanzania
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 8 месяцев назад
Very keen person, wise and pure patrotic of the country. ONE TO BE
@reginakimario-lj1xo
@reginakimario-lj1xo 7 месяцев назад
Yaan Hawa ndio wazalendo tunaowahitaji Tanzania
@SarahKapella-rm2of
@SarahKapella-rm2of 7 месяцев назад
Pole pole ni kiongozi ambaye anajitambua na anaweza sana kuisaidia nchi hii. Wananchi tunamuamini na anaweza kumsaidia Mheshimiwa Raid Samia Suluhu. Anayajuwa matatizo ya nchi hii. Ana upeo na mbunifu. Ni mwanaharakati mzuri anayeipenda nchi yake. Na mpigania haki. Ni kijana asiye na Tamaa.
@Burner_Acc
@Burner_Acc 7 месяцев назад
This was gold. Mh. Polepole Always knowledgeable and informative. Afike mbali
@wegesawaryoba3316
@wegesawaryoba3316 7 месяцев назад
Asante sana Balozi Hamfley Polepole.Mungu akubariki.
@user-wc5dh3vy4s
@user-wc5dh3vy4s 8 месяцев назад
this guy is smart, interview nzuri sana hii.
@felistermombo7340
@felistermombo7340 8 месяцев назад
Daah I salute you Polepole...Ila Sasa kaka yangu umeji expose to to the wolf wa Dunia je utapona? Yes because you have God you serve who is able and more than able...Nakuombea rehema na neema zake Mungu
@karenyunus989
@karenyunus989 8 месяцев назад
Nimeguswa sana sana kuhusu tiba ya vitiligo. Jamani ndugu yetu Balozi Polepole tusaidie dawa ya vitiligo ipatikane hapa nyumbani Tanzania. Kuna wagonjwa ndugu zetu wanateseka na ugonjwa huu.
@felicianfrancis9895
@felicianfrancis9895 8 месяцев назад
Nimependa sana haya mahojiano. Asante sana, hakika kuna elimu ya kutosha
@ahmadateguro4886
@ahmadateguro4886 8 месяцев назад
Mungu ambariki huyu Pole pole ni mtu muhimu sana Kwa nchi yetu
@StereoSingasinga
@StereoSingasinga 6 месяцев назад
Balozi Polepole, maarifa ya kutosha, taarifa za kutosha. Nimeelimika sana kupitia mazungumzo haya na Mzee Ulimwengu.
@philipmaswi6770
@philipmaswi6770 7 месяцев назад
Hii ni zaidi ya darasa huru, Nashukuru mno kwa mazungumzo haya, nimefaidika sana.
@wilsonnsabe
@wilsonnsabe 8 месяцев назад
Huyo ndo Pole pole ,akili yake inaiona tz kama sebule wakati Fulani aliazisha kipindi kusikiliza matatizo ya wananchi kila jmosi ilikuwa ni balaa.Huyu mtu mungu amemjalia uwezo
@8604shubi
@8604shubi 8 месяцев назад
Love Jenerali 's interview style here, allowed Polepole to properly express himself without unnecessary interruptions...
@abdulbastkassim975
@abdulbastkassim975 8 месяцев назад
Hakuna mwandish wa habar anaefanana g ulimwengu
@muhdhars
@muhdhars 8 месяцев назад
Huo ni uono wako.​@@abdulbastkassim975
@muhdhars
@muhdhars 8 месяцев назад
Indeed.
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 7 месяцев назад
Huyu NGULI sí waandishi uchwara wa vyombo vyetu
@afropatriot7769
@afropatriot7769 8 месяцев назад
Sound ya Nyerere ,akili ya Nkuruma uthubutu wa Magufuli
@danielshauri6390
@danielshauri6390 7 месяцев назад
Big brain 🧠
@visionstudios6804
@visionstudios6804 8 дней назад
You understood the assignment
@jameskiroka2549
@jameskiroka2549 8 месяцев назад
Huyu anatufaa kua rais wa nchi Sijasema kwa Sasa nop😅 Ila huyu ana maono makubwa
@boniphacealphonce1628
@boniphacealphonce1628 8 месяцев назад
Pole pole ameongea mambo mazito sana km Taifa tuyafanyie kazi hasa haya ya Malawi na Cuba,waandishi natamani wawaulize mawaziri husika (Afya ,Fedha na uwekezaji)kuhusu hoja za polepole wamezifanyia kazi Kwa kiasi gani kwani Balozi kasha tuambia ameshawasilisha hoja hizi mahala husika
@mohammedmdangwe2056
@mohammedmdangwe2056 8 месяцев назад
hiki kichwa ni lulu ya tanzania 🇹🇿
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 8 месяцев назад
Hivi vichwa Ni Lulu lkn havitakiwi kuwa karibu, linganisha mawazo yake utaona Ni kifaa Cha uhakik hapa nchini, angalia anatapika data bila kusoma aogopi kuhojiwa
@kaikaileka5417
@kaikaileka5417 8 месяцев назад
Wisely spoken
@kiishful
@kiishful 8 месяцев назад
Hongera sana Balozi PolePole.Kazi nzuri.Practical day to day challenges unazipatia solutions.Good job.
@danielezekieldaniel365
@danielezekieldaniel365 7 месяцев назад
Mto unaitwa Mto Songwe siyo mto Rungwe. Ubarikiwe sana
@amanishipella756
@amanishipella756 7 месяцев назад
Naam, ni sahihi; na kuna Tume ya Bonde la Mto Songwe.
@user-ne5cg4vv1h
@user-ne5cg4vv1h 7 месяцев назад
❤❤❤raisi wa badae MUNGU afungue njia
@gwamakapatrick4383
@gwamakapatrick4383 8 месяцев назад
Kipindi kizuri sana. Hongera sana the chanzo
@peterkafipa6515
@peterkafipa6515 8 месяцев назад
Polepole mungu akuongeze cku za kuishi utarisaidia taifa
@anastazialushika
@anastazialushika 8 месяцев назад
Tunakuhitaji sana mh polepole nchin Tz usukume gurudumu la maisha
@LunodzoMwinuka
@LunodzoMwinuka 8 месяцев назад
I expected a political battle😅, but this was informative.
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 8 месяцев назад
AKILI UNAZO BROTHER..UKO NA MZEE WA KIZALENDO❤
@deohank5995
@deohank5995 8 месяцев назад
Nchi hii watu wa Aina yako wapo wengi tatizo wa kuwatumia kikamilifu ndo Nehi! Hongera sana Balozi
@maunabelius6615
@maunabelius6615 7 месяцев назад
We are so proud of you Ambassador H. POLEPOLE
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 8 месяцев назад
BRAVO BALOZI MH. POLEPOLE.....LAKINI...LAKINI....TUWE WA KWELI...TANZANIA YA LEO IKO CHINI YA AMRI NA MAAGIZO KUTOKA MAREKANI NA UINGEREZA....VIONGOZI WETU WAMEPOTEZA DIRA YA TAIFA....NI VIBARAKA WA MABEBERU!
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 месяцев назад
User muache afanye kazi aliyopangiwa na mama ccm oyeeeee na bado ntasema mengi kila jambo lunapangwa na Mungu Uongozi ni karama inayotoka kwa Mungu tulia muache mtoto afanye kazi
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 8 месяцев назад
Polepole wewe ni balozi wa kuigwa na wengine wote. Sikuwahi kusikia popote mahojiano yenye faida kama haya. Kwa kweli unastahili maua yako. Kazi yako ni nzuri sana Balozi. Mimi sijui wengine wanafanyaga nini, wanapaswa wajifunze kwako. Kila la kheri uwasaidie watz.
@davidnkya1696
@davidnkya1696 7 месяцев назад
Yupo vizuri sana
@vancengimba9656
@vancengimba9656 8 месяцев назад
Nilikua na miaka mingi sana sijamsikiza mwanasiasa kwa zaidi ya dakika 1. Leo nimetumia zaidi ya dakika 60
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 7 месяцев назад
ASANTE sana Mungu na awatunze Viongozi wa Aina hii.
@josephmahona3006
@josephmahona3006 8 месяцев назад
Pole pole uyu mtu ni smart sana yaani kanyooka kama mtu anamchukia ni kwa sababu ya uchama na sio fact
@dennisrwelamira1259
@dennisrwelamira1259 7 месяцев назад
You are so sweet for your position. Aluta continua
@mbwilokitujime1058
@mbwilokitujime1058 7 месяцев назад
Umahiri wa kuwasiliana na kuwasilisha mambo mazito kwa umma umeuonesha Brother Jenerali Ulimwengu.Hongera na heri ya mwaka mpya 1:04:15
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 8 месяцев назад
NI KWELI HIZO MDF BORD WANAZO BUT IT HAS LOW QUALITY...MDF NZURI NI YA THAILAND...KWA KUWA TUNA MITI MINGI..IT'S BETTER TUKAMWITA MWEKEZAJI AZALISHE TANZANIA KWA SABABU HIZI BORD ZINATUMIKA SANA TANZANIA...HUYU KUMPELEKA CUBA SABABU NI LILE DARASA LA ELIMU YA UONGOZI...BROTHER AKILI KUBWA HUYU MKEREWE.
@saadamwaruka354
@saadamwaruka354 7 месяцев назад
😮 .< 0m
@RichadTenga-ze4vp
@RichadTenga-ze4vp 8 месяцев назад
Tupate wapi mtu Kama wewe,ambaye Roho wa Mungu,na ya kujali waTZ inakaa Nani yako😊
@Mku-wa-waku1
@Mku-wa-waku1 7 месяцев назад
Mtanga zajibora Afrika ❤
@user-hf7jx1zv7m
@user-hf7jx1zv7m 8 месяцев назад
Pole pole nakusubili kweny urais 🎉
@lukullikiwamba6494
@lukullikiwamba6494 8 месяцев назад
Kila siku Mimi na sema adui wa Tanzania ni mtanzania mwenyewe , mtu anaufahamu mkubwa hivi wa kujuwa dunia mnapeleka Cuba akakae offisini kisha nyumbani tunabaki na watu wajinga ndio wako serikali afrika itachukuwa Muda sana kuendelea, baniani mbaya kiatu chake dawa … mama mrudishe uyu mtu Tanzania mpe wizara afanye kazi…
@christinerwezaura4524
@christinerwezaura4524 8 месяцев назад
Kazi njema saga Balozi POLEPOLE
@MegaBack2life
@MegaBack2life 7 месяцев назад
Safi sana balozi nimekuelewa Sana ubarikiwe sana
@yusuphswaibu8532
@yusuphswaibu8532 7 месяцев назад
Safi Sana Balizi uko vzr sana kumuwakilisha mama ktk majukumu aliyo kupa
@mansourmshauri9778
@mansourmshauri9778 7 месяцев назад
Really appreciate this dude
@reginafrolence
@reginafrolence 7 месяцев назад
Good Good thanks
@williamkahale9752
@williamkahale9752 8 месяцев назад
Interview nzuri sana👏👏👏
@johnkazwika5788
@johnkazwika5788 7 месяцев назад
Polepole genius sana. Huyu jamaa ni tunu
@johnmoshi2
@johnmoshi2 8 месяцев назад
Manzugumzo ya maana haya. Polepole bado akili zimo sana Jenerali asante kwa kipindi
@MorganMwaipyana-tz9vc
@MorganMwaipyana-tz9vc 8 месяцев назад
Hongera sana Jenerali, hongera sana Balozi Pole pole
@juliusakilimali9424
@juliusakilimali9424 8 месяцев назад
Humphrey Mungu akusaidie kwa ajili ya Wa-TZ! Hapa Jenerali umewatendea haki Wa-Tz. Maeneo mengine hutaki kuwatendea haki Wa-Tz.
@salvatorymoshi376
@salvatorymoshi376 8 месяцев назад
Generali Mpe tena fursa Balozi Pole pole, ana madini ya kutosha, huchoki kumsikiliza
@michaelemmanuel7142
@michaelemmanuel7142 8 месяцев назад
Ifikie wakati Mh Rais abadili namna ya uteuzi WA mabarozi wetu sio lazima wawe wabobezi katika diplomasia Bali uwezo WA kuchambua fursa mbalimbali ktk nchi wazoziwakirisha!! Wanadplomasia wengi no wazito kujaribu mambo mbalimbali kisa kujikita Sana kwenye elimu ya darasani
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 8 месяцев назад
Kazi nzuri sana...
@shaabanikabwe3437
@shaabanikabwe3437 8 месяцев назад
Kazi nzuri sana Mzee Jenerali mazungumzo murwaa kabisa na madini ya kutosha pia asantee sana Balozi Polepole. Allah akuweke Mzee Jenerali kipindi chako kizuri sanaa.
@Mku-wa-waku1
@Mku-wa-waku1 7 месяцев назад
Mzalendo. Nime penda kazi zako bro
@mohamedabdallah969
@mohamedabdallah969 7 месяцев назад
Nakukubali Sana Comred Polepole
@peterkafipa6515
@peterkafipa6515 8 месяцев назад
Jenerali kipindi kizuri sana
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 8 месяцев назад
Tuleteee baba polepole jamani watu wanapoteza maisha tunadanganyana kina mwigulu aass
@edesaron9070
@edesaron9070 8 месяцев назад
Mungu akubariki
@Empdigitaltanzania
@Empdigitaltanzania 6 месяцев назад
safi
@mimosapudica1894
@mimosapudica1894 7 месяцев назад
Pole pole anarudia makosa yale yale ya kumuexpose "Tajiri" kuwa alikosea kukutoa kule na Vingi ulivyoviwasilisha kwake hajafanyia kazi sababu unaonyesha ni kama baada ya ww kuondoka mambo yamebaki njia panda Oscar Kambona once said "Never outshine your Master"😅😅
@samsonmwakikuti5318
@samsonmwakikuti5318 8 месяцев назад
Uko kichwa sana balozi PolePole
@levidavid1156
@levidavid1156 8 месяцев назад
huyu ndo kiongozi. Bora kabisaa MUNGU amlinde sana
@danielshauri6390
@danielshauri6390 7 месяцев назад
POLEPOLE NI BONGE LA KIONGOZI “ NATAMANI SIKU UJE KUA RAIS WA TANZANIA . Kura yangu mimi mpaka vijukuu vyangu utavipata
@greenandbeach8134
@greenandbeach8134 7 месяцев назад
Wallah interviews tamu kwakweli
@victorjeremiah246
@victorjeremiah246 8 месяцев назад
Raisi mtarajiwa ajaye.
@ROBERTMAXIMILIAN
@ROBERTMAXIMILIAN 8 месяцев назад
Kindly Keep Keeping the Focus
@badirashid4668
@badirashid4668 8 месяцев назад
I learned a lot
@nasorrboso5214
@nasorrboso5214 8 месяцев назад
Huyu jamaaa ndio mtendaji bora na ni mtanzania mwenye utendaji bora anachokisema ni sahihi na ametusaidia sana watanzania wamemtoa wa sababu awataki watanzania tusifanikiwe
@davidbenson661
@davidbenson661 8 месяцев назад
Mzee Jenerali unafanya jambo jema sana
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 8 месяцев назад
Karibu upo!
@zonko0488
@zonko0488 8 месяцев назад
Safi sana hii
@thomasdesta939
@thomasdesta939 7 месяцев назад
Tumeona uwajibikaji wako kuanzia hapa nyumbani wewe ni mzalendo wa kweli na hata malawi na sasa cuba Mungu akutangjlie nyota yako iwake mapema
@mohammedmdangwe2056
@mohammedmdangwe2056 8 месяцев назад
muheshimiwa rais samia hawa ndiyo watu kukusaidia siyo akina nape na makamba na mwigulu wapigaji
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 8 месяцев назад
Na makonda umemsahau
@josephrutta6834
@josephrutta6834 8 месяцев назад
KUNA MWANASIASA MMOJA TANZANIA aliwahi kuzunguka MATAIFA KADHAA AKIOMBA NCHI IWEKEWE VIKWAZO, KISA KATOFAUTIANA NA KIONGOZI, Afu baadaye akaja kuomba URAIS. MPAKA LEO SIJAWAHI KUMWELEWA alikuwa ana kusudi gani. Kwamba hakujua kama vikwazo vinaumiza wananchi, au la??? TATIZO LA WANASIASA WETU """"UBINAFSI""".
@lugwaja
@lugwaja 8 месяцев назад
Genius..
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 8 месяцев назад
Huyu jamaa Tanzania bado haijamtumia sawasawa...ingenufaika nae sana malawi
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 8 месяцев назад
Uko sawa
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 8 месяцев назад
Great spirits have always encountered violent opposition from Mediocre minds -Albert Einstein.
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 8 месяцев назад
Nikisikia polepole yupo kwenye Enterview lazima nisikilize uzalendo alionao. Huyu mheshimiwa ni mzalendo wa kweli.
@jaycee9067
@jaycee9067 7 месяцев назад
Huyu dogo kichwa sana. Alizingua tu alipoigeuka katiba mpya.
@safhe-mpungi6075
@safhe-mpungi6075 6 месяцев назад
Polepole sipotezi bando langu bure kukusikiliza. Maelezo mazuri saana.
@cHin91O
@cHin91O 8 месяцев назад
Smart man
@danielshauri6390
@danielshauri6390 7 месяцев назад
VICHWA KAMA POLE POLE VINAPELEKWA MBALI , WAHUNI NA WAJINGA NDIO WANAINGIZWA KWENYE SERIKALI
@davidnyakalo3293
@davidnyakalo3293 8 месяцев назад
Well said
@williamuphilipo2120
@williamuphilipo2120 8 месяцев назад
Nimependa sana hii interview, Mungu akubariki sana ndg yangu Humphrey Polepole
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 8 месяцев назад
Cant wait
Далее
POLEPOLE ATOA TAMKO HILI KUHUSU CYPRIAN MUSIBA/ NI FEKI
16:31