Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Nduguyangu Epuka Sana kukaririshwa maana Kama haujui kitu Ni vizur ukauliza,hapo sheikh amezusha kipi!?? unijibu ukiwa na ushahid Kama hauna Epuka Sana kuzungumza zungumza kila kitu na kila na kila wakati Akhui
Wanatoka hapo namadhambi tele. Mtume Gani kafundisha ujinga huo mnakuwa kama Wajinga Wakati mmesoma mnaogopa Kusema ukweli mnapotosha umma Kwaujinga. Mziwanda na wewe namaulidi kumbe maneno yote hamfaham Nini IBADA na mila. Mnachokifanya siyo haki
Nini maana ya ibada na alafu tuambie ni wapi mtu akikaa akamtaja mtu kwa mazuri yake haandikiwi thawabu na mtu akikaa akawa anamsema mtu vibaya haandikiwi dhambi, alafu uone watu wansema kwa sifa nzuri ama mbaya, shida ya watu wasiompenda mtume kwanza wamesoma kwa kukaririshw lkn hawajaelika, akili zao zimefungwa, yaani jitu liko radhi kumsifu mkewe lkn ukimsifu mtume haifai hhh
mziwanda masuni wenzako wanauawa Gaza wewe na masheikh uchwara mumekaa kimyaaa kama hamna kitu kinaendelea..kila siku kushambuliana madhehebu tuu leo sasa mazayuni yamekupeni mtihani wapalestina wanauawa sijakusikia ukifungua domo lako