Unanifundisha uzalendo wa kweli you are real Professor. Uchambuzi wako ni excellent namuona Mwalimu J.K Nyerere anatabasamu kusikiliza hekima zako, Busara na Upendo wako kwa Tanzania. Your speech is our inheritance...Viva Professor Lwaitama Azavery
High thinking capacity! Nakuelewa sana mwalimu!!!!!/maisha bila ustahimilivu ni sawa na pori!!!! Tena lenye wanyama walao nyama tu....unavutaje picha hatar yake!!! Much Respect Dr. Azavery Lwaitama. Mungu akubariki sana kwa uzalendo wako! We need more teaching!
Safi sana profesa lwaitama umesomesha wasiojua sharia na misingi ya haki za watu KITAIFA kiujumla siasa maendeleo mwalimu alisema ili inchi iendelee tunahitaji watu ardhi siasa safi na uongozi bora KWABAHATI MBAYA WALIOPATA VITI VYA UONGOZI WAMESAHAU FALSAFA HIYO MUNGU AKULINDE AKUPE AFYA NJEMA UENDELEE KUTOA MCHANGO WAKO KIUZALENDO ZAIDI.
Sahihi kabisa Dr. Maana Falsafa Ya Utawala inaonesha Ukimuondoa (Mkolofi) Mmoja kwa Kuupoteza Umri wake Utaongeza Hamasa Mia moja Kwa wafia Mawazo take. Dawa Si Kupambana na Umri Wake bali Kuzijibu (Porojo) zake.
Ahsante sana Dr. Kwa kweli tunahitaji kujenga tabia ya kusikiliza na kujibu hoja kwa kutumia hoja. Badala ya kujibu hoja kwa kujaribu kumnyamazisha mtoa hoja. Wengi tumeshasoma maneno haya ''Listen to others, even the dull and ignorant, they too have their story''.
profesa nakukubali kweli usemayo mafisiem hawajielewi na hawajui vema Mawazo ya watz Lissu wakimuondoa wataibuka watu wenye mioyo ya paku zaidi ya Lissu
He is very philosophical but also very updated, kuna vitu anaongea hapo vimetokea Marekani last month. You need to listen to this man hata kama unampinga
Yeah exactly the piger capacity minds of peoples is very easy to conform this Dr professor Azavery Lwaitama. Coz and me I'm much respect this people, so Jaah blessing Dr professor Azavery Lwaitama.
Dr lwaitama Mimi upata shida sana pale niliposikia kwamba wabunge walikuwa awajui lisu alikuwa wapi? Akafukuzwa bungeni na wabunge wengine wakashangiria km mama inauma sana
..safi kabisa!intention yako Lissu atalindwaje atakaporudi?lakini the you have fused together kwamba ulinzi uanze kwa Diwani,Mbunge na Rais..huko kwingine kote point tupu!rasim ya Katiba ya Warioba ndo kiboko!!
Stephen Shilla wewe ndiyo una sababu za kipumbavu kusikia mawaidha ya Huyu professor uchwara anayezungumza huku akichekacheka cheko za uwongo. Roho yake imejaa chuki na hasira kwa anayoyafanya Rais Magufuli. Cheko zake ni za kebei mpaka uwe na akiri za kutosha ndiyo utaelewa.
Ukitumia neno mpumbafu kwa kutomwelewa huyu mnafiki ndo tuache kumchamba? Hebu fikilia hili. Mbunge afanye mazuri jimbon lakin bungeni afanye mabaya kwa nn asiwajibeshwe?
Kila msomi wa PhD nchini angekuwa na fikra kama hizo hapo na zikatendewa kazi hakika nchi yetu ingekuwa imepiga hatua kubwa kidemokrasia. Big up Prof. Lwaitama, and keep it up
Byondo Rujulika kuteua anakoteua mpaka unajiuliza hii ni katiba gani inayo mpa mamlaka makubwa namna hii inamaana viongozi walio pita awakusoma katiba haya kweli ni matusi
KIONGOZI tulipokosea mbona papo wazi kabisa! Nihapa tunapokubali kuongozwa na watu wenye sifa za visa chuki choyo na roho mbaya dhidi ya wengine hasa waonao tofautiana nao kisera na kimawazo.
Hata kaisaari????alisema sioni hatia ya mtuu huyuu. Lakini wayahudi walipiga kelele msubishe msulubishe vinginevo hutakwa rafiki wa kaisari mwisho kaisari alinawa mikono na kuwaambia muhukumuni kwa sheria yenu mayahudi wakapaza sauti na damu take iwe juu yetu na vizazi vyetu hayaaaa ugomvi hadi Leo wayahudi hauishi ni kuwana tu na ndugu zao wapalesina ndio jibu LA damu ya yesu kwa nadamu yake I we juu. Yao
Kuchanganyikiwa kupo aina nyingi sana si lazima kuokota makopo tu.hata kujiona mjuwaji kuliko wote pia ni kuchanganyikiwa.kuwa na matumaini ya kupewa cheo na usipewe pia kuchanganyikiwa.pole.
Katika bara la AFRICA Tanzania ni inchi ya kwanza iliyo na watu wanao uwezo wa kuongea kitu cha maana au ukiwasikiliza unajifunza kitu kutoka kwao.mm ni mkongo ila naipenda sana TZ.
Haya maneno yanatukumbusha uwezo wa nzi dhidi ya nyuki maana tofauti zao ni mazoea na tabia ndio maana mmoja anachezea uchafu na mwengine anatengeneza asali a
Tz inalia 😭 , Prof.unaongea vizuri na kweli tupu🤙.Tatizo ni kuwa katiba hii inasaidia utawala wa CCM iendelee madarakani na iendelee kukandamiza na kuwadhuru wapinzani ndiyo maana CCM haitaki mabadiliko ya kikatiba, rais wao ni mfalme . Lakini hakuna marefu yasiyo na ncha.Tz inalia😭😭😭😰😰
Wewe usiwangopee watanzania wanalindwa wabunge kwa sababu zipi? Nimeishi nchi za mangharibi sijaona wabunge wanalindwa. Mashambulizi ya lisu yalipangwa na watu wake na lengo halikufanikiwa amejipa ulemavu na hawezi kuwa Raisi Tanzania. Watanzania sio wajinga kama unavyofikiria.
Aloo Hussen, Sijui nchi zipi za magharibu ulizoishi, kwasababu inaonekana ulikwenda na ujinga huko ukarui nao huku tena labda huko uliongezea ujinga mara dufu..Inaonekana huko magharibi hukujifunza lolote kama wenzako walioshi huko. Nikueleweshe labda una ujinga wa kuelewa kiswahili,. Prof.anaongelea mbunge anayehatarishiwa maisha yake kwaajili ya kazi yake( mf.Lissu anavyokosoa serikali) lazima alindwe. Ni hakuna nchi inayolinda wabunge, lakini mbunge anaweza kuomba ulinzi kama yupo hatarini, hata hiyo nchi uliyoishi huko magharibi ingemlinda huyo mbunge aliyeko hatarini. Kwa ujinga wako hukuelewa( samahani nakuelimisha tu) mfumo wa nchi hiyo unayosema ya magharibi. Pili kwa ujinga huo huo unashindwa kuelewa Lissu kaumizwa na watawala, hata mTz ambaye ni mjinga kwelikweli akaelezwa na kuelewa mazingira alivyopigwa Lissu na uchunguzi unaondelea, angeelewa hilo. Bahati mbaya sana we mwenzetu Hussein umefika mpaka huko magharibu, lakini inaoneka ujinga umukuzidi sana. Sisi huko magharibi, tunakusikia tu kwa mbali, hatujafika lakini kwa haya sisi siyo wajinga kama wewe uliyefika mpaka huko magharibi. Pole sana, mtafute Shehe Ponda( katibu wa taasisi za dini yenu ya kiislamu) akuelimishe akuondolee huo ujinga.
Huyu mzee anasisitiza mfumo kuw mzur na cio m2 mmoja na mussa asad nae alisema kuwa tahasisi ndio inapaswa kuwa imara na cio m2 binafic nilichogundua hawa wa2 wawil n mapacha katika fikra Plz our God be with them
Mimi sikuelewi kwani mbona unaingia na kutoka kwenye mada unatutowa kwenye mada mbunge anafanyakazi yake tuliyo muajili kwa kanuni na shelie za bunge Kama akikiuka ataondolewa iliachaguliwe mwingine atuwakilishe
Viongozi tuliowachagua kwa kura Zetu walindwe,bila kujali ni wa chama gani,na waliotendewa ukatili huo, serekali iwashughulikie bila kujali ni wa chama kipi.hapo tutadumisha Amani ya Taifa letu.
Professor unachosema nikweli kwa 100%. Tatizo linakuja kwa mtawala mkuu anapoamua kuvunja katiba na wawakilishi wetu waposhindwa kumshauri na kuingiza ushabiki na uchama. Wananchi tumekwamishwa sana na wawakilishi wetu
Joshua mtawala mkuu huyo kavunja katiba kivipi? Unaweza kutaja vifungu alivyovunja? Au unasema tu kwasababu ni haki yako kusema? Nchi yeyote hairuhusu MTU yeyote kudharau Katiba kama anachokifanya huyo professor wenu hapo anaecheka cheka huyo ni Mwanchama ambae anatumia maneno kudhihaki kila kitu hivi unataka kusema huyo anaakili Sana'a kuliko wasomi wengine? Anaponda hivyo kwababu yeye ni mashabiki Wa Chadema Katiba ndio Sheria mama hakuna aliejuu ya Sheria na pia mujue Hakuna Uhuru usio na mipaka Pia hakuna Haki bila ya wajibu. Pia mujue Tundu ameshadharau Mihimili yote na maneno yake yapo mnaposema Leo ahakikishiwe usalama wake nani atamlinda wakati kishasema mihimili yote ni Dhaifu? Mjitafakari Professor anaejifanya anang,ata na kupuliza ha ha haaaa Anajitekenya mwenyewe kisha anachekaaaaaa ha ha ha Professor Wa Chama
Lakini sheria zimewekwa na lazima zifuatwe ni ajabu mtu kama Lissu ambaye ni mwanasheria anavunja sheria makusudi kabisa isitoshe kamati ya uchaguzi inawakilishwa na vyama vyote. Na bado anaendelea kutukana na wewe unatoa mawazo yako sasa ni vipi nchi hii watu hawana uhuru wa kutoa mawazo.
Dr endelea kuwapa elimu baadhi ya Watanzania mazuzu ambao hadi leo hawajui Siasa ni pesa wanabaki kushangilia wenzao. Kwenye Siasa ndiko kwenye mitaji mikubwa.
Ama kweli wasomi wapo wa aina mbili . 1)Msomi alielimika .......................... 2)Msomi wa cheti Sasa Lwaitama ni msomi alieelimika na kufaidisha jamii kwa kwa elimu aliokuwa nayo sio unamuua mtu kwa kuwa na mbadala wa mawazo tofauti na wewe kwwli utakuwa huna tofauti mwendawazimu heko sana Lweitama God bless u
Huyu prof.anaonyesha jinsi gani watanzania tunahitaji kuungana na si kutengana,Anafaa kujumuishwa ktk viongozi ili alisaidie Taifa letu.Mh Rais muangalie prof.na km itakupendeza mjumuishe kwa wateule wako ili asaidie ana mawazo mazuri
Rain yangu Viongozi na Watawala pamoja na Wananchi kujenga utamaduni wa kuheshimu katiba. Watanzania tuungane nakuvumiliana pamoja na tofauti ya itikadi za kisiasa.
Pttofesa lwaitama unaongea ukweli mtupu kungekua na watu 10 tu kama wewe tanzania ingekua ipo mbali tatizo tanzania kuna maprofesa wengi wanafiki wasakatonge
Saleh Madawa Mbona tulikuwa nao. Rugemalila, prof. Tibaijuka, Membe , Lowassa, kikwete junior, kikwete senior Tundu Lissu, Mbowe, Zitto Kabwe na Mkapa na bado nchi ilizama. Ni Magufuli tu ndio ametuonyesha maajabu na uongozi wa ukweli. Wengine ni ubinafsi na ufisadi we cant gamble with our lives to with a lounging professor without actions
MZEE GOMBEA CHEO CHOCHOTE TUTA KUPATIA KURA KWANI MAWAZO ULO NAYO NIHAZINA KUBWA KWA TAIFA LETU YAKO KI AKILI SANA!! PIA YANA FIKIRISHA SANA!! BE BLESSED!!
I real enjoy your words, i wish I could be among of your Student, Unaongea mambo ambayo yanatikisa ubongo na kumfanya mtu apate maana zaidi ya kuwa Mamlaka ya Nchi kama Raia. Hivi Bunge likimfungia Mbunge uwakilishi ndani ya Bunge wakati mikutano inaendelea uwakilishi wake kwa wananchi waliomchagua kwa kipindi hicho unakuwa wapi?
Watanzania nikama makunguru mzee sasa toka lini kunguru akafugika ukitaka kujuwa muulize nuhu wa biblia japo mawazo yako nimazuri lakini bado matatizo haya wezi kuisha na pia madaraka ya kirudishwa kwa wanainchi hapo mambo ndiyo yatakuwa mabaya kabisa Kwani kunabaazi ya wanasiasa wangeweza kutumia ufinyu wa uelewa wa wanainchi ambao ni kweli kuwa upeo wa kuchanganuwa mambo ni mdogo sana kwa watanzania walio wengi hivyo wanasiasa hawa wangetumika kuwa hadaa na kuleta kilio kikubwa pia kufananisha mataifa makubwa ya ulaya na afrika sizani kama ni sahihi sana.
Elimu hii ni muhimu sana kwa taifa letu japo wanasiasa wengi katika nchi yetu hawajui siasa safi. Mwl Nyerere alipotangaza maadui wa taifa hakutaja majina ya waafrika na wazungu waliokuwa wakitofautiana naye kifikra bali alitamka UJINGA, UMASIKINI NA MARADHI... maadui hawa wamefanywa miradi ya kudumu ya kupatia uongozi... Ujinga wa watanzania unaimarishwa zaidi kwa kuyakataa au kuyayumbisha mambo muhimu kama katiba mpya(RASIMU YA WARIOBA)
Hahahaaa! KIONGOZI hilo mbona linawezekana wala halina shida, ila unapashwa kufuata taratibu ambazo zitapelekea tukutambue maalumu. Ila hata Mimi natamani Leo Mungu anipe ile Biggest capacity mind yangu iwe kama ya huyu Dr professor Azavery Lwaitama, maana ukubwa na ujazo wa Akili alionao sio wa ma-proffessor uchwara tulionao wengiwao ktk nchi hii. Binafsi huyu ni miongoni mwa Ma-proffessor wangu watano (5) au (10) bora.
Kazi kulaumu tu, Mbona mbowe, Lisu na Lema nao ni madikteta Wa Chadema je Katiba ya chama chao hampeñdekezi ifanyiwe mabadiliko!!!!!!!ww Dr. Umechoka ,kalee wajukuu Wa kihaya.
Prof. Upo vzuri SNA na unazungumza kama upo ndan ya mhadhara pale UDSM, lakni sdhan wenye akili ndogo kama wanakuelewa , weng pia wanaweza kukuona ww ni mchochez tu, tunaokuelewa zaid ni sis wenye taaluma ya political Science , HONGERA SANA KWA HOTUBA NZR , UMEELEWEKA SANA. UBARKIWE
Watu kama hawa wengeleta chachu kwenye bunge upande wa chadema kwa sababu ni mwanachama hai, lkn wanateuliwa watu kwa kujuana, tunakosa michango ya watu muhimu kwa mambo muhimu.
Mtu anaongea usiyoyajua unasema anacheka cheko la uwongo chuki na hasira Mambo ya kilimbukeni bado yamekumbatiwa (yani walioanzi sha wameyatupilia mbali alafu humu ndo yamekumbatiwa sshv na kua mwongozo) w Cheka ata km ndege saahv ni kuchanana mwanzo mpk mwisho
Wataamka wengi nakusema,na wasiposema hata mawe yatasema,,wanaojifanya wanajua watavikwa upofu wasijue walitendalo. Excellent ....,Please copy from him.we will move forward.
Eti raisi anaweza kuondolewa na bunge akivunja katiba, hicho kikao cha kumng'oa raisi kitafanyika wapi, na raisi atakuwa wapi, itakuwa hujui kama raisi anaweza kuvunja bunge, kwa hiyo raisi atasubiri kutimuliwa na wale anaoweza kuwatimua.
Wabunge wanaongeleshwa km wakata nyasi wa ng'ombe wa speaker? Heri ya mikutano ya ngazi za chini ya chama kwenye ubalozi, kuna staha kuliko bunge la sasa!