Tnakuelewa sna sheikh wetu Dr. Sule cc tnajua ww ni elimu na duniani kila kitu ni elimu,, tnajua ata kuzungumzia Nyuki, majini, na malaika yte ni elimu,, lkn mara zte sheikh wa kizungu za khs majini wa naambiwa washikina
Hkika ume nifungua sana kuhusu hayo mafungu ya rizki mimi nlikua nme olewa na tajiri sana na ali mjengea mamangu nyumba ila dada ya mamangu ali niroga nanika shikwa na wazimu na mume wangu aka niacha 2014 nli hangaika sana nika pona 2019 na nka mpata mume wangu ame oa na ana mtoto niliacha ndoa nanika safori niko saudia mpaka sasa nilona nyumba zangu mbili zaku pangisha tuktuk zangu mbili mpya nana rudi kwetu mwezzi wa nane 2025 nikiwa na pesa zangu zaku tosha ila yule dada ya mamangu hana maisha analewa aki lala kila mahali ali repiwa hadi ana ukimwi mimi nli msamehe na niki rudi nta mjengea room moja aji sthiri
Hakuna tajiri duniani mtu kama bakhresa ni mtunishi wa umma kama raisi wa nchi. Kwa maana vile vyote anavyo simamia havitumii yeye pekeyake vinatumiwa na wengi. Kwa maana ni kiongozi. Au mthamini! Tajiri ni mungu tu:
Sio kweli unachanganya mada utupu wa mwanamke unathani kubwa sana wewe ulitoka wapi utupu kutumika vibaya sio sababu ya kusema hauna thamani hapo umekosea omba radhi
HUYU SHEIKH UNAWEZA WANDISHI WAKAMFWATA WANAMULIZA VINGINE KUJIBU KWAKE KUJISIFIA MAISHA YAKE UNAULIZA KUUSU MWANAMKE KUISHI NA NYOKA UNATOA DAWA ANAJIFANYA ANAJUA MPAKA ANAUZI
Hakuna kitu sipendi km kutrend kwa vitu vya kipuuzi sasa Shekhe sijui Dr nae anaongia kutrendisha shirk Subhannallah Astaghafilullah Astaghafilullah Astaghafilullah 😢
Yule bint nyoka Tapeli tu mtakuja kusema ,kuishi na nyoka kama chatu kawaida tu mbona,wamuchunguze vizuri mle chumbani anatisha watu , mtu mweny dangu hatangazi wazi,yule ana biashara mbovu nyuma yake hataki watu wamuchunguze chunguze,anajua akisema nyoka watu wataogopa😂😂