Asalamu aleykum katika utumizi wa kumtumia jini haifai wanazuoni Shafi hambal Ahmed Maliki Hanafi hakuna hata moja wao anakubaliana nahili lakumtimia jini nooooo
Ulinganizi bila elimu lazima uwemganga umesilimisha wengi mashalla ila yamepomoka matendo yako baada yakua mshirikina dktar sule alla akuongoze utubie kabla kufa
Maraika anakaa na nani? Maraika hana huo mpango wa kukaa na wewe ...iyo ni kazi ya majini...maraika wanaishi mbinguni...wanafikisha ujumbe kwa style yao lakini sio kukaa na wewe
Yule ni nabii. Na alipewa hayo Mamlaka na ndo mana hata yesu alipewa uwezo wa kuumba baadhi ya vitu na mtume Muhammad SAW alioa waake 11 lakin sisi tunaruhusiwa wake wanne tena kwa mashart kwahyo usifananishe mitume na ssi
Sio siri mie huwa nakufutilia sanaaa Dr sule toka enzi za mihadhara uliyokuwa ukishirikiana na akina mazinge,upo vizuri sanaaa Allah akuzidishie kheir duniani na akhera inshallah
@ Patrickmaina 5459: Hawa ndo waislamu sasa wengi wanampinga doctor Selle eti sii muislam kisa tu anasema maana halisi ya imani yao na majini sasa sijuwi ni kipi kinaco kuwa ca ukweli kwao maana ukisema ukweli kuwahusu wanakuja kukupig vita basi waacane na hiyo dini ambayo aiwapi amani ndani yao. Wa kisikiya ukweli juu yao inakuwa kama mkuki mkali ndani ya miyoyo yao sasa faida gani ya kuwa kwa dini hiyo?? YESU ni Bwana Mwana wa MUNGU aliye hai Amen
@@salamasongoro520 kuna YESU KRISTO alafu kuna wanao jiita Yesu ulishawahi sikiya mtu akiijita YESU KRISTO tangu hajaj KRISTO na tangu alipo ondoka hapa duniyani???
Wewe inakutosha uamini kua mungu ni mmoja tu wapekee hana mwana wala hajazaliwa Na nabii issa au wewe unaemwita yesu ni bwana wetu kweli mana yeye ndie mtume wake mungu alie tukuka ila sio mwanae.
@@matikomrimi8222 Wewe akili yako ndio haijafanya kazi mpaka hapo mana swali lakijinga sana Malaika kaumbwa kwa nuru na majini kwa moto Sasa unafikiri ndio hoja hio kwamba moto haupo au Moto upo na unawaadhibu mpaka majini waovu kama huamini kama moto unamuumiza jini bc hebu mtu mwenzio akupige kibao ivi uwone kama hutoumia na kwann uumie na wewe umeumbwa na udongo😂
@@rumdeesonsoa1811 Allah mwenyewe ni jini kamrithisha na swahiba wake Muhammad,yaani mmepigwa kiini macho tu,Amkeni Yehova is watching you,still you’ve time 😎
Ushindwe kwa jina la Yesu, nyiye waislamu munaamini katika majini ndoo mu na majini, na mutume wenu alitumwa na mukuu wa majini île Siku maswahaba walimutafuta Waka mukosa Ali itwa na mukuu wa hawo majini akaende aya somee koroani .
Samahani kama litakuudhi lakini ukianza kuwatukana waislamu fikiria mara mbilimbili,kwa elimu Gani basi mlio nayo nyinyi , usitudhalilishie Dini yetu kabosa Yani ,mara mia mtukane muislamu ila usiutukane uislamu mara elfu mtukane muislamu ila usijaribu hata kwa bahsti mbaya kututukania mtume!!! ALAFU NASHANGAA YANI WAUMINI WANSTUKANWA PAMOJA NA MTUME WAO ALAFU WAMENYAMAZA 🤔🤔.ALAFU KOOOOMA KAKA Tena mwanzo mwisho kutukana mtume ,,,Aya unayoijuwa ni hiyo tuu yenye mtume alienda kuwasomea majini Quran, ila ayah zingine zinazozungumzia kuwa nyinyi ni makafiri mlio ahidiwa moto huzizungumziii we vpi Qirani yenyewe hujuwi kuiandika alafu unajiproud "(KWA JINA LA YESU)" we ungemjuwa YESU wafkiri ungekuwa mkristo??? Tena koma kututukania mtume kama uko tayari nitafute nikuonyeshe nani wenye elimu bana yetu na nyinyi ☪️☪️☪️ for life
@@mwangometabu5461 ndio noache ujinga kisa nazungumza ukweli hata mfanye nini hatuingii kwa lolote.Elimu zenu mdogo mnataka kushindana na sisi mtatupatepi kama ukweli upooo basi uzungumziwe tuu ya nini kujibanabana ?? Hamna lolote kwani mie siezi kuwa mjinga kwani ni mwalimu wenu .Toka lini uliwahii sikoa mwalimu Kawa mjinga kwa wanafunzi wake 🤔🤔🤔 kubalin au pingeni uislamu ndio dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu na ndio iliyoshushwa nayo manabii wote akiwemo YESU na wamwisho Muhammad (S.A.W) Sisi ndio WAUMINI banaaaa
Mm namuelewa vizur Dokta sule,Na hili swala la kila binadamu anakuwa na jini ama ana rafiki jini ilo ni kweli wala halitaki tochi,tatizo la watu hawana elimu
Sheikh wangu sule nakuelewa sana usemayo ila nawasiwasi kama kwako ipo kibiashara zaidi? Hope haiko ivo maana ni hatari hii sheikh kufundishs watu namna ya kupata mali kupitia majini
KUWATUMIA MAJINI KUTAFUTA MALI AU ULINZI NI DHAMBI KUBWA HUU UTHIBITISHO KATIKA QUR-AAN SURATUL JINNI وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
KUWATUMIA MAJINI KUTAFUTA MALI AU ULINZI NI DHAMBI KUBWA HUU UTHIBITISHO KATIKA QUR-AAN SURATUL JINNI وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
Africa tumepumbazwa kwa kuaminishwa na wazungu(dini) kwamba elimu zao technolojia alafu za kwetu ni ushirikina na uchawi, ili tuendelee kuwa tegemezi kwao na mafukala😂
@@salumuledisalum8038 sule ni sheik tena mukubwa yeye alisimama kwenye mihadahalo mikubwa mikubwa pamoja na mazinge na Saidi kinyogori , tena hawo masheik wakakubali katika midahalo hiyo yakwamba shetani ni mwislamu . Nyie wa waislamu wa dogo wa dogo hamujaenda kusoma dini ndoo hamujui wale masheik wa najuujua wislamu, yani nyie wadogo wadogo ni bubu tu .
ALLAH anajua kuumbua watu ukifanya siri dhambi ikakua ALLAH anakuweka wazi. Ukiswali nyuma ya huyu mtu huna swala ewe muislam. Huyu leo kautangaza uganga wake 1. Anachinja kwa ajili ya majini ila sio kwa ajili ya ALLAH 2.anadai Dua zake kwa ALLAH ilihali katikati yake na ALLaH kuna majini 3. Kutegemea msaada kwa kiumbe kwa mambo ambayo anayaweza ALLAH peke yake mfano rizki,mvua,shifaa ni SHIRKI kubwa. Hakuna jambo kaongea kwa ushahidi wa aya na mafundisho ya mtume. Jiwekeni mbali na huyu mtu asipotubia akafa katika hali hii ataenda motoni
Sheikh uwe unatoa na dalili kutoka kwenye vitabu ya Mungu. Lakn ukisema tu majini kuyatumia halali tunakuwa hatukuelewi maana wengi elimu finyu ya dini. Tupe aya na hadith kwa kila nukta. Vinginevyo mh!
Ata mwana damu atajua maechayako nyuma wakati anaenshi nawewe, lakini Mwabieni jini akutafutie maensha yako ya mbele 😅😅Hawezi kuuijua maesha yako ya mbele, hakuna kiumbe lolote duniani anaojua siri ya mungu.Mwana damu ana guvu kuliko jini, #From#COMOROS
We mdada wa mbengo kuna mtu anaitwa daruweshi kimicha mwite umuhoji juu ya aliyoyaongelea dr sule alafu nakwambia kwann nmemwambia utamfute hyo mtu ukitaka no niambie ntakupa uwende kumuhoj
DR Sule kabla ya kuwa na Pete Je . 1 ) ilikuwa hauna bahati 2)ilikuwa hauna mvuto 3) Rizki ilikuwa haupali 4) Dua zako ilikuwa hujibiwi kama hujibiwi tuseme Pete Leo ndio inakuji Dua zako
Quran 13:11 =ANAKILA MTU KUNDI LA MALAIKA MBELE YAO NA NYUMA YAO.....kwahy hii kusema kila mtu ana jiti sio mpango wa Mungu.kuwa nàjini nimfumo wakishetan
Nasoma comments za wakristo naona balaa tupu hivi anayoyazungumza Sulle hata kwa movies hamuyaoni??? Hapa sio kusingizia udini hapa tunajifunza ulimwengu wa Majinn sasa msiwe wapumbavu ??? Majinn wamejaa makanisani hapo vipi???