Тёмный

DKT. MWINYI AFANYA UAMUZI MZITO KWA CHAMA CHA ACT WAZALENDO 

ZINJIBAR TV
Подписаться 143 тыс.
Просмотров 39 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 79   
@hassanmitawi9256
@hassanmitawi9256 6 месяцев назад
Safi
@ابتع-م5ث
@ابتع-م5ث 2 года назад
Zinjibar tv ni mabunju ni kama ubao wa kisonge
@asiashaabaniluliho6023
@asiashaabaniluliho6023 Год назад
Safi Sana dokta Mwinyi
@ramzsule7678
@ramzsule7678 2 года назад
Hujibu au hayajibiki
@francismhulula4746
@francismhulula4746 2 года назад
Mimi binafsi nakushukuru kwa kupata pesa yangu yote kwa masterlave asante sana MUNGU akubariki
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 2 года назад
Sisi wana ACT wazalendo tunakuona jahazi unaloliendesha unalipeleka mramba na ndio sababu ya kuhofia maisha yetu, kutokana na kubeba hadi panya ndani ya jahari la matumaini , wakitoboa mbao jeee?...
@eddyeddy1337
@eddyeddy1337 2 года назад
Mheshimiwa Rais uko vizuri tupo pamoja na maendeleo ya zanzibar
@solomonadams6337
@solomonadams6337 2 года назад
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu ¿Wewe unashindwa Zanzibar...kwa sababu sio kwenu wewe ni Mtanganyika safi kutoka Mkuranga sawa¿thanks
@franksimonngole8481
@franksimonngole8481 2 года назад
Wewe ni Mu OMAN.
@youssouphsalum786
@youssouphsalum786 2 года назад
Asil y Zanzibar n unafki sas ndo twapelekw ivii
@zulehaabubakar3574
@zulehaabubakar3574 Год назад
Mnayapenda km hamuyapendi tendeni uchaguzi wa haki
@khamisseif9775
@khamisseif9775 2 года назад
Hussen usitudanganye huwezi kutufanyia kitu Wazanzibar wewe unatekeleza sera za ccm kuimeza Zanzibar
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 года назад
Unataka afanyeje na kukujengeeni anakujengeeni.
@w4058
@w4058 2 года назад
Kweli kabisa asitudanganye
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 2 года назад
Mungu akutangulie ktk MEMA unayodhamiria.
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Год назад
Hayo mambo ni CCM ndio wanayoshabikia
@zulehaabubakar3574
@zulehaabubakar3574 Год назад
Mnauwa kisha mlipe watu duh
@khalifarashid1232
@khalifarashid1232 2 года назад
Uamuzi mzito upo wapi apo.acheni kuandika vichwa vya habari tofauti na mantiki
@nabillkhamis8188
@nabillkhamis8188 2 года назад
Muheshimiwa ss tunataka umuondowe kamishina muondowe awazi plz
@rajabjuma277
@rajabjuma277 Год назад
Zanzibar huru ndio tutakuamini hamna mkamilifu kweli lakin ccm utu hawana kila chaguzi maafa
@venancerichard920
@venancerichard920 2 года назад
Nice mjomba, ila nchi moja kodi ya ninikutoka upande mmoja kwenda mwingine
@SaidKhamis-q4b
@SaidKhamis-q4b 2 месяца назад
una uhakika kodi inatakoka bara kwenda Zanzibar
@abduliauni8048
@abduliauni8048 2 года назад
Mwinyi unalia upande mmoja
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 2 года назад
Umoja wa nyani na simba sijui utaishia vipi hivi simba atamuacha nyani aruke ruke tu si rahisi.
@abduliauni8048
@abduliauni8048 2 года назад
Muwongo
@handhalhandhal4608
@handhalhandhal4608 2 года назад
Huna uhalali wa kuwa Raisi wa Zanzibar kwani hukuchaguliwa Bali wewe ni mlowezi kutoka mzizima.
@manilabonalumanula1014
@manilabonalumanula1014 2 года назад
Ubaguzi huo. Hadi anachaguliwa ulikuwa wa?
@manilabonalumanula1014
@manilabonalumanula1014 2 года назад
Ulikuwa wapi? Kwa nini hujashawishi wapiga kura ukachaguliwa ww?
@franksimonngole8481
@franksimonngole8481 2 года назад
Wewe umetokea OMAN
@khamisalikidarasa6331
@khamisalikidarasa6331 2 года назад
Huna lolote ulionao ni unafiki tu nauwongo mwingi
@jumasalim5425
@jumasalim5425 2 года назад
ungekuwa unataka kushirikiana ungewasikiliza na wengine ukiambiwa unakasirika tu na bora usijibu maana hakuna cha kujibu ukweli ndio huo wewe unalipa master life lakini sisi tunaoidai serikali yako tumefanya kazi hutulipi ivo tukueleweje?
@delasdiego6537
@delasdiego6537 6 месяцев назад
Hautasimama kujibu wakati ndio unajibu hivyo mwamba vp kwani.. ila tambua TUMEKUCHOKA hatukutaki unajifanya mpole ili tukuelewe hapa haueleweki hatukutambui kwani Ali karume haumuelewi akiongea haukubaliki ww ni wa ccm sio wa wazanzibar casso tukutane 2025
@abdillahhamad890
@abdillahhamad890 2 года назад
Uko sahihi alláh akupe subra zote ni changa moto
@fugameza6011
@fugameza6011 2 года назад
Wee unae kumbuka ilikuwa kuwaje hebu tukumbushe ilikuwa nani kafanya nini na nchi yenu
@Halima-zx4pg
@Halima-zx4pg Год назад
Fanyakazi waache waseme wamezoee kusema yasikutishe hao
@kungurukingunge2761
@kungurukingunge2761 2 года назад
Muheshimiwa unakosea kuongea nikawada ebu tizama nchi zenye maendeleo viongozi wanaongelewa sana huwezi mzuia mtu kaongea Africa ndio maana hamuendelei serikali yenu inaupendeleo wacha watu waseme wewe fanyakazi yako usijione wewe kama mfalme sio wa kwanza kusemwa na wala hautakua wa mwisho jifunzeni katika mabunge ya wafadhili wenu wanaowasaidia ndio mtaelewa kua nyie hamsemwi hasaa acha kulalamika kusiko tija
@manilabonalumanula1014
@manilabonalumanula1014 2 года назад
Waafrika hamuuendelei, Hivi wewe ni wa kutoka bara gani?
@kungurukingunge2761
@kungurukingunge2761 2 года назад
@@manilabonalumanula1014 usijali kutoka bara gani kinachotakiwa ni kuendelea haijalishi wapi unatoka kuna mtu hataki kuona maendeleo bila kukosoana hatuwezi piga hatua bro
@rashidsalum4885
@rashidsalum4885 2 года назад
Sawa sawa kua namoyo huw mungu atakupa wepesi kwa subira yako wewe unakwenda juu ya msitari unnayo yafanya. Yanaonekana zamira yako hata. Vitendo vyako
@nassornassor8789
@nassornassor8789 2 года назад
Sorry mnakumbuka mlikosea kwa mambo mliyo yafanya nyinyi ccm mlishinda kututunza mkatengeza mpora mpora mkatupiga na zulma za roho za wazanzibari waso hatia
@faridaali6850
@faridaali6850 2 года назад
Tunataka mamlaka kamili ya nchi yetu hatutaki porojo tumechoka kuburuzwa
@jumammanga0297
@jumammanga0297 10 месяцев назад
timiza ahadi yako Acha porojo
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer 2 года назад
Hili neno changamoto linatoka wapi au ni changa la moto hilo
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer 2 года назад
Anaeuza muhogo na yy anataka pesa anunulie unga ndioakapandisha bei
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Bass haya mimi sina habari ya chama nipo oman hata kura sikutiya
@buuwahiid2898
@buuwahiid2898 2 года назад
Lkn ndugu zako wapo
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
@@buuwahiid2898 wapo tele pemba
@buuwahiid2898
@buuwahiid2898 2 года назад
@@kadijahajali3918 ok ndio tupo ndugu zako kw tutakie kheri tu na duwa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 года назад
Logically usipopiga kura maana yake umemchagua usiyempenda.
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 года назад
Kweli wewe ni MUUNGWANA...
@gangmore9091
@gangmore9091 2 года назад
Tunataka mamlaka kamili zanzibar n wewe n chama chako huwezi kuleta mamlaka kamili Zanzibar
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 2 года назад
Mamlaka gani haswa ndugu yangu? Tujaribu kuwa waungwana kama watanzania, haya mambo ya uzanzibari au u utanganyika hautufikishi popote. Tujengeni uchumi tuache longolongo.
@gangmore9091
@gangmore9091 2 года назад
@@makongorowassira6593 tupeni sisi serekali y Mungano na nyinyi bakini serekali y Tanganyika viongozi wenu hawataki kukubali wewe n wezako hamjuwi kitu na hamnati kujua ila kama unataka kujua naweza kufanya ukajua bro
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 2 года назад
@@gangmore9091 elezea nielewe tatizo liko wapi haswa, na kujulisha tu hakuna muungano wa nchi ambao ni 100% unakubalika na kila mtu. Muungano wetu nadhani unahitaji maongezi ya busara zaidi ya uzanzibari na utanganyika. Hata Marekani kuna states hazikubaliani na kila kitu kwenye muungano wao ila wanaangalia maslahi ya pamoja. Hebu nikusikilize haswa nini tatizo?
@gangmore9091
@gangmore9091 2 года назад
@@makongorowassira6593 Maslahi y Zanzibar ktk Mungano yapi nitajie 5!
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 2 года назад
@@gangmore9091 nielezee kwanza ili nikuelewe maake tutapozeana muda kwa maswali.😀
@charlesphilipo6443
@charlesphilipo6443 2 года назад
Acheni ubaguzi ninyi ,,,mnataka nini ,,,au mtafurahi kuwa watumwa wa waarabu,,,,acheni hayo
@jumasalim5425
@jumasalim5425 2 года назад
bora hao waarabu kuliko watwana nyie mwatutia dhiki na umasiki kwa kua nyie mwashiba ikulu wenzenu wateseka kwa njaa
@gangmore9091
@gangmore9091 2 года назад
Twambie warabu wameletwa n nni???
@kassimmussa8015
@kassimmussa8015 2 года назад
Kwaio maoni yako naushauri wako nibora tuendelee kubaki katika ukoloni wenu upo huru hii nchi ipo huru unayo haki yakutoa maoni kuhoji usivunje sheria tu zajamuhuri lakini bora tuwe watumwa wakiarabu kuliko kua watumwa wenu,
Далее
BI FATMA ISSA AFUNGUKA MAKUBWA DKT MWINYI ATAJWA...
19:26
MAMA KAMWAMBIA DK MWINYI ''WE MUONGO'' BILA WOGA
5:18
🔴LIVE: HAYA NDIO MAJIBU YA JUSA KUHUSU DOLA YA ZANZIBAR
1:07:15