Sisi wana ACT wazalendo tunakuona jahazi unaloliendesha unalipeleka mramba na ndio sababu ya kuhofia maisha yetu, kutokana na kubeba hadi panya ndani ya jahari la matumaini , wakitoboa mbao jeee?...
ungekuwa unataka kushirikiana ungewasikiliza na wengine ukiambiwa unakasirika tu na bora usijibu maana hakuna cha kujibu ukweli ndio huo wewe unalipa master life lakini sisi tunaoidai serikali yako tumefanya kazi hutulipi ivo tukueleweje?
Hautasimama kujibu wakati ndio unajibu hivyo mwamba vp kwani.. ila tambua TUMEKUCHOKA hatukutaki unajifanya mpole ili tukuelewe hapa haueleweki hatukutambui kwani Ali karume haumuelewi akiongea haukubaliki ww ni wa ccm sio wa wazanzibar casso tukutane 2025
Muheshimiwa unakosea kuongea nikawada ebu tizama nchi zenye maendeleo viongozi wanaongelewa sana huwezi mzuia mtu kaongea Africa ndio maana hamuendelei serikali yenu inaupendeleo wacha watu waseme wewe fanyakazi yako usijione wewe kama mfalme sio wa kwanza kusemwa na wala hautakua wa mwisho jifunzeni katika mabunge ya wafadhili wenu wanaowasaidia ndio mtaelewa kua nyie hamsemwi hasaa acha kulalamika kusiko tija
@@manilabonalumanula1014 usijali kutoka bara gani kinachotakiwa ni kuendelea haijalishi wapi unatoka kuna mtu hataki kuona maendeleo bila kukosoana hatuwezi piga hatua bro
Sawa sawa kua namoyo huw mungu atakupa wepesi kwa subira yako wewe unakwenda juu ya msitari unnayo yafanya. Yanaonekana zamira yako hata. Vitendo vyako
Sorry mnakumbuka mlikosea kwa mambo mliyo yafanya nyinyi ccm mlishinda kututunza mkatengeza mpora mpora mkatupiga na zulma za roho za wazanzibari waso hatia
Mamlaka gani haswa ndugu yangu? Tujaribu kuwa waungwana kama watanzania, haya mambo ya uzanzibari au u utanganyika hautufikishi popote. Tujengeni uchumi tuache longolongo.
@@makongorowassira6593 tupeni sisi serekali y Mungano na nyinyi bakini serekali y Tanganyika viongozi wenu hawataki kukubali wewe n wezako hamjuwi kitu na hamnati kujua ila kama unataka kujua naweza kufanya ukajua bro
@@gangmore9091 elezea nielewe tatizo liko wapi haswa, na kujulisha tu hakuna muungano wa nchi ambao ni 100% unakubalika na kila mtu. Muungano wetu nadhani unahitaji maongezi ya busara zaidi ya uzanzibari na utanganyika. Hata Marekani kuna states hazikubaliani na kila kitu kwenye muungano wao ila wanaangalia maslahi ya pamoja. Hebu nikusikilize haswa nini tatizo?
Kwaio maoni yako naushauri wako nibora tuendelee kubaki katika ukoloni wenu upo huru hii nchi ipo huru unayo haki yakutoa maoni kuhoji usivunje sheria tu zajamuhuri lakini bora tuwe watumwa wakiarabu kuliko kua watumwa wenu,