Тёмный

JESHI LA TANZANIA LATOA TAMKO KUHUSU TETESI ZA KUMPINDUA RAIS SAMIA 

HABARI 24
Подписаться 200 тыс.
Просмотров 120 тыс.
50% 1

Connect with Us| Tufolow
Twitter👉 / assenga_online
Instagrma👉 / assengaonline
Tiktok👉www.tiktok.com/@assengaonline...
Telegram 👉 / assengaonline
TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA DUNIANI KOTE
REPORT TO US
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us assengablogtz@gmail.com

Опубликовано:

 

10 авг 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 260   
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 11 месяцев назад
Apinduliwe leo leo mungu awasaidie wapinduzi wafanye kwa amani tu
@abubakaradnan4689
@abubakaradnan4689 11 месяцев назад
Mkita msitaki Samiha Suluh Hassan ni Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania mpaka 2030
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 11 месяцев назад
@@abubakaradnan4689 hilo liko wasi kama ww ni mungu lkn km ww ni number km zingine akunahaja yakujibishana na ww ata magu alikufa yy ni nani mpaka 2030 ata hii 5 si ajabu asimaliza kwn ni mungu ajuaekesho
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 11 месяцев назад
@@abubakaradnan4689 wewe sio MUNGU upange
@bright115
@bright115 10 месяцев назад
Hakunaga mapinduzi ya Amani.
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 8 месяцев назад
Hakuna mapinduzi ya amani
@aviationwonders7575
@aviationwonders7575 11 месяцев назад
Kutoa bandari kwa waheni bila kikomo ni uharifu pia, kuwataka Watanzania waombe ruhusa kwa DP World juu ya mali zao ni uharifu na uhaini UHAINI NUMBER MOJA.
@thomaselias1424
@thomaselias1424 11 месяцев назад
Ukweli nikwamba raia hatupendezwi na uongoz wote kiujumla
@emanuelnisetas7510
@emanuelnisetas7510 Месяц назад
Mm naunga mkono hii serikali tumeichoka
@emmanueltamnaay5781
@emmanueltamnaay5781 11 месяцев назад
Kazi ya jeshi letu nikutetea rais tu,wamesahau kutetea wananchi.
@zulungconde1647
@zulungconde1647 Месяц назад
Mpuuzi wewe.. Hoja yakipumbavu pungwani wewe.
@masterhptv4065
@masterhptv4065 11 месяцев назад
Mungu atawaadhibu wote mnaojua ukweli nanasimama na wapigaji wa nchi hii
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 месяцев назад
Ushadanganywa na chadema
@BenjaPas
@BenjaPas 9 месяцев назад
@@wazirimakua12 wew ndo umedanganywa na maccm
@bonabonala5559
@bonabonala5559 9 месяцев назад
mungu tusaidie mama wa kambo apinduriwe tuongozwe kijeshi tujuee moja tu kuriko ma ccm haya mungu bariki tupate katiba mpyaa kabra ya uchaguzi mpyaa aamina
@maheitumdintunya2928
@maheitumdintunya2928 Месяц назад
unacho kiongea unakijua kweli wewe🤔🤔
@HusenNdwata-yb6nw
@HusenNdwata-yb6nw 11 месяцев назад
Polis wa Tanzania ni waoga mnoo
@mlawayusuph8842
@mlawayusuph8842 11 месяцев назад
Mnaangaika na nafsi zenu tu tena mtakuja jutia baadaye
@molamahago
@molamahago 11 месяцев назад
Hatuogopi kufa, wanao piduliwa sio watu 8:04 8:04
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 месяцев назад
Acha uongo ww huogopi kufa.. Umejifungia ndani.. Nenda ikulu pale kadai haki zako hahaha
@mashannapapaaa9582
@mashannapapaaa9582 10 месяцев назад
Wewe lizikanamushahalawako usizani tunaamani wakati tunaumia achamatisho wote nibinadamu kamawewe wegi walijiamini hatazaidi yawewe laki no leohii hawapo huwezi ukawatisha watu kutetea haki kisatu wewe unalipwabmusgahalamunene mukipuzia maoni yawananchi mutakujaukimbie Tanzania munaojiona nimugu
@user-gq6vz6we3m
@user-gq6vz6we3m 11 месяцев назад
Mali za wananchi zinachezewa igp anawalinda hawa waliochukua Hela ya mwarabu hapatakalika wamrudishie tu mwarabu Hela yake serikali imedhamilia kuipoteza amani iliyopo
@surusuru1994
@surusuru1994 11 месяцев назад
Huyu mam hatumtaki kabisaaa 2025 akalee wajukuu
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 месяцев назад
Wewe ndo humtaki.. Sio useme hatumtaki.. Fikra ndogo kabisa yan ubongo wako mchanga mno..
@allanmbilinyi4826
@allanmbilinyi4826 9 месяцев назад
MAMA UONGOZI UMEMSHINDA KABISAAAA ANAO WATEUA NIWEZI,WANAIBA WIZARA HII WANAHAMISHWA WIZARA NYINGINE,WAZIRI WA FEDHA KAKOPA PESA WALIPAJI WATANZANIA,MAFUTA YANAZIDI KUPANDA,NAKILA KITU KINA PANDA BEI,HATA WAKURUGENZI WANAIBA KILAMTU KWENYE WIZARA ANAIBA U ZURI WAKE WEZI HAWAFUNGWI HIYO NDIYO CCM CHUKUA CHAKO MAPEMA BILA KUFUNGWANA.
@izamahmasaki4795
@izamahmasaki4795 9 месяцев назад
Nadhani mwandishi kuandika kichwa cha habari hii hivo kuna kitu anakitafuta ,mi binafsi sidhni kama kuna matamshi yoyote yaliyotlewa na Jeshi la Tanzania labda ni jeshi la polisi Tanzania.
@fatimahirakoze7311
@fatimahirakoze7311 21 час назад
Mnasikia ham yakuuwisha watu kama congo mama Samia anawabeba vzr bila vurugu kiukweli mie ni mrudiye lkn nasikiya naumiya kweli tena machozi yananitoka kbs
@aviationwonders7575
@aviationwonders7575 11 месяцев назад
Polisi nyie mnaish kwenye nyumba duni, maisha ya shida madawa hospital hamna, bado mnakubali ujinga huu. Mnaona sawa wajukuu wenu wakitumikishwa kama watumwa? Kwanini vijana wetu wasiwezeshwe? Watu weusi kweli matatizo mpaka awepo Mzungu auMzungu kukusanya pesa bandarini. Ili si suala la kutngeneza madawa au kwenda mwezini😭😭😭😭😭🥱
@emmanuelmwakyoma5746
@emmanuelmwakyoma5746 11 месяцев назад
Igp ulisha chelewa wananchi tulisha andamana tayari mbona??? Kwani hamsomagi coment za watu?? Kilichobaki ni kutuweka ndani, Hata police wameandamani mbona
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 11 месяцев назад
Kwani huyo Polisi ndio atatisha watu? Huyo si Raia tu? Kashapigana vita wapi?? Apinduliwe tu hata saa hii tutasherehekea sana
@SoudShuraim
@SoudShuraim 2 месяца назад
Hakuna wakupindua wacha awaendeshe mzobe mzobe..mbn cc znz mnatuletea marais kutoka bara
@denisjoel1592
@denisjoel1592 11 месяцев назад
Naunga mkono rais atoke hatufai kabisa
@muhsinikoki4060
@muhsinikoki4060 11 месяцев назад
vimeamka hivi viteteautumbo
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 11 месяцев назад
Ujinga tuu waisilamu mnafikili kwakutumia. Mikundu
@beriasmasanga6859
@beriasmasanga6859 8 месяцев назад
Utaishi kwa laana nzito sana we,achana na utetezi wa mafisadi,tambua uliapa kuwafanyia nini watanzani na mali zao na raslimali za nchi kwa ujumla
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 8 месяцев назад
Nyerere alisema serikali inayo puuza wananchi ck moja itawakuta Ccm waizi wanaona Nnchi kama ya Baba yao, Uwezi kuuza lasilimali za Nnchi viongozi wa Africa manyumbu
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 11 месяцев назад
Kwakuwa umepewa manyota lazima useme ivo kutetea tumbo lako
@user-ev2sg1dy1f
@user-ev2sg1dy1f 9 месяцев назад
Sisi wananchi hatutaki fujo wala machafuko shida yetu tunapinga kuuzwa kwa bandari
@masterhptv4065
@masterhptv4065 11 месяцев назад
Viongozi hawa ndo wenye makosa, hakuna aliyetamka kupindua serikali zaidi ni maandamano ya amani kupinga mkataba, kwa nini wasijibu Hilo???
@babuloliondo74
@babuloliondo74 11 месяцев назад
makama imesha futakesi sasa munatakanini amuamini makama sasa mandamano yanini ugaiditu mama tiandani mbwa ao
@simonmartin5358
@simonmartin5358 11 месяцев назад
Kwenye hili tuacheni kubeza. Rasirimali zetu ni uhai wetu. Tusipelekwe mkataba gani usiona ukomo. Tuamkeni
@vicentgodda3357
@vicentgodda3357 11 месяцев назад
Amani haitapatikana nchiy haina amani Watu watulivu hata maji ya Kisima yakitupiwa ma we huchafuka
@jeremiatitus4414
@jeremiatitus4414 11 месяцев назад
Mama umekaa kimya sana ktk hili mbona linataka kukuharibia sifa ya uongozi wako? Kwa nn uingie kwenye historia ya machafuko kwa Jambo lililo ndan ya uwezo wako? Msitishane kaeni chini nchi hii ni yetu wote askali na raia , nawaombea Mungu wape hekima ,,,🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭
@JohnpurkeiLaizer-kq7he
@JohnpurkeiLaizer-kq7he 9 месяцев назад
tunaomba mungu,aguze jeshil letu tukufu wanqalie kwa jicho, tatu malalamiko,ya bandari letu,Kwa masilahi ya taifa letu.
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 11 месяцев назад
Watanzania Bwana kipindi Cha magufuli ohooooo anatupelekesha kaifanya nchi familia ohooo kajenga chato ,ohooo anaukabila mungu akaona isiwe tabu akamtoa apumzike she tunaemtaka Samia Tena ohooo tumpindue ohooo anauza nchi Bora tunyamazetu kuliko porojo
@hatibbaraka3956
@hatibbaraka3956 11 месяцев назад
Kuna watu kaka wana tamaa ya madaraka,nakumbuka wakati Magufuli ananunua ndege walisema manunuzi hayakuidhinishwa na bunge,leo hii wanamsifu.
@simonmartin5358
@simonmartin5358 10 месяцев назад
Puuz ww
@secelelamatonya3179
@secelelamatonya3179 10 месяцев назад
Hii inaitwa ukiruka mkojo unakanyaga mavi, Mungu anatamani tuwe na macho ya kuona, naamini kwa sasa tumeshajua mema na mabaya, maana tulipewa mema kwa sababu hatujui mabaya basi mema tukayahesabu mabaya, na sasa tumeingia kwenye mabaya yenyewe kuna jambo la kujifunza kabla hatujaletewa mwingine. Hili ni funzo kubwa sana kwetu, tufungue akili zetu kwa wakati mwingine
@ChejoBuchejo-mm8bb
@ChejoBuchejo-mm8bb 10 месяцев назад
Hata mtoto wa vijidudu anajua Hana Rais Ila MTU aliekalia kiti Cha Rais
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 месяцев назад
Huyu mwehu jamani. Risasi zimetikisa ubongo
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn Месяц назад
Kwa swala la mikataba ni mbona sana hatukutaki samia umetufikisha pagumu
@HuseniRashidi-ms7nz
@HuseniRashidi-ms7nz Месяц назад
Tukubaliane2 na uhalisia wa maisha yalivyo kwa sasa kwasabab haya yameletwa na sisi wenyewe kukubali kuongozwa na alie takiwa aongozwe hakuna nyumba ambayo kiongoz wake ni mwanamke ambayo wataishi kwa sheria na ustarabu hata vitabu vya dini vimekataza kua mwanamke asipaze sauti MN bele ya wanaume
@user-bx3em9jc6m
@user-bx3em9jc6m 10 месяцев назад
Kwanza ungetetea haki za wastaafu mstafu a analipwa mafao mil.16 miaka 30, penshen ya mwezi laki 2 umekaa. Kimya! Huoni aibu wakati jwtz mkuu wao katetea wake
@allanmbilinyi4826
@allanmbilinyi4826 9 месяцев назад
Tunapinga kauli ya IGP WAMBURA Tanzania Sio AMANI NENDA Ngorongoro ukaone kinachofanyika hakuna AMANI.
@jumaissa9535
@jumaissa9535 9 месяцев назад
Mungu tusaidie Mama wa kambo apinduliwe tuongozwe kijeshi
@SoudShuraim
@SoudShuraim 2 месяца назад
Weye unajua utawala wakijeshi au upuuzi2
@joachim5650
@joachim5650 11 месяцев назад
Mie ntaandamana vizuri kabisa
@hamadnkeyemba6300
@hamadnkeyemba6300 11 месяцев назад
Utapigwa virungu. Tulia acha mama apige kazi.
@fatimahirakoze7311
@fatimahirakoze7311 21 час назад
Mungu walaani apo watu wanataka kuharibu amani Yao mbona mko zenu vzr watanzania??
@user-eh2fi9ds5h
@user-eh2fi9ds5h 12 дней назад
Kwanin jaj huyo asiachishwe kaz kwan katiba inamluhusu kufanya maamuz ya utatuaj migogor atafute best solution so kwa mazoea afanye kaz
@lothanathanael2286
@lothanathanael2286 2 дня назад
Tunakatwa sh 2000 Kila mwezi kil ukinunua umeme bila taarifani huo ni unyang'anyi serikali inatunyanyasa Sana watanzania tuamke.
@user-pv3rj5yk5n
@user-pv3rj5yk5n Месяц назад
Jamani tusifanye mzaha hii fursa tuliyonayo tuilinde Watanzania wenzangu hayo munayoyafikiria hayawezi kutufikisha huko mnapotaka tufike tusikubaliane na hiyo hali Amani yetu ndio ngao hemu tuangalie baadhi ya nchi ambazo ni jirani tu je zinakalika je watu wana amani tusifike huko tutakuja kujutia sana hii amani ni kitu cha thamani mno wenzetu wanataman kuwa nayo.
@alphoncemichael6545
@alphoncemichael6545 11 месяцев назад
Huyu nae amelalia upande mmoja.... Tanzania ina viongozi wa hovyo sana..😂😂😂😂😂
@ramasulutan3068
@ramasulutan3068 11 месяцев назад
Shoga t uyoo
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 11 месяцев назад
Apinduliwe ndio ingekua ni serikali ya kusikiliza wananchi wake ingesitisha huo mkataba.
@isaliisu3408
@isaliisu3408 11 месяцев назад
Bandarini unaenda kufanya nini huna hata sondano
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 11 месяцев назад
@@isaliisu3408 we ndo moja ya mikundu hapa tz
@stevensosipita
@stevensosipita 10 месяцев назад
MBONA HIZO HOJA HAMJIBU NA BADALA YAKE MNATUDHARAU WATANZANIA ?
@ndilibangokaruhawe9335
@ndilibangokaruhawe9335 11 месяцев назад
Hatuna mahakama
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 Месяц назад
Mama Samia anajali wafanyakazi mishahara imepanda sana kipindi chake Mungu ambariki sana
@user-ch6qv3wf6t
@user-ch6qv3wf6t 10 месяцев назад
Tunajua maaskali wote ni ssm tyuu
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz Месяц назад
Hilo la bandar n Rohooo ya Tanganyika baada ya Egypt n Dare salaam,in Africa,lkn Wa Tanganyika tunakufa kw umaskin, petroleum sukar matbab juu maisha magumu tunadaiwa songesha huku nipigetafu,wao wana vx, za M 500,wa,wapunze vat, Tozo petroleum sukar matbab,zishuke au wizara zipunguzwe,n mzigo kw Raia, Raisi KIKWETE, alipunguza wizara ndiomaana tulitesa,
@abdulyabdunuru1476
@abdulyabdunuru1476 11 месяцев назад
Bhana eeh msitutishe hata sisi tunaweza vaa hizo nguo sisi tunataka bandari yetu tu baas hizo habar akauze zao huko tunechoka bhana Kila k2 nyie mnatetea kwan nyie hamuoni au hamuishi nchi hii
@YonaMathiaJohn
@YonaMathiaJohn Месяц назад
Okay
@babuloliondo74
@babuloliondo74 11 месяцев назад
siasa mchezo mchafu iyo kesi ario pereka makamani nani nyinyi wenyewe sasa mnapiga kerere yanini mama fungia vyama sasa wanashiba mbwa awa
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 11 месяцев назад
Askari mteteni sana huyo Samia anatuuza wote na nyie mnauzwa huku mnamtetea jipendekezeni sana na MUNGU atawalipa
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 11 месяцев назад
Hawa mapolisi ni mashoga siku hizi wapimwe akili na matako yao, vibaraka kazi uwongo tu. Mwaka huu mtayuuwa wengi nyie madhalimu ndio maana video zenu za kufirana zinaonekana mitandaoni
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 11 месяцев назад
Iko siku itafika maraisi vichaa wata toka wote African kimapinduzi waache siku itafika
@DaudiHamisi-un2uu
@DaudiHamisi-un2uu 11 месяцев назад
Polisi ameongelea upande mmoja
@festokivuyo7121
@festokivuyo7121 11 месяцев назад
Police za michongo unakua Police watu wenu wakubwa ili ulinde ujinga yao
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 11 месяцев назад
Samia apunduliwe.,nipo tayali kujiunga na jeshi lakumpindua huyo muuza mali z wananchi 💪
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 месяцев назад
Nakufwatilia.. Tutakupata tu
@isayashayo4777
@isayashayo4777 10 месяцев назад
​@@wazirimakua12 😅
@user-ts1pe5fw6y
@user-ts1pe5fw6y 10 месяцев назад
Ukweli uliopo tusidanganywe inchi jaman imewashinda
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 2 месяца назад
Ubongo wa huyu polisi ukapimwe uwezo wa kufikiri. Ni wapi tamko la maandamano limeeleza lengo ni kupindua serikali!! Kuandamana sio kosa la jinai. Bila shaka anaona AIBU kwa maandamano yanayofanyika nchi nzima kwa amani.
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 11 месяцев назад
Mimi nadhani hekima na busara ni muhimu zaidi hasa kwa wakati huu. Ni muhimu sana kila upande usikilizwe ili kumaliza mvutano huu unaoendelea.
@kelvinhaule-ot2yr
@kelvinhaule-ot2yr 10 месяцев назад
Pambania tonge Mzee bandari Sio mali ya mtawala nyinyi ndiowahaini mnaosaini mikataba isiona miguu wala tumbo hiyo nihakiyetu sisi wazalendo tutakufa keajili ya manufaa ya vizazi vyetu na hata vizazivyenu nitawa shangaa Sana kukandamiza ukweli huyu mtawala hatadumu naatawaacha mmepauka borayetu sisi tutakuwa wendazetu hatuna Baya na hatutaoza mkijua
@AminiKanda-vc1pn
@AminiKanda-vc1pn 9 дней назад
Tujue kumba tanzania sio nchi thamani ila kisiwa cha uvumilivu
@abuuluqmaana8444
@abuuluqmaana8444 11 месяцев назад
Wawa danhanye hao wapuuzi wenzao lakin mtu mwenye akili hawawez kuwasikiliza wehu kama hawa wanawadanganya watu kua wanatetea maslahi ya watu kumbe wenyewe wanapigania ugali wao
@AbubakariMakoke-kk5kq
@AbubakariMakoke-kk5kq 10 месяцев назад
Hawa wanadhalau mihimili yadora nawako lave hats mitandaon nchi isiwapuuze. Wananiambaya
@molamahago
@molamahago 11 месяцев назад
Hatarii sana nanyie polisi mnatetea nini tuna buluzwa inamaana hamwoni 😂
@masterhptv4065
@masterhptv4065 11 месяцев назад
Natamani Raisi angewasikiliza watanzania na kusitisha mkataba huu
@abduljuma7807
@abduljuma7807 11 месяцев назад
Nyie polis waongo mbona mlipo danganyw kuhusu waislamu kuwa ni magaidi kwa uwongo mkaingia kwa nguvu Hawa wanasema kabisa tutapindua serekali na watu mnawajua mbona hamuwakati kunakiti kipo nyuma ya pazi kawakamateni
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 месяцев назад
Wewe unajua nn kuhusu mkataba au bendera fuata upepo
@mabondolawrence1812
@mabondolawrence1812 Месяц назад
Tumbo
@user-xx9jl9lv6r
@user-xx9jl9lv6r 11 месяцев назад
Tuachieni bandari yetu
@user-bx3em9jc6m
@user-bx3em9jc6m 10 месяцев назад
Wow umeshindwa kutetea haki za mapolisi wako
@sindanojumanne-qr7hb
@sindanojumanne-qr7hb 10 месяцев назад
hatuna raisi tanzania tumekwisha
@isayamgazaTZ
@isayamgazaTZ 11 месяцев назад
Kazi ya jeshi la police ni kulinda raia na mali zao, sasa mbona mali za raia zinachewa halafu wanaozichezea wanaungwa mkono na hao hao police?!! Hilo mmekiuka jeshi la police, na hakuna lenye mwanzo likakosa kua na mwisho, huyo mama angepinduliwa tu na hata kunyongwa angenyongwa tu, ni bola tuwe maskini lakini mali zetu tunaziona na tunajiamulia wenyewe kuliko kuamuliwa na mtu mmoja anayetoka visiwani huko, ahonga bandali na mnaenda kujenga visiwani huko,, hamna uwekezaji wa myaka 💯 hata kidogo, muwekezaji anaongezewa myaka mingine kutokana myaka ya mwanzo imeishaje baina ya muwekezaji na mwenye mali,, na wakiingia mkataba wa uwekezaji imezidi sana ni myaka 10, kwanza, ikiwa atahitaji nyongeza tena ni hapo baadae baada ya kumaliza myaka hio 10 ya mwanzo kama ameimaliza kwa ufanisi mzuri,,
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 месяцев назад
Mali zipi zimechezewa... Umeshachotwa kifikra na hao jamaa zenu wa chadema..
@user-gt9zl8gs4x
@user-gt9zl8gs4x 10 месяцев назад
Mvuta banging mkubwa wew rud kijijin kwen mjin shule
@BenjaPas
@BenjaPas 9 месяцев назад
@@wazirimakua12 wew ndo umechotwa mpumbavu hajui kama ni pumba.
@BenjaPas
@BenjaPas 9 месяцев назад
@@user-gt9zl8gs4x wew ndo mjinga
@saimongilala8938
@saimongilala8938 11 месяцев назад
Mungu awatangulue waadamanaji
@aviationwonders7575
@aviationwonders7575 11 месяцев назад
Aksante we kama vituu vyako havitapelekwa utumwani uwe na amani, kula bata
@mohamedmtulia3691
@mohamedmtulia3691 10 месяцев назад
Hawa wanao jifanya watetezi wahii nchi wanafki2 nao vibaraka vilevile wawazungu
@MpwataOmari
@MpwataOmari Месяц назад
Nikweli hawawote ni mawakala wa papa😢.
@user-bx3em9jc6m
@user-bx3em9jc6m 10 месяцев назад
Saimon siro asingekubali mafao dhulma waliofanyiwa wastafu kikokotoo.
@raismalingumutz8473
@raismalingumutz8473 11 месяцев назад
Hakuna haki
@Hasnspop
@Hasnspop 11 месяцев назад
Mama SAMIA MAMA SAMIA MAMA SAMIA NAKUITA MARA TATU MAMA Lete Dp wold
@stevensosipita
@stevensosipita 10 месяцев назад
APINDULIWE TU HATUFAI HUYO MAMA HANA HATA AKILI KWELI UNACHUKUWA BANDARI ZETU KUWAPA WARABU TENA KWA MKATABA USIONA UKOMO PUUUUUUU
@lothanathanael2286
@lothanathanael2286 2 дня назад
Kuuzwa kwa bandri imeongeza ugumu wa maisha
@emmanueltemu3606
@emmanueltemu3606 3 месяца назад
Mama Samia ,,Kama as watanzania tumeshindwa kuongoza bandari bs tumekwisha ,,maeneo nyeti tote yako kwa wazungu ss tumekwisha ,,,na hiyo mikataba iwe wz kwa wote ,,baby mangu haligoma ule mkataba wabagamoyo ,,hakasema mtu mwenye hakili timamu hawezi kusaini mkataba huu Sasa kulikoni nyie
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz Месяц назад
Bila katiba haki hakuna,lbda Allah atusaidie,w Tz,
@KijahboyChita
@KijahboyChita 2 месяца назад
Sasa ss wananchi tukitaka kuandama kwajili yakumpindua huyu rais tuandamane kisasa yan kutumiana meseji kwenye mitandao yote kwajili yakumpindua huyu 😂
@GeofreyMwandanji-ot2lf
@GeofreyMwandanji-ot2lf Месяц назад
Tunaomba iweivyo mikopo kilasiku wananchi bado tunahali mbaya
@ImaiJuna
@ImaiJuna 10 часов назад
Sasa picha ya putini inafanya nini hapo achen ujinga
@johnchanzi610
@johnchanzi610 11 месяцев назад
😂ukome mwenyewe
@sanda960
@sanda960 11 месяцев назад
Kama hutaki kuheshimu utawala wa Sheria katika nchi hii utafute nchi ya kuishi
@GeofreyMwandanji
@GeofreyMwandanji 2 месяца назад
Mngu atusaidie huyumama nihatali kwataifa hili
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Месяц назад
Ni nyoka tena koboko
@YahyaHashiru-ze9vi
@YahyaHashiru-ze9vi 7 месяцев назад
Ao waloo wa madalaka tanzania nchi ya amani lispect afande
@medsonulendo4221
@medsonulendo4221 11 месяцев назад
Hapo kuna jambo halijaeleweka Kupindua Rais kwa wananch ni jambo lisilo wezekana maana wananchi sio.jesh na hawana slaha yoyote labda kue na kundi ambalo limetengenenzwa na hawa magharibi ambao migogoro ilio mingi wanatengenexea kwa kutuchonganosha tugombane wenyewe kwa wenyewe kwa maslah yao
@user-ki4sg8yz9j
@user-ki4sg8yz9j 11 месяцев назад
Haandamani mtu hapa kwani sote tunatumia bandari? Nendeni peke yenu mnaopata fedha serikalini
@DanieisackIbrahim
@DanieisackIbrahim Месяц назад
hatumtaki raisi samia anaongoza nchi kibaguzi apinduliwe tu atuachie tanganyika yetu
@user-zu1fq9xv7h
@user-zu1fq9xv7h 10 месяцев назад
Wewe Acha ujinga tutakupeleka mhakama ya kimataifa wewe no kitu kidogo to ujui sheria
@AbasiMadege-ot2of
@AbasiMadege-ot2of День назад
Mnatutisha NN bana
@barakanyanchama4297
@barakanyanchama4297 2 дня назад
Hii nchi haifati haki
@partysekemi5
@partysekemi5 9 месяцев назад
Walisema jeshi la polisi kazi yake ni kulinda raia na Mali zao ila imegeuka kuwa protection ya wahujumu uchmi na wanasiasa wenye nia mbaya na taifa letu pamoja watrifu wa Mali za uma
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 11 месяцев назад
Tunavyompa Rais mlaka ni kwamba yeye ndio tumemuamini kutuongoza na anawashauri wake, sasa oweje sisi ndio tumekuwa washauri? Tena tunalazimisha 😅😅
@jumaissa9535
@jumaissa9535 9 месяцев назад
Kama Tanzania ni nchi ya amani kwanini mnataka kuichafulia jina lake
@user-bj6bv9xp4f
@user-bj6bv9xp4f 8 месяцев назад
Dah
@user-zu1fq9xv7h
@user-zu1fq9xv7h 10 месяцев назад
We're ninani wacha kiburi wewe hiyo nafasi ulio nayo kulikuwa na mwenzako aku a Amani ni uwoga
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m Месяц назад
Hatuwapuuzi sisi tupo begakwabega mali za nchi zinaibiwa tu bure
@user-pr7pe4lf8p
@user-pr7pe4lf8p 10 месяцев назад
Nchi ya Aman uko wap we acheni uhun na zoezi linaendelea ni kongo brazavile kituo kinachofuata ni .....n..
@HarufaniJagh-bz7it
@HarufaniJagh-bz7it 5 месяцев назад
Ukuu wa mwafrika
@ausonjustinian4673
@ausonjustinian4673 11 месяцев назад
Watanzania na ninyi muache mambo ya kipumbavu. Kila raisi anayeingia madarkani hafai. Hacheni unafiki
@user-mh9hj3lx7q
@user-mh9hj3lx7q 2 месяца назад
Uyo samia atukumchaguwa sisi atumtaki
@ommarallyhamad7435
@ommarallyhamad7435 8 месяцев назад
Ni ishara ya ukosefu wa Sera tu Ajitokeze yy na mke wake waongoze hayo maandamano, hamna lolote
Далее
Lady Plays Hide and Seek with Her Dog
00:23
Просмотров 8 млн
Фонтанчик с черным…
01:00
Просмотров 3,7 млн
GENZs NI WAKIKUYU~ RAILA SUPPORTER EXPOSES
8:46
Просмотров 1,4 тыс.
Lady Plays Hide and Seek with Her Dog
00:23
Просмотров 8 млн