Mimi Naendelekea kukupendeni sana wana Act hakika nyinyi ni vipemzi vyetu na tutaendelea kuwapenda lakn nawashaur sana,hio wao kujenga ni jambo la kawaida sana teina sana, na hilo ni jukumu lao sisi tunachotaka ni wazanzibar ni haki ya wazanzibar na zanzibar yeye mamlaka kimil na yenye kujitegemea sio kufanywa mseto kama vile hatuna kwetu
Kwa mtazamo wangu wana siasa hawana tofauti na wasanii ni usanii tu hakuna lolote leo hii huyu anaeongea hivi umpe yy nchi ni yale yale tu hakuna jipya litakalo fanyika ni usanii tu wa kisiasa
Sisi wapemba unguja wanajitahidi kujenga ila kimya kimya ila uku pemba wakiondoa jiwe njian bx wataonesh ktk mitandao yote ivi lini tutakuw n cw n wngine
Waalyakum Salaam warahmatullah. Hizi tumechukua akaunti ya ACT Wazalendo. So tuna imani ni ya chama hivyo ni mali ya umma inahitaji kuchapishwa na yoyote. Lakini kama Hiyo nembo ya ACT ni ya mtu binafsi, basi tunaomba radhi tulielewa vibaya. Na tutaziacha hatutachapisha tena. Tulidha ni mali ya ACT maana inasema ni Official akaunti ya ACT.
sema ukweli vijana wa.kuzanzibar washazoea.maisha ya vijiweni maskani kazi hawataki kazi zote huko zanzibar wanafanya.wabara vijana wa.kizanzibar wao ni siasa tu hakuna mwanasiasa atakupa maisha zaidi.kujituma mwenyewe
Nyie wbara ndio cheep laber kazi ya kuchimba mashimo ya choo mitter mbili mnachimba kwa elfu thalathini wakati bei yake ni laki tatu sisi wazanzibar elfu thalasini hatuchimbi ata mkituwekea bunduki ya shingo sisi waarabu bwana
Tatizo lenu watanganyika bado hamja shtuka mkitajiwa nano elfu kumi tu bc upo tayari kumuua mwenzako lakin elfu kumi usiikose ss vijana wznzbar htuko ivo ndio maana nyinyi munaletwa znzbr kazi yaelfu 20,munafanyishwa kwaelfu 7 wtu wanachukua pesa kupitia migongo yenu wajinga nyinyi iv kama hatutaki kazi dada zenu wanalishwa nanani huku znzbr nyinyi mushajitolea kua punda acheni ulimbukeni washamba nyinyi
Jussa tatzo lako huna mke ndo mana kla siku unaongea udaku tuambie mwaka wewe ulosema ccm imetoa Rais bora na alofanya mema yakakufuraisha ww na wafuasi wako Dr Hussein Mwinyi amekukamateni ndipo hamna la kuja kusema 2025 ndo mana mmeanza kubeza Miradi ya Serikali
Kinachofanyika ktk nchi co pongezi kwachama bali niwajibu wakiongozi kufanya kwasababu wananchi tunalipia kodi hakuna ccm anaetoa pesa zake kujenga miradi tatizo lako hujajitambua ndio maana unahic ccm ndio wanaojenga miradi, ccm wamejenga maduka yadarajani souk mali yao ipongeze ccm lakin sio miradi yakodi zetu hatuwezi kuipongeza ccm pimbi we...
Tupo Wapemba twakusikiliza Ammy na mipasho yako ,maana wewe ndio uliochaguliwa maalum kwa kupasha watu,coz hauna cha kuzungumza watu wakakuelewa ,maana kila kitu unapinga
@@jambo3751Ripoti ya mkaguzi wa serikali kama sio Hussein Mwinyi kuanzisha utaratibu wa kusomwa live angepata wapi hoja?kwanz anatakiwa ampongeze Mr President kwa kuleta utaratibu huu wa utawala bora,maana huko nyuma hata huyo Mkaguzi wa Serikali alikuwa hajulikani..Mtu mzima mwanamme ana mipasho utafikiri mtoto wa kike
@rajab msinzia ,Leo munaweka wazi kwasabab watu washakuwa macho,na uzur zaid hayo munayizungumza sio yte kama yapo kwenye uhalisia na ubaya zaid hata ukimuona Mtu anaweka uchafu hadhanaran ujuwe hana pakikimbilia ndio maana anaweka wazi hizo report
@@R10_Rajab Naona hujanijibu Nimekuuliza report ya CAG ni mipasho? Kwasababu Jusa ndio aliyoinukuu. Halafu unasema ashukuriwe Rais kwa kuweka wazi report ya CAG! Kwanza hizo serikali zote zilizopita ziliongozwa na Chama gani? Pili Wewe fikra zako ni kuwa haki za wananchi katika nchi yao ni ihisani (favor) sio wajibu wa serikali?