Тёмный

Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | Highlights NBC Premier League 22/05/2024 

Azam TV
Подписаться 2,8 млн
Просмотров 206 тыс.
50% 1

Stephane Aziz Ki amefunga magoli mawili na kufikisha magoli 17 katika mbio za ufungaji bora, Yanga ikiibugiza Dodoma Jiji mabao 4-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliofunguliwa na goli la Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Aziz kufunga mawili dakika ya 45+3 kwa penati na dakika ya 51, na kisha Maxi Nzengeli akafunga kazi kwa goli la nne dakika ya 78.

Спорт

Опубликовано:

 

6 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 105   
@sadahamad6158
@sadahamad6158 4 месяца назад
Wow 💛💛💛💚💚💪 yanga mbele kwa mbele 🎉🎉🎉🎉
@Faustine_Charles
@Faustine_Charles 4 месяца назад
Goli la tatu nimependa sana sprint ya Mzize, mtu wa maana kabisa huyu.
@BerthaVictor-px1bj
@BerthaVictor-px1bj 4 месяца назад
Maixha ghali xAna
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂kabixa
@ribelathaponsian421
@ribelathaponsian421 4 месяца назад
Aloooh tuachane na goal lenyew is azizi, mm mempenda sanaaa mzize aseeeee big up sanaaaa kwa mzize.......🎉🎉
@SalumuAlly-d9q
@SalumuAlly-d9q 4 месяца назад
Yaani utopolo wanapenda sifa
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 4 месяца назад
Mnooooo yaaaani
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 4 месяца назад
Tunamshukuru Allah kwamafanikio nakusema Alhamndulilah Allah tuzidishie zaidi Inshaallah
@GodfreyTaudos
@GodfreyTaudos 4 месяца назад
Kama na wewe n mwananchi like hapa ❤
@EmpireDRAGON-hk9ic
@EmpireDRAGON-hk9ic 4 месяца назад
Azizi ki huwaga anashangilia hata kama ajafunga yeye namkubali sana huyu mwamba
@roi2554
@roi2554 4 месяца назад
Man of the match is msheri
@herrysonk.edward609
@herrysonk.edward609 4 месяца назад
Hahah eti chunga sana uwazi mr matobo yupo kazini😂😂
@stefanohonory7974
@stefanohonory7974 4 месяца назад
aziz hakuwa makini angefunga nyingi tyu
@joycemmassi5046
@joycemmassi5046 4 месяца назад
Yaan ni kweli kabisa maana mech zilizobakia watu wanabana sana magoli
@sadahamad6158
@sadahamad6158 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mtangazaji una misemo ww chukua mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@stanastana3199
@stanastana3199 4 месяца назад
Nashkuru
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 месяца назад
Anaitwaga nani
@ibrahimirakoze3312
@ibrahimirakoze3312 4 месяца назад
Goli la tatu limeonesha ni kiasi gani safu ya ushambuliaji ya Yanga ina upendo usioelezeka✌️
@DaudiMathias-nq6zs
@DaudiMathias-nq6zs 4 месяца назад
Yanga ndo Kila kitu❤❤❤❤
@chacha-255
@chacha-255 4 месяца назад
Azam mtuwekee video maalum ya Gwaride la Heshima (Guard of Honor) - Kabla ya mchezo kulikuwa na tukio maalum la wachezaji wa Dodoma Jiji kuwapongeza Yanga kwa kuwa Mabingwa wa ligi kuu
@aishabakari8040
@aishabakari8040 4 месяца назад
Huwaga wanatueka nusu yani ata hatufaidi vizuri 😢
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 4 месяца назад
Yes
@NasraAsed
@NasraAsed 4 месяца назад
Yanga inacheza kama inatafuta ubingwa 💛💚💚💚💚
@Giant_Original
@Giant_Original 4 месяца назад
Nimeamia Young African club rasmi leo hii. 😁 I'm just kidding guys✌🏼. #simba_nguvu_moja❤️🇺🇸.
@jumazuberi1823
@jumazuberi1823 4 месяца назад
kwan kuna mtu anaekuhitaji baki huko huko ukoloni usituleteee uchafu wenu
@mwanangusana
@mwanangusana 4 месяца назад
Humu tu .. humu tu
@Giant_Original
@Giant_Original 4 месяца назад
@@jumazuberi1823 😁 your kidding right!? Huku na huko kwenu wapi pachafu bro and plz try to bring facts no b*llshiting.
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 4 месяца назад
#humuhumu tu
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 4 месяца назад
.
@Maryc2G
@Maryc2G 4 месяца назад
Goal keeper wa yanga tunae jamani, chukua maua yako abul 🌺🌺💐💐🌻🌻🌻
@valencemwarabu7611
@valencemwarabu7611 4 месяца назад
Mzize aiseee
@ZeyanaAbdi
@ZeyanaAbdi 4 месяца назад
Mzize yaan ni zaidi ya uoendo raha sana
@dengahmediatz1230
@dengahmediatz1230 4 месяца назад
Unaamka asubuh unamuuliza mlinzi umeamkaje😅😅
@mwanahamisijuma7270
@mwanahamisijuma7270 4 месяца назад
🎉Haki nimecheka adi machoziyakanitoka
@mariakitaly7064
@mariakitaly7064 4 месяца назад
😂😂😂😂
@kaonekakaoneka9815
@kaonekakaoneka9815 4 месяца назад
Goli la tatu clement kafanya upendo mkubwa sana Kwa ki Azizi na hicho ndicho ambacho wachezaji wa yanga wanatakiwa kuwa nacho ili kumfanya Azizi kupata kiatu maana Kuna Faisal nae Anaandaliwa Kwa hiyo wachezaji wa Yanga lazima waicheze hii game
@swaumuomary1843
@swaumuomary1843 4 месяца назад
❤❤❤❤
@Kijavaa_jr
@Kijavaa_jr 4 месяца назад
Yangaaaaaa ubingwa aaaaah
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 4 месяца назад
Chama langu pendwa 💚💛💚🔰
@dianasabu6156
@dianasabu6156 4 месяца назад
Huyu mtangazaji ni nan😂😂😂 kanichekesha sana😂😂
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 4 месяца назад
Vibe kama la Wananchi kabisa analo hyu Mtangazaji😂😂😂
@EliasSirocha
@EliasSirocha 4 месяца назад
Pongeziii sana kwakooo mzize
@fredysolly8051
@fredysolly8051 4 месяца назад
Naomba mzize aongezewe sharara nzito kwahii asist
@Shadia544
@Shadia544 4 месяца назад
😂😂😂😂😂Mtangazaji misemo yako tuu 😂😂 yanga bingwaa 😂😂😂
@KhalfanHamza-ww8jt
@KhalfanHamza-ww8jt 4 месяца назад
😂😂
@stanastana3199
@stanastana3199 4 месяца назад
Asante
@BennyJumah-hd8yf
@BennyJumah-hd8yf 4 месяца назад
Nimegundua ndo maana skuiz milio ya kitandani ya binti Fran imebadilika Mara hoooooh yangaaa yangaaaa yangaaa Tam tam yaangaaa . Kumbe sas nimeelewa hamna haja yakumraumu
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 4 месяца назад
Ebwanae hii comment yako imefurahisha kweli swahiba😀😀😀😀
@BennyJumah-hd8yf
@BennyJumah-hd8yf 4 месяца назад
@@ukuvukiland2387 😅😅😅😅😅nilijua yanga mchepuko wake kumbe ni litimu likubwa Kias hik hata simlaumu mwanamke wangu
@herbethlukogela7657
@herbethlukogela7657 4 месяца назад
Vipo vikaukavyo lakini si kinywa kukauka mate 😅😅😅😅
@BabuGga-td3mg
@BabuGga-td3mg 4 месяца назад
Pongezi kwa kipa wanayanga, Msheli anautulivu mzuri sana gorini, na hili nahisi linatokana na uwepo wa Diara, #MSHELI
@AsiaHarouna
@AsiaHarouna 4 месяца назад
Ila clementinyo nai mtu wa maana sana huyuu mauwa yake jmn💞💞💞💞💞💞💞💞💞
@SuleimanAbdalla-cn5ne
@SuleimanAbdalla-cn5ne 4 месяца назад
Kibwana shomar moto❤
@DativaValerian
@DativaValerian 4 месяца назад
Jamani ni wakati wa makolo kujua sisi tunafunga kwa clean sheet afu haturuki kwacha kama wanavyofanya daima mbele!
@pharesdismas8876
@pharesdismas8876 4 месяца назад
Mtupe kiatu chetu mapema
@ShedyPackall-vx5vy
@ShedyPackall-vx5vy 4 месяца назад
Watugei Kiatu fei hafungi tena
@lizashagilliard2336
@lizashagilliard2336 4 месяца назад
Raha sana yan Bingwa tayari imebaki battle ya mfungaji bora😂😂😂 kama mcm uliopita
@mussammanga7791
@mussammanga7791 4 месяца назад
Mfungaji bora ameshajulikana, hivi sasa Feisal anadawa goli moja. Mechi ijayo Yanga na Tabora Azizi anabiga hatric.Kwahiyo Ki anaongeza magoli matatu zaidi. Azam na Kagera Feisal hana uwezo wakufunga magoli mengi Kagera. Kiujumla Feisal hamuwezi Aziz.
@NuruMaduru
@NuruMaduru 4 месяца назад
Kipa tunae💚💛
@ShebyKiango-bj9mq
@ShebyKiango-bj9mq 4 месяца назад
Et operation bila ganzi😂😂
@KhalfanHamza-ww8jt
@KhalfanHamza-ww8jt 4 месяца назад
😂😂
@fotunatusiMsongole
@fotunatusiMsongole 4 месяца назад
Yanga sifa zimezidi Sasa mnatakaa Kila kitu nyinyii muwe juuuu kilelenii
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 4 месяца назад
Maneno Yako mtangazaji yananipa raha sana
@tutumarzouk9803
@tutumarzouk9803 4 месяца назад
Vipo vikaukavyo lakin si kinywa kukauka mate- hii nmeikubali fro al watan ramadhan ngoda
@joycemmassi5046
@joycemmassi5046 4 месяца назад
pia ana mapenz sana timu yske ifanikiwe hili goli angeweza kufunga lakin akamjali sana Aziz asogee mbele na magoli
@DativaValerian
@DativaValerian 4 месяца назад
Huu ndio umoja wa mabingwa mara 30
@naomysalumu1858
@naomysalumu1858 4 месяца назад
Mnaangalia goli la3 tu ivi amjaon mbio za azizi na fard baad ya mzize kumpta yule beki fa masiala nin nakiatu
@simonmadiba2053
@simonmadiba2053 4 месяца назад
Anthony versus mavunde. Dooooh
@lossarungira965
@lossarungira965 4 месяца назад
Haijalishi kikubwa ushindi
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 4 месяца назад
Gol la Mzinze makolo watasema siyo gol sahihi halikuvuka mstari🤣🤣🤣🤣
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 4 месяца назад
We ni mpuuzi
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 4 месяца назад
@@odilomwemeziernest646 Kama ulivyo ww
@niolaussdavid
@niolaussdavid 4 месяца назад
tff are sirious uwanja huo vip
@KhalfanHamza-ww8jt
@KhalfanHamza-ww8jt 4 месяца назад
yaan 😂😂
@Stevekapugi
@Stevekapugi 4 месяца назад
Mtangazaji mmmmh 😂😂😂😂😂😂😂😂
@JeniphaRobert
@JeniphaRobert 4 месяца назад
No pacome, aucho,musonda, Mudathiri,yao, mwamnyeto na matata hakuna wamewekwa kwa ajili ya azam😂😂😂
@ShidaMgala
@ShidaMgala 4 месяца назад
😂😂😂😂😂
@graysondavid5200
@graysondavid5200 4 месяца назад
Mshery kafanya save nyingi😂😂😂😂 leo kuliko diara msimu mzima😂😂😂 tumeona keeper leo nae akihangaika mno!😂😂
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 4 месяца назад
Sio kweri 😢😢
@graysondavid5200
@graysondavid5200 4 месяца назад
@@FatumaShabani-mp9vt naelewa ni utani tu😂 ila kwa kweli leo kasave mno
@ayk20
@ayk20 4 месяца назад
Dodoma hawakuwa makini tuu wangepata hata goli 3
@petermanala6138
@petermanala6138 4 месяца назад
Kama ambavyo hawakuwa making geita
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 4 месяца назад
Za Yanga zingefika saba😂
@VaiEliass
@VaiEliass 3 месяца назад
Maneno ya mkosaji
@JumaMakame-n6x
@JumaMakame-n6x 4 месяца назад
Kwahiyo jana familia ya msheri waliangalia kwa pamoja
@kikotse-tung
@kikotse-tung 4 месяца назад
mtangazaji anavitu na vionjo, ila haunogesh mchezo kabisa, hasemi mpira upo maeneo gani, mpira ukiwa maeneo ya hatari na yasiyo hatari hatofautishi, unasikia tu kiiii, skuduuu, mzizeeee, gazaaaa, sasa kafanya nini, azam watuzingatie, mechi ya yanga ijayo jmosi wamuweke MPENJA bas
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 4 месяца назад
Nimemuona hapo Mwana FA anakodoa kodoa macho
@paulinevedastus7621
@paulinevedastus7621 4 месяца назад
Mungu akupe chawa ujikune au akupe kidonda ufukuze nzi🤣🤣🤣
@haidarykufakunoga8869
@haidarykufakunoga8869 4 месяца назад
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
@kaderbakshamin2345
@kaderbakshamin2345 4 месяца назад
Munaona makosa wanayofanya mabeki wa kati wa yanga ni kila mara katika mechi nyingi, kinachowasaidia yanga mafowadi wao ni tishio kwa wapinzani so timu pinzani kushambulia hawafanyi wanabaki nyuma zaidi kulinda goli lao lakini ikipatikana timu inashambulia ndo utaona mabeki madhaifu ya mabeki wa yanga ni maono yangu
@mariamelia8688
@mariamelia8688 4 месяца назад
Umeombwa hayo maon????
@magesachilimila1104
@magesachilimila1104 4 месяца назад
Kawaulize Mamelodi na Makolo watakueleza kama beki ya Yanga ni bora au la.
@StessOg-un5hy
@StessOg-un5hy 4 месяца назад
kwer mzize nimtu wamana San ten mtu wamhimu San
@ZulfaCharlz
@ZulfaCharlz 4 месяца назад
Mtangazaji unashobo kama mwanamkeeee
@MussaKulamakwene
@MussaKulamakwene 4 месяца назад
😂😂😂 Skudu wamemrushia nini hizo anajimwagia
@BaricheneSelestine
@BaricheneSelestine 4 месяца назад
Poa tukutane final
@ecostats51
@ecostats51 4 месяца назад
Hivi baada ya hii mechi, battle ya Ki na Feisal imekaaje? Nani yuko juu ya mwenzake katika ufungaji? Anayejua tafadhali 🤔🤔
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 4 месяца назад
Azizi yuko juu ya Faisal goli moja
@moodysavage179
@moodysavage179 4 месяца назад
azizi yupo juu ana magoli kumi na Saba fei 16
@nickylass4586
@nickylass4586 4 месяца назад
Azz 17 fei 16
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 4 месяца назад
.
@MzeewaYanga-hm8jq
@MzeewaYanga-hm8jq 2 месяца назад
Mtangazaj😂😂😂
@LUBAINAMOHDRAJAB
@LUBAINAMOHDRAJAB 4 месяца назад
Umemuona yule shabiki anaejiita simba anashangilia. Wanamuitaje vile. Mchome sijiu chomwe. Jamaa anadhihirisha wazi yy ni shabiki wa timu gani
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 4 месяца назад
Alishasema kua yy n shabiki wa simba na hawezi kuihama timu, ila yy penye raha na burudani ndipo alipo maana ukiikosa furaha nyumbani waitafuta kw jirani 😂
@herrysonk.edward609
@herrysonk.edward609 4 месяца назад
Mchome yupo sahihi hata mm huwa napenda kuingalia yanga ikiwa inacheza wanajua sana
Далее
CHEKESHA : MTANGA YAMEMKUTA NA WATOTO WA MJINI
14:17
Просмотров 217 тыс.
Women’s Celebrations + Men’s 😮‍💨
00:20
POLI и Маша - Сигма бой
00:20
Просмотров 366 тыс.
Bro Had Them Like It's Nothing 💀
0:11
Просмотров 7 млн
10-BALL THROUGH THE LEGS 🙈😱
0:38
Просмотров 14 млн