Unajua watu wakiwaona mitandaoni wanajua mna maisha makubwa sana ila uhalisia wenu tunavyowaona mitaani kwenu huruma sana na kibaya zaidi vijana wengi wanawaiga mwishoe wanaingia kwenye mambo ya hovyo
Mwanamme aliye pangiwa nyumba ya milioni nane hawezi kulingana na mwanameke aliyepanga chumba Cha elfu 20. Huyo wa elfu ishirini ndie mwanamme kwa wakati huo.
KATIKA utangazaji hakuna icho KITU inavyo takiwa lilee uliloendeaa NDO unapaswa ulize Suali .so haya mambo yapo tz 2 pekee tena yamezuka miakaaa hii miatatu minne