Cheapest private jet is around $44 million hio pesa inoto Kenya sh ni around 6.28 billion Sasa kwa Tanzania itakuwa pesa ngapi ? Diamond ni tajiri kwel lakini kununua private jet niuonge iko expensive sana
Ushauri wangu wa bure kwako Doto Magari,potezea habari za kuwazungumzia Watu wengine na maisha yao,ww komaa na kuyatangaza hayo magari yako tu,kwani siku ya siku utakuwa unaonekana ni snitch tu.Mtoto wa town siku zote anaangaliaga mipango ya maisha yake tu.
Wabongo ndo maan hatufanikiw kuelewa kas Sana ajasema ndege n 4b kasema katapeliwa 4b katika sehm ya manunuzi mean unalipa kwa awamu izo pesa punguzen kuwa mashoga juen nmba
Watanzania muwe waelewa diamond ajasema ndege bilioni 4 amesema ametapeliwa bilioni 4 Kwa watu alioingia NAO mkataba wa ndege muelewe Hilo wabongi wagumu
Hamkuelewa banaa hakusema jet ya bilion 4 . Billion 4 ni moja kat ya pesa alizo tapeliwa akiw anahitaji kununua jet yan alitapeliwa kama 4b katika harakat za kununua sio price ya jet hyo mue mnaelewa bana
Doto zungumzia maisha Yako achaujinga wanzania cc tusiwe kama mashoga unamponda msanii wanchi Yako wewepia ilojina lako la doto magari doto nilako ila magari ya watu mikono yawatu tunajuwa embu tangaza unachokifanya mambo yawatu ukiona Ivo unamuonea wivu utakufa naroho Yako ya USDA mshamba mkubwa
How much is a private jet cost to buy? A private jet can cost anywhere from $2 million to over $100 million. Ongoing expenses may include flight crew salaries and expenses, the costs of routine maintenance and unforeseen repairs, hangar rental, and aircraft insurance.
The cost of buying a private jet can vary significantly based on several factors, including the make and model of the aircraft, its age and condition, and any additional customizations or upgrades. Here are some approximate price ranges for different categories of private jets: Very Light Jets (VLJ): These are the smallest private jets, typically seating 4 to 6 passengers. Prices can range from $1 million to $3 million for new models. Light Jets: Light jets are slightly larger, accommodating around 6 to 8 passengers. New light jets can range from $5 million to $10 million or more. Midsize Jets: Midsize jets offer more cabin space and seating for 8 to 9 passengers. Prices for new midsize jets can vary from $10 million to $20 million and beyond. Super Midsize Jets: These jets provide increased range and space for around 8 to 10 passengers. New super midsize jets typically start at $20 million and can go well beyond that. Large Cabin Jets: Large cabin jets offer luxurious interiors and can seat 10 or more passengers. Prices for new large cabin jets often start at $25 million and can exceed $50 million or more. Ultra-Long-Range Jets: These are designed for intercontinental travel and can range from $40 million to over $100 million, depending on the model and features. It's important to note that the purchase price is just one component of the total cost of owning a private jet. There are additional expenses, including operational costs (fuel, maintenance, crew salaries), insurance, hangar fees, and more. These ongoing expenses can vary widely depending on factors like usage and maintenance requirements.
Ditto magari nakubali sana ila unapitiliza sana siku bro...kua makin maisha yana badilika sana.....mda mwingi zungumzia KAZI yako...ukiulizwa ukisema no comment inatosha...binafsi nakubali sana
Nimekuja kugundua waandisha wa habari wengi akili hamna,diamond alisema ndege billion nne?? Mimi nilichosikia ni kuwa alikuwa analipa kidogokidogo ndo alikuwa amefikisha billion nne ndo washikaji wakaonesha dalili za utapeli
Kinda Jet hadi za $14 wewe unazungumzia $2M,tatizo wabongo wanawasikiliza wapumbavu kama nyie,huwezi kuona mtu yeyote anayejitambua anaongea ujinga kama huu,wewe na huyo pimbi msanii wenu wote wapumbavu mnatuharibia watoto!!pumbavu sana nyie!fanya research kabla hujafungua mdomo kuongea matope
Doto, Baba levo wakisemana utacheka ufe, baba levo Alisema nyumba yake anayojenga swimming pool yake anajenga bafu za nje lakni kabla ujaingia kuogerea uoge kwanza ndoingiie swimming usiingie na madevu machafu mana watoto wake wanaogelea wasikutane na madevu😅 wanatumia swimming 1 😂 sikujua kumbe a amesema doto😂
Kuna matajiri wa mitandaoni na kuna matajiri ambao hawapo mitandaoni. Hawa ambao hawapo mitandaoni ndio wanazomiliki miliki ndege tena nyingine ndio hizi Dar to Kilimanjaro, Dar to Mwanza na kuendelea.
Nimecheka kweli kweli! ila tuseme tu ukweli! Diamond hajawahi kuishika hio bilion nne! Bilioni nne ni pesa ndefu unajaza gunia zima! Akome kutudanganya!
Mshamba mkubwa ww, mtu kumiliki ndege yaezekana silazima rais, ni venye wabongo mwataduta kiki za ujinga hamna nyoote uko bongo cz mwamaliza data zetu tu na vitu zaujinga
Actually according to google diamond platnumz net worth is $10 million but a private jet costs roughly around $2 million- $100 million including all the Ongoing expenses may include flight crew salaries and expenses, the costs of routine maintenance and unforeseen repairs, hangar rental, and aircraft insurance. So it makes sense for him to own a private jet its possible but the fact of him saying that he has been scammed now thats a red flag🤷🏽♂️
@@chamypash5731 A private jet can cost anywhere from $2 million to over $100 million. Ongoing expenses may include flight crew salaries and expenses, the costs of routine maintenance and unforeseen repairs, hangar rental, and aircraft insurance
It's only in Africa you hear people own planes but they don't have a national carrier ??? Don't you see the business opportunity to own a small company & lease planes if banks can listen to you to ease air travel in your country & make more money a private jet??? I can understand owning a Cessna for cargo or a helicopter for hire to business people &. Politicians .......🇰🇪
@@salehemohamed981 kua na akili mzee uchoki kudanganywa unafikiri ndege ni matako kila mtu anayo tatizo umenyoa nywele ukasahau akiri ni nywere unaonaje tukisema umezaliwa bila ubongo
Doto Magari mbingu sio yako maana sio kwa kumchamba diamond, ananatembea kam sceretoni Yani nimecheka san kwenye hiyo statiment ya miguu kama spoko anatembea kama skeleton 😂😂😂😂😂😂😂😂
acha upumbavu wewe dalali hata ROYCE ROLLS nayo mlibisha hivi ilipokuja mkaanza tairi zimeisha mwenzenu ni tajiri kubalini ugonjwa wa akili ni pamoja na kuwa mbishi wa kila kitu.