Doto unanichekesha aisei unaongea huku unawasiwasi na pesa huko pemben unahisi wajanja wataipitia!!?kilawakat unastukastuka na kuishika unahakikisha ipo haipo.
Dotto japo nakupenda lakini mambo ya Ukimbizi ...yeyote ule anaweza kuwa mkimbizi hatawewe...Kwani Mtume Muhammad s.a.w salikuwa mkimbizi..!!? Ujinga uo wa ukimbizi weka cini ulimwengu niwa Mungu si wakwako wewe..Shabiki wako kutoka Rwanda.
Baba levo mfungulie kesi huyo akatoe ushahidi kwa hayo anayoyasema kuhusu wewe unajua ignorant people lazima uwafundishe lazima wajue cha kuongea na cha kuropoka sababu huyu choko kila lijalo mdomoni anaropoka imefika time afundishwe dunia
A upumba Vu hakuna foreigner Africa tatizo hujastaarabika na haujasafiri nje ya Tanzania achana na habari za kumuita mkimbizi mwafrikka mwenzio unawauzi wengi mno bro mimi mwenyewe mtanzania but siwezi kumwita muafrika mwenzangu foreigner