Тёмный

DOTTO MAGARI amlipua DIAMOND ALIKIBA KUZIDUA REDIO aache kuvimba KIBA havimbi 

Bongo Plus
Подписаться 75 тыс.
Просмотров 130 тыс.
50% 1

East African number one RU-vid channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 209   
@saula_brand
@saula_brand 6 месяцев назад
King kiba fans hapa na wanao muunga mkono DOTTO MAGARI hapaaaa
@titongholo6261
@titongholo6261 6 месяцев назад
Asante sana Dotto Magari , hao waandushi wa habari ni makanjanja hawana weredi wowote ktk kuuliza maswali , umewashushua vizuri ni wapuuzi sana
@nicholausmukoji9720
@nicholausmukoji9720 6 месяцев назад
Tatizo ni pale kila kitu mnataka kuwafananisha Ally na Diamond. Hawa ni binadamu, Mungu kawaumba tofauti na hivyo hawatokuja kufanana hata siku moja
@omarykabonga908
@omarykabonga908 6 месяцев назад
Izo ni mbwembwe za machawa mzee usichukulie serious
@KenedyMwaipaja-n8w
@KenedyMwaipaja-n8w 6 месяцев назад
🙏🙏
@stanleymanya438
@stanleymanya438 6 месяцев назад
Hawwamuoni mo na bakgresaaa!!?
@LOLISO_MP
@LOLISO_MP 6 месяцев назад
Unaumia watu wanakula hela
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 6 месяцев назад
Hatuna waandishi hapa. Mnashindwaje kumuuliza maswali muhimu
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 6 месяцев назад
Waandishi mia3 wanakosoa maswali ya kumuhoji Dotto hadi anawachamba😂😂😂😂😂😂😂 Dotto hoyyeeeeeee
@omaryjuma5204
@omaryjuma5204 6 месяцев назад
Mngekua mnamuoji kitaaluma angewajibu vizuri sema mmemuoji kisela na yeye anawajibu kisela hakuna mlicho hoji hapo wala mlicho jibiwa 😮😮😮
@erickmbilinyi2056
@erickmbilinyi2056 6 месяцев назад
😂😂😂😂
@erickmbilinyi2056
@erickmbilinyi2056 6 месяцев назад
Siomeona ilo swali la nn wazimgatie kajibu vzr
@hashimsultan6760
@hashimsultan6760 6 месяцев назад
Bro hiyo ndio wandishi wa bongo wana maswali hata mtoto mdogo anajibu hawana point hata moja ya kuliza yaani bado kabisa wana maswali ya kijinga sana
@moheregetema4136
@moheregetema4136 6 месяцев назад
Dotto anakuhudumia jinsi unavyokuja
@muhammadsalym4124
@muhammadsalym4124 3 месяца назад
Dotto umejibu kisomi tena uko wazi kabisa ,,watu waulize maswali yenye kuendana na wakati
@jigwafrankie9420
@jigwafrankie9420 6 месяцев назад
Hakuna swali mtakaloliuliza likaonekana la maana kwake, mmekubali kumhoji kubalini yote, kuna namna anawadhalilisha.
@EdsonOmbeni
@EdsonOmbeni 6 месяцев назад
Kama unamjua mtoto wa doto magari like hapa
@happynkya9770
@happynkya9770 3 месяца назад
iv kwann usiseme diamond hawezi kushindana na mm kuliko utaje mtu mwingine,jitaje ww tukuone na ww ni mwamba
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 6 месяцев назад
Na kweli kabisa king Kiba ni mstaarabu Sana
@AmourAmour-f4c
@AmourAmour-f4c 6 месяцев назад
Wandishi wanaogopa ata kuhoji wasichezee vimondo😅
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 6 месяцев назад
Poleni sana anawadhalilisha ila ndio kazi kuwahoji watu kama hao kunahitaji busara
@abubakarrajab4265
@abubakarrajab4265 6 месяцев назад
TeamKiba for life 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊💯
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 6 месяцев назад
Leo waandishi mmepatikana mnao penda kuchonganisha Adabu yenu Leo mnapenda Sana kufananisha na kuchonganisha 😅
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 6 месяцев назад
Umeona eee
@issaswalehe200
@issaswalehe200 6 месяцев назад
nyinyi washamba hiyo ndiyo habar tofaut na wengin na nishavu kwa wandish...
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 6 месяцев назад
👑👑👑 king kiba respect kwake ##Dotto magari na hapa ipo😂😂😂
@Kingstyvesayjj
@Kingstyvesayjj 6 месяцев назад
Dotto kaongea ukweli kbs
@teedullah5708
@teedullah5708 6 месяцев назад
😂😂😂 Leo wandishi mume patikana yani nyote mwashindwa na doto mumoja tu 😅😅😅
@ZenaidaDaniel-r9d
@ZenaidaDaniel-r9d 6 месяцев назад
Yan huyu doto kama vile yeye ndo mwandishi🤣🤣
@Starbrunodg
@Starbrunodg 6 месяцев назад
Komesha wandishi😂
@solomonOsam-d1t
@solomonOsam-d1t 10 дней назад
DOTTO BANA ETI ONGEENI TARATIBU SELIKARI IPO HAPA KKKKKK
@Hashkan22
@Hashkan22 6 месяцев назад
Huyuu jamaa ni comedian bwanaa watu wasimchukulie serious anapenda kuongea sio kwamba anawadhalilisha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@shabzismail2747
@shabzismail2747 6 месяцев назад
Acha ujinga wewe doto tajiri atakuwa wewe na minywele yako micchafu
@HadiaShaame
@HadiaShaame 3 месяца назад
Ila dotto unatutesa😂😂😂😂
@benbest3095
@benbest3095 6 месяцев назад
Ukimuuliza na wew unayo😂😂😂😂
@summayessayah8584
@summayessayah8584 6 месяцев назад
😂😂😂leo wamekutana na kiboko🤣🤣🤣🤣 yani Huyu 🤣🤣🤣🤣
@byaomsema11
@byaomsema11 6 месяцев назад
Hiki kichwa ni hatari😂😂😂
@mandyuwimana7735
@mandyuwimana7735 2 месяца назад
😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉yako ayo Doto Magari😂😂😂
@congratulationmayunga3833
@congratulationmayunga3833 6 месяцев назад
Yani hiloo bichwa bhana etih mama mitano tenaa 🤣🤣 si tutakufa sasaa kwa mda huu tu tumeshanyooka 🤣🤣
@ElishaJohn-ws5ix
@ElishaJohn-ws5ix 6 месяцев назад
Dotto magari akuna siku ulio ongea pwenti zaidi ya kuwasifia watu wasio kua na maana kwa wananchi ili wakupe pesa na hao wote ulio wataja wanafaida gani kwa wananchi maskini na ndomana ukatupa jibu wewe mwenyewe usipo bweka unabiashazako zinaenda kwaiyo Acha kuongevitu ili vya kipumbavu na kuwaona awana akili
@magomakabanja480
@magomakabanja480 6 месяцев назад
Spendi Kufananisha Baina ya Ally Kiba na Diamond Plz Kila Mtu Anawapewa na Mungu na Kwawakati Wake
@BenjaminBuchaguzi
@BenjaminBuchaguzi 6 месяцев назад
Kilasiku Niko nawambiya mkubwa nimkuba tu mashabiki acheni bifu Niko congo tunamkubali wala ajachelewa ok ajachelewa alikiba kazijema
@BrastoKibiki
@BrastoKibiki 6 месяцев назад
Dotto Magari anawafundisha waandishi kazi 😆😆😆😆😆 safiiii
@FaridaKizenga
@FaridaKizenga 6 месяцев назад
Ila Doto🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@charletsada8779
@charletsada8779 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂nimecheka cz wamekipata leoo hawata mhoji tena,bt ameongea point sana.yaan hataki uchonganishi
@Kibiriti_Sports
@Kibiriti_Sports 6 месяцев назад
Nilikuwa siamini kama dotto hajui kusoma ila leo ndio nimejua 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ZenaidaDaniel-r9d
@ZenaidaDaniel-r9d 6 месяцев назад
🤣🤣ila doto mbona kam wewe ndo mwandishi🥰🥰🥰
@Callkingb
@Callkingb 6 месяцев назад
😂😅😊
@SamsonHamis-hw5xb
@SamsonHamis-hw5xb 6 месяцев назад
Jamaa mbona anadhalilisha Sana waandishi kwann isifikie mahala wamchane ukwer ikiwezekana wamsusie mpaka ajirekebishe
@AlouiseNgenDanDumwe
@AlouiseNgenDanDumwe 6 месяцев назад
Hata mimi nimesafiri kuanzia mwaka 2011 brother it’s nothing kupanda ………?
@BenjaminBuchaguzi
@BenjaminBuchaguzi 6 месяцев назад
Wanaliya sana tu wamwache
@salimmtenzi1263
@salimmtenzi1263 6 месяцев назад
Jamaa yuawatambia wanahabari kama watoto wake
@deeruta9894
@deeruta9894 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂 dotto magari hatari kwa kuogea ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Месяц назад
Duu kashfaa aseee wewe
@sebastiankatalle2732
@sebastiankatalle2732 6 месяцев назад
SEMA DOTTO NAWE UNABOA SANA
@mandyuwimana7735
@mandyuwimana7735 3 месяца назад
Kutangulia siko kufika, pôle pôle ndo mwendo....
@sirnyoniinspirationstv5327
@sirnyoniinspirationstv5327 6 месяцев назад
Fikiria kama wote hatungesoma nani angefundisha mwanao na nani angekuwa daktari akutibu? Pesa si kila kitu, ukiweza ujanja ni kuwa navyo elimu na pesa na bado lazima utategemea
@saadatiyahyashabani-yg2xy
@saadatiyahyashabani-yg2xy 6 месяцев назад
😂😂😂huyo ndio mswahili sasa
@Kibiriti_Sports
@Kibiriti_Sports 6 месяцев назад
Dotto haelewi chochote 😂😂 ,yeye ni Hela na hapa ipo ,mitano tena 😂😂😂😂
@athanaswilliam6940
@athanaswilliam6940 6 месяцев назад
Sio Kila mtu wa kumuhoji.... Mnaharibu tasnia kwa kudhalilishwa. Hamjitambui nyi waandishi
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 6 месяцев назад
Sasa wajitambue kwa lipi wakati hizi ni tv mbao na redio za udaku umeona hapo kama kuna ITV, BBC, CHANEL TEN, hata cloudas haipo hapo, maswali yenyewe wanauliza ya umbea na yasiyo na weledi wa kazi yao.
@raymondmango5128
@raymondmango5128 6 месяцев назад
Tatizo doto ujasoma ata ukimtaja mama Kizimkazi mara 200 uwezi kupata kazi labda ubalozi nyumba kumi
@isaacskylar5232
@isaacskylar5232 6 месяцев назад
Mondi ni mondi tu.... Nandy mond, harmonize mond, alkiba mond
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 6 месяцев назад
Ally kiba sio kama ni mstarabu huyu jamaa anadharau sana na anakibri
@rojabest2011
@rojabest2011 3 месяца назад
Alishawahi kukuzarau wap
@augukambale2949
@augukambale2949 6 месяцев назад
Mim sio mtanzania alakin naona nyiny watanzania muko naunjinga San
@tshibangumunyenza7383
@tshibangumunyenza7383 6 месяцев назад
Mu shamba ajuwi kuongeaya na wandishi wa Habari 😂😂
@robertcharles9975
@robertcharles9975 6 месяцев назад
Saf Dotto
@amosymwema4844
@amosymwema4844 6 месяцев назад
Huyuu ni kingwenduu mtupuu hata msipo nipa likes
@robertevarist1595
@robertevarist1595 6 месяцев назад
We umetokea mkoa gani kichogo ka mti denge 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@charleskadikilo1969
@charleskadikilo1969 6 месяцев назад
BANGEEEE
@TrinaGriffo
@TrinaGriffo 6 месяцев назад
Sasa doto unajibu maswali au unatoa maelekezo
@TrinaGriffo
@TrinaGriffo 6 месяцев назад
Sasa doto unajibu maswali au unatoa maelekezo
@Kibiriti_Sports
@Kibiriti_Sports 6 месяцев назад
Huwezi kumuuliza dotto swali muhimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hajui kuchanganua
@KatongeOmari
@KatongeOmari 6 месяцев назад
😅😅😅😅 usimuongere diamond ujue wewe muuni dotto
@nouraalharthy5509
@nouraalharthy5509 6 месяцев назад
Alikiba no moja kwelli nilisema ilo
@Economically-Growth-Musicians
@Economically-Growth-Musicians 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@fortyyellu9971
@fortyyellu9971 6 месяцев назад
Bado sanaaaaaa kumkuta SIMBAAAAAA....msanii ni kioo cha jamii.. sasa ufanye kimya kimya kisa UISLAMU sisi tunaotaka kuona kioo cha jamii Tutakionea wap..? Natutajifunza nini... weka kitu Hadhalani kama SIMBA MONDI ndo mpango..
@kayjuma2629
@kayjuma2629 6 месяцев назад
Kipanki ka mcheza x wa uturuki 😀😀😀
@jeykajimbo3191
@jeykajimbo3191 6 месяцев назад
Yani Kila interview waonyesha hela😂
@yadadkeybagenda5654
@yadadkeybagenda5654 6 месяцев назад
Kama umefika mwisho alafu unagundua mtu muandishi anatafuna ulimi like apa 😂
@tigejuma9865
@tigejuma9865 6 месяцев назад
Alie sema atatembea uchi xai ako wapi....ajipange kutombwa xaxa...hii dunia kila kitu cha wezekana😅😅
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 6 месяцев назад
Watu wajinga kazi yao kulinganisha na kutengeneza chuki tu
@matukutajuma156
@matukutajuma156 6 месяцев назад
DAH! WAANDISHI MNAJIZALILISHA HAKYAMUNGU!!
@bibieghasia8277
@bibieghasia8277 6 месяцев назад
kuna mwandishi anatafuna ulimi hadi raha
@jumajuma-fs1iq
@jumajuma-fs1iq 6 месяцев назад
Doto nawew kuw mxtarab ukiw kwa mtu ucmponde m2 mwngne ucwe chawa
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 6 месяцев назад
Hao waandishi na huyo doto akili zao sawa sawa maswali ya hovyo majini ya hivyooo 😁😁😁
@zainulabideen6955
@zainulabideen6955 6 месяцев назад
😂😂😂😂
@fadhilidoza5639
@fadhilidoza5639 6 месяцев назад
Huyu anawezaje kudharau waandishi na ndiyo wamemtangaza boya hili
@BongoPlus
@BongoPlus 6 месяцев назад
Hapo sasaaa
@titongholo6261
@titongholo6261 6 месяцев назад
Asante sana Dotto Magari , hao waandushi wa habari ni makanjanja hawana weredi wowote ktk kuuliza maswali , umewashushua vizuri ni wapuuzi sana
@BongoPlus
@BongoPlus 6 месяцев назад
DOOOH!
@mkamaboy2016
@mkamaboy2016 6 месяцев назад
Ona km mazuzu masenge hayo aisee
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 6 месяцев назад
Waandishi wa habari hawajui kuuliza maswali ukweli 😂😂😂😂😂😂..
@kauzubanda3150
@kauzubanda3150 6 месяцев назад
Waliwaambia wanashindana? Au midomo yawawasha
@jessemwathi9386
@jessemwathi9386 6 месяцев назад
From kenya napenda jinsi unazvyo wajibu mablogas hao,,they squeeze too much
@Joo20138
@Joo20138 6 месяцев назад
Nonsense
@AmaniHusseni-gz3xq
@AmaniHusseni-gz3xq 6 месяцев назад
Safi sana doti ma gari
@RaymondMshote
@RaymondMshote 6 месяцев назад
Hivi waandishi hembu someni hicho kichwa au macho yangu wahariri wenu ni wapi (KUZIDUA )ndio nini ????Yan mm nakumbuka wkt Niko school Kuna ki sub topic Cha Uandishi hapo mnafundishwa matangazo ya magazeti ..kadi ..barua nk Kuna kanuni za Uandishi na Matangazo kabla yakupublish lazima uhakiki b4 sasa Hii nini haya futeni comment yangu
@BongoPlus
@BongoPlus 6 месяцев назад
Acha kelele wewe ...kwani we hukoseagi
@summayessayah8584
@summayessayah8584 6 месяцев назад
Yani nimecheka kamwambia mwandishi kichogo kama mtu funenge 🤣🤣🤣🤣 halafu eti utakuja na kichogo chako😂😂😂😂
@ramadhanirashidi4175
@ramadhanirashidi4175 6 месяцев назад
Eti umesoma homuweki wewe😂😂😂
@elizabethmwafongo7829
@elizabethmwafongo7829 6 месяцев назад
Sema waandishi hawana hasira duu amewachamba
@JacksonJosephat-my6dg
@JacksonJosephat-my6dg 4 месяца назад
Saf dotto magar
@dubabaxakatv2993
@dubabaxakatv2993 6 месяцев назад
Hata trump kama Rais,museveni kama Rais na Ruto dictators hao watatu hawajawahi pigisha wanahabari makof 😂😂😂
@erastobenedicto3652
@erastobenedicto3652 6 месяцев назад
Dotto kanikomeshea wandishi
@yahyawambura9884
@yahyawambura9884 6 месяцев назад
UMESOMA MASOMO YAJION😅
@AzhadSaid-j1t
@AzhadSaid-j1t 6 месяцев назад
Doto bangi kweli
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve 6 месяцев назад
R.m.s fashion
@RashidiAdamu-b3q
@RashidiAdamu-b3q 6 месяцев назад
Kazi hiyoo 😂😂😂😂
@Sadikisack-ey2tu
@Sadikisack-ey2tu 4 месяца назад
King
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂doto magariii
@MilajiHaji-f8f
@MilajiHaji-f8f 6 месяцев назад
Sasa mbona unshakable watu juuu hutaki wazungumze
@aisha_mohammed5825
@aisha_mohammed5825 6 месяцев назад
This look like freemason
@moseslaizer7349
@moseslaizer7349 6 месяцев назад
Acha zarau we fala kwa waandishi wa habari hiyo ni kazi kama nyingine mbwa wewe
@modestusndunguru7183
@modestusndunguru7183 6 месяцев назад
Kwann hapo nan kamfuata mwenzie si asepe
@mararegiononline3457
@mararegiononline3457 6 месяцев назад
Jamaa anavimba sana amenikera
Далее
Провал со стеклянным хлебом…
00:41
Лучше одной, чем с такими
00:54
Просмотров 937 тыс.
Провал со стеклянным хлебом…
00:41