Mnatumia nguvu nyingi kushindanisha harmonize na diamond,kuna wasanii wengine pia wanakosa support,hii ni media ya aina gani, hamtakua kwa namna hii,kila siku konde boy , diamond platnumz,,,mjiheshimu bana
Nimefurahi kaka doto kuskia una jifurahia uislam wako Na kuwa una ijali ibada yako YA swala. Haqeeeqatan swala ndio kitu cha Kwanza ktk Maisha YA Muislamu Na kuwajali wadogo zako Leo wasanii wingi wamejisahau uislam wao ktk ibada Yao. nakukubali ndugu yangu. Mimkenya si mtanzania Ila nakukubali mkubwa wangu
We bos wngu mbn unjisahau mwna unamtkn mtu kisa diamond nyie madgo wa mwaka 2000 mnshda sna ssa matusi yte kisa diamond msjudie bas mtauwana kisa diamond Mara hmonize nyie washkji vp matus mnajisahau km mntma comnt mtandao dogo acha mneno y ovyo