Ww kigamboni unaijua kwel? Au unaongea sawa Nyumba ya Mwijaku B haifik ila kuna nyumba za gharama sana kulko hta huko masaki au oysterbay mnapopasema masaki mbona kuna nyumba za zaman nyng tu
Bro 200m ktk ujenzi ni ntumba ya maana sana, bali Samani za ndani nazo zinachangia nyumba kuongezeka thamani, ni ukweli 100% ile nyumba thaman yake haizidi 200m