Тёмный

DOTTO MAGARI na BOSS WAKE WAIPONDA NYUMBA ya MWIJAKU ILE HAIFIKI MILIONI 200/DIAMOND AMERUDISHA PESA 

Bongo Plus
Подписаться 75 тыс.
Просмотров 33 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 54   
@samtelah7578
@samtelah7578 8 месяцев назад
Ww kigamboni unaijua kwel? Au unaongea sawa Nyumba ya Mwijaku B haifik ila kuna nyumba za gharama sana kulko hta huko masaki au oysterbay mnapopasema masaki mbona kuna nyumba za zaman nyng tu
@kulyafx-c9h
@kulyafx-c9h Месяц назад
Thaman ya nyumba hiyo e Hela yake ipo kwenye simu twende tutoe😂😂
@simbajumanne9718
@simbajumanne9718 8 месяцев назад
Hata mia2 milion haifiki mm ni engineer mjenzi
@CorneliusForeverfuture
@CorneliusForeverfuture 8 месяцев назад
Isa we utakiwi kuongeya we ni boss yisikuume chochote achana na machawa usiwe na tamaa ya mayiki
@barakaemma1827
@barakaemma1827 8 месяцев назад
Iyo miguu aituri
@1wernerweck
@1wernerweck 8 месяцев назад
DOTTO WETU WE LOVE YOU FROM EUROPE
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 8 месяцев назад
Rafiki yangu mm ni Dotto magari,Hawa jamaa tusiwaingilie ni mambo ya mitandaoni wanapendana Hawa
@fadhilimartin-o3h
@fadhilimartin-o3h 8 месяцев назад
Dotto ana kaa kwaooo!!!
@obeydmwemezi3663
@obeydmwemezi3663 8 месяцев назад
Shkamoo Ditto..Harier matako ya Sungura haha
@aloismbuya7833
@aloismbuya7833 8 месяцев назад
Ata kama, jibu neno moja tu kumpongeza mwijako
@masumbukomoussa977
@masumbukomoussa977 8 месяцев назад
Upara kaama kipara cha kamari😀😀😀 ebuu doto twambiye makasiriko ya nini ndugu yangu
@yuzotv458
@yuzotv458 8 месяцев назад
uyu choko kweli yee mwenyew anaishi kwenye nyumba zakupanga pumbavu.
@1wernerweck
@1wernerweck 8 месяцев назад
DOTTO KETU WE LOVE YOU FROM MÜNCHEN GERMANY
@user-tp8lv4dk3
@user-tp8lv4dk3 8 месяцев назад
Mwijaku kavamiwa na dotto na tambuu
@AbuuNachacha
@AbuuNachacha 8 месяцев назад
Oya ndo doto ss unadhani uyo Chawa wa wasanii au uyo mjanja
@ntezealoyce7043
@ntezealoyce7043 8 месяцев назад
Badilika doto hatutaki maneno tunataka maendeleo,kuzaliwa mjini au kukaa mjini sio Tija,pambana na wew
@AllyRamadhan-tv5er
@AllyRamadhan-tv5er 8 месяцев назад
Nakubal babu umesema kwel
@HamisMberwa
@HamisMberwa 8 месяцев назад
Dotto tunamtetea ameanza kazi juzi tu na anatafuta bado na tunampenda
@salehmasunga5147
@salehmasunga5147 8 месяцев назад
Tuachie doto wetu
@nin6324
@nin6324 8 месяцев назад
GSM Amejenga wapi… huyu doto chizi
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 8 месяцев назад
Sasa mtu wa mjini huwa hana akili za kujenga ni kukaa karibu na choo aibu sanaa akili choo tu hauna lolote jenga acha pumbaa
@yuzotv458
@yuzotv458 8 месяцев назад
boya uyu
@johnpeterbarongo6445
@johnpeterbarongo6445 8 месяцев назад
Nyie mmejenga mjini?
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 8 месяцев назад
Acha kuingilia aongee hauna adabu kulopoka tu subili
@papaayawarembo6995
@papaayawarembo6995 8 месяцев назад
Doto anajitafuta yote anayosema hayatoki kwenye mtima..badae wanaagiziana bia hao..so Dotto mumzoee tu msimchukie bure
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw 8 месяцев назад
sina uzoefu wa ujenzi ila ukweli kwa nyumba ile ml 200 ni mzaha wa wazi 😂😂😂
@GeofreyMtensa
@GeofreyMtensa 8 месяцев назад
Bro 200m ktk ujenzi ni ntumba ya maana sana, bali Samani za ndani nazo zinachangia nyumba kuongezeka thamani, ni ukweli 100% ile nyumba thaman yake haizidi 200m
@issaomary2816
@issaomary2816 8 месяцев назад
Hujui unaona mil 200 ni ndogo
@maalimhemedsalumu
@maalimhemedsalumu 8 месяцев назад
Boss achana na hayo mambo utapoteza heshima yako
@AllySalum-j9y
@AllySalum-j9y 8 месяцев назад
Jamani nyumbaa yaa biii sio mchezooo
@Azikiwe-qi6jd
@Azikiwe-qi6jd 8 месяцев назад
Hopeless magot, bure kabisa wewe, wapi uliona milioni 150 zikajenga gorofa, mpongeze mwenzako kubali kuwa kakuzidi huto pungukiwa na kitu.
@rerisamba
@rerisamba 8 месяцев назад
Hii nyumba mbona inabishaniwa hivi
@ALEXLOTAN
@ALEXLOTAN 8 месяцев назад
Namimi sielewi ama ndo bongo walivyo
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 8 месяцев назад
Sasa sisi wa chamazi itakuwaje😊
@salumuseif3324
@salumuseif3324 8 месяцев назад
hehehehehe
@oyay2821
@oyay2821 8 месяцев назад
Kipara kama baraza ya kamari 😂😂😂
@michaeldaniels8826
@michaeldaniels8826 8 месяцев назад
Hamza na lila boy😂😂😂😂
@aikamassawe-r6c
@aikamassawe-r6c 8 месяцев назад
uchawa nao unalipa bhn 😂😂😂😂😂
@24seven78
@24seven78 8 месяцев назад
😂😂😂😂 kipara ka lami
@yuzotv458
@yuzotv458 8 месяцев назад
doto wee nyumba yako iko wapi acha makasiriko roho mbaya tu huna lolote!,mwenyekiti aonyeshwe icho kibari umrmpa wewe???!. maskini mnatabu sana.
@SelemaniKabeya-ew3tc
@SelemaniKabeya-ew3tc 8 месяцев назад
Emu acheni Mambo yenu Ata Ajenge shilingi 200/ nikwake2 mbona nyinyi Atuoni nyumba zenu makuma nyinyi rombaya2 zimewajaa
@JahiWaleed
@JahiWaleed 8 месяцев назад
Dogo sawa nikwake lakini asiongopee watu eti nyumba ya B
@yuzotv458
@yuzotv458 8 месяцев назад
wanaomponda mwijaku matahira bro,wao wanaishi chumba sebure wanaponda mtu kujenga nyumba kigamboni nyoko zao maskini tu hao ndio shida zao.
@yuzotv458
@yuzotv458 8 месяцев назад
jenga nawewe udanganye watu,bro kujenga sio mchezo mtu akijenga ata chumba kimoja muheshimu.​@@JahiWaleed
@samwesupa6906
@samwesupa6906 8 месяцев назад
Mjinga uyo muongo b nyumba ile
@rosehaule6765
@rosehaule6765 8 месяцев назад
Gauni.linawaka lina umeme jamani mabinti wa sasa mtakuja.kuwaka.moto nyiee huku mnajiona mtaungua😅😅 sa kwann ushone gauni lina motoo😅😅
@Abu-Hamza254
@Abu-Hamza254 8 месяцев назад
Muislamu kufaa mslaba✝️ ina maana gani?
@BongoPlus
@BongoPlus 8 месяцев назад
Mwachie yeye na Mola
@Abu-Hamza254
@Abu-Hamza254 8 месяцев назад
@@BongoPlusTanzania kiki na shillingi hamna dini…Anyway
@ashaali7154
@ashaali7154 8 месяцев назад
Eti mtu wa mjini really? Dunia gani inakusikiliza wewe taahira?
@yuzotv458
@yuzotv458 8 месяцев назад
anajambo mnywa smart gin uyu.
@frankvianey2438
@frankvianey2438 8 месяцев назад
Ile nyumba ni mil 150,huu ni mzaha wa namna gani?
@almasbakari5359
@almasbakari5359 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
Далее
БАГ ЕЩЕ РАБОТАЕТ?
00:26
Просмотров 111 тыс.
Учёные из Тринидад и Тобаго
00:23
БАГ ЕЩЕ РАБОТАЕТ?
00:26
Просмотров 111 тыс.