Mwanamke ni kiumbe ambaye amekuwa akipitia changamoto nyingi sana kwenye jamii, hususani jamii ya kiafrika, lakini ni ukweli kwamba mwanamke ana nguvu kubwa sana iliyofichika ambayo wengi hawaifahamu wala kuitumia nguvu hii. Laiti kama kila mwanamke na kila mume angefahamu maeneo ziliko nguvu hizi ili waweze kuzitumia nguvu hizo kwa manufaa ya mwanamke mwenyewe, familia na jamii kwa ujumla. Nakukaribisha kutazama maeneo haya matano zilikojificha nguvu hizi
12 окт 2024