Тёмный

Dr.Chris Mauki: Nguvu Ya Mahusiano Ya Chumbani 

Chris Mauki
Подписаться 309 тыс.
Просмотров 41 тыс.
50% 1

Je unajua kuwa nguvu ya yale yanayotendeka chumbani ambako wewe na mwenza wako yana uwezo wa kubadilisha mahusiano yenu yote? Familia yenu inajengwa na kuimarishwa kwa yale yanayofanyika chumbani kwenu. Kudorora kwa tendo la ndoa kunaweza kuleta ufa mkubwa kwenye mahusiano au ndoa yenu. Swali ni je, kwa kiasi gani unawekeza nguvu na umakini kwenye kuyajenga na kuyaimarisha mahusiano yenu ya chumbani? Nifuatilie kwenye somo hili nikusaidie mambo muhimu.

Опубликовано:

 

13 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 60   
@tumainlenad5141
@tumainlenad5141 11 месяцев назад
Mungu nipe hekima
@chamdomalukua1032
@chamdomalukua1032 Год назад
Ubarikiwe..kaka
@janiphacosmas1777
@janiphacosmas1777 2 года назад
Asante Dkr kwa ushali wako wengi tunapona
@gloriousthomas3817
@gloriousthomas3817 Год назад
Ninafatilia vzur sana
@zenamwatsuma6971
@zenamwatsuma6971 2 года назад
Asante Dkr kwa ushauri wako, mimi ni mwanamke wa hasira kuongea sana but kwa usahauri wako umenijenga sana, mungu akubariki
@NeemaSongo
@NeemaSongo 8 месяцев назад
Nimekuelewa kka Mungu akubarki
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 3 года назад
Nashukuru sana Dr mauki nimejifunza kitu haki kweli nilikua gizani sana acha niendelee kujifunza kupitia hizi darasa zako za RU-vid🙏
@christinachazy8644
@christinachazy8644 Год назад
Ubarikiwe Dr kupitia wew nimebadilika San🙏🙏
@kibadamabhuye8693
@kibadamabhuye8693 2 года назад
Nimekuelewa sana doctor ubarikiwe sana
@lydiaedwin3998
@lydiaedwin3998 3 года назад
Dr Asante umenifanya nimepata mume ubarikiwe sana,Mungu azidi kukubariki
@angelandohelo1322
@angelandohelo1322 2 года назад
Woow
@stellaemilian6844
@stellaemilian6844 3 года назад
Mungu aendelee kukubariki na kukupa afya njema na familia yako ili watanzanzia wengi tuendelee kupona
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 года назад
Amen asante sana
@kuruthumrajabu2394
@kuruthumrajabu2394 2 года назад
Dah Dr mauki saluti
@mariamuodila4132
@mariamuodila4132 Год назад
Asante kwakutufundisha tusio jua tumejua
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 2 года назад
Amina nimejifunz meng ubarikiwe Dr
@sumaiyabakary2692
@sumaiyabakary2692 3 года назад
Mungu akupe Umri mrf Mauki semina za youtub zinanijenga sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 года назад
Amen asante sana
@fedharmmark6398
@fedharmmark6398 3 года назад
Ahsante Dr maana umenifunguwa kitu zaidi maana mpaka m mwenyewe nilikuwa najiukizaga sasa umenipa kwa kirefu zaidi Elimu hii Ubarikiwe sana Mtumishi 🙏
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 года назад
Amen asante sana
@christineoti9401
@christineoti9401 2 года назад
Thanks mwalimu
@happyjohn5153
@happyjohn5153 Год назад
Ubarikiwe kwa darasa zuri
@evadindi7243
@evadindi7243 Год назад
Hongera dr.
@lilianreuben2814
@lilianreuben2814 Год назад
Nakuelewaga sana
@lucykubaja1387
@lucykubaja1387 3 года назад
Nimeelewa ahsante kwa darasa mwalimu
@Bacoon365
@Bacoon365 3 года назад
Uko vzr dr
@eliane4871
@eliane4871 Год назад
Asante sanaaa
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 3 года назад
Aksante sana Dr.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 года назад
Amen asante sana
@odethadismas1410
@odethadismas1410 3 года назад
Uko sawa dr.
@niwaelnathaniel5450
@niwaelnathaniel5450 3 года назад
Kweli kabisa
@KhalidAshjaie-cz7vg
@KhalidAshjaie-cz7vg 9 месяцев назад
🙏🙏🙏🙏🙏
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 3 года назад
Nafurahia Sana Maisha yenu jmn♥️♥️
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 года назад
Zidi kutuombea tuwe wa msaada zaidi kwa wengine
@gilliansimon8517
@gilliansimon8517 2 года назад
Aaaah..ni sehemu ya? ...bwana asifiwe..am laughing 😃
@monicaleonard6603
@monicaleonard6603 3 года назад
Kwangu imekuwa tofauti mumewangu muda mwingi mimi ndo nakuwa nina mwitaji kuliko yeye. Wakati mwingine nisipo mwambia ninauhitaj sipati chochote, natamani awe na hami mara kwa mara kama ilivyo kawaida ya wanaume wengne.
@chunanachu2529
@chunanachu2529 3 года назад
Niajabu wanaume ndio wenye hamu mara nyingi....nakushauri fatilia kwa makini kama mumewako amauhusiano na mtu mwingine
@monicaleonard6603
@monicaleonard6603 3 года назад
@@chunanachu2529 asante ila naumia jmn
@chunanachu2529
@chunanachu2529 3 года назад
@@monicaleonard6603 pole mpenzi jaribu kuvaa nguo za kumvutia na kuacha maumbile yako yaonekana ukiwa na yy labda atapata ham
@monicaleonard6603
@monicaleonard6603 3 года назад
@@chunanachu2529 asante
@lydiaedwin3998
@lydiaedwin3998 3 года назад
Pole my jaribu kutokuwa na stori za kukera ukiwa kitandani,
@edachengula7134
@edachengula7134 3 года назад
Eti kigumu kama mbao ahahahahaha!
@vivianvincent4303
@vivianvincent4303 3 года назад
Your partner is still cute!
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 года назад
Thanks for the credits
@lewinesscostantine7056
@lewinesscostantine7056 Год назад
Waaoohh she is real cute, beautiful smile
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 26 дней назад
Anajua kumtunza
@yasintamsuya
@yasintamsuya 2 месяца назад
😂😂😂😊
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 Год назад
Yani kweli kabisa mtoto wangu kuanzia miaka mitatu nimkorofi kila shule ninapo mpeleka ana pigana ana fujo mpaka sielewi nifunhe sala gani abadilike ?kumbe leo nimepata jibu tulikuwa tunapigana na baba yake mpaka siku na kwenda leba🤣🤣🤣🤣🤣👏🏿
@DonavineNininahazwe-bu9ub
@DonavineNininahazwe-bu9ub 2 месяца назад
😂😂😂😂
@margaretkast5138
@margaretkast5138 11 месяцев назад
9p😮😅
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 26 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@memeniyonzima9343
@memeniyonzima9343 Год назад
😂😂😂😂
@arafakatanga8913
@arafakatanga8913 2 года назад
Mauki🤣🤣🤣🤣
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 26 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@queenmseven2286
@queenmseven2286 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
Далее
SAIKOLOJIA YA WIVU KWA WANAWAKE -  JOEL NANAUKA
18:41
Просмотров 60 тыс.
Listen to the Song of Life
12:25
Просмотров 1
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Просмотров 168 тыс.