Mabinti wengi wamekwama kwenye kuchagua wanaume bora kutokana na mabinti hawa kukosa vigezo binafsi vya kwao. Kuna mazingira ukiwa nayo ujue tu utachagua vibaya na kuna mazingira ukiwa nayo utachagua vema
Asante Baba Kwenye point ya tatu. Ilishanishinda Kuwa na marafiki na washauri. Sina hata marafiki. Sina hata mtu wa Kumueleza jambo langu nitaweza kuwapata washauri wazuri ikiwa sina urafiki nao!????
Nipo na mahusiano na mtu kwa miaka 10 now na hatujaona hanitafuti kwa muda lakin siku akinipigia anaanza kunipa mipango yake ya baadae lakin Hua nahis kama ananidharau nifanyejw