Roho mtakatifu niunulie watu wa kunitaja na kuniona na unifunulie macho ya roho niweze kumwona na yeye anione, Ubarikiwe sana Brother Mungu akubaliki sana
Kaka naamini kila MTU ameletwa Kwa kusudi maalum kwaajili ya Mwenzie, Vivyo hivyo Hata Mimi na wewe baada ya kukufaham kupitia Humu mitandaoni Niliimarika kimtazamo, kifikra, na kmatendo pia, Now nipo ktk misingi bora ya kimtazamo
Eeh Mungu nipe macho ya rohoni niweze kuwatambua watu ambao wataniongoza kusonga mbele kimaisha... Kaka joel nashukur kukufatilia umu na asante kwa mafundisho hayo
Yaani huyo mtu ananitoa kwenye comfort zone ni wewe kaka, yaani tangu nimeanza kukusikiliza umenivusha sana, na nimejua siri kuwa ili niendelee kuwa bora ni lazima nikushikirie wewe. Asante sana😊
Mimi Huwa Namshukuru Mungu ,nikipatana ,na Rafiki MUNGU hunifungulia sana njia zake ,Huwa nauliza MUNGU , natamani nikamjue zaidi,,na MUNGU ni mwaminifu hunifungulia ,so Kuna watu ukukutana nao ,wengine wamefungwa so utafungwa nao ,,na wengine ni Baraka kwako ,unakuta umefunguliwa njia zako 🥰🙏
Hakika yangu Nina miaka chini ya ishirini nimekufatiliaaa ,,,, nahisi mungu kakufanya kwangu kuwa mentor ,,,,,, hakika jina LA mungu litukuzwe kupitiaa wewe
Uliyoongea yote hapa ni kweli tupu na Mimi. Nina inpact kwangu mm mwenyewe unayoongelea👌🏾NA KUFATILIA. SANA NA NINA KUKUBALI SANAA Naomba kwa mungu siku nikuone Ana kwa Ana Nitafurahi sanaa
Roro mtakatifu niinulie watu wa kunitaja nakuniona,kweli nimechelewa Sana kupata mafundisho haya lakini najua huu ndo wakati ambao mungu alitaka nipokee.mungu akubariki mtumishi wa mungu aliye hai
thank you very much pastor Joel manauka, am the student of Tumaini university makumira but am so grateful with ua speaches please l need to be revealed