Тёмный
No video :(

Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka 

Joel Nanauka
Подписаться 283 тыс.
Просмотров 163 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

15 авг 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 228   
@youngrappertz1735
@youngrappertz1735 3 года назад
likes za joel jaman
@calsonrobson4172
@calsonrobson4172 3 года назад
Mungu akubari akuzidishie upako Usiku mchana na asubuh your good
@mrlusindetzb8399
@mrlusindetzb8399 3 года назад
Kaka mungu akulinde sana maana unatufanya tuwe na muonekano mwingine katika maisha yetu may God bless you my brother 100%
@fedharmmark6398
@fedharmmark6398 3 года назад
Roho mtakatifu niunulie watu wa kunitaja na kuniona na unifunulie macho ya roho niweze kumwona na yeye anione, Ubarikiwe sana Brother Mungu akubaliki sana
@scholasticamarandu4762
@scholasticamarandu4762 4 месяца назад
Mungu nipe hii neema ya kukutana na hawa watu Muhimu Amina
@neemaemanuel7715
@neemaemanuel7715 14 дней назад
Awali ya yote Mungu atukuzwe kwa uwepo wako, nabarikiwa Sana kwa mafundisho yako. One's again thanks sir
@bdraper6036
@bdraper6036 3 года назад
Kaka naamini kila MTU ameletwa Kwa kusudi maalum kwaajili ya Mwenzie, Vivyo hivyo Hata Mimi na wewe baada ya kukufaham kupitia Humu mitandaoni Niliimarika kimtazamo, kifikra, na kmatendo pia, Now nipo ktk misingi bora ya kimtazamo
@joelylikindasaro7981
@joelylikindasaro7981 Год назад
Kweli kaka
@pauljosephtarimo2279
@pauljosephtarimo2279 4 дня назад
@judithnyawanda1934
@judithnyawanda1934 10 месяцев назад
Through you I have moved from point A to B in my life, keep it up Joel I am listening from Mombasa Kenya.
@jigoruka
@jigoruka 17 дней назад
naamini kaka respect
@ebrojohn9406
@ebrojohn9406 9 месяцев назад
Mmoja wa watu mhimu maishani mwangu ni wewe Joel Nina Imani Mungu alikuleta for me 🙏🙏🙏
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 Месяц назад
Amen kaka.. Joel mungu azidi kukubariki
@michaelgeorge8454
@michaelgeorge8454 3 года назад
Swez kuamka asbh bila ya kusklza hamasa zako kk uwa naingia kwenye mishughuliko yangu everyday
@jamesimakasi9712
@jamesimakasi9712 3 года назад
Mungu akubaliki sana mtumishi umebadilisha sana maisha ya wengi hakika wewe ni zaidi hata ya mwalimu
@liliansindiyo1214
@liliansindiyo1214 4 месяца назад
Joel ubarikiwe sana, nakuelewa sana
@bisimwabezo7862
@bisimwabezo7862 2 года назад
Mungu akulinde uishi myiaka mingu sana mimi nakuwa rdc Congo vitabu tutapata je Lubumbashi
@rogathmassawe7480
@rogathmassawe7480 3 года назад
Kumbe ww ni pastor pia,kwel tuta kufaidi sana
@mercyk6665
@mercyk6665 2 года назад
What a blessed tongue of this man ,may GOD bless you abundantly and give you long life to continue making us prosper
@aureliachiwanga5956
@aureliachiwanga5956 2 года назад
Jamani mtumishi nateseka nakipaji cha kumwimbia mungu lakini selew nianzie wapi milango yote imefungwa
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 3 года назад
Mafundisho yako yananisaidia sana katika maisha yangu ya kila siku.
@mazwichannel2120
@mazwichannel2120 6 месяцев назад
Eeh Mungu nipe macho ya rohoni niweze kuwatambua watu ambao wataniongoza kusonga mbele kimaisha... Kaka joel nashukur kukufatilia umu na asante kwa mafundisho hayo
@MariamSanga-bj8mb
@MariamSanga-bj8mb Месяц назад
Najifunza vingi kupitia wewe Mungu wa mbinguni azidi kukutunza kwa ajiri yetu umekuwa baraka sana
@everose276
@everose276 5 месяцев назад
Yaani huyo mtu ananitoa kwenye comfort zone ni wewe kaka, yaani tangu nimeanza kukusikiliza umenivusha sana, na nimejua siri kuwa ili niendelee kuwa bora ni lazima nikushikirie wewe. Asante sana😊
@joshuapeter312
@joshuapeter312 3 года назад
Hakika mungu akupe maisha marefu tuendelee kujifunza zaidi.
@Oderabrenda
@Oderabrenda 2 месяца назад
May God bless you for the teaching.Akuzidishiye miaka nyingi
@alutonyoni2520
@alutonyoni2520 2 года назад
Mungu azidi kuku bariki kaka na kukupa baraka na maisha marefu kaka uzidi kutuelimisha zaidi 🙏🙏🙏 barikiwa sana
@meeknessmaziku2156
@meeknessmaziku2156 Год назад
Ndio maana nlikuwa nakushangaa we ni mtu wa namna gani!! Kumbe we ni mchungaji!! Ubarikiwe kwa kazi yako njema!!...
@FrancisKahabwa
@FrancisKahabwa 23 дня назад
Kweri mtumishi nimependa mafundisho yako
@mkamamfungo3200
@mkamamfungo3200 2 года назад
Kaka nashukuru kwa mafundisho yako ,yamenisaidia sana kutoka hatua moja kwenda ya nyingine kimafanikio sifa na utukufu apewe Mungu wa mbinguni
@evamusuruve3196
@evamusuruve3196 Год назад
Mimi Huwa Namshukuru Mungu ,nikipatana ,na Rafiki MUNGU hunifungulia sana njia zake ,Huwa nauliza MUNGU , natamani nikamjue zaidi,,na MUNGU ni mwaminifu hunifungulia ,so Kuna watu ukukutana nao ,wengine wamefungwa so utafungwa nao ,,na wengine ni Baraka kwako ,unakuta umefunguliwa njia zako 🥰🙏
@everinakahigi-mj9yk
@everinakahigi-mj9yk Год назад
Hakika yangu Nina miaka chini ya ishirini nimekufatiliaaa ,,,, nahisi mungu kakufanya kwangu kuwa mentor ,,,,,, hakika jina LA mungu litukuzwe kupitiaa wewe
@maelezomaelezo9057
@maelezomaelezo9057 3 года назад
Kumbe ni pastor Joel nanauka umetumwa na mungu wetu kutuelimisha
@witnessemily1391
@witnessemily1391 3 года назад
Huwa na barikiwa sana na kupata nguvu ya kuendelea mwenyezi Mungu akulinde na kukupa afya njema
@maryeliya1300
@maryeliya1300 3 года назад
We Mungu wangu nipe watakaonifikisha kwenye malengo yangu
@datiusgabriel8277
@datiusgabriel8277 2 года назад
Tunasonga mbele kwa ajiri yako big up
@princemajinge2206
@princemajinge2206 3 года назад
Nafurahia sana speech zako bro zinaleta + impact kwangu
@selinamashuka6267
@selinamashuka6267 2 года назад
Kweli kaka joeli umetufungua kiufaham Kwa mambo mengi
@mwakalukwafredy3720
@mwakalukwafredy3720 3 года назад
Kaka joel Nanauka Mungu akubariki na kukuinua zaidi na zaidi maana Tangu nianze kukufuatilia hakika sijawahi kupungukiwa , Umebadili maisha yangu sana
@user-qb7ej8cp5y
@user-qb7ej8cp5y 2 месяца назад
Amina kaka unasema kweli kabisa
@wisdomcharles7749
@wisdomcharles7749 2 года назад
MUNGU akupe maisha marefu umenitoa sehemu🙏 meno zuri asanteee
@beatricekasambula1657
@beatricekasambula1657 2 года назад
Hakika Mungu akubariki.Naomba neno hili likaniinue Kwa kutajwa mahali sahihi
@tatu3tatu549
@tatu3tatu549 2 года назад
Asant mungu kwa kuniunganisha na shujaa kama wewe AMEE
@ummkolthumkoalthum3271
@ummkolthumkoalthum3271 Год назад
Uliyoongea yote hapa ni kweli tupu na Mimi. Nina inpact kwangu mm mwenyewe unayoongelea👌🏾NA KUFATILIA. SANA NA NINA KUKUBALI SANAA Naomba kwa mungu siku nikuone Ana kwa Ana Nitafurahi sanaa
@Aviero_07
@Aviero_07 3 года назад
NGULIIIIIIIIIIIIIII... FROM ZANZIBAR...🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@shukurumbwana2295
@shukurumbwana2295 Год назад
Kwenye karama umenigusa mtumishi, imenitokea the same way. Mungu akubariki sana.
@hendryprosper9950
@hendryprosper9950 3 года назад
Mungu atufungue akili na macho tupate kuelewa na kuonaa amina
@felsonsanga8502
@felsonsanga8502 9 месяцев назад
Pastor! Nimebarikiwa sana mafundisho Yako yanaingia moyoni KABISA Amina
@tumainisemakuba3520
@tumainisemakuba3520 2 года назад
Mungu akuzidishie roho wake mtakatifu ili u endelea vema kwa kutulisha Neno lake litakatifu
@priscapascal9177
@priscapascal9177 Год назад
Ndo mara ya Kwanza kujua haya mafundisho yako yamenibadilisha sana Sana kiroho na kiakili, Mungu akubariki sana
@eneamwaruanda2064
@eneamwaruanda2064 2 года назад
Ni kweli kabisa ni mpango wa Mungu kabisa inanikumbusha hii nilipokua advance level school Mungu hutumia watu kukufikisha mahali flani
@devothasanga9897
@devothasanga9897 2 года назад
Very powerful speech! It is very live.
@kizajacqueline8583
@kizajacqueline8583 Год назад
Amen mtume wa mungu na akubariki
@NelsonYohane-kh8qy
@NelsonYohane-kh8qy Месяц назад
Ubarikiwe sana Joel unanifundisha vitu vingi sana
@irenesilas2614
@irenesilas2614 10 месяцев назад
May GOD bless you abundantly continue making us prosper!🙏
@jacklinemashenene5976
@jacklinemashenene5976 Год назад
Huwa nakuelewa sana kaka Joel Mungu akubaliki sana
@mariaslaa921
@mariaslaa921 2 месяца назад
Mungu akubariki kaka
@Greatamir
@Greatamir Год назад
Jamaaa uko vizur nimekuwa nakufuatilia kwa kua unazungumzia vitu vya uhalisia..
@mwamvitamyombo4466
@mwamvitamyombo4466 Год назад
Mungu akubariki Pastor Joel Nanauka mafundisho yako ni ya kiroho yananipa ujasiri huwa najifunza vitu vingi
@neemalaurent9836
@neemalaurent9836 Месяц назад
Mungu nijalie kupata rafiki mzuri atakaesimama na mimi
@GeorgeBajuta-ro4ez
@GeorgeBajuta-ro4ez 11 месяцев назад
ahsante mungu kwa mafundisho mazur ya neno la mungu kaka mungu akupe maisha marefu
@sarahbaby6764
@sarahbaby6764 2 года назад
Roro mtakatifu niinulie watu wa kunitaja nakuniona,kweli nimechelewa Sana kupata mafundisho haya lakini najua huu ndo wakati ambao mungu alitaka nipokee.mungu akubariki mtumishi wa mungu aliye hai
@user-ho6zq4cz6c
@user-ho6zq4cz6c 7 месяцев назад
Nakuewa saana Joel
@robertfransis1680
@robertfransis1680 11 месяцев назад
Mungu alibariki mchungaji kwa maneno mazuri.
@CharamKabul
@CharamKabul Месяц назад
God bless you,,, umenijenga kiakili vzr sana kaka
@Udindigwa
@Udindigwa 2 года назад
Amina Baba angu Yani sijajutia muda na MB Zangu kuku sikiliza
@jameskarogo3094
@jameskarogo3094 3 года назад
Asante sana mungu akubariki ..unanibarikingi kwa maneno yako ..na pia mafunzo mazuri .. thanks
@HosianaBuuta
@HosianaBuuta Год назад
Mungu anikutanishe na hao watu mungu awafungue macho nimetumikishwa sana
@christopherjoshua278
@christopherjoshua278 2 года назад
Ubarikiwe sana Binafsi nakuelewa sana
@danymboje7314
@danymboje7314 3 года назад
God Bless Joel Nanauka, God Bless Tanzania!!
@happydaniel7788
@happydaniel7788 2 года назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kaz nzur
@danielsumaye362
@danielsumaye362 Год назад
Mungu akubariki sana JOEL kwa mafundisho mazuri, Munguakubariki sana.
@user-pk2ub6wl4s
@user-pk2ub6wl4s 5 месяцев назад
thank you very much pastor Joel manauka, am the student of Tumaini university makumira but am so grateful with ua speaches please l need to be revealed
@user-pk2ub6wl4s
@user-pk2ub6wl4s 5 месяцев назад
thank you very much pastor joel, continue to be blessed with your inspiration
@maxmilajoseph1897
@maxmilajoseph1897 Год назад
Mungu naomba niandalie watu watakao nivusha kuelekea mafanikio yangu
@felistermorungu7976
@felistermorungu7976 2 года назад
Powerful I'm blessed
@injilitv3104
@injilitv3104 3 года назад
Asante sana
@abeljohnmpanda7717
@abeljohnmpanda7717 3 года назад
Powerful speech 🔥🔥
@rehabokaya2232
@rehabokaya2232 3 года назад
Niseme nini mungu akubariki kwa maarifa hayo umenipa siku ya leo this will help me thank you mr Joel
@jolumatv7211
@jolumatv7211 Год назад
Asante na Mungu akubariki sana nimekuelewa. Mungu nisaidie nayazingatie haya
@Mwinamila-3
@Mwinamila-3 7 месяцев назад
Asante sana bro Joel kwa MAFUNDISHO yako
@nikoletaugi3247
@nikoletaugi3247 3 месяца назад
Asante sana kaka barikiwa sana
@Esther-kz1es
@Esther-kz1es 4 месяца назад
Umekuwa baraka Sana kwangu kaka Joel.Barikiwa
@anjelafrancis6353
@anjelafrancis6353 Год назад
Mungu akubariki Kwa kutufungua mtumishi🙏🙏
@FredyIma
@FredyIma 10 месяцев назад
Thanks sanaaa nazidi kubilikiwa nakuonaa mbalii zaidii nitfika🙏🙏
@deomushi7341
@deomushi7341 2 года назад
Pasta unafafanua vizuri sana,sana endeleza kazi hii haswa kwa vijana wetu,
@furahamwalyambwile6463
@furahamwalyambwile6463 День назад
Amen
@user-nt6uv5wr8p
@user-nt6uv5wr8p 7 месяцев назад
Asanteh sana kaka , ubarikiwe
@mericktamba7981
@mericktamba7981 2 года назад
Niceeeeee...brzaaa...💯💯💯💯💥💥💥💥💥💫💫💫💫💫🔥🔥🔥
@petermponzi411
@petermponzi411 2 года назад
I’m blessed with your brilliant speech
@mcengineer7711
@mcengineer7711 Год назад
Be blessed coach
@macdonaldmushira8723
@macdonaldmushira8723 2 года назад
I'm proud of you man of God and our mentor.
@Joelendagano
@Joelendagano 8 месяцев назад
Asante sana nashukuru
@laurentpetro3878
@laurentpetro3878 Год назад
Mungu akuongoze ntazidi kukufatilia najifunza meng sana kupitia mafundisho yako
@elionoraherman6790
@elionoraherman6790 2 года назад
Kaka Joel Mungu akubariki sanaaa .Asantee sana🙏💪
@eliasbufula2482
@eliasbufula2482 2 года назад
Joel amini kwamba, hakika umenisaidia sana🤝
@thrivehappy9610
@thrivehappy9610 2 года назад
Thank you so much! Yani hili somo nikama a special for me! Oh! My God! Mungu akubariki!
@peterjanuary7972
@peterjanuary7972 2 года назад
Mungu akubariki kwa mwangaza unaotuangazia vijana..
@revombenmwakwenda6006
@revombenmwakwenda6006 2 года назад
Kweli kabisa ndugu Barikiwa kwa ujumbe mzuri
@winfridaadam7951
@winfridaadam7951 Год назад
Ameeeen ..🙏🙏 Ubarikiwee sanaa Mtumishii wa Mungu 🙏🙏🙏🙏
@judithnjalambaya2450
@judithnjalambaya2450 2 года назад
Nabarikiwa sana na mafundisho yako .Mungu akutunze kaka
@meshackmwakajwanga8349
@meshackmwakajwanga8349 2 года назад
Jina la bwana likaishi ndani yangu nawe ndani yko!!
@josephlukumaya4223
@josephlukumaya4223 Год назад
Amena Kuna ki2 nimejifunza hapa
@simonsulley5183
@simonsulley5183 3 года назад
Mungu azidi kukutumia katika viwango vya juu
@barisasaji8669
@barisasaji8669 2 года назад
Asante Sana pastor Nanauka Kwa speech zako zenye uhai ndani yake hakika unatuadilisha Sana maishani mwetu 🙏🙏🙏🙏
@mukembanyikalinda8908
@mukembanyikalinda8908 Год назад
Mungu akubariki saana mtu mishi. I love this
@gregoryfelcian3932
@gregoryfelcian3932 Год назад
Ni mala yangu ya Kwanza kukusikia kweli mungu yupo ndani yako nami nitakufuatilia Kila nikiweka bando una kitu Cha kunivusha kwenye maisha yangu
@shefujosee617
@shefujosee617 Год назад
Big up sana kaka kwa masomo mazuri mungu akubariki sana
@vailethmalakibungu7866
@vailethmalakibungu7866 Год назад
So powerful ..Ninajifunza
Далее
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
SIFA NA TABIA ZA KIONGOZI
23:38
Просмотров 35 тыс.
НАША НАСЫЩЕННАЯ ПОЕЗДКА В КИТАЙ
1:32:55
Jinsi ya kutoka kwenye madeni sugu.
1:03:49
Просмотров 108 тыс.
Usiruhusu mtu mwingine akuumize
4:43
Просмотров 9 тыс.
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Просмотров 82 тыс.
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
DALILI ZA MUME/MKE HATARI - JOEL NANAUKA
10:47
Просмотров 48 тыс.