Somo la Siri 5 ZA MTU ALIYEOKOKA ,huu Ni mwendelezo wake
Moja ya Ahadi na ISHARA waliyopewa wanafunzi wa Yesu Ni pamoja na Kushika Nyoka na Kutokudhuruiwa na Huyo Nyoka .
Marko 16:18 Inasema "Watashika Nyoka,Hata wakinywa kitu Cha kufisha hakitawadhuru kabisa "
Wewe Mwana wa Mungu uliyeokoka unapaswa Kuelewa kuwa Unayo ISHARA hii pia Unapaswa Kuielewa kwa Undani Hapa Askofu Dr Kasunga Ameifafanua kwa Undani zaidi kwamba wawezaje Kushika Nyoka na Nyoka Asikudhuru .
fuatilia Somo Hili kwa Undani zaidi Utapata kuelewa na Kujifunza kwa Undani zaidi na Roho wa Mungu awe Juu yako ,Akupe kuelewa na Kujifunza Kwa Kina zaidi ,Usisikilize tu bila Kutafakari ,Unayo Hali ya Kumkumbusha na Kumuomba Roho mtakatifu akusaidie pia Katika KUSIKILIZA kwako .
#BABATIKWAYESU#KATIKAMLIMAWABWANAITAPATIKANA#INJILIBILAMIPAKA
23 сен 2024