Nafikiri ukishasoma dua ya kuingia chooni kabya kuingia, hiyo inatosha hivyo haitakuwa na haja ya kusema bismillah pindi utapoamua kuendelea na jambo lingine chooni. Mimi sina elimu ila nahisi hiyo ndio njia bora ya kuepusha kusoma bismillah chooni.
bismillah lazma kusema kimoyoni kwani kila ibada lazma tuanze kumtaja Allah ili sheitwan awe mbali uko sahihi ndugu nami nimeskia umoja wa masheikh wengi haikubaliki ibada yoyote bila kuanza kwa jina la Allah..na nia Allah anajua zaidi