Тёмный
No video :(

KISA CHA MALAIKA WALIOKUJA KUFUNDISHA UCHAWI- NO 1 //SHEIKH OTHMAN 

arkas online tv
Подписаться 124 тыс.
Просмотров 208 тыс.
50% 1

Nabii SULEIMAN alikua kiboko ya Majini na alikua na Vitabu vingi sana na aliamua kuvifukia kabla hajafa IBILISI aliwaeleza majini wenzake vilipofukuliwa na Kuanza KUVITUMIA

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 169   
@AminaAhmadShaban-tp9zu
@AminaAhmadShaban-tp9zu 9 месяцев назад
Wengi wanaokosoa hawana wanachokijua... Allah akulipe khery Shekh Wetu kwa kutuelimisha
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 4 месяца назад
Mwenyezi mungu akuhifadh shehe akupe husni lkhatima njema atujalie shahada kabla ya mauty 🙏🙏🙏
@user-ws9ch4uj1d
@user-ws9ch4uj1d 8 месяцев назад
Alhamdulillah,, nipatia elimu Koz hawa wenzetu wamisheni wanasema Kua uchawi Na unganga unatokana na uwislamu,, Na ivyo sio kweli . Kwkua wanaona Na kuskia wanganga wingi ni waislamu ,, Islami Haiko ivyo nitamaa zao Na sio mafundisho ya dinini ya Allah
@rahmamohammed9678
@rahmamohammed9678 8 месяцев назад
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA SAALAM ♥️
@abdallamohamed406
@abdallamohamed406 8 месяцев назад
Swadakta Sheikh Othman Maalim, Masha'Allah nakubali
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 11 месяцев назад
Mtihani yarabi tusamehe waja wako pale tulipo koseya na utuongoze katika manmbo ya heri
@rizikishahari6948
@rizikishahari6948 10 месяцев назад
Amin Amin Amin! Allahumma Amin Yaa Rabb 🤲🏽
@MohammedPakia
@MohammedPakia 4 месяца назад
Mwenyezimungu atujarie kila laher namungu atulinde namahasid
@abubakrcikuru750
@abubakrcikuru750 Месяц назад
May Allah accept and bless you with all good in this world and in the here after ❤🤲
@kingramah8213
@kingramah8213 8 месяцев назад
وَٱتَّبَعُواْ مَا تَتۡلُواْ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلۡكِ سُلَيۡمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيۡمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُواْ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحۡرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلۡمَلَكَيۡنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنۡ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٞ فَلَا تَكۡفُرۡۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيۡنَ ٱلۡمَرۡءِ وَزَوۡجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنۡ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنفَعُهُمۡۚ وَلَقَدۡ عَلِمُواْ لَمَنِ ٱشۡتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ مِنۡ خَلَٰقٖۚ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡاْ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمۡۚ لَوۡ كَانُواْ يَعۡلَمُونَ Na Mayahudi walifuata yale ambayo mashetani walikuwa wanawasimulia wachawi katika kipindi cha ufalme wa Sulaimān mwana wa Dāwūd. Na Sulaymān hakukufuru na wala hakujifundisha uchawi. Lakini mashetani ndio walimkanusha Mwenyezi Mungu kwa kuwafundisha watu uchawi, kwa kuwaharibia dini yao. Mayahudi pia waliufuata uchawi ulioshushwa kwa malaika wawili: Hārūt na Mārūt, katika ardhi ya Babil ilyoko Iraq, ukiwa ni mtihani na majaribio kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa waja Wake. Na hao Malaika wawili hawakuwa wakimfunza yoyote mpaka wamnasihi na kumuonya asijifunze uchawi na kumwambia, “Usikufuru kwa kujifunza uchawi na kuwatii mashetani.” Basi watu walikuwa wakijifunza kutoka kwa Malaika wawili vitu vinavyozusha chuki baina ya mume na mke mpaka wakafarikana. Na wachawi hawana uwezo wa kumdhuru, kwa uchawi wao, yoyote isipokuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu na hukumu Yake. Na wachawi hawajifunzi ila shari yenye kuwadhuru na kutowapa nafuu. Mashetani waliupeleka uchawi kwa Mayahudi, ukaenea kwao mpaka wakaufadhilisha juu ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Na Mayahudi walijua kwamba mwenye kuchagua uchawi na kuacha haki, hatakuwa na fungu lolote la kheri huko Akhera. Ni ubaya ulioje uchawi na ukafiri waliojichagulia nafsi zao kuwa ni badala ya Imani na kumfuata Mtume, lau walikuwa na elimu yenye kuzalisha vitendo vya kufuata mawaidha wapewayo
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 11 месяцев назад
Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏
@abdaladelo371
@abdaladelo371 11 месяцев назад
Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu kikubwa ni kua na Iman ya kwamba Alla Yuko pamoja nasi Kila wakati
@zubedaalice8172
@zubedaalice8172 Месяц назад
jazakAllah kheir
@sadiahassan5316
@sadiahassan5316 8 месяцев назад
Jaazakallahu kheir , mungu atulindie sheikh wetu in shaa Allah ❤
@user-zb4py9rl9c
@user-zb4py9rl9c 4 месяца назад
SAW ❤❤❤ ALHAMDHULILLAH ❤❤❤❤
@abeliever6823
@abeliever6823 11 месяцев назад
رفع الله قدرك وشأنك ياشيخنا الفاضل
@mahmoudbadhamanaonlinedaaw7169
@mahmoudbadhamanaonlinedaaw7169 11 месяцев назад
اللهما امين
@HusseinMohamed-jq7hu
@HusseinMohamed-jq7hu 11 месяцев назад
اللهم امين
@taibamreh1785
@taibamreh1785 10 месяцев назад
I’m spsystetww we
@shinayzashiraaz4588
@shinayzashiraaz4588 3 месяца назад
Ameeen
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 10 месяцев назад
Tue tunasikiliza vizury mawaiza tusimkashifu sheikh wetu nawakati yeye anasoma yalio katika kitabu
@fareedkhalipher3590
@fareedkhalipher3590 4 месяца назад
Asalaam Aleykum warahmatullah wabarakaatuuh, shekhe wangu hao wanaokashifu hawana elimu ya dini tuwaombee tu mungu awatoe gizani
@sefuriyembe7864
@sefuriyembe7864 4 месяца назад
Wapumbavu ndo wanamkashifu shekhe huyu. Majitu yasokuwa na akili 😅😅😅
@AbdiHamad-yb5kg
@AbdiHamad-yb5kg 4 месяца назад
Ma Sha allah
@hassanngala9894
@hassanngala9894 4 месяца назад
Shukran sheikh
@HakizimanaFiston
@HakizimanaFiston 5 месяцев назад
Sheih wetu tu NAKUPENDA sana
@bachumohamed6804
@bachumohamed6804 4 месяца назад
Mashallah ❤❤❤
@omaryally3489
@omaryally3489 7 месяцев назад
Marshall Allah atupe mwsho mwema....
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema 3 месяца назад
Ni sawa na sigara Unambiwa mbaya inauwa sio nzuri hila we unatumia tuu
@ZawadiHassan-dp6tw
@ZawadiHassan-dp6tw 5 месяцев назад
Hao wanaomkashifu maalim hajijui wala hawajitambui wamo tu katika dunia.waachilie mbali
@user-pi3pg5we1c
@user-pi3pg5we1c 4 месяца назад
Mashallah
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 9 месяцев назад
Jazzak Allah kheri, Tabarak Allah feeq
@ahmedyusuf9547
@ahmedyusuf9547 10 месяцев назад
Jazakallahu kheir
@mohammedsembe9040
@mohammedsembe9040 10 месяцев назад
Shekh Othumaani ahsantum bikheyr Allah akuhifadhi
@abduljecha7779
@abduljecha7779 10 месяцев назад
Maashallah, alhamdullillah
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 11 месяцев назад
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
@kingusaid7175
@kingusaid7175 11 месяцев назад
Mashaallah,mawaidha mazuri sana. Allah akulipe
@halimaomari3415
@halimaomari3415 11 месяцев назад
Subhana llah
@AishaSalumu-tv4kb
@AishaSalumu-tv4kb 10 месяцев назад
Mashaa Allah Allah akulipe khery
@a.856
@a.856 10 месяцев назад
Jazakallah khayran
@salumsodangu1372
@salumsodangu1372 10 месяцев назад
Mashallah Ballaka lwahu fii
@hawa6052
@hawa6052 11 месяцев назад
Mashaa Allah tabarakallah
@dezainermedia1035
@dezainermedia1035 8 месяцев назад
Jazakallah
@mohdysaid2856
@mohdysaid2856 8 месяцев назад
Allahu Akbar!
@Kimochatv
@Kimochatv 9 месяцев назад
Mashaaaalaaah
@user-kp2df5zn9q
@user-kp2df5zn9q 8 месяцев назад
Inshaallah
@shillasalimjuma6986
@shillasalimjuma6986 10 месяцев назад
Marshall ah mawaidha mazuri
@user-zy5mx5pd7u
@user-zy5mx5pd7u 6 месяцев назад
Mashallah❤
@user-vf6cd9vx9w
@user-vf6cd9vx9w 5 месяцев назад
Mashallaa
@othmanmasoud1672
@othmanmasoud1672 7 месяцев назад
Wengi hawajui kisikiliza wala hawajui kitu ila hujifanya wanajuwa hao huitwa wajinga unapomkosoa shekh maalim kwa makasiriko yako tu huna tofauti na mjinga
@mammym4185
@mammym4185 10 месяцев назад
Allahu Akbar 😢
@staraamr2770
@staraamr2770 4 месяца назад
As salaam alaikum ndugu katika iimaan...dua inanishinda hapa pa...Lam fii.........Amalaha. Naomba munikamilishie
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy Месяц назад
Sijakufamu
@staraamr2770
@staraamr2770 Месяц назад
@@AbdullahOmar-be4wy Niandikie hiyo dua
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy Месяц назад
@@staraamr2770 nipe email yako au namba za wasapu
@zuwenasaleh4693
@zuwenasaleh4693 9 месяцев назад
Shukran shekh wetu mungu akubaarik
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 9 месяцев назад
Nimefurai sana mbavu zinauma mpk wenye Imani yao wanaguna😂
@mzeehassan2913
@mzeehassan2913 11 месяцев назад
Arkas online TV Rekebisha anwani ya nasaha hii, usiandike jambo lolote kuhusu dini ambalo laweza kupotosha watu, kama hujui ingia kwenye vitabu au uliza wenye elimu
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 10 месяцев назад
Wew hasan acha ujinga mwisilam gani uso amin quran ww hujui din jina tu muislam lakin iman na taquwa huna
@daudimichael7338
@daudimichael7338 10 месяцев назад
Toa mfano mmoja wa Muhammad aliyosadikisha yaliyokuwa kwenye torati ya mayahudi.
@mohdali2408
@mohdali2408 10 месяцев назад
Kuabudiwa Mungu 1 tu
@RehemaOmary-xp4fk
@RehemaOmary-xp4fk 4 месяца назад
Assalam alykum warahmatullah wabarakatah❤😊😊
@hanafichinemba9196
@hanafichinemba9196 4 месяца назад
Bi Rehma nicheck
@ZawadiHassan-dp6tw
@ZawadiHassan-dp6tw 5 месяцев назад
Ukisikia kugombanisha watu ni kwakera watu kwa jambo lolote lile usigombanishe watu kwa dini
@sefuriyembe7864
@sefuriyembe7864 4 месяца назад
Watu wasiokuwa na akili ndo wanamkashifu shekhe huyu !! Mambumbumbu !!😅😅
@dezainermedia1035
@dezainermedia1035 8 месяцев назад
@siretv6934
@siretv6934 8 месяцев назад
sehem ya pili...?
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 5 месяцев назад
@Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha
@ZawadiHassan-dp6tw
@ZawadiHassan-dp6tw 5 месяцев назад
Uchawi mbaya no shirki mbaya jamani muache kutuia wenzenu maradhiii😂😂😂
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 10 месяцев назад
Shekher sikubaliani na hizo aya zako zinazosema malaika 2 ndoo walioleta uchawi hao maruta na aruta ni naraika wa shetani walioasi pamoja na rusifa ndoo wameleta mambo ya uchawi kwa wanadamu hapa duniani kwa ajili ya kumuasi mungu
@lookmanmustapha6366
@lookmanmustapha6366 10 месяцев назад
Rudia suratil baqara aya 102
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 9 месяцев назад
Acha kukoment kitu km huna uhakika nacho
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 9 месяцев назад
Aya gn ilio sema malaika hao walias pmj n ibiris la'anatullah au ulikuepo?
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 9 месяцев назад
Masimba njoo kwenye ukristo😂
@nayyarnassor762
@nayyarnassor762 9 месяцев назад
@@LastdayJesu4153 kama umetumwa
@Izikiel55
@Izikiel55 11 месяцев назад
Inna lillah!! Kna hii stor ya malaika wa Allah ndio waliokuja kufindisha uchawi huu huu ambao had leo wachaw wanatusumbua usiku bas kuna kitu cha kushtuka hapa aisee
@salehsultan-7554
@salehsultan-7554 10 месяцев назад
Jalibu kuelewa ulikua mtiani kwetu ivi unazan apa dunian tumeletwa bule lazma tupewe mtian ili wengne wafaulu waende pepon wanaokufulu moton
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 9 месяцев назад
Saleh akili ya kawaida tu ungeona sumu Malaika wafundishe uchawi😂
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 9 месяцев назад
Na ndiyo maana imeandikwa Yesu ndiyo njia iliyonyoka..kama imeandikwa hivo kweli chukua hatua shekh
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 9 месяцев назад
Malaika wakifundisha uchawi na shetani atafanya kazi gani shehk?
@swalehejuma6611
@swalehejuma6611 9 месяцев назад
​@@LastdayJesu4153Mwl wa karate anafundisha kujihami na siyo kudhuru watu. Kazi ya kujihami na maadui haifundishwi na jambazi
@jamesalphonce1889
@jamesalphonce1889 8 месяцев назад
Kwa mwenyew akili ataelewa SoMo Kwa yule asiyekuw na akili atakosoa
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 9 месяцев назад
Majini ni ya waislamu
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 9 месяцев назад
Au sio SS km Majin n ya waislam ww umeft nn kwenye hay mawaidha? Acha ujinga Kwan hao Majin walijiumba? Majina wao waliumbwa n Alie kuumba ww n mm ko uspende kukashfu uumbj wa mola wetu
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 9 месяцев назад
D😂
@munirasuleiman2006
@munirasuleiman2006 11 месяцев назад
Kwani walifundissha uchawi au kuwahukumu watu wakafanya kosa waakapewa adhabu
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 11 месяцев назад
Si uskilize
@edwardmwandu3564
@edwardmwandu3564 10 месяцев назад
mungu alituma malaiika wafundishe uchawi? Ina mungu huyo ni mchawi
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 10 месяцев назад
Heri na Shari zote zinatoka kwa MWZ Mungu kwani shEtani ameumbwa na nani? Kwann tunakufa kwani Mungu alishindwa kumzuia Baba yetu Adamu hasipotoshwe na shEtani kwann aliacha jibu ni kwamba iwe fundisho kwa watakao kuja kama mtihani kwetu Ili watakao faulu basi wapewe zawadi kwaiyo husishangae ndugu, Mungu ameumba malaika mtoa roho kwann je yeye ni muuaji? 24:48 apo vp nafikili apo itakuwa umenielewa na mwisho nikupe mfano huu kwann MWZ Mungu ameumbwa wanyama na wadudu wakali ambao wanaweza kudhuru mwanadamu coz anatupenda c hasinge waumba tu, kuna baadhi ya vitu ametuamrisha na ataki mjadala wala maswali wala maelezo yeye anataka utekelezaji tu ktk dunia hii kila unachokiona kimetoka Kwake mfano mwingine unaambiwa uvutaji wa sigara ni hatali kwa afya yako. Je watu hawavuti ata ktk dunia hii tumeambiwa ukitaka kufikia ufalme wa Mungu tupitie Njia hizi acha zinaa, swali, toa Dhaka, saidia myatima, heshimu wazazi kwa kifupi kutenda mema lkn je uwaoni watu wanafanya matendo maovu tena adharani? Asante kama unaziada utauliza ujibiwe
@imanmohamed2215
@imanmohamed2215 10 месяцев назад
ASTAGHAFIRULLAH😡😡😡😡😡SHAME ON YOU ( ALLAH ANAKUONA)😢
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 9 месяцев назад
Usimshirikishe Allah kwenye ujinga Kwa mambo ambayo huna uhakika nacho Alie kuumba ww usimtukane Kwa kumshrikisha n ujinga Kwan ww hujui km uchawi nao ni kiumbe km viumbe vingine sema SS waja tulio letewa ndo ne'ema hyo ndo tunaikadhibisha n badala Ake tunafnya kinyume
@nayyarnassor762
@nayyarnassor762 9 месяцев назад
Hulijui hata ulisemalo
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema 3 месяца назад
Kuna watu walikua wanawasuhudia wachawi wakijua ni wa Jumbe wa mungu akatuma malaika kuwaonesha watu kua hao ni wachawi na makafili..ukafili ni mtu anae muhasi mungu au mkaidi kwneye magizo ya MUNGU.Kafili ni mtu yeyote huwe muislam au sio muislam ukiwa unapishana na magizo ya mungu Basi we ni Kafili..Kwaiyo uchawi ulikuja kuwalingania watu ..labda Kama atutak kuelewa mawaidha hayo
@abdillaahirichardkasisi8691
@abdillaahirichardkasisi8691 4 месяца назад
Aya mambo si ndo ya sasa,mambo ya kukanyaga mafuta,udongo n.k
@aceofspades3728
@aceofspades3728 10 месяцев назад
Yan Mungu ndo alileta shirk!?
@user-qq4mb9nq1n
@user-qq4mb9nq1n 8 месяцев назад
Ndiyo shetwani hamiliki Chocho hiyo shiriki ni mtihani
@feisalathumani31
@feisalathumani31 11 месяцев назад
Eti ukiacha uislam na kua mchawi hii umepata wapi
@mahamedhussen6734
@mahamedhussen6734 10 месяцев назад
Ulizatena
@mzeehassan2913
@mzeehassan2913 11 месяцев назад
Anwani ya nasaha hii imekoseka, hakuna malaika waliokuja kufundisha uchawi, REKEBISHA ANWANI HII 😢
@Izikiel55
@Izikiel55 11 месяцев назад
Tuambie wew hassan, nani waliokuja kufundisha huo uchawi!? Em shtuka wewee, dini yenu sio ya Mungu wa kweli weweee
@Izikiel55
@Izikiel55 11 месяцев назад
Hassan hutaki kuamin au unaona haiko sawa😂
@user-hx8bh1jt4k
@user-hx8bh1jt4k 10 месяцев назад
We rangos shika adabu Yako ikushike,mwana nyau wewee
@omaryhaytham2899
@omaryhaytham2899 10 месяцев назад
We mgumu kuelewa
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 9 месяцев назад
Ingia school
@jacksonrock6535
@jacksonrock6535 8 месяцев назад
Biblia Ndo Neno La Kweli Ya YESU KRISTO Ndo Kweli Yenyewe Sasa 😂 Malaika Kama Katumwa Always Anfanya Mapenzi Ya Yule Aliyemtuma Ni Shetni Peke Yake Na Malaika Zake Ndiyo Waliokataa Kufanya Mapenzi Ya Mungu Mwisho Wa Siku Wakawa Wapo Dhidi Ya Mungu Na Uchawi Haupo Upnde Wa Mungu So Uchawi Aliyeleta ni Shetani
@mohamedimohamedi8933
@mohamedimohamedi8933 8 месяцев назад
Mungu kafa msalabani it's make sense to u
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 5 месяцев назад
Sas km biblia ni neno la kweli umefuta nn huku na kucoment au umetumwa au ww ndio mchawi mwenyewe😢
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 5 месяцев назад
Alafu Ona pimbi wewe qur an yetu site waislam tunaisoma kwa lugha moja Duniani Kote na tunaelewana sas nyie na hiyo billiards yenu iankuaje hamna lugha moja ya kuelewana km sisi ,,tunavyoisoma 🇹🇿 basi ujue hata Jamaica wanasoma vile vile..
@Daudisalim71
@Daudisalim71 4 месяца назад
Biblia hiyo hata Yesu hakuwahi ioni
@listonjiwe3467
@listonjiwe3467 7 месяцев назад
Hao malaika waliokuja kufundisha uchawi ni wale malaika waovu walioshushwa duniani baada ya kuasi na kufukuzwa mbinguni na ndio hao majini ambao mnasema walisilim wakati hiyo dini ni yao na ndio walioileta kupitia muhamad kwa hiyo shehe hao majini ni ndugu zenu na uchawi ni asili yenu
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 5 месяцев назад
Km nyie mnavyokemea mapepo mnayowapa watu kaisan kwahyo na nyie mapepo ni mama zenu na baba zenu
@user-bi4sf4uy9l
@user-bi4sf4uy9l 4 месяца назад
😂😂😂😂😂watu hawaelewi hao malaika walio asi wakaletwa duniani huwajui adi leo basi ni Adam na Hawa wenyewe mkasema Eve hao ndo waliasi huko hakuna malaika mwenye anakosea mungu upo
@user-bi4sf4uy9l
@user-bi4sf4uy9l 4 месяца назад
​@@user-oy6jf7nr1j😂😂😂😂😂😂muulize tn
@rajabuathumani1586
@rajabuathumani1586 10 месяцев назад
Yani huyu kurafi Ana visa vya uongo Sana huyo Sufi Visa ww ndio umevisoma tu hakuna wengine
@amazingvideo1497
@amazingvideo1497 10 месяцев назад
Tuambie ww msomi
@salehsultan-7554
@salehsultan-7554 10 месяцев назад
Sheghe auna hofu yakumuandikia meseg muislam mwenzako unamuita kulaf unajua maanayake mtu anaefanya mawaiza ya tawhiid hakika ayo manene kila anaeyasoma atayatolea ushaid kiama kua makn elmu ni bahar
@user-zs6qg7ql1i
@user-zs6qg7ql1i 8 месяцев назад
Mashekh wenu hawan visa hv hawatak kusom Kaz chuki tu wahab elimu zenu ndgo mje msomeshwe
@rashidsuleiman9253
@rashidsuleiman9253 7 месяцев назад
Kwa sababu huko kwenu hakuna mwenye elimu, sasa mambo haya yapo juu ya uwezo wenu. mmeuchukua ujinga na kuuvisha kilemba na sasa mwatembea nao mitaani
@mohammedal7864
@mohammedal7864 11 месяцев назад
Hao si malaika ni binadam hata ukijiuliza tu vipi malaika wakati mitume wote ni binadam na sie mafundisho yetu anasema hao walikua wachamungu hadi Allah akawafananisha na malaika
@MohamedAhmed-xi5jk
@MohamedAhmed-xi5jk 11 месяцев назад
Quran imewataja malaika kwa majina haroota na maroota na sio binadamu kama unavyosema
@balkisamisi2131
@balkisamisi2131 11 месяцев назад
Kwani unataka kumkosowa Allah ?
@mohammedal7864
@mohammedal7864 11 месяцев назад
Sijamkosoa Allah Ila hao siwalimuasi Allah kwa kufundishwa uchawi na Allah amewasifu kwa kusema hawamuasi Allah na wenye kutuletea ujumbe wa ALLAH ni mitume tu kupitia kwa jibril a. a. Na malaika wt wanakazi zao alizowapa Allah
@wazirimakua12
@wazirimakua12 11 месяцев назад
​@@mohammedal7864Akhi, hao malaika wala hawakuasi.. Allah mwenyewe ndiye aliyewatuma kuushusha uchawi ili uwe mtihani kwa waja wake.. Ni kawaida yake Allah kutupima waja wake je tutakufuru au tutashukuru, je tutasubiri au tutakosa subra.. Kwahiyo hao ni malaika na malaika ni kweli hawaasi na wao pia hawakuasi bali walifuata agizo la Allah kuushusha uchawi duniani kwa ajili ya kuwapa mitihani watu na majini
@MohamedKimbwembwe
@MohamedKimbwembwe 11 месяцев назад
Quraan inasema malaika
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 9 месяцев назад
Waislamu ni dini ya majini tuu hamna lolote
@AishaAbbas-mw6ef
@AishaAbbas-mw6ef 9 месяцев назад
Km n dini ya Majin km usemavyo ww unae jifany mjuaji Sasa mawaidha yetu unayafata y nn n kwann ukoment? Oky Allah ukihifadhi n kinywa chako inshaallah
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 9 месяцев назад
Aisha dada yangu Malaika wafundishe Uchawi😂
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 5 месяцев назад
Sikiluza vizur mawaidha na km majini ni ndug zetu imekuaje na nyny mapepo mkakemea nijibu au umejisahahulusha😅
@saidiMsume
@saidiMsume 3 месяца назад
Elewa maana ya neno "kukemea".Sisi tunawafukuza kwa sababu hatuna ukaribu nao lkn nyie mnaswali nao,mnawajengea vilinge,mnawaoa na kuwafuga pia.
@daudimichael7338
@daudimichael7338 10 месяцев назад
Allah alituma malaika wawili kufundisha uchawi? Haya bhana watu na dini yao😂😂😂😂
@lmaniash3268
@lmaniash3268 10 месяцев назад
Tuskilize mada ya sherkh othman na sio kichwa cha habar cha mwenye channel.
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 11 месяцев назад
kwanini waislam wana sali kwa luga ya kiarabu tu? Na kwanini mtu akibadili dini nakuwa mkristo anuawa? Ukiacha uislam nakuwa mchawi akuna kifo. And freemasonry nao wanafanya ivo ivo! mimi nina mashaka sana
@maimunasaidi
@maimunasaidi 11 месяцев назад
Wewe ni muongo uliza uelezwe vizuri hujaelewa
@mohammedal7864
@mohammedal7864 11 месяцев назад
Sio kweli Jaribu ww ingia ktk uislam kisha urudi huko uone tukikuua ndio utajua nikweli na tukikuacha utaamini kua warongo tu hao
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 11 месяцев назад
Hujausoma uislamu kwamaana Hy usiseme jambo ambalo huna elimu nayo Hao malaika wametajwa kwenye qruani, an nvema ujitambue kuwa kuwepo hapa duniani unasababu maalumu nasio kuwa umezuka TU bila sababu tumia akili acha mzaha, ukiendelea na mzaha utajuta
@octomontana4214
@octomontana4214 11 месяцев назад
Hakika ujinga ni mzigo na mtihani mkubwa!!jitahidi kutafuta elimu futa ujinga kichwani
@user-hx8bh1jt4k
@user-hx8bh1jt4k 10 месяцев назад
Ukitaka kujua jambo Fulani bas nenda Kwa wenye kulijua Ili wakujuze.Hawafanani wale wanaojua na wasiojua.Tafuta Elimu za Dini zote mbili,Yako na ya uislam Kisha utapata kujua ukweli ni ipi dini ya kweli ya kuifuata
@apexmombasa6809
@apexmombasa6809 10 месяцев назад
Ma sha Allah
@balkisamisi2131
@balkisamisi2131 11 месяцев назад
Barakallahufiyk wallahi leo ndo naelewa sababu ya hao malaika kufundisha watu uchawi
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 11 месяцев назад
Mashallah ❤❤❤
@user-oy6jf7nr1j
@user-oy6jf7nr1j 5 месяцев назад
@Am-vo5cu unasema mujin ni ya waislamu..na mapepo ni ya nan niyababako au..mbona nyie mnakemea mapepo au hamlijuh hilo..ungeskiliza vizur mawaidha
Далее
KISA CHA MCHUNGA MBUZI// OTHMAN MAALIM
32:51
Просмотров 285 тыс.
When I met the most famous Cristiano
01:03
Просмотров 27 млн
OBLADAET - BARMAN
03:06
Просмотров 129 тыс.
ISRAA NA MIRAJI OTHMAN MAALIM
2:23:23
Просмотров 162 тыс.
047 2 OTHMAN MAALIM   KISA CHA NABII ADAM
1:05:17
Просмотров 855 тыс.
When I met the most famous Cristiano
01:03
Просмотров 27 млн