Yah Allah nifanyie wepesi katika duwa hii nifunguliwe Kila kilicho fungwa katika mwili wangu nakama Kuna kibaya chochote katika mwili wangu basi kitoke na umjalie mwanangu apone ugonjwa unao msumbua inshallah 🙏
Ya Alha niwekeewepesi kupitia dua hii niweze kuwatunza wanangu bila ya maadui na mm pia mama yao niweze kutimiza malengo yangu niondokane na misukosuko naniweze kujenga familia zangu niweze kusikilizana na wanafamilia zangu tuwenye kusikilizana na kusaidiana tusiwe wenye kutengana na unikinge na maadui wambali na wakalibu na unitumie uwepesi kwa yote ninayo kuomba inshallah Amin
Ya Allah nijalie hii dua iwe ni shifaa kwa maradhi nilionayo naomba Allah ukubali Inshaallah kwa uwezo wako unifungulie mambo yangu kama kuna mtu.yoyote anahusika kwa haya maradhi ya pressure basi yaa Rabi mrudishie mwenyewe
Allah amujaze khery ndugu yetu ,ust wetu,naomba ziku nyengine utuandalie mafunzo pia ya kutufundixha namna ya madawa pia kuyachanganya na matumizi yake,kwa mfano fuxho la kuwafuruxha majini aidha kwa mwili au kwa nyumba,pili dawa za kunywa kutoa machawi kwa tumbo,na tatu mafuta ya kujipaka kwa ajili ya kuondoa na kufuruxha majini pamoja na kueka jinga biidhnillahi kwa mwili, chengine nakukubuxha ndugu kutoa wasahau kwa dua zako ndugu zake wale walokuwa na kichaa sai tunashukuru kiasi lakini inxhaallah tuendelee kuwaombea majini yao ni juma ali nyoka na mbaraka ali nhoka na mimi ni Ustadhi rajab ali kutoka kenya kiji kinaitwa kizingo,na hizo dawa pia xheikh ukitufunza kutakuwa jambo lamxingi sana,mana wengine tunafatilia kujifunza kisomo cha rukia lakini hatuna ujuzi zaidi wamadawa naomba utusaidie kwa hilo pia shaikh wetu aaameen wajazakallahulkhairaljazaa.
Ya Allah anifanyie wepesi nimedumu Kwa kusoma uradi na Dua hizi nimefanikiwa kumgundua mwanaume ambaye alijifanya ananipenda na ana malengo kumbe ni mshirikina wallah jamani tuishi katika Imani tusiishi Kwa kutegemea uchawi Dua za Allah Zina nguvu sana imenitokea nimesoma nimepata majibu wallah 🙏
Yaa Allah kupitia dua hii nakuomba unifungue kila kifungo cha kichawi na uwafungue wanangu vifungo vya kichawi!na kila uadui niliowekewa urudi kwa mwenyewe na kila majini ya kichawi yaliyotumwa kwangu na kwa watoto wangu yarudi kwa wenyewe amin
Yah Allah naomba unifunguliye kilah njia zangu zolizo funga napia uwaondoshee wazazi wangu maradhi waliyo nayo uwaponye katika kupitia Dua hii utakabaliye kila la kheri ln sha Allah 🙏🙏
Asante mwalimu Shabani ninakuwa huru kwa Dua zako ambazo tunazikiliza bila kuchoka imefikia mahali tunauina utukufubwa mungu mungu akubariki daima.mashalla utukufu kwa Alllha.
Asante ALLAH kumpa.elimu kupitia maalum s. Tunakuomba uumpe mwisho mwema maana. tunapata.faida na mazingatio.na imani zetu zinazidi allahu akubariki.duniani na Akhera .🌴 tunakuomba allah pokee dua hii .🕋
Baarakallaahu fiykum wa jazaakumullahu khayrul jazaai al jannatul fir'daus inshaallaah assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh mashaallaah tabaarakallaah al habiib inshaallaah ndugu yangu kipenzi katika iimaan maulana mufti sheikh amir ustadh al habiib shaaban kwanza akulipe na akuzidishie kila la kheri inshaallaah na allah kariim akulipe akuzidishie kila wema inshaallaah allah kariim sw akukinge na akuepushe na kila huzuni na majonzi na kila shari na kila balaa na kila hsda na hasad inshaallaah na allah kariim rahmaan akufurahishe kwa kila furaha inshaallaah na allh kariim rahiim haliim swt akuepushe na killa husda fitina hasad na killa aina ya maradhi inshaallaah na allah kariim rahmaan akukinge na akuepushe na killa aina maradhi na mabalaa na majanga na mitihani mbalimbali inshaallaah na allah kariim rahmaan akupe na akuzidishie afa njema na siha njema
Inshaallaah allah kariim rahiim haliim jallah jalaluh rahmaan akikuwezesha na kukuwafikisha inshaallaah kwa uwezo wa rahmaan inshaallaah al habiib nakuomba kwa hisani yako na iiman yako inshaallah unitumie hio duaa kwa njia ya maandishi kwa kiarabu na kiswahili inshaallaah
Maalim Shaban wewe ni master jana nimesoma mara 39 leo nimeona maajabu makubwa yaani wewe ni kiboko jamani msiache hiiii duaaa kila siku Asante Allah na maalim Shaban
yah allah naomba unifunguliye kila njia zangu zilizo fungwa napia uwaondoshee wazazi wangu maradhi waliyo nayo kupitia dua hiiiii naomba uniondosheee husda zote zinazo nianda kwenye mwili wangu nakuomba uniondosheee nuksi zote nipate kuolewa kila kheri inshallah🙏🙏
Ya Allah,!!! Kwa uwezo wa dua hii na kupitia duwa hii naomba uniponye mm pamoja na wazazi wangu inshaallah kwa kila linalotusibu, wafungulie milango ya riski 🤲🤲🤲🤲🤲
Sheikh una maanisha usome kila siku mara moja kwa siku 41 au mara 41 siku moja naomba ufafanuzi tafadhali hii dua ni kiboko na tutawakomesha wanga na washirikina biidhnllah alla awape shifaa wote wagonjwa na wote maadhlum Allah awalipie hapa hapa duniani tuwaone wadhalilike wote wanga na shirk zao allahumma amiin
Jana usiku nliposikiliza dua yako , nmelala vzur , nimeoneshwa wabaya wangu mwanzo mwisho . Nikiwa nmefungwa nikiota sikumbuki , na wakat mngine sioti ndoto kabisa . HAKIKA SHEKH UKO VZUR . ALLAH AKUPE WEPESI
Yaani mwalimu hizi Dua mwaga na wachawi pamoja na maajeti wao wanakufa tu hakuna mjadala mungu az8du kukupa ufunuo wa kutuletea duambalimbali, Asante Mwalimu Shabani .uwe na wakati mzuri