Konk master vzr nakkbal wakat unazungmza ishu ya nape mm nlkusapoti mpaka nkasema mm sio mwanasiasa lakin kwa utumbo huu wa nape naanza harakati za kisiasa kukomboa nchi ameizalilisha sana chama chetu
Huyu konk aangliwe Kwa jicho latatu aki tengeneza anaweza kua Kijana Bora Kwa taifa anakitu kikubwa Cha tofauti Anauthubutu pia na akipata sapot Mtaona ujasiri wake katika faida
Hakika huyu jamaa tangu movement za kuteta haki za wasani akimpinga Mwana Fa nilikubali anakitu ilikuwa 2010.... Anafaa kuwa waziri wasekta husika sanaa itapata mtu
Hivi huyu jamaa anaelimu ganu? Kama elimu yake inatosha atafutiwe kitengo cha uchambuzi wa masuala ya kusiasa kokote kule. Lakini pia hata kwenye chama chochote anatosha kukisemea chama. Kiufupi jamaa ana madini yakutosha nimesikia interview zake nyingi yuko vizuri mno.
Mimi kwa maoni yangu namshauri raisi asitengue tu kama mtu ameiibia serikali pesa nyingi bali atengue na kutaka pesa zirudishwe ila asimfunge ili akafanye kazi zingine za kutunza watoto kama wengi tunavyo fanya kazi huku .sio mtu ana teuliwa ili akaibe kwakuwa hazirudishi eti ata tenguliwa tu..
We we uko Tanzania gani cheo cha pili kutoka kwa rais ni kipi kama si waziri hawo mama kafanya mazuri hakuna lawama hawafai tena tangia mwanzo siwapendi nape ni mwipwa wangu lakini mdomo umemponza
Inatakiwa hata wasiludi tena Hawa jamaa wanae jifanya Ccm yakwako kuitia mifukoni Ikiwemo nape na January Wasilud tena KAKA DUDU BAYA UPO MAKINI SANAAAAAAAA MUNGU AKULINDE SANA KAKA YETU WA TAIFA TUTETEE PIA NAWEW FUNGUA CHANNEL YAKO ONLINE TV UTAKUWA UNAINGIZA PESA ITHINK KAMA NIMEIYONA SEHEM DUDUBATA TV SJUI IPO IVYO
Nape hana akili kbsa Yaan kila wakt hana haya anajicfia kua ni bngwa wa kuiba kura Tn anasaidiwa na tume ya uchaguzi? Hii tume ynyw pia ilitakiwa ijiuzulu
Apollo Kayungi wa Uhindini Dodoma M'kiti na Wajumbe Asalaam Aleykhum WWB natumaini mmeamka Salama,Watumishi wa Umma tuwahudumie Wananchi kwa kuzingatia "Mkataba kwa Mteja" Maendeleo ya Nchi yapo Mikononi Mwetu.
Mimi ningependa kujuwa kuhusu dudu je yeye ni mwanaharakati au ni msemaji au ni mwanasiasa Kwasababu naona kila jambo anajitokeza na kulisemea liwe la kisiasa aidha mziki ebu tuweke wazi tujuwe uko upande gani bwana dudu
njaa ipo kwa Kila mtu na ukitaka uwakilishe vyema njaa Yako kijue unachokiongea au unachofanya ili uzime njaa Yako kaka uko vizuri kwa sababu unajiandaa vyema
SASA MTU kama konki du Baya janky mjinga mpumbavu anapewa nafasi aonge siyasa au mambo yanayo husu jami jamani mnakosea wapi nyinyi wenye media mnakosea