Bongo ukihama chama eti njaa inakuuma, kuna mtu haumwi njaa hahahahaahahaaa, we have to respect others decision. Hata mnara wa babeli ulianguka sembuse chadema? 😂😂😂😂😂😂😂
Kati ya watu wasio stahili kusikilizwa wee unaongoza hufai hata kwa chumvi miaka yote uko chadema je hayo unayoyesa ulikuwa huyaoni leo ndo umefunguliwa macho baada ya kuhama? Haya ni sengwe tu na Tamaa ya madaraka
Yaani msigwa wewe ukajenge nchi wewe. Nchi ipi wewe utajenga? Ulisema ccm hawezi kuleta maendeleo. Afadhali ungestaafu siasa. Njaa Yako hiyo itakupeleka motoni. Kumbe kutoka uchungaji kwenda kwenye siasa ni mpango wa Mungu maana hiyo njaa ingekukuta kanisani ungechinja kondoo wa Mungu kanisani.
Chadema wanaitesa CCM.kwalipi Awa.wanao jiita wapinzani Hawa ni mtaji wa ccm.ccm hwaja sumbuliwa na chama chochote labda kafu Tena znz hapa bara hakuna chama.chochote kinacho weza kusumbua.ccm ccm inaumza kichwa zanzibari tu
Huo mradi wa sacoss, Msigwa, si umekufanya uwe Mbunge CDM kwa term 2? Hakika Mch unawakilisha jamii ya wasio na shukrani. Maana nawe umenufaika katika sacoss ya Nkurunzinza, na leo unamtupia mbeleko na kejeli
Shetani nae aliasi anguko lililomkuta ni laana kubwa huyu anajiita mch analaana kubwa sana bora angejiongeza akakaa kimya watoto wetu wana shida makodi na madeni utitili unahoja gani ww umebeba laaana kubwa una
Tatizo la chadema ni mbowe kuwa king'ang'anizi ktk ngazi ya mwenyekiti,,,haiwezekani KUKAA ktk nafasi kubwa kama Ile MIAKA yote huku anajinadi eti yeye ni muumini wa haki na demokrasia hapana ,hii sio sawa,Kwa mantiki hiyo Hata tundulisu naamini angekuwa ccm angekuwa mbali sana ktk kuisaidia NCHI ya Tanzania
Hata nyie pia njaa msigekuwa na njaa mgekaa manyumbani zenu bila kumuona msingwa ana njaa jiulize kila binadamu ni njaa inayomfanya atoke hata matajiri wakina bakheresa walali usiku kucha anahagaika na nn kama sio njaa sema baba mm huwa nasema kila siku ccm mpk kiama Tanzania
Lissu ndo sera ya ccm au ndo kusababisha maisha magumu mbona simuelewi hivi ccm tumemchukuwa kwa lengo lipi, hebu mjibu polepole alichosema ndicho? Anachafuka chama na mwenyekiti wetu, mtoeni haraka😮
Nilikuwa namheshimu sana msigwa ila kuanzia Leo namdharau...anashindwa kujua kwamba wenzake wanamchora...kwa sababu ameasahau kwamba anayekuambia ya wenzake Leo kesho atawaambia wenzake ya kwako...msigwa meza maneno....ishia hapo....ishia hapo msigwa...wenzako wanakuchora......hubiri Sera acha kuhubiri povu lako.....msigwa ishia hapo.....
Kwakweli Hawa wanasiasa ndo wanatufelisha na Tanzania inabaki kuwa km ilivyo miaka yote sababu ya siasa za ubinafsi,na kujijali wenyewe...Huyu jamaa namshangaa sana na simalizi ye mwenye amepewa mamilioni hapo ndo maana anabwawaja tuu..tumuombe mungu tu TZ ipate wanasiasa wa ukweli
Mchungaji...Msigwa acha unafiki. Yote haya unaengea kwa sababu ulishindwa Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Nadhani hata CCM usipopata ubunge utaondoka. Acha unafiki ww ni mtumishi wa Mungu.