Тёмный
No video :(

MSIGWA ATANGAZA VITA na MBOWE - LEMA - LISSU - "WAPINZANI WASIPATE KITI HATA KIMOJA - NINA SABABU".. 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 35 тыс.
50% 1

MSIGWA ATANGAZA VITA na MBOWE - LEMA - LISSU - "WAPINZANI WASIPATE KITI HATA KIMOJA - NINA SABABU"..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 538   
@globaltv_online
@globaltv_online Месяц назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@user-qn8pb9er6c
@user-qn8pb9er6c Месяц назад
Nyoka hajawahi kutema maji ni sumu tu. 😂
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y Месяц назад
tatizo chama ulichokimbilia umeruka mkojo umekanyanga mavi
@juliasmtundu442
@juliasmtundu442 Месяц назад
Yuda msalt yupo wapi WA yesu
@francisjohanes3027
@francisjohanes3027 Месяц назад
Kuna waati nikiona viongizi wa dini kama hawa napata mashaka hata kwa mahubiri yao Mungu nisaidie nibaki kwenye imani yangu,
@maryhando227
@maryhando227 Месяц назад
Msingwa jamani mwogope Mungu.
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s Месяц назад
Unaogopesha watu kuusu kuitwa mchungaji kwani umegeuka laana katika kanisa
@chezariboy
@chezariboy Месяц назад
Kweli, nilaana kuitwa mchungaji
@saidiathuman-og6bc
@saidiathuman-og6bc Месяц назад
Mungu akulaani wew povu kibao hamna kitu apo nakuaidi nyota yako umesha zima kitambo saana
@sautiyawanyonge2511
@sautiyawanyonge2511 Месяц назад
Msigwa anahitaji msaada sana hayuko sawa kiakili
@ephrahimkivuyo4275
@ephrahimkivuyo4275 Месяц назад
Mna uhakika kuwa uyu ni mchungaji au mchungwaji 😅
@user-ql3xm7ix4r
@user-ql3xm7ix4r Месяц назад
Umeingia kwenye kumi na 8 za lisu
@user-cf4cs9qp1k
@user-cf4cs9qp1k Месяц назад
Yeeee!! Hege ipa msaliti mkubwa!!
@anthonylusuva6039
@anthonylusuva6039 Месяц назад
Njaaa wanakuchangia leo😅😅😅😅
@FredrickKinyaha
@FredrickKinyaha Месяц назад
Yuda
@user-rj2kt5qg5y
@user-rj2kt5qg5y Месяц назад
Acha kupotosha
@mapendomeela7166
@mapendomeela7166 Месяц назад
Mungu utusaidie huyu ndie msigwa ninae mjua tena mchungaji yuda msaliti
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 Месяц назад
Njaa mbaya Sana
@danielkanso
@danielkanso Месяц назад
Baada ya kushindwa uwenyekiti kanda za juu kusini mhhh njaa nenda huko
@yesayaambayuu2240
@yesayaambayuu2240 Месяц назад
Mungu hawapende watu wa kauli mbili.
@atupegemwakahesya
@atupegemwakahesya Месяц назад
Huna tofauti na mtoto mdogo. Ni aibu Kwa kweli.
@pendobruno111
@pendobruno111 Месяц назад
Hata Mungu siku moja utamsaliti
@user-pf2qk8fz9o
@user-pf2qk8fz9o Месяц назад
Kweli siku ya mwisho tutachomwa vibaya saaana 😂😂
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Месяц назад
Huyu Msigwa anayekula matapishi yake atakuwa kuni aungue kwanza aliitukana sana CCM kuwa wana akili ndogo sasa yeye nadhani atakuwa na akili isiyoonekana kwa macho mpaka utumie darubini
@allenmoshi5125
@allenmoshi5125 Месяц назад
Umemuelewa huyu jamaa kweli chizi 😂😂😂😂
@josephk90
@josephk90 Месяц назад
Msigwa anaongea naona aibu mimi😢
@charlessolomon5928
@charlessolomon5928 Месяц назад
Unatia huruma wew siochungaji mchungaji gani anae kimbia kondoo pumbavu
@user-xd1jj8cg2c
@user-xd1jj8cg2c Месяц назад
Historia inaeleza kuwa ukoo huu ni hatari kwenye usaliti. Kabla wajerumani hawajajua Mkwawa watampataje, kuna mtu ambaye ni ukoo huu wa Msigwa alimsaliti Mkwawa na aliwaelekeza wapite njia ipi ili wampate Mkwawa. Huu ni ukoo hatari sana.
@davidchambulila6318
@davidchambulila6318 Месяц назад
Msigwa ni mtu wa njombe sio Iringa , wahehe hatuna ukoo unaoitwa msigwa
@GaradiGaradi-zq1wf
@GaradiGaradi-zq1wf Месяц назад
Amekosa kanda ya nyasa
@HinohiatHidoCo
@HinohiatHidoCo Месяц назад
​@@davidchambulila6318lakini ndio ana asili ya kusaliti hasa njaa inapopamba moto.
@BlessMwangosi-mz8dw
@BlessMwangosi-mz8dw Месяц назад
Njaambaya😢😢😢
@maryhando227
@maryhando227 Месяц назад
Huyo Mungu amsaidie amrudishie ufahamu.
@waweruwaweru3303
@waweruwaweru3303 Месяц назад
Mchungaji wa maslahi ya tumbo. Msaliti wa maendeleo ya wananchi. Tamaa mbaya Msigwa. Ogopa Mungu
@PaulLeo-em5dh
@PaulLeo-em5dh Месяц назад
Ata kama umekuja ccm watu awatakupenda uliwahi kumtukana magufuli mwehu namba moja wew
@user-pk9yr4go8p
@user-pk9yr4go8p Месяц назад
Njambayasana imezalilishamsigwa
@WazirJuma-gd5oo
@WazirJuma-gd5oo Месяц назад
Kitu nilicho kuja kukigundua hapa kwetu tz. Hakuna upizani niwaganga njaa tu mmh aise. Mwana siasa wa upinzani akikwambia usiku mwema toka njee uangalia niusiku au ni mchana,
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Месяц назад
Acha uzushi, upinzani ni suala la kimaumbil, likichochewa na ñguvu ya akili ya ufahamu, utambuzi, utashi na uamuzi wa kuchagua kupenda (kutenda) au (kukataa (kupinga). Upunzani ulikuwepo tangu Mungu alivyomuumba binadamu na kumpa uhuru utashi wa maamuzi. Upinzani si suala la CHAMA fulani bali ni hulka ya binadamu!
@jaanjaan111
@jaanjaan111 Месяц назад
Hata katika imani kenge huingia katika msafara
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 Месяц назад
Kumbuka maneno ya MAKONDA Aliwahi kusema hakuna upinzani Bali Kuna watoa taarifa 😂😂😂😂
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Месяц назад
Kwani we unamwamini msigwa tu au unayako Kumbuka yuda eskaliote nae alimuasi YESU kristo akaanza kunadi Pesa ..ndicho nnachokiona ni msigwa
@makobamasawemangu4122
@makobamasawemangu4122 Месяц назад
Hapana sio hivyo ni baazi tu ndg yangu sio wote na hata ccm ndo kubovu kabisa ndg yangu
@mathiasombella7516
@mathiasombella7516 Месяц назад
Ivi izo hela si mngechangia vtuo vya yatima!!
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847 Месяц назад
Njaa mbaya sana
@DenisonTheonest-yj3mk
@DenisonTheonest-yj3mk Месяц назад
Msigwa wewe Malaya unatabia za kimalaya
@DenisonTheonest-yj3mk
@DenisonTheonest-yj3mk Месяц назад
Huna tofauti na yuda
@goodluckswai7496
@goodluckswai7496 Месяц назад
Njaaa mbaya sana
@winniefridamutakyawa5943
@winniefridamutakyawa5943 Месяц назад
Wewe ongelea sera za chama cha ccm na si kubwabwaja maneno yasiyo na maana. Hatakisemaje Chadema haifi bora ukafunga domo bro.
@lwitikomusa1712
@lwitikomusa1712 Месяц назад
Arf ata awakushobokei niashara tu kuw ccm pia awakupendi IRA sasa wafanyeje 😊
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s Месяц назад
Ameanza kutunzwa kwa kumtukana mbowe kesho atatunzwa kwa kumtukana yesu uyu ni mtumwa wa pesa
@YeseMoses-l4v
@YeseMoses-l4v Месяц назад
Daah Nenge Mbaya sana
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay Месяц назад
Hatari sana..huyu jamaa si alikuwa yeye na chadema damu damu! Njaa mbaya sana!
@ev.augustinehizza6584
@ev.augustinehizza6584 Месяц назад
Mhe Msigwa unajidanganya huwezi kitu,chadema ni taasisi sio kikundi Cha wahuni kama chama ulichoingia
@user-io6yj9fs2h
@user-io6yj9fs2h Месяц назад
Wapumbafu ndo wanaweza kukuelewa wewe umepelekwa tumbo lako wewe njaa mbaya juzi tu ulikuwa siginda ulizungumza nini wewe wapuuzi kweli watakueelewa
@AyubuMwambola-j3k
@AyubuMwambola-j3k Месяц назад
Unatokwa na mapovu,hauna hata haya ulaaniwe msigwa wewe siyo mchungaji, mungu akulaani
@user-rt8lv3jj8l
@user-rt8lv3jj8l Месяц назад
msigwa mwogope Mungu mchungaji.kuwa na akiba ya maneno
@lwitikomusa1712
@lwitikomusa1712 Месяц назад
Ufai Mzee 😱
@khamiskulasha
@khamiskulasha Месяц назад
Maneno ya Msigwa. Niyakijinga sana anatafuta frusa na huruma kutoka kwa Mh Rais Samia. Ampe uku wa Wilaya nk Ninampá pole sana.
@muhammedkaku9972
@muhammedkaku9972 Месяц назад
Lbd kwa asiye jua msigwa pesa ya ccm ameanza kuila tangu kwa marehemu magufuri tena alitaka kuhama kipindi hicho na siyo msigwa tu kuna mtu maalufu anatoka chadema muda siyo mrefu
@dicksonexavery726
@dicksonexavery726 Месяц назад
Mtaje
@user-yl8ze2xy5z
@user-yl8ze2xy5z Месяц назад
Lema muda si mrefu anàhamia CCM🤣
@twahamaulid
@twahamaulid Месяц назад
CHAMA cha MAPINDUZI huwa kinashinda kwa kukubalika kwake na sio nyinyi WAPINZANI akina MSIGWA na wenzako mnaokuja CCM na kutaka kuyuaminisha kwamba mumekuja kwaajili ya kukiletea ushindi Chama cha MAPINDUZI. Nazichukiaga sana Kauli zenu nyinyi WAPINZANI.
@charlesmbise2344
@charlesmbise2344 Месяц назад
Huyu msigwa hana msimamo njaa nyingine kwanini anaisema chadema wakati alikuwa huko ,anatakiwa atoe hoja zake za kuijenga CCM siyo kukisema chama alicho toka nitaishangaa CCM kumpa huyu uongozi
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl Месяц назад
Pesa Ya Hongo Bwana.. Msigwa Usinye Kwenye Pango Kabla Mvua Haijaisha.
@hopefully7090
@hopefully7090 Месяц назад
Nchi yangu ongelea ugumu wa maisha ya watu chadema hawajawahi kuongoza nchi kwanini miaka ya sitini ya uhuru watoto wanasoma wamekaa chini,bima za afya watu hawazimudu
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 Месяц назад
Yuko anapewa pesa kajisahau kasema sisi wapinzani 😂😂
@lwitikomusa1712
@lwitikomusa1712 Месяц назад
Ungestaf siasa umuhubir kristo tu acha. Tamaaa
@Gahii-s5q
@Gahii-s5q Месяц назад
Mbona ulisubr mpaka ukashindwa uenyekt wa kanda?????
@muttae2
@muttae2 Месяц назад
Usimuamini mtu katika maisha yako. Suspect everything Trust No Body🎉
@barnabasmsagamasi611
@barnabasmsagamasi611 Месяц назад
Wewe msigwa sema ukweli, ungechaguliwa term hii tena kuwa mwenyekiti wa kanda ya nanda za juu ungekwenda kujiunga na CCM? Ni kwasababu ya uchu wa madaraka. Nani aliyewaua hao kama soyo wanachama wa hicho ulichojiunga.
@chezariboy
@chezariboy Месяц назад
Ukweli asingeenda fisiemu endapo angechaguliwa.. Muongo mkuu.
@JosephIbrahimu
@JosephIbrahimu Месяц назад
Usaliti mbaya we msigwa labda mwendawazim ndo atakuelewa
@muhsinikoki4060
@muhsinikoki4060 Месяц назад
alahu Akbar duniahi inamajabu mungu ivi haogopwikabisa namajitu mikubwa kamahi jaman dahh hunimsiba mkubwa wataifa na Jami kwaujimla
@FurahaJeremiah-kd5ht
@FurahaJeremiah-kd5ht Месяц назад
Sio kweli
@George-jz3jg
@George-jz3jg Месяц назад
Unapomsifia samia hapo unaharibu maana 90% ya watz hawamtaki ila kwakuwa unatafta uongozi endelea kumsifia
@Abs-tz8dl
@Abs-tz8dl Месяц назад
Msaliti wa watanzania
@zakeoleonard440
@zakeoleonard440 Месяц назад
Tanzania hakuna upinzani wote ni waganga njaa tu
@samuelmakara1475
@samuelmakara1475 Месяц назад
Wewe unaganga nini?
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Месяц назад
Maraya wewe muchungaji wa ccm
@emanuelurio-ok8yl
@emanuelurio-ok8yl Месяц назад
Sasa Msigwa unatakiwa kuiongoza CCM uwekezaji uende sambamba na kuimarika kwa sailing dhidi ya dola . Mishahara,maisha ireflect uwekezaj
@ojmang6505
@ojmang6505 Месяц назад
Umefeli vibaya msigwa hata aibu huoni una laana ya mungu ni heri ungekaa kimya kuliko kukejeli chama kilichokupa umaarufu muogope mungu sijutii kuhsma kwako
@godwinshoo5032
@godwinshoo5032 Месяц назад
Chama kilichompa umaarufu kikigeuka kuwa Mali mtu unaacha unafiki na kukisema ipasavyo ili kujenga vyama imara vya siasa kama CCM ili kuwepo ushindani na nchi ipate maendeleo! Hongera sana Kuna hili na endelea kuelimisha watu ili vyama viendeshwe kitaasisi!
@michaelmagwaza-bc6mk
@michaelmagwaza-bc6mk Месяц назад
Umejiunga kuhakikisha Mnaiba kama ulivyokua unalalamika kwamba Ccm niwezi.
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 Месяц назад
Jamaa atakufa vibaya huyu 😢 . Karma itamtafuna tuu Usaliri wa yuda ..
@meckyphilipo9177
@meckyphilipo9177 Месяц назад
Ww ni sawa na mwanamke........,
@HumphreyNyiti
@HumphreyNyiti Месяц назад
Jinga sana
@lwitikomusa1712
@lwitikomusa1712 Месяц назад
Izo changamoto urzozikuta ww kama mchungaji urifanyann , daaa njambaya sana🤣🤣
@AdamuIbrahimu-e9m
@AdamuIbrahimu-e9m Месяц назад
Karibu kwetu Chama kubwa CCM. Lakini nakupa pole sana. Umepitia njia ngumu kumeza.
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Месяц назад
Msigwa katumia haki yake ya kidemokrasi lakini wajinga wengine hawamuelewe nadhani shida ni kuja CCM ndo maana wengi wanamtukana lakini ukweli unabaki palepale Msigwa ni CCM kwa sasa hata mkimtukana Hongera sana Msigwa
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Месяц назад
Kwa kweli Msigwa ni mnafiki mkubwa sana. Kwani ulikuwa huko kama kiongozi. Wewe msigwa wewe ni mchungaji gani anayeshindwa kuwa kama kiongozi mchungaji. Fanya kama mchungaji.
@danielymbangwa3742
@danielymbangwa3742 Месяц назад
Nakuapriciate Mh MSIGWA wewe ni mtu na nusu nafarijika sana kwa weledi na umakini wako katika uwanja wa siasa hakika wewe ni kioo kwa vijana wa taifa hili katika kujifunza siasa
@jeremiahmagau8623
@jeremiahmagau8623 Месяц назад
Integrity unaizungumzia CCM hahaha.
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si Месяц назад
Bro hubiri sera
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Месяц назад
Mwache ajibu hoja na mikutano ya CHADEMA inamsema yeye haihubiri sera.
@brendangabriel1643
@brendangabriel1643 Месяц назад
Msigwa, hayo ya Mbowe ndiyo utatuzi wa matatizo ya w/nchi? Kero za wtz ni Mbowe?
@NtoraRollsheet
@NtoraRollsheet Месяц назад
Msigwa kuwa na Akiba ya maneno, Kumbuka siasa haina Adui wa kusumu wala Rafiki wa kudumu.😂😂😂
@barakaemmanuel8871
@barakaemmanuel8871 Месяц назад
Kwanza anapaswa kujua asingefika hapo bila Chadema
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j Месяц назад
Hakuna hakiba itakoacha msigwa msema kweli...
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Месяц назад
Muhimu aseme ukweli.
@MaxCharles-wj5dg
@MaxCharles-wj5dg Месяц назад
Ww sawa mungu yupo
@AyubuMwambola-j3k
@AyubuMwambola-j3k Месяц назад
Mungu amekulaani huji kufanikiwa
@user-js7lr8vr9i
@user-js7lr8vr9i Месяц назад
Duh kweli Kuna watu na wachungaji😂
@chezariboy
@chezariboy Месяц назад
Huyu jamaa huyu kesha kufa kiroho kabisaaa ni aibu moyoni mwake.
@hopefully7090
@hopefully7090 Месяц назад
Acha vyama vya siasa viwepo ccm imejisahau sana ulinyamaza bandari zimepewa watu miaka thelathini watanzania wameongezewa mzigo wa watu vitu kupandabei Yuda scarioti.
@reubenmhagama8164
@reubenmhagama8164 Месяц назад
Njaa tu uje uku kwetu utashiba! Ila ushauri Jenga hoja za chama uliko sio kukisema vibaya chama ulichotoka maana kilichokutoa ni cheo tu hakuna na Liko wazi na si lingine!
@florangido202
@florangido202 Месяц назад
Njaa inakusumbua. Umekosa Cheo, Kapewa Sugu Mdiyo Umehama Ovyo kabisa wewe 😂😂😂😂
@lelomushikimboka9938
@lelomushikimboka9938 Месяц назад
mbona kama analialia, nasikitika tu kwamba amekuwa kiongozi wa miaka 20 kumbe na yeye alipewa hakushinda kwa haki.. Kuna shida mahali watanzania kuhusu UADILIFU. Kuna contradictions nyingi sana katika hotuba yake. Tuseme hakutosheka miaka aliyopewa kuwa kiongozi sasa imemuuma kupewa Sugu na hasira za mwenye kukosa kusema hata ambayo hayakuwepo. Akitulia tutamsikiliza na kumwelewa ila kwa sasa ana hasira sana anachoongea kinakosa mantiki. DON'T JUDGE OTHERS WHILE YOU HAVE SOME PERSONAL ISSUES. Tujifunze kuchambua ukweli na kuutenganisha na ushabiki.
@ashasaidi1895
@ashasaidi1895 Месяц назад
Kwani wapi hyoo?
@gasparyephraimmwakatuma9542
@gasparyephraimmwakatuma9542 Месяц назад
Kwani bado ni Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa?
@boaztimoth6044
@boaztimoth6044 Месяц назад
Kumbe uongozi wa kanda ulihitaji kwa nguvu udumu milele weee
@deodatusmugalulamugalula
@deodatusmugalulamugalula Месяц назад
Msingwa kuondoka Chadema ni kama mtu kuchota ndoo ya maji ziwa victoria ukitarajia kina kupungua .Chadema ni jeshi kubwa waliondoka watu wengi maarufu kuliko Msingwa cha ajabu chadema ilizidi imalika shida hapo ni njaa ushauri wangu wampe hata Ukuu wa Wilaya atulie na aweze lipa madeni yake.
@somymoivanlukumay4198
@somymoivanlukumay4198 14 дней назад
Nilimsikia wakati moja akisema yeye ni tai kumbe ni kunguru mla misoga😂
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Месяц назад
Tuwe wakweli hapa Chadema imekula kwao jamaa atawasumbua sana 🤣🤣
@richardhosea8827
@richardhosea8827 Месяц назад
Kweli Mchngaji msomi
@mlyamalitv1789
@mlyamalitv1789 Месяц назад
Mimi huwa siamini watu wa namna hii
@fredyjonaa4053
@fredyjonaa4053 Месяц назад
Njaa mbaya sana aisee
@romanamassawe814
@romanamassawe814 Месяц назад
Kama naweza kufanya Kama msigwa anavyo fanya hata kufirwa Sinto ona aibu , Kama nikiwa na sura mbili Kama msigwa hata kufirwa ni sawa tu,
@user-xc5ie8cp7o
@user-xc5ie8cp7o Месяц назад
Chadema hamta fika nchi ya ahadi kwa sababu manuniko
@user-rs2oi1gg5p
@user-rs2oi1gg5p Месяц назад
Njaa imekukong'oli umejirusha chubwii Unafanya siasa ya biashara Ila kwa tumbo lako litakuhangaisha sana
@laupetpet7779
@laupetpet7779 Месяц назад
Acha ujinga kwahiyo CCM Kuna uhuru?? Kuna haki?? Au unasaka tonge usife
@eliastlaghasinaaly-wx4jo
@eliastlaghasinaaly-wx4jo Месяц назад
Umeshindwa uchaguzi wa kanda ndio unatapatapa Leo, wewe umefanya nini Iringa, hapo umepokea nini kama sio mnafiki.
@VitalisMmassi-oh4jb
@VitalisMmassi-oh4jb Месяц назад
Huyu ndio mchungaji ana ata aibu kweli hela imelaniwa.
@user-hf9kp7ys2h
@user-hf9kp7ys2h Месяц назад
Hilo ni jinga sana
Далее
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 7 млн