Ukiwa shabik wa yanga una hatari ya kuongezeka uzito kila kukicha alf balance diet haifanyi kazi kabisa kwa mashabik wa yanga yaani inagoma kabisa😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Nimegunduwa kwamba duke ni mchezaji ambae kuchukuwa mpira mguuni kwake ni ngum sana 🦵 sasa kama wazungu walikuwa hawachukuwi mali Kwa duke je hawa wazururaji wataweza kweli😂😂