Тёмный

AYO TV YATINGA KAMBINI KWA MAMA MZAZI WA BACCA, FAHAMU USIOYAJUA "YEYE PIA NI AFANDE" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 490 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

30 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 318   
@husseinrashidi5828
@husseinrashidi5828 7 месяцев назад
MashaAllah umuhimu wakuwa Na wazazi dua ya mzazi haina kiziwizi Allah mpe umri mrefu mama yangu
@mropaehambi1889
@mropaehambi1889 7 месяцев назад
Heshima kwako mama tunakupenda Mwenyezi mungu akupe maisha marefu
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 7 месяцев назад
Hongera mama Ibra umejitahidi Mungu akuhifadhi na family yako na akuongozee wanao.❤
@khamismjakafaki7714
@khamismjakafaki7714 7 месяцев назад
Hongera sana mama, Allah akuzidishie hekima na busara za kujali watoto wako na watoto wa wenzako na uzidi kuwaombea duwa.
@Iddy-lg1ly
@Iddy-lg1ly 7 месяцев назад
Mama bora sana huyu mungu ampe maisha marefu
@SuleAhmad-lt5qc
@SuleAhmad-lt5qc 7 месяцев назад
Umezungumza ukweli mama huyo kijana alijifundisha mpira na kufundishwa mpira pemba na Dula okocha timu yao ilikuwa inaitwa young boys mm nikiwa na timu yangu super Falcon
@user-ei6zg3us5s
@user-ei6zg3us5s 7 месяцев назад
Mashaallah Mashaallah..mama..nimefurahi sn..kuskia muda wote ukimtaja..muweza qa kila..inshaallah..ALLAH Azd kuwongoza kwa kumtegemea ALLAH
@user-ei6zg3us5s
@user-ei6zg3us5s 7 месяцев назад
15:01
@AbeidRamadhan
@AbeidRamadhan 7 месяцев назад
Allah warehemu wazazi wangu wape Nuru ktk makabur yao
@tawakalimankasim82
@tawakalimankasim82 7 месяцев назад
Amiin. Mungu awape rehma wazaz na walezi wote waliotangulia. Amiin
@AzizaHussein-wq8ql
@AzizaHussein-wq8ql 7 месяцев назад
Ammiin
@faju4real800
@faju4real800 7 месяцев назад
Amin
@dianarosekaugira5608
@dianarosekaugira5608 7 месяцев назад
mpaka rahaaaaaa baba mheda mama mjeda mtoto mjeda tena wote wananidhamu nzuri
@RamadhaniMwandambo-fx9sb
@RamadhaniMwandambo-fx9sb 7 месяцев назад
Mashaallah mama yuko vizuri, bado kijana kabisa
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 7 месяцев назад
Hongera sana mama ,tumefurahi sana kukuona mama yetu💥💥💥
@saidsingano7974
@saidsingano7974 3 месяца назад
Jamani huyu mama baka yuko safi kujieleza mashallah❤❤❤❤
@josephkulija293
@josephkulija293 7 месяцев назад
Hongera sana mama unaongea kwa nidhamu kubwa.
@jumarajab5316
@jumarajab5316 7 месяцев назад
cheo alichonacho kwa hapa tz ni mkuu wagereza la wilaya au mkuu wa polisi wa wilaya hongera sana mama
@dicksonwanyama1689
@dicksonwanyama1689 5 месяцев назад
Yeah au ocd kwa upande wa JW ni Mejor
@edwardmaguluko6541
@edwardmaguluko6541 7 месяцев назад
INGEKUWA MAMA YAKE FEISAL HAPA MANENO YANGEKUWA MEEENGI SANA KWELI ELIMU INASAIDIA
@GloriaMillinga
@GloriaMillinga 7 месяцев назад
Hahaha 😂
@laninjeje8290
@laninjeje8290 7 месяцев назад
Kama feisal anakula ugali sukari lazima mama apige kelele😂
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 7 месяцев назад
Hayo ni YAKO mjaa chuki
@user-ps7ej3ep4e
@user-ps7ej3ep4e 7 месяцев назад
Acha kusema mama za watu wewe
@laninjeje8290
@laninjeje8290 7 месяцев назад
@@MACHOYATAI-jk6fu chezea ugali sukari lazima mama atoe mlioo!!
@user-iv9dh6kv9g
@user-iv9dh6kv9g 7 месяцев назад
Jamaa alikichafua sana mama mzaa chema huna baya mama ana nidham sana❤❤❤ ukiw na mama kam huyu hutopata shida
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 7 месяцев назад
Dua ya mzazi haipingiki mashaallah umeongea km mzazi lkn nimejikuta nalia mimi alhamdulil,la m,mungu awaongoe watoto wetu
@user-ei6zg3us5s
@user-ei6zg3us5s 7 месяцев назад
Wallahi..me mwenyewe mwil unanisisimika kwa maneno mazur..mashaallah
@user-iv9dh6kv9g
@user-iv9dh6kv9g 7 месяцев назад
Daah yan hapa nimejifunza kitu hapa ukiw kweny familia inayopenda dini na kumtukuza mwenyez mungu lazima mamb yak yaende vizur
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 7 месяцев назад
HONGERA SANA MAMA BACCA MZAA CHEMA
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 7 месяцев назад
Duh !!!!! haya waislamu tusome sana dini yetu tuifahamu subhana Allah
@BAHATIKIBA-ul6wx
@BAHATIKIBA-ul6wx 7 месяцев назад
Kam Unakubal Wa Mama Wote Duniani Weka Likes Hapa 🎉🎉🎉🎉
@fredsonjaphet
@fredsonjaphet 2 месяца назад
Acha unafiki
@benancejohn1198
@benancejohn1198 7 месяцев назад
Kumbe katokea kwenye familia ya majeshi kabisa 😊😊😊🙌
@salaita2829
@salaita2829 7 месяцев назад
Siipendi kabisa yanga,ila kuna wachezaji wa yanga nawapenda mno,mmoja wapo ni huyu bacca,mama kama huyu anaonekana ni mama bora sana.
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 7 месяцев назад
Baca katoka familia yenye kipato,Dogo hana njaa.Safi sana beki letu la kazi.
@jumamdoka7867
@jumamdoka7867 7 месяцев назад
Alambi sukari😊
@saadashoje313
@saadashoje313 7 месяцев назад
Nimekupenda unavyojieleza vizuri n huna roho mbaya n watoto w wenzio unamkubali Feisal n hata kumpa nafasi kwamba pengine hii siku ingekuwa Feisal Day, hakika huo n moyo w kuridhika
@MatokeoMadua
@MatokeoMadua 7 месяцев назад
😊😊😊😊 18:42
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 7 месяцев назад
Mwanao kashakuwa staaa
@ronaldowilson8165
@ronaldowilson8165 7 месяцев назад
Nani kaona tofauti ya mama Feisal toto na mama Bacca.
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 7 месяцев назад
Ww mbona hujasema mamaako nae ana cheo gan
@minnahloveiove1074
@minnahloveiove1074 7 месяцев назад
​@@omarylukindo5306kwan kasema cheo jmn kasema utofauti yan ana maanisha ktk mazungumzo khe
@ronaldowilson8165
@ronaldowilson8165 7 месяцев назад
@@omarylukindo5306 achana na mama angu.Usimfananishe na mama ako maraya kahaba.Au nikutumie picha za mama ako akiwa anagalagazwa
@ashahally7456
@ashahally7456 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama fei alilishwa tango poriii
@sumadashsumadash-yx8eb
@sumadashsumadash-yx8eb 7 месяцев назад
Mama Feisal sio mbaya ila alilishwa Sumu na matango pori na machawa wale wakujiita Mawakala
@jamesmartin7026
@jamesmartin7026 7 месяцев назад
Ahaa! Kumbe ndio maana kwenye dk 90 anawaweka washambuliaji korokoroni!! 😂😅
@elizabethmgassa7243
@elizabethmgassa7243 7 месяцев назад
Mungu akutunze mama na uzao wako..ukale matunda ya uvumilivu wako.
@paulnyingo7316
@paulnyingo7316 7 месяцев назад
Huyu mama ni kiongozi na mama bora ,amejieleza vizuri sana.big up mama mzee chema,Nimecheka anasema baba Ibra mkali yupo kijeshi zaidi😃😀😀
@Nguvumoja255
@Nguvumoja255 7 месяцев назад
nimemwona na kumsikiliza mama ananipa moyo wa kupambana moyo wa kupambana ili mama aje anisifie na mimi
@chinchon2126
@chinchon2126 7 месяцев назад
Mama usiache kuswali Bacca day furaha inoge murudi Zanzibar nafuraha
@athumanimgumia7209
@athumanimgumia7209 6 месяцев назад
Mungu amzidishie uwezo mkubwa wa uchezaji, Mama samia hongera kwa kuendeleza nchi na michezo sasa watanzania tunacheka tunafurahi saaaaana
@user-pl3du3jf8s
@user-pl3du3jf8s 7 месяцев назад
Kumbe baca ni Young boy was born 1999
@paulnyingo7316
@paulnyingo7316 7 месяцев назад
Yanga damu
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 7 месяцев назад
🤣🤣🤣 hata me nashangaa
@khairatsaleh2231
@khairatsaleh2231 7 месяцев назад
Weeeee Mama wewe haaaaaaaa😂
@KhamisAbdallah-lm9tn
@KhamisAbdallah-lm9tn 7 месяцев назад
Mashallah,mumezaa chema kabisa,Allah amuongezee mafanikiyo.
@KaroliMagana
@KaroliMagana 7 месяцев назад
12/11/1999 siyo jumatano ni ijumaa but much respect mom
@saidmbarouk3553
@saidmbarouk3553 7 месяцев назад
I IOVE MY MOTHER 💚🖤💕
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 7 месяцев назад
Mashaallah mabrook 🥰
@julianashani9408
@julianashani9408 7 месяцев назад
Masha-Allah
@user-zw9go7xw8l
@user-zw9go7xw8l 7 месяцев назад
Baraka za wazazi zinaonekana nimempenda sanaaa mama hapindishiiii
@bennamush4616
@bennamush4616 7 месяцев назад
Kweli bacca kalelewa kijeshi jeshi
@MosesMamaya
@MosesMamaya 7 месяцев назад
Hongera sana mama huna roho mbaya kweli in'gekuwa feisal day
@alikhamisog3422
@alikhamisog3422 7 месяцев назад
Milad ayo tunasubir muendelezo wa kaka Dullah kocha wa mwanzo wa Ibrahim bacca yoko please 🙏 pemba sio mbali tunakuamin
@umikifupa-mi3re
@umikifupa-mi3re 7 месяцев назад
Good family
@fainaabdillah9966
@fainaabdillah9966 7 месяцев назад
Mi nimempenda mama
@user-jh8qy2ue6o
@user-jh8qy2ue6o 7 месяцев назад
Ukiona beki kapita Taifa Jang'ombe tena beki simchezo Vita Costa Nyumba Nampoka pia kapita
@idarous09
@idarous09 7 месяцев назад
zanzibar mpira tokea asubuh watoto wetu wanapenda mpira huku
@hpenyika7686
@hpenyika7686 7 месяцев назад
Hongera sana mama Bacca
@nasrybinahmad4245
@nasrybinahmad4245 6 месяцев назад
Mama anahekima na moyo wake mkunjufu sana anamkubali sana fei na alishukuru jambo kuisha ila anaipenda yanga ba wachezaji wake pendwa ni Job na Mwamnyeto japo mwanae ndio nafasi anayocheza pia aseee mama hana kinyongo big up mama
@AngleMlembe
@AngleMlembe 7 месяцев назад
Yanga oyee mama anajua kuupiga mwingi❤❤
@user-fl4jy5zj3v
@user-fl4jy5zj3v 7 месяцев назад
Mashallah nimekupenda sana mama una busara na hofu ya mungu❤❤❤
@mropaehambi1889
@mropaehambi1889 7 месяцев назад
Umeelezea mpka nimelia mama anaongea uhalisia kabisa imenipa hisia sana
@boanerguebayisenge266
@boanerguebayisenge266 7 месяцев назад
Allah Amjaalie Maisha Mema kijana mwenzangu 🙏🏽🙏🏽
@adamuandrea6658
@adamuandrea6658 7 месяцев назад
Mama Bacca siyo sacap mama, wewe ni super mama
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 7 месяцев назад
Na yeye amesema super hajasema sacp
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 7 месяцев назад
Superintendent
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 7 месяцев назад
@@mwasoprince3459 Kifupi chake super
@ausonjustinian4673
@ausonjustinian4673 7 месяцев назад
We mama bado mdogo jmn hacha kumbania mzee. Zaeni bwana mkwanja mnao wa kuwalea
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 7 месяцев назад
Respect bacca zanbar talent
@hamzalipuye7198
@hamzalipuye7198 7 месяцев назад
Maisha bwana ni kigeugeu 🙆🙆 yaani furugu zote za fei kumbe M/MUNGU alikuwa anamuweka kando ili amuibue Ibrahim, fanya ujinga uondoka wenzio tunapataka 😂😂😂😂😂😂 Asante MUNGU .
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 7 месяцев назад
Mamake mzuri ma sha Allah
@faridyshaame4705
@faridyshaame4705 7 месяцев назад
Ma sha Allah
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 7 месяцев назад
Tarehe 12 Novemba 1999 ilikuwa Ijumaa, kalenda
@masahanishija240
@masahanishija240 7 месяцев назад
Asante mama mpende mwanawe.
@user-we4xf9wt5f
@user-we4xf9wt5f 7 месяцев назад
Huyumama anabusarakweli nikweli huyu niaskari
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 7 месяцев назад
Mama bacca alikuambia anakula ugali na sukari kama fei au alikuambiaje? Love you mama bacca
@bonabonala5559
@bonabonala5559 7 месяцев назад
wewe mama bora kabisa nawara si mama wakambo kama mh samia anae jari znz kuriko tanganyika kwa mikataba yake mibovu mungu akurinde mama irahim bakakar amina
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 7 месяцев назад
Unachanganya mada
@abhaaly
@abhaaly 7 месяцев назад
Hujielewiii😂
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 7 месяцев назад
​@@user-lt1bi5nr1xkadata tayari hawa watu wa yule mzee wapewe ushauri nasaha sana wanaweza kujinyonga..😅😅😅
@user-lr7hm1xk6j
@user-lr7hm1xk6j 7 месяцев назад
Hongera sana mama kwa malezi Bora ya Ibrahim bacca
@BiasharaZetuPoint
@BiasharaZetuPoint 2 месяца назад
Wow mama mzaa chema namkubali sana Bacca bonge la beki yani🥰🥰🥰💛💚💛💚
@utaani1
@utaani1 5 месяцев назад
Miaka ya 1990 mpaka 2001 Pemba mpira ulikuwa kama ibada, kulikuwa na wachezaji wakali mno
@aminakhamis2276
@aminakhamis2276 7 месяцев назад
Tumepata fuzo kuwa kila jambo unalotaka mkimbilie الله ndio suluhisho pekee
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 7 месяцев назад
Maafande wa magereza hawanaga mambo mengi.
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 7 месяцев назад
Bacca wa 1999??? Du huu mpira unawazeesha😊
@user-pw8pc3by8p
@user-pw8pc3by8p 7 месяцев назад
Nimeipenda hii interview ni ya ukwel kabisa ata baba yake mzazi aliongea kama alivyoongea mama na hasa historia ya jina la bacca
@issamlibwa9398
@issamlibwa9398 7 месяцев назад
Kumbe zile takoling huwa sio kawaid ni za kijeshi hakika nimeamin🔥🔥🔥🔥🔥
@HussenMashaka-os9ok
@HussenMashaka-os9ok 3 месяца назад
Kwa sale wazazi wetu waliotangulia mbele za haki mungu awaweke mahala pema,
@user-yu9hn2cq3y
@user-yu9hn2cq3y 7 месяцев назад
Mashaallah mama 🎉🎉
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 7 месяцев назад
Jamani kwani uyu bacca amefanyaje mbona kila Kona yeye ? 😢 mwenye kujua anijuze plsss
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 7 месяцев назад
Interview nxuri sana
@gooleserviceyoutubescandar3450
@gooleserviceyoutubescandar3450 7 месяцев назад
Masha Allah Alhamdulillah.
@user-fg9kh6mz6k
@user-fg9kh6mz6k 7 месяцев назад
Allah akujalie umri mrefu akuepushie husda fitna uwe namoyo huohuo pia dini ukiijua huwi na kinyongo wala roho maya hongera mama
@kanaanrajab1102
@kanaanrajab1102 6 месяцев назад
Dah longtime since Mapembean,Mpira pesa,Taifa jang'ombe, Malindi,Kmkm,Yanga. Wayback we know Bacca❤.
@aishamdinku9129
@aishamdinku9129 7 месяцев назад
Masha'Allah
@mbagaragyunda2538
@mbagaragyunda2538 7 месяцев назад
Asante mma nimekuelewa
@adsonchisongela3768
@adsonchisongela3768 7 месяцев назад
🔥🔥🔥🔥
@limymasele21
@limymasele21 7 месяцев назад
Jamaa ana Maokoto kila mahali
@gaspermwasalemba3537
@gaspermwasalemba3537 7 месяцев назад
Huyu mama anamfatilia sana mtoto ake hadi raha
@rachelmbalo9735
@rachelmbalo9735 7 месяцев назад
Thank you mom kwa maneno mazuli hakika sitakata tamaa
@BarackaSaim-ev3gk
@BarackaSaim-ev3gk 6 месяцев назад
Hongera mama ❤
@user-ow5nb9bd8m
@user-ow5nb9bd8m 7 месяцев назад
Mashallh
@isakajunior7139
@isakajunior7139 7 месяцев назад
Hata kwa Fei mlifanya ivyo ivyo hata akikojoa mlikuwa mnapost, mmejaa umbea tu
@fatma4628
@fatma4628 7 месяцев назад
😂😂😂ili litakua kolo😂
@josephlorri431
@josephlorri431 7 месяцев назад
​@@fatma4628kolo kunya utoe hasira..maalabuuk
@mwajuma802
@mwajuma802 7 месяцев назад
​@@fatma4628😂😂😂😂
@musamshema7838
@musamshema7838 7 месяцев назад
Inakuumanini dogo...hatanyinyi mkiweza sapotini wachezajiwenu gasiawewe
@ibrahimkamba7654
@ibrahimkamba7654 7 месяцев назад
😂
@Official83640
@Official83640 7 месяцев назад
Mama wa mla sukari siku hizi kimya masikini dah katrend kidogo
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 7 месяцев назад
Mpira ni mchezo wa muda mfupi kwa wachezaji ndio maana wachezaji wenye akili kama Feisal kwanza wanaangalia maslahi yao na family zao. Kutrend sio lengo dada elewa hilo. Hivi wewe unafikir wachezaji kama cr7, Neymar na Messi hakuna timu zilizokuwa zikiwataka Ulaya lakini mbona walikimbilia katika timu za Asia na Marekani zilizokuwa hazina majina? Walienda katika hizo kwasababu ya maslahi zaidi ya fedha.
@Official83640
@Official83640 7 месяцев назад
@@mohdkhatib223 Tafuta mwandishi akuendelezee story utapata hela kuliko kunipa mie story ninaejifurahisha hapa
@twahaanyoni9120
@twahaanyoni9120 7 месяцев назад
Roho mbaya uchawi sasa km pesa ya kula ipo umuone uku kufanya Nn vijana siku hizi tumekuwa wachawi sana mmoja wapo huyu hapa
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 7 месяцев назад
Maashallah mama
@NahozaOmary
@NahozaOmary 2 месяца назад
Asante sana mam mzaa chema
@zuberiramadhani1347
@zuberiramadhani1347 7 месяцев назад
Wazazi tuombeeni sana Wana wenu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 7 месяцев назад
Hongera sana mama Ila inaonekana bado Mdogo
@mayrose9772
@mayrose9772 7 месяцев назад
Atakua miaka ya 79 kuja chini uyu mma
@masoudmasasi1801
@masoudmasasi1801 7 месяцев назад
yes hata mimi nimeona hili,nikajua macho yangu...inawezekana wa 80 kushuka chini
@jamesmbata8542
@jamesmbata8542 7 месяцев назад
kabisa huyu wa 79 au 80 bila shaka zenj wanaoana wakiwa wadogo sana
@user-zv8xz9ds1m
@user-zv8xz9ds1m 6 месяцев назад
Ongera mama umeupiga mwingi❤❤❤
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 7 месяцев назад
Kumbe jamaa mdogo sana ni huo mwili mkubwa tu na Akili ming
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 7 месяцев назад
❤❤❤mashallah
@fidelismuna9484
@fidelismuna9484 7 месяцев назад
Madunduka wanaumia😂😂😂 Basi msifieni ukuta wa Tope.
@philipomasse6356
@philipomasse6356 7 месяцев назад
Tumeumia wapi ss mbona unatusingizia we utopwolo😅
@adrianomaziku6554
@adrianomaziku6554 7 месяцев назад
Kitasaa 🎉 bacca
@peterkiondo3420
@peterkiondo3420 7 месяцев назад
👏👏👏👏👏
@marthageorge5043
@marthageorge5043 7 месяцев назад
🥰🥰🥰
@aminakhamis2276
@aminakhamis2276 7 месяцев назад
مشالله تبارك
Далее
Суши из арбуза?!
00:34
Просмотров 306 тыс.
HAKUNA NDOA
11:49
Просмотров 262 тыс.