Umezungumza ukweli mama huyo kijana alijifundisha mpira na kufundishwa mpira pemba na Dula okocha timu yao ilikuwa inaitwa young boys mm nikiwa na timu yangu super Falcon
Nimekupenda unavyojieleza vizuri n huna roho mbaya n watoto w wenzio unamkubali Feisal n hata kumpa nafasi kwamba pengine hii siku ingekuwa Feisal Day, hakika huo n moyo w kuridhika
Mama anahekima na moyo wake mkunjufu sana anamkubali sana fei na alishukuru jambo kuisha ila anaipenda yanga ba wachezaji wake pendwa ni Job na Mwamnyeto japo mwanae ndio nafasi anayocheza pia aseee mama hana kinyongo big up mama
Maisha bwana ni kigeugeu 🙆🙆 yaani furugu zote za fei kumbe M/MUNGU alikuwa anamuweka kando ili amuibue Ibrahim, fanya ujinga uondoka wenzio tunapataka 😂😂😂😂😂😂 Asante MUNGU .
wewe mama bora kabisa nawara si mama wakambo kama mh samia anae jari znz kuriko tanganyika kwa mikataba yake mibovu mungu akurinde mama irahim bakakar amina
Mpira ni mchezo wa muda mfupi kwa wachezaji ndio maana wachezaji wenye akili kama Feisal kwanza wanaangalia maslahi yao na family zao. Kutrend sio lengo dada elewa hilo. Hivi wewe unafikir wachezaji kama cr7, Neymar na Messi hakuna timu zilizokuwa zikiwataka Ulaya lakini mbona walikimbilia katika timu za Asia na Marekani zilizokuwa hazina majina? Walienda katika hizo kwasababu ya maslahi zaidi ya fedha.