Dulla unajidharirisha tu talaka ulitoa mwenyewe sasa nn unahangaika? Ulikuwa unatishia kujamba wakati unauharisho😂😂😂😂acha yakukute mwenye kiranga hapewi poule😂😂😂😂 manara umeweza kuwavuruga watuuuuu😂😂😂na badoooooo
Dula nakushauri achana na haya mambo mwana piga kazi wengi wamewachwa wameaacha hakuna jipya.we unadhani hii itakusaidia?achana na himambo itakushidhia hadhi Yako mwisho wa siku mwenyehela anahela.huwezi kua na punda ukashindane na mboo za farasi nakushauri tu mwanangu acha.mungu atakupa atakae kupenda Kwa dhati Zai haukuandikiwa na mungu kua nae mwache aeende.kupenda Gani huko dula!!!!!!!?
😂😂😂😂 kazi ipo amekuja kutafta mchumba au kumkandia zai niujinga tu ukiachwa achika bana mbona kitu chakawaida kwamba alimpenda sana kiasi hawez kukausha huo ni ushamba
Aaaa jamaa fai hata kidogo huwezi kutoa siri za nyumbani lakini huyo makabula sialiishia miaka mingi yote hayo hakuyasema hapo mwanzo bado anawivu mtoto huyo kesha chukuliwa nyie wanawake wengi mshika hafai nahizo siri zenu atakuja kuwatoleeni tena
Tume enjoy saaaana janaaaaaa❤ Dullah ka mwanga ma ukweli maaisha ya watu wengi siku hizi wanafanya shirk... ALLAAH awape nafasi yakutubu kabla ya mautiii👏👏👏👏
Tatizo hao wadada wanapotezea watu muda wao Hawajui wanachokihitaj Mtu akiwa na majibu ya hovyohovyo atoke awapishe wengine maana hata tunaowatazama wanatupotezea muda wetu
Dulla mshamba wa mapenzi wewe mon setrozon alisema kuachana sio vita epuka ubovu wa fikla ama uzuri wa sifa acha kumfatia mwanamke ambae amekukataa bro unajizalilisha man unajuwa maana ya kuwa na Rasta inamaana ya aman oyawee badilika leta mziki mzuri watu tuselebret Kuna wanawake wazuri zaid ya hata huyo anaekufanya uchanganyikiwe 🤫