Jamaa ana inspire sana huyu.. Mungu akutangulia katika Kila hatua utakayo ipiga Mjukuu you're the real definition of inspiration.. Keep that positive energy alive... Especially Kwa upande Rap game ya bongo umeifanyia makubwa sana bro thank you so much bro 🙏🙏
Daaah nakumbuka 2008 nilikua naskiliza redio kwa jirani kila akirudi anafunguli radio namskia dula paka planet bongo basi nilijitahidi paka nikanunu Redio na TV na nikikua nalipwa mahali elfu themanini tu kwa mwezi lakin sasa tumesogea daaah legend Dula
Dulla yani apo na dj mafuvu daaah nilikua sikosagi show kati ya ma dj hatariiiiiii tz fuvu SALUTE ZOTEEEEE saa ya ngumu nyeusi mafuv mafuvu baby JAMBAZI SHAROBAROOOOO maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hata mimi ningeondoka EAFM na radio 1 maana sio kwa chenga zao za masafa kila siku lazima uweke vizuri antenna au earphones ili uisikie 😂😂😂 Kaka dulla nenda clouds au wasafi radio zao hazina chenga za sauti.