Тёмный

Masoud Kipanya: Kwanini sitaogopa kumchora Rais (NYUNDO YA BARUAN MUHUZA - 17/01/2019) 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 248 тыс.
50% 1

Mchoraji wa katuni maarufu ya ‘Kipanya’, ambaye pia ni mtangazaji wa radio na TV, Masoud Kipanya amefunguka kuwa hajawahi kuogopa kumchora kiongozi mkuu wa nchi (Rais) kwa kuwa havunji sheria yoyote.
Masoud ameeleza hayo katika kipindi hiki cha Nyundo ya Baruan Muhuza kilichoruka Alhamisi ya tarehe 17/01/2019 baada ya kuulizwa swali hilo na mtangazaji, Baruan Muhuza.
Mbali na hilo, Masoud amezungumza mengi ikiwemo historia yake katika uchoraji na utangazaji, jinsi alivyoajiriwa kisha kufukuzwa kazi katika Kituo cha Radio cha Clouds FM na jinsi alivyorejea kazini baada ya kukaa nje ya kituo hicho kwa muda wa miaka nane, ilipofia biashara yake ya mavazi ya KP Wear n.k.
Mengine aliyoyaweka wazi ni kiini cha ugomvi wake na aliyekuwa mtangazaji mwenzake waliyekuwa naye Clouds FM, Gerald Hando, story ya yeye kupotea iliyomtokea mwanzoni mwa mwaka jana 2018 n.k.
Pia amemtaja mtu aliyempa jina la Kipanya.
Kipindi cha #NyundoYaBaruanMuhuza ni kila Alhamisi saa 1:00 usiku #AzamSports2

Спорт

Опубликовано:

 

16 янв 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 205   
@mohamedsasma879
@mohamedsasma879 5 лет назад
Aisee masoud Mimi ni Mkubwa k wako ila baadae ya kumuona Malcolm na wewe ulivyo mbele ya jamii nimegundua wewe ni strong kuliko mimi! Big up Sana masoud mungu uendelee Ku!kupa ujasiri!zaidi!
@CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI
@CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI 5 лет назад
Watu wanaopenda kukaa peke yao endapo watatumia vizuri raslimali muda na mawazo yao, ndio wanaofanya mambo makubwa sana… wakati mwingine wanaweza kukuonesha ukubwa wa jambo lililopo kwenye kitu kidogo. Hongera Sana Kiongozi Masoud
@umikram6755
@umikram6755 5 лет назад
HII NDIO ITERVEW YAWATU WENYE KUJIELEWA HASANTE MTNGAJ BARUHAN NA MASOUD.SAFI SANA ALLAH AWAHIFADH
@zainabbola6853
@zainabbola6853 5 лет назад
Mungu akuzidishie IMANI my bro Malcom ni zaidi faraja ktk familia
@philemongomwa3728
@philemongomwa3728 5 лет назад
Nikikutana najambo lolote linalokuhusu masood inanichukua mudamwingi kulifuatilia maana ktk ww najifunza vitu vingi ktk maisha big up brow.
@ramahzedon6688
@ramahzedon6688 5 лет назад
Moja kati ya interview nzuri za mwaka 2019 masoud yuko peace sana na huwa ni mkweli hamumunyi Maneno
@idrisamakwilo9917
@idrisamakwilo9917 5 лет назад
Good
@husseinkilawa3224
@husseinkilawa3224 5 лет назад
Bonge moja la interview. Namkubali sana huyo jamaa.
@abelkabili8474
@abelkabili8474 5 лет назад
Anaehoji ni Gwiji na anaehojiwa ni Gwiji kwahiyo interview imekuwa Machachari sana...
@sashawambura
@sashawambura 5 лет назад
I normally skip some interviews but for this one have honestly failed..eating my mb's without regretting...Bravo both of you for the very composed interview..
@scripturetz1056
@scripturetz1056 5 лет назад
Nimependa sana hi interview Mungu awabariki nyote waandaaj wakipind
@issamohamed4165
@issamohamed4165 5 лет назад
Km kuna kipindi nilikipenda basi maisha plus season one kk ulitisha sana nakupenda Sana kk kp natamani nikuone naomba maisha plus irudi tena mkuu
@frankramadhan3312
@frankramadhan3312 5 лет назад
Issa Mohamed
@aggyparty2990
@aggyparty2990 5 лет назад
Masoud ww ni zaidi ya shujaa 🙏 mungu awabariki sana plz makampuni mpeni ubalozi kwenye mkampuni yenu mbalimbali atengeneze pesa anajumu zito sana huyu mtu
@doctormkawa3313
@doctormkawa3313 3 года назад
Maa shaa Allah, Allah akufungulie zaid na zaid......u always think out of the box. Big up brother Masoud.
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 5 лет назад
Yeah, this is skills interview.
@domicianpontian1409
@domicianpontian1409 5 лет назад
BM huwa nafatilia hosting system yako na kuanzia upo RFA na kipindi chako cha uliza ujibiwe, na vingine kwa kwel nakukubal huwa najifunza baadhi ya vitu kwako I wish ntaonekana cku moja kwenye tathnia ya utangazaji. God is Great
@amananassor524
@amananassor524 5 лет назад
sheikh wangu mm nipo jeddah saudi arabia lakini mtanzania mwakani na Kuja tz nita Kuja nikuone uko kipindi chako na fatilia sana na kipenda tupo pamoja
@CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI
@CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI 5 лет назад
Kazi nzuri sana Ndg. Baruan A. Mahuza.
@jamaltz1780
@jamaltz1780 5 лет назад
Yeeeeh Baba ile ndege ya juzi umeua bro .Masoud yupo vizuri sana.
@mohamedsasma879
@mohamedsasma879 5 лет назад
Maaoud kipanya Baba malcolm.bigup
@neymwambep7118
@neymwambep7118 5 лет назад
Masoud nimekukubali please njoo tufanye maisha plus Oman
@omarinjiwa3945
@omarinjiwa3945 5 лет назад
masoud upo vzr sana mm in mfuatiliaji sana was kz zako angalizo langu usifanye vt kwa matakwa ya wana siasa kwa kuwa siasa c fani kwa hiyo wanaweza kufanya baadhi ya watu wachukie kz zako
@ezeshama255
@ezeshama255 5 лет назад
One among the best interviews ever... hapo kweli mmekutana wazoefu mhojiwa na mhoji
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 лет назад
From UAE Good interview
@rossemtui9411
@rossemtui9411 5 лет назад
Hongera sana kaka masud kipanya unajitahidi sana
@ramakabelele2530
@ramakabelele2530 5 лет назад
Hongera xana baruan Bonge moja la interview
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 5 лет назад
Duuhhh...... Tuliokuwa tunadhani Mussa ni mdogo wake Masoud KP, gonga likes hapaa.......
@tadeimwaipaja1191
@tadeimwaipaja1191 5 лет назад
Baruan anaonekana mzee 7bu anapenda kuchovya sana totoz, kifupi kuchovyachovya kibaolojia kunazeesha sana
@lusianomichel7946
@lusianomichel7946 5 лет назад
Unapenda kuwa peke yako kipanya kwanini unapenda?
@zamoyonikibella4484
@zamoyonikibella4484 5 лет назад
Ila ukimuangalia kwa makini wamefanana sana Masoud na Mussa wa Efm ni kama mtu na mdogowe hawa!!
@msandigeorge8355
@msandigeorge8355 5 лет назад
Brilliant!!
@omaryyusuph3251
@omaryyusuph3251 5 лет назад
The legends them selves
@hamisisamuli6055
@hamisisamuli6055 5 лет назад
Masoud upo vizuri kwenye uchoraji na utangazaji hongera sana
@omarymagwaza9753
@omarymagwaza9753 5 лет назад
Hongera sana masud kipanya kwa kutimiza miaka therathini kwenye kazi yako ya uchoraji######
@denisbahati6110
@denisbahati6110 5 лет назад
Sio unaamini hivyo @masoud, lakini ukweli ni kwamba tabia yetu tuozaliwa mwezi june. Ni Watu wenye misimamo mizito,logic sana, na wabishi kwa maana ya kutetea na kulisimamia jambo katika usahihi wake. Sifa kuu zaidi ni Watu wavumbuzi sana wa masuala mbalimbali na wabunifu pia, lakini mapungufu yetu ni kuacha constant vitu vidogovidogo muhimu sana na kudeal na vitu vikubwa sana. Bahati nzuri tunafanikiwa sana kwenye vitu vikubwa kuliko vidogovidogo
@Santos-tg4cg
@Santos-tg4cg 5 лет назад
Good nakipenda hiki kipind piga kazi baruani Allah akuongoze
@murashanifidelisi5410
@murashanifidelisi5410 5 лет назад
vizuri sana M. kipanya
@kusekwasita1576
@kusekwasita1576 5 лет назад
Masoud yupo smart sana kiukweli nimeenjoy interview
@johnjackson4363
@johnjackson4363 5 лет назад
Masoud kipanya ni kioo bora kabisa cha jamii. Nime enjoy sana kuona interview hii
@fabianmgurus1959
@fabianmgurus1959 5 лет назад
john jackson ni kweli kbs
@manenoalex7453
@manenoalex7453 5 лет назад
masody tunakipenda sana kipindi chako cha maisha plass
@josephgaitan989
@josephgaitan989 5 лет назад
Nafurahi Sana kuwaona mpo pamoja hivo
@magezilucas1115
@magezilucas1115 5 лет назад
Huyo brother kwangu his so special kutokaka na mzunguko wa maisha kwa sasa ni ngumu kunifahamu. Namkumbuka sana kwa kipindi cha Wak up show, wakiwa Dada mmoja aliyeitwa Fina Mango. Kiukweli nilikuwa shabiki namba 1 wa kipindi hicho. Mungu akutie nguvu baba la baba.
@suzanjackson5103
@suzanjackson5103 5 лет назад
Dah safi sana nampenda sana masud
@ShabaniMasaza
@ShabaniMasaza 5 лет назад
BARUAN MUHUZA .. zimekuwa dakika zaid ya 45 nzuri mno.. umefanya nifahamu mambo mengi ambayo nilihitaji kuvisikia toka kwa Masoud Kipanya . Asante kwa kuwasilisha maswali
@aboudmsonde886
@aboudmsonde886 4 года назад
Baba malcom Allah awape subra inshaallah
@fatumamjenga3114
@fatumamjenga3114 5 лет назад
Namkubali sana kipanya
@hajikipanga485
@hajikipanga485 5 лет назад
Masoud Upo vizuri sana,
@kinotasontravel3883
@kinotasontravel3883 5 лет назад
Ali Masoud hakika nakukubali
@aishamgaya9676
@aishamgaya9676 5 лет назад
big up brother
@saniasezzy9085
@saniasezzy9085 5 лет назад
Nimekuwa nikimfatilia sana Masoud ila kunavitu kama vitatu ivi nilikuwa sivijui kutoka kwake ila leo ndo nimevijua, nimefurahi sana
@gwamakamwangajiro8925
@gwamakamwangajiro8925 5 лет назад
Masoud 🙌mzee wa kipanya
@mandagokigge4742
@mandagokigge4742 5 лет назад
Kazi nzuri kaka yangu Masoud
@jumaomar8274
@jumaomar8274 5 лет назад
Nice!!
@getaromagaiwa7918
@getaromagaiwa7918 5 лет назад
Nakukubali sana Masoud Kipanya """ unavyo mchora JPM!!!!!!!!
@winstonmgogo3694
@winstonmgogo3694 5 лет назад
Ukija Italia fikia kwangu,Mimi ni mmoja wa Wachoraji katuni maarufu enzi hizo,Mzee Manje,naitwa Simon Mgogo,karibu Sana,mdogo Wangu
@blackpanther4825
@blackpanther4825 4 года назад
Mzee nataka kufika huko kutembea. Can you help?
@farajiayubuduma6969
@farajiayubuduma6969 5 лет назад
Bonge la kipindi asnte muhuza asante azamtv
@mohamedsasma879
@mohamedsasma879 5 лет назад
Maaoud bwana Ni mkweli Sana Na Mara nyingi Sana nqpenda kazi au hata maelezo yako muda wote hasa ktk power breakfast na ukwwli ukipungua huwa sijisikii vizuri Sana
@thomasanthony851
@thomasanthony851 5 лет назад
Hii interview naiona leo but ni njema sana, Kingine upuuzi ndani ya clouds fm usiache kutoa
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 5 лет назад
Masjid, Jazaakallah umenijibiya vizuri, vizuri,vizuri saaaaaaaaana pale ulipojibu swali la Kampuni yako ya MAVAZI. ALLAH azidi kukuongoza. TAWHEED imefanya kazi.
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 5 лет назад
Masood, Jazaakallah, umejibu vizuri,vizuri, vizuri saaaaaaana ulipo jibu swali la Kampuni yako ya MAVAZI . Allah azidi kukuongoza TAWHEED imefanya kazi In shaa Allah
@kabwemwila1161
@kabwemwila1161 5 лет назад
tupo pamoja ktk kutimiza malengo yako Malcom pole kwa yote yaliokukuta kikubwa nikuwaombea wazazi wako ambao ndio majemedari pekee ktk kuhakikisha unakuwa na furaha muda wote pia ningependa viongozi wa serikari wakuunge mkono kununua t-shirts hizi ili uweze kufikia malengo yako
@ashminhaabdullah4963
@ashminhaabdullah4963 5 лет назад
Iko vizuri wote wasomi
@malulujr
@malulujr 5 лет назад
Jaman masood ulitekwa eeee pole sana bora ukae kimya tu usije kufa bure aisee
@samsonezekiel970
@samsonezekiel970 5 лет назад
Namkubali sana JAMAA huyoo
@pynoCODE
@pynoCODE 5 лет назад
Nice
@denismakweba3870
@denismakweba3870 5 лет назад
Kila nikisikia BARUAN MUHUZA,nakumbuka uliza ujibiwe RFA! #nkumiss__kwa_wakati_huo____hongera kwa kipind kaka
@rajababduly6571
@rajababduly6571 5 лет назад
Iko vzr
@scholasticavyamana6788
@scholasticavyamana6788 5 лет назад
Masoud you are such a supper dad to Malcom! I never thought that you can be such a tough dad! Very rare to find a man of your personality. Keep up taking good care of our supper handsome boy Malcom, he is a blessing to your family. I love his (Malcom's) character; charming, confident, intelligent, covered with a bright smile, above all he is always grateful to the Almighty God!! May God shower him with wonderful blessings!
@esterlunguya5988
@esterlunguya5988 4 года назад
Nimejifunza kitu kikubwa sana kupitie entervew yako na Malcom's pia nimefarijika sana namuombea Malcolm's kwa Mungu ili aweze kutimiza ndoto zake
@NyatseLogistics
@NyatseLogistics 2 года назад
Masoud, good
@hassanlusewa9008
@hassanlusewa9008 5 лет назад
Dah leo ndio NIMEMUELEWA Masoud Kipanya aseee kumbe kitambo
@hassanaloobaidan25
@hassanaloobaidan25 5 лет назад
Good
@handsamjerry
@handsamjerry 5 лет назад
The Interview is very interesting...huitaji kufoward hata second... I think this is one of de best interviews... The legends... Big up KP
@janengowi3011
@janengowi3011 5 лет назад
Hongera sana Masoud umekuwa baba Bora kwa mtoto na familia yako
@omaryabed3044
@omaryabed3044 3 года назад
Nakubali masudy
@dennischarles8524
@dennischarles8524 5 лет назад
Cartoons na animations ni carrier nzuri sana
@bongomsasa2496
@bongomsasa2496 5 лет назад
My Role Model
@fredypastoryutd4864
@fredypastoryutd4864 5 лет назад
Dah ukiacha kuufatilia live mpira kwenye internet hiki ndio kipindi nilichokiangalia kwa muda mrefu zaidi youtube. Sijarukisha hata Nukta. Yote sababu napenda saana kumfatilia masoud na kazi zake. Mungu akujalie zaidi...
@annachiguru564
@annachiguru564 5 лет назад
Fred y Pastory Utd
@dismaschabellah43
@dismaschabellah43 5 лет назад
Never give up brother
@LeonardMwakapusya
@LeonardMwakapusya 5 лет назад
Baruan ni mtangazaji mzuri ambae ajawahi kutokea Tanzania
@mussamsella8560
@mussamsella8560 5 лет назад
Kitu ambacho nimejifunza na kumuelewa kp ni mtu anaeishi maisha halisi sana ...yupo real sana. Kuna watu wanaeleweka kwa ujanjaujanja wao ila huyu ili umuelewe inabidi uwe makini tuu ...yaani ukweri hauna mbwembwe kabisa na ndio alivo kp
@aboubakarykilaza1013
@aboubakarykilaza1013 5 лет назад
Ni moja ya vipindi bora zaid Africa Nyundo. Naipenda kazi yako Baruani
@shamimhatim1677
@shamimhatim1677 5 лет назад
Samahani Sana kwa swali hili nishawahi kuskia watu wenye msimamo Kama wako eti wana group "O" la damu ?
@lailahasan2200
@lailahasan2200 4 года назад
Ni kweli kabisa, hlf tunajiamin kuliko na yt ya kher
@chrischleopa7738
@chrischleopa7738 4 года назад
@@lailahasan2200 😁😁😁😁tuko wengi kumbe
@richardkamanya2951
@richardkamanya2951 5 лет назад
Iko poah sanaa
@stanslauslawa4777
@stanslauslawa4777 5 лет назад
Masoud Kipanya ni engine
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 4 года назад
Barwan the great kwa kweli nakupongeza ni mmoja katika wachapa kazi mahiri kabisa keep it up I like your interviews
@fredypastoryutd4864
@fredypastoryutd4864 5 лет назад
Nakumbuka saaana kuhusu kipindi cha PB mtu 3 kama billion 3. Na nakumbuka kipindi kilichobamba zaidi mlivyoingiaga conflicts na waziri wa elimu na utamaduni kipindi kile..., hadi Shigongo nae akaingilia. Na hata siku mnafanya kipindi cha kumuhoji balozi nilikisikia ingawa kwa shida shida kweli matangazo yalikua yanakatika na mliahidi kurudia kesho yake. Ila baada ya siku kama 3 hivi tukaona ziiiii..., iliniumaga saaaana baadae akawa anasikika Gerrard peke yake. Nilitamaniaga saana mngerudiaga tena kufanya kipindi mkiwa wote wa3. Nilikuwaga mshabiki wenu mkubwa mnooo na kipindi kilikua hakinipiti. Safi saana masoud KP.
@safikapufi3642
@safikapufi3642 5 лет назад
napenda interveu mtangazaji ajielewe na anaefanyiwa awe anajiekewa inapendaza sana haichoshi kabisa nimewapenda nimefurahi sana
@zedyrajabu2493
@zedyrajabu2493 5 лет назад
Nilitulia kusikiliza hii interview km unapigwa wimbo wa taifa ,penda sana kp
@gervassikapundwa9632
@gervassikapundwa9632 5 лет назад
Hawavijana wananikumbusha mbali sana
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 5 лет назад
Kipindi kizuri sana
@allymtapera5370
@allymtapera5370 2 года назад
Kipindi safi
@hamadshein935
@hamadshein935 5 лет назад
Hzi interview wapi huwa wanasahihisha.naona kila mtu anasema hii 1 zngne zikowapi ili tuzione.aahaa wabongo bna.
@geraldmasawe2837
@geraldmasawe2837 4 года назад
Salama
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 лет назад
Hiki nikipindi hua sikos kuangalia 🙏🙏🙏🙏muhuza
@thomaslugenge4636
@thomaslugenge4636 5 лет назад
👏👏👏
@rahmamakwisa4089
@rahmamakwisa4089 5 лет назад
kha jaman ndio leo nimegundua kua masoud kipanya na mussa kipanya hawana undugu
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 года назад
Vichwa vilikutana 🔥🔥🔥
@loyaltey6407
@loyaltey6407 5 лет назад
Sanatuu
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 5 лет назад
Nice interview
@ramahzedon6688
@ramahzedon6688 5 лет назад
Yap bila shaka
@jumashukuru2216
@jumashukuru2216 5 лет назад
Asia Zuberi I love you asia
@jumashukuru2216
@jumashukuru2216 5 лет назад
Asia Zuberi I love you asia
@stevenilevensoni2227
@stevenilevensoni2227 5 лет назад
Ni mtu wakawaida tu ktk watumaarufu bado ilaajitaidi anaweza kufika huko
@allysanya8346
@allysanya8346 5 лет назад
Hellow
@evanskamgisha3675
@evanskamgisha3675 2 года назад
Masoud nilipata warning letter mbili kwasababu ya clouds
@MwlGano
@MwlGano 5 лет назад
Moja kat ya kitu cha ajabu tz,kwamba Musa kipanya hana ndugu na kipanya
@laurentngowi3052
@laurentngowi3052 5 лет назад
Kweli masud unajua kujibu maswali
@halimams2127
@halimams2127 5 лет назад
Wa baba hebu muigeni huyu baba bg up
@jumbeojaso5767
@jumbeojaso5767 5 лет назад
Mahojiano mubashar kati ya watangazaji halisi au asilia kwa maana ya kile ambacho mwenyezi Mungu akiwajalia ktk uumbaji wa binadamu na vipaji au vipawa. Hakika Baruan na Massoud Mungu aliwapa hiki kipawa ili mumtukuze yeye kwa kudhihirisha uumbaji wake usio na makosa. Ni rahisi kuwatofautisha na wengine wengi walioko kwenye tasnia kwa mapenzi yao binafsi,na wala si kwa vipaji alivyowajaalia muumba wetu. Binafsi niwapongeze lkn niwakumbushe kuangalia nyuma kuwasaidia ,wengine wenye vipaji kama nyie ,ili mkitoka kurudi mlikotoka ,vipindi kama hivi visiondoke nanyi kwenda huko mlikotoka, kwani sote tupo na kuna siku hatutakuwepo hapa duniani ,Nawaombea Mwenyezi Mungu awape maisha marefu .A men.
@marygaspar6429
@marygaspar6429 5 лет назад
Afadhali Masoud ungepewa nafasi ya Mlinga utetee jimbo lake!! yule ni kihiyo!
@abubakarikizamba8106
@abubakarikizamba8106 5 лет назад
Interview ya Kiutuuzima kwa Watu wazima
@Godlovemmanuel
@Godlovemmanuel 5 лет назад
Yeeeeh baba ....keroro
@priscarkayanda8017
@priscarkayanda8017 5 лет назад
Nilipenda sana kipindi cha maisha plus, mtaendelea mwaka gani??
@skorastkastivini1663
@skorastkastivini1663 2 года назад
Bondita
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
@nkwabitz233
@nkwabitz233 5 лет назад
baruan muhuza.
Далее
Beautiful sport😍
00:20
Просмотров 134 тыс.
siri ya ku ishi na mke- othman malim2017
27:53
Просмотров 668 тыс.