Тёмный

Zembwela Afunguka Ukweli Wote Mpaka Kuacha Kazi East Africa | SALAMA NA ZEMBWELA PART 1 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 175 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
MSAFIRI HUFIKIRI
Moja ya jambo ambalo nimejifunza kuhusu maisha na kufanikiwa ni KUTOKATA TAMAA wakati unatafuta ila kubwa kuliko ni wajibu wetu kutojiona tuko JUU zaidi ya wengine na kuamini kwamba pale ulipo hakuna siku ambayo utakuja KUTETEREKA. Katika makosa ambayo unaweza kuyafanya ni kuamini hilo jambo KUBWA.
Hillary Daudi ni Kaka yangu na Rafiki yangu, mimi nilianza kwa kumuona yeye kwenye TV kabla sijakutana naye rasmi kwenye mwanzo kwa miaka ya 2013 kupitia Rafiki yangu mwengine aneyeitwa Mussa Hussein, Mussa na Zembwela ni washkaji ambao wali click tu mara ya kwanza walivyoonana na Mussa alipomsikia tu Zembwela aliona atamfaa sana kama atakua partner wake kwenye kile kipindi alichokua akifanya cha kuanzia saa tatu asubuhi pale EA Radio.
Zembwela alikua mmoja wa waanzilishi wa kipindi cha vichekesho pale ITV akiwa na Rafiki yake Marehemu Max, na jambo ambalo mimi nilikua silijui ni kwamba Zembwela yeye ndiye aliyekua muandishi wa yale maigizo mafupi mafupi waliyokua wanafanya, na hilo swali nilimuuliza baada ya kusikia tetesi mtaani kwamba toka Max atangulie mbele ya haki yeye Zembwela amepoteza kabisa ile ladha na kwamba sasa si yule wa zamani. Ki kawaida tu kwanza hawezi kuwa kama yule wa zamani na zaidi ni kweli ladha pengine lazima ipotee maana sasa hivi yuko peke yake, ila je kipaji? Binafsi nadhani Zembwela ana kipaji na utashi wa hali ya juu ambao unamfanya aendelee kuwepo pale alipo na sasa akiwa anasimama kama Ndimu kwenye Radio ya Wasafi FM pale asubuhi anapokua anachambua magazeti.
Mwanzo nilikuambia Zembwela alianzia EA Radio baada ya kuvutwa na Mussa pale, na alikaa kwa kipindi hata baada ya Mussa kuondoka yeye aliendelea kuzungusha gurudumu la Super Mix ila baadae mambo yakabadilika na ikambidi aende kutafuta ustaarabu mwengine na sehemu nyengine. Maisha yako wakati mwengine yanaweza kukupeleka sehemu ambayo wala ulikua huitarajii.
Sasa pia amerudi kwenye TV na kaniibia siri pia kwamba hivi karibuni anatarajia kuanza series ambayo wao kama Wasafi TV wamekua wakiipika kwa kipindi sasa. Naamini hii itakua habari njema kwa wengi ambao wamekua wakiisubiria kwa hamu.
Na pia kasema itaanza hivi karibuni.
Mimi na Zembwela pia tumeongelea maisha yake binafsi, kuondoa kwa Max, kazi za kileo na mustakabali wa Siasa na wana Siasa na mengine tele. Moja kubwa ambalo naweza kukuahidi ni enjoyment na kucheka, hakika haya UTAYAPATA.
Tafadhali enjoy,
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

10 июл 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 229   
@CoachHafidh
@CoachHafidh 2 года назад
Afya ya Akili, afya ya kinywa na Afya ya Mwili...So Powerful. ✊🏾💯
@christophertemba6915
@christophertemba6915 2 года назад
huyu mwamba zembwela ni fundi sana wa maneno mpka salama anabaki kucheka tu.
@davidnchoji
@davidnchoji 2 года назад
Poor Me😥, namfahamu Zembwela lakini sikuwahi kutenga muda wa kumfuatilia zaidi, na kumbe nimekuwa nikikosa maneno ya busara kutoka kwa mtu mwenyewe busara na akili pana sana. Keep it up Da Salama kwa kutuletea mtu wa aina ya Zembwela...😍❤️
@rogathesarwatt
@rogathesarwatt 2 года назад
ZEMBWELA NA SALAMA MNAITENDEA HAKI LUGHA ADHIMU YA KISWAHILI KUNA LADHA YAKIPEKEE SANA
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 года назад
Zembwella na Gabo wakikaa meza moja wanaweza fanya kitu fulani kikapendwa na watanzania wote
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 2 года назад
Mali iliyotafutwa na mtu, na wale wasioitafuta kuja kuihitaji hata kama hawahusiki nayo... KInywa, afya ya akili na mwili. Dah.... karibu kila neno la Zembwera ni msumali wa mabadiliko kwa hata kwa wanaozipata simulizi kwa walisikiliza wenyewe. Asante Salama na....Natamani kipindi kisiishe maana hawa hakika marafiki kufa kupona, maaana si kwa cheko na furaha hizo
@dastonamichaels1854
@dastonamichaels1854 2 года назад
From 🇰🇪Huyu bro nilianza kumcheki zamani na maxi kwa comedy flani alikuwa mpangaji mkorofi 😅🤣
@josephngowoambroce418
@josephngowoambroce418 2 года назад
Hapo salama hajaolewa....sema mume wangu
@echolude
@echolude 2 года назад
finally someone who treats Swahili with proper respect and depth
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Год назад
Una maanisha nini??
@AlesiusAndrea1991
@AlesiusAndrea1991 2 года назад
Babu Zembwera beberuuuu 👍🙏💪
@mjkinyonga38
@mjkinyonga38 2 года назад
Mahojiano bora zaidi 2022
@saedymkomwa7866
@saedymkomwa7866 2 года назад
I wish Salam Uwe Mke wang Tukiwa Ndan Tupige Mastory yaniii... Una Madini Mengi Sana
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
Upige nae story au umpelekee MOTO....!
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 года назад
Zembwela Una Madini Mengi Sanaaa
@mozasaid3869
@mozasaid3869 2 года назад
Penda sana Zembwela❤❤❤👊👊👊
@sevelinamartin7752
@sevelinamartin7752 2 года назад
Namuelewa Zembwela nakupenda salama,so nimeinjoi sn
@mbakomileakim1783
@mbakomileakim1783 2 года назад
Iyo background music ni ngoma ya nan anaejua please
@universitylink
@universitylink 2 года назад
Asante sana brother zembwela ya kwanza gonga kwnza kisha ya pili ndio u act, nimependa hiyo uko very honest bro, na sister salama nakusalimia sana napenda sana kipindi chako uko juu sana sister keep it up
@mnenedrogba1218
@mnenedrogba1218 2 года назад
Now I get the reason or reasons as to why Diamond keep mentioning Zembwela babu, this man is very wise and he is on point in almost everything question sent.respect big bro 🤝🙏💯
@emmanuelkiyovu5175
@emmanuelkiyovu5175 Год назад
L
@emmanuelkiyovu5175
@emmanuelkiyovu5175 Год назад
0l Ppl
@emmanuelkiyovu5175
@emmanuelkiyovu5175 Год назад
P
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 года назад
Nimefurai sana Leo kumuona zembwela na nimejifunza mengi toka kwako. Big up salama toto ya zenji. Unajua kuliza maswali na yenye mahana. Awa wandishi wengine wajifunze kutoka kwako.
@floramlowe7078
@floramlowe7078 2 года назад
Hiyo nimeipenda hilo nichaguo sahihi John pombe magufuli apumzike kwa amani mzee wetu tulimpenda sana hata kama alikuwa anaogopwa.
@paulmgoli4853
@paulmgoli4853 2 года назад
Mambo - Matamu 😁
@jonahbirgen6946
@jonahbirgen6946 2 года назад
I use to enjoy his show at East Africa radio sometimes back from Kenya cheers
@nyamarasapeter4302
@nyamarasapeter4302 Год назад
Mazungumzo na Hayati Magufuli yamenenwa kwa hekima na ufundi mkubwa.
@thomaslyimo1729
@thomaslyimo1729 2 года назад
Nashtuka tu muda umeisha bila kuchoka nadhani hii ni moja ya Interview bora kwangu
@Tysumafrica
@Tysumafrica 2 года назад
🤣🤣🤣 Kabisa maongezi matam ile mbaya
@pachamalota4455
@pachamalota4455 2 года назад
Umetisha kaka mkuu
@hilarymark7583
@hilarymark7583 2 года назад
Naona sio vizuri chakula au kinywaji kukatiza mtiririko wa stori. Director angeweza kupiga pozi kidogo mpaka mnenaji aweke nukta
@msusasandali5833
@msusasandali5833 2 года назад
Ni moja ya interview niliyokuwa naisubiri kwa hamu kubwa Sana.... ☺️
@dankirunda3368
@dankirunda3368 2 года назад
Mimi pia ✌❤
@bazlsamyo954
@bazlsamyo954 2 года назад
Hapo kitelevision au nilivyozoea 😅😅😅😅
@uzungupoint
@uzungupoint 2 года назад
UMENIUA KWA JPM TU 🔥🔥🙌
@majidypapeny1527
@majidypapeny1527 2 года назад
Na bonge la fumbo ambalo m2 wakawaida hawezi kulijua kwa haraka R.I.P magufur
@uzungupoint
@uzungupoint 2 года назад
@@majidypapeny1527 Kabisa kaka
@josephlorri431
@josephlorri431 2 года назад
Majambazi na wezi wa mali zetu ndo tunawashangilia..
@dayocha1855
@dayocha1855 2 года назад
Hii interview ya leo bomba sana ila zembwela katisha sana bila kumsahau salama kwa maswali yake mazuri
@mangisenya4012
@mangisenya4012 2 года назад
Zembwela uko vizuri sana kwenye kujieleza
@lotilazaro8845
@lotilazaro8845 2 года назад
Zimbwera Madini mengi xaaana kwa kichwa chako
@floramlowe7078
@floramlowe7078 2 года назад
Mpuuzi kweli anamasiala mengi sana
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 2 года назад
SALAMA KIUKWELI KIPINDI HIKI UMEJIKAZA SANA ILA KATIKA KIPINDI CHAKO CHA MAHOJIANO NA KAKA ZEMBWELA KABALIAO ALA 1 HALIKAI PANGA 2UNACHEK NA
@marcoemanuel6892
@marcoemanuel6892 2 года назад
Kari sanaaa hii interview
@richardfaustine8802
@richardfaustine8802 2 года назад
Salama nakukubali sana. Yaan hivyo tu. You are the best.
@antonykimario5764
@antonykimario5764 2 года назад
Nakubal sana Salama na Zembwela
@shd12m55
@shd12m55 2 года назад
Juice ya awamu ya kwanza kwa zembwela 🔥🔥
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@lovenessselemani4949
@lovenessselemani4949 2 года назад
Bonge moja ya interview
@rashidomar1558
@rashidomar1558 2 года назад
Lessons zinapatikana kwa kufanya interview za maana kama hizi
@yohanayohana199
@yohanayohana199 2 года назад
Zebwera wewe ni mkweli sana nakumbuka uliwahi kuomba mkombozi wa Tanzania ulipiga magoti ktk redio
@mustaphareginald3264
@mustaphareginald3264 2 года назад
Big up sister salama...Mungu akuweke sana
@nelsoncosmas5639
@nelsoncosmas5639 2 года назад
Salama tuletee helisi rais wa wananchi
@lilianmmbaga7373
@lilianmmbaga7373 9 месяцев назад
Nimefurahia sana hii meeting ni ya kiakil sana imeongelewa na watu makini saana❤
@makantaafrika
@makantaafrika 2 года назад
Nime enjoy sana hii episode 🙌🏿🙌🏿 Blessings
@kassimoludara4746
@kassimoludara4746 2 года назад
very informative kudos
@ballisticsound4796
@ballisticsound4796 2 года назад
Bila kupindisha Maneno IPP Media imetoa mchango mkubwa sana kwenye tasnia ya Habari ahapa TZ... pamoja na kutoa vichwa mahiri kabisa
@rukiaasnawi9134
@rukiaasnawi9134 2 года назад
San sana Sanaa lazima tuwe na fadhira tuseme ukweli IPP🔥
@elizagichogo3881
@elizagichogo3881 Год назад
Hyo haina mbishi mbona
@salomecomedyofficial
@salomecomedyofficial 2 года назад
Zembwela tunaomba kwa heshima umrudishe kwenye game Mr 20%, ni mwandishi na mwimbaji mwenye mziki wa kuelimisha
@tuliadamson3422
@tuliadamson3422 2 года назад
Nmejifunzaaa....👍👍👍
@omariathuman9998
@omariathuman9998 2 года назад
i just comparing mkasi na hii show guest zembwela aisee zembwela ananifanya nisome nje ya syllabus ....salama nakuona kama ellen wa ellen show america
@iddyrashidi8961
@iddyrashidi8961 2 года назад
hongereni sana kwa hichi kipindi kinatuelimisha sana 🙏
@husseinpogwa9954
@husseinpogwa9954 2 года назад
🔥🔥🔥
@jameskimei5438
@jameskimei5438 2 года назад
Nice one l love it
@flavianchuwa4370
@flavianchuwa4370 2 года назад
Zembwela akili Mingi sana🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@ditrickhinju9684
@ditrickhinju9684 2 года назад
Good interview ujawai kukosea kwahilo interview killer u sister nice
@buberwajohn1312
@buberwajohn1312 2 года назад
Daaaah!! Popcorn 🍿 zimeishaaa.
@loiceamugune6711
@loiceamugune6711 2 года назад
I love what you are doing my gal. I would love to do just like you are doing
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 года назад
Duh Zembwela ni mtu na nusu aseee
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 2 года назад
Good interview salama u do in your life big up
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Mashallah, hongera sana Babu, nakuelewa sana 😀😀😀
@allyomary8264
@allyomary8264 2 года назад
Good interview keep it up
@gashugibruno2122
@gashugibruno2122 2 года назад
Zembwela nakupenda sana apo umemzungumzia Magufuri, kila mtu angependa kuchangiya na Magufuri ili tumpe habari za wasaliti, alikuwa nao karibu. Amewaamini. Tanzaniya imerudi nyuma kabisa
@lazarobituro8644
@lazarobituro8644 2 года назад
utakuwa umemiss point mkuu 😂
@ilhamsalum6815
@ilhamsalum6815 2 года назад
😂😂😂ninavompenda salama nataman ata apate copy yake💞 mtoto ,akiondoka awepo atakae chukua muonekan na tabia zake NAKUPENDAA😣😩🥰
@tuladavid4223
@tuladavid4223 2 года назад
Ana mtoto mkubwa
@edwinmbugua7738
@edwinmbugua7738 2 года назад
@@tuladavid4223 uongo
@farhatkhamis4401
@farhatkhamis4401 2 года назад
@@edwinmbugua7738 kweli anae wa kiume
@edwinmbugua7738
@edwinmbugua7738 2 года назад
@@farhatkhamis4401 mapya hayo. Kazaa lini na nani?
@rashidomar1558
@rashidomar1558 2 года назад
Good interview
@rachelkristellagodlove2404
@rachelkristellagodlove2404 Год назад
Best episode kwa mwaka huo zembwela ana madini mengi sana
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 2 года назад
Salama ni hatari sana....,
@CoachHafidh
@CoachHafidh 2 года назад
Glas ya kwanza ilivyonyongwa nilipause ⏸️ kwa kucheka kwanza🤣🤣🤣
@kweka14l35
@kweka14l35 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ya Pili amesema imekuja ya Kuektia 😂
@neemaokechi1729
@neemaokechi1729 7 месяцев назад
Nlikuwa namtafuta mwenzang mwenye hii comments yan nmecheka saana 😅😅😅
@alfonsisimoni3080
@alfonsisimoni3080 2 года назад
Sharp sana istafrika
@edenngiluke8493
@edenngiluke8493 2 года назад
Interview Kali Sana.. One Of The Best
@khamissasita4559
@khamissasita4559 2 года назад
Joseph John Pombe Magufuri daaaah!!. R.I.P daddy 👨....
@hijazhija316
@hijazhija316 2 года назад
Pole sana
@stevenasunga3917
@stevenasunga3917 2 года назад
Umeongea point sana
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 2 года назад
Nimeisubiri Sana hii muda mrefu
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 2 года назад
"Gari bovu huvutwa gari zima" ha ha ha
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 года назад
Zembwela ❤❤❤❤
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 2 года назад
Great mind zembwela
@fatmaahamadabass8080
@fatmaahamadabass8080 Год назад
Zembwela nakukubali sana brother nakupenda huzarau maskini
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 года назад
Salamaa.nakupenda.sanaa
@kisamogoodservicesTv
@kisamogoodservicesTv 2 года назад
The big show in town, big up kwa team yote. #SalamaNaZembwela
@fanuelkatoto8913
@fanuelkatoto8913 2 года назад
Kongole sana kwa kipindi kizuri.. Heshima kubwa kwa babu Zembwela
@mbarakasaidi8243
@mbarakasaidi8243 2 года назад
salama please naomba umlete chid benz nakuomba 😔
@akkidume8312
@akkidume8312 2 года назад
Hahahahahaha nimeipenda
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 2 года назад
SALAMA KATKA MAHOJIANO YA WATU TOFAUTI NANI ALIKUWA MAJIBU YAKE YALIKUWA YA KUCHEKESH SAN NA ULICHEK KIASI KUJIKAZA?
@nobbylovetv4977
@nobbylovetv4977 2 года назад
Hii ni siku akimuhoji joti
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 года назад
Zembwela Babu Mswahili 🔥
@khalidbalala7753
@khalidbalala7753 2 года назад
Salama vpi ile interview na zuchu bado huja ipost
@theresiatarimo3616
@theresiatarimo3616 2 года назад
Hapo kwa maguful nimemuelewa...hongera zmbwela...
@cineplus-tv255
@cineplus-tv255 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-3GyDw7shVsA.html
@sharmallamossi7856
@sharmallamossi7856 2 года назад
😆😆😆 wallah uyu kka namependag saan anamaneno ni muwazi mashaallah Allah akubariki
@laylapagae6324
@laylapagae6324 2 года назад
Amiin
@tricemollel6739
@tricemollel6739 Год назад
Zembwela very big up men!!!
@bennyframa4505
@bennyframa4505 Год назад
Kweli Max amefariki zamani sanaa mpaka zembwela swaiba wake ameshamsahau. Sikutegemea kama asingetamani kumuona tena kwenye meza pamoja
@josephngowoambroce418
@josephngowoambroce418 2 года назад
Salamaaa
@Kingmizo711
@Kingmizo711 Год назад
Imetishaa sana🙏🤣🔥🔥
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 2 года назад
Huo ni uzarendo mkubwa sana kuwa mkweli sio kama harmonize anaejiona tembo asie na mama wala mkubwa
@BongoCryptos
@BongoCryptos 2 года назад
JPM! SAFI SANA ZEMBWELA
@ramamsukuma
@ramamsukuma 2 года назад
Nilitamani kusikia zembwela kwenye swali la Kula na watu walio tangulia mbele za haki Angemtaja #makisi mtu alie Anza nae Safari ya kujitafta
@brendachibura6040
@brendachibura6040 2 года назад
I love this man ana busara mno
@cineplus-tv255
@cineplus-tv255 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-3GyDw7shVsA.html
@thedygeorge4548
@thedygeorge4548 2 года назад
Kwa kufupisha angesema tu anawapenda wasanii wote maana bila kukatishwa angewataja wote...🤣🤣🤣
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 2 года назад
Hiyo juice ulivyo ipiga tarupeta!!!
@tresorkabongo8758
@tresorkabongo8758 2 года назад
Mpaka leo kipindi mlichokifanya cha mkasi 😂😂
@josephngowoambroce418
@josephngowoambroce418 2 года назад
Kwenye juice noma saaaana bro
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Hahaha nimecheka Zembwela alivyoangalia chakula 🤣🤣
@shd12m55
@shd12m55 2 года назад
😀
@cineplus-tv255
@cineplus-tv255 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-3GyDw7shVsA.html
@eliakimeliakim7082
@eliakimeliakim7082 Год назад
Interview nzur sana .
@florenceblack4492
@florenceblack4492 2 года назад
Nimekupanda bure zembwela
Далее
Tom🍓Jerry 😂 #shorts #achayanarmyfamily
00:14
Просмотров 12 млн
Salama Na Masoud Kipanya
52:05
Просмотров 8 тыс.
Заячий Стон - Рот пятничный
0:55
Каха бизнес-класс
0:48
Просмотров 2,1 млн