Dully ameongea kupitia uvungu wa moyo dahhhh😢😢 nakubali sana kaka hiyo roho usije ukaiachia maana dahhh kwaimani niliyonayo naona milango inafunguka kwa simba la masimba dangote
Watanzania tusikubali Harmonize aendelee ku abuse Diamond Platnumz na uchawi...kuroga kazi za Diamond Platnumz....Harmonize ni laana kwenye sanaa🇹🇿😮😮😮😮
😂😂😂, Nchi ya ovyoo kisenge Chris Alisha post MISO MISONDO achani promo za kipuuzi af huo ushamba hio ni kawaida sana kwa Chris brown, alisha post madogo wa kenya waliofanya covering, 😂😂😂😂
Ifike mahala watanzania mujitambue sijuwi ila naomba samahani sijui wengi wenu kama wanaelewa siasa ya hawa wamerekani, naishi hapa USA 🇺🇸 ni miaka 15 ila hawa jamaa wakikuposti ujuwe yy anafaidika, ila ww utabaki mtu wa tiktop tu akuna utakachovuna
Sawa miso misondo walipostiwa lkn hii chris ametenga muda wake akaweka dancers wake na mtu wa camera kacheza alipomaliza kucheza aka post huoni Kuna utofauti hapo